Salama Na MAVOKO EP 49 | WINGMAN PART 1
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
UA-cam Link bit.ly/UA-camS...
Kwa muda mrefu nimekua nikitaka kuongea na Mavoko ila ratiba zetu zilikua hazijawahi kuwa sawa na hivyo tukawa tunapishana tu. Kama mimi sina program naye basi yeye atakua free, na mimi nikiwa free basi yeye atakua na mipango ya kutoa kazi mpya ambayo itanifanya ningoje ili viende pamoja, au atakua kasafiri, au mimi nitakua nishaset watu wengine, ilikua kama tunacheza kidali po ila katikati ya mwezi wa kumi na mbili hatimaye yakatimia.
Hakuna doubt juu ya uwezo wake popote pale utakapoenda ingawa baada ya yeye kuamua kuondoka kwenye label ya WCB kulikua na mengi yalosemwa na kutendwa na baadhi ya mashabiki yalikua yanaweza kukuaminisha jambo na mpaka kufikia pengine ku doubt huo uwezo wake. Mambo mengi yalisemwa, ya kusikitisha, ndoa haikuvunjika vizuri ila ambacho nilikiona kwake ni ustaarabu wa hali ya juu, wa kuwaacha walimwengu waseme na kufanya watakayo huku yeye akiwa ame focus kwenye kipaji chake na kujipanga upya.
Moto wa Mama Richard anaujua mziki mwingi, ana uwezo mkubwa wa kuimba na kuandika na kucheza pia, ila kabla hajaingia kwenye label alikua anajulikana tu, ila kumfahamu vizuri na kuthamini kipaji chake kulikuja baada ya yeye kushirikiana na mmoja kama si msanii bora zaidi kuwahi kutokea na kuipeperusha zaidi bendera ya Tanzania ndani ya Diamond Platnumz. Ushirikiano wao ulitupa ‘anthem’ kadhaa ambazo mpaka leo ukiziskiliza hazichuji. Ilikua kama team ya wenye vipaji pekee, kama ni mfuatiliaji wa mpira wa kikapu hii tunaweza kuifananisha na ile zile team mbili za Mashariki na Magharibi ambazo zinakusanya wachezaji wenye uwezo wahali ya juu.
Saasa, ikawaje hasa mpaka akaona aachane na all star hiyo na kupeleka team yake uwanjani akiwa solo? Nini hasa kilifanya mpaka afikie maamuzi hayo? Kuna mtu au kitu kilimshinikiza? Je yalikua maamuzi sahihi? Pia kuna masuala binafsi ya kifamilia na suala la yeye kutomfahamu Baba yake takati anakua, elimu yeke, ndugu zake, Mama yake na muziki ulichomfanyia katika maisha yake.
Mavoko huyu ambaye mimi namfahamu nilikutana naye Kampala, Uganda kama maka saba iliyopita na mazungumzo yetu yalikua yanahusu kipaji chake na jinsi ambavyo nilikua naona ‘hapewi’ nafasi maana kama ngoma zake zilikua nzuri tu, video ndo usiseme ila hakuna na spotlight aliyokua anastahili, peleka mbele miaka mpaka 2021 ambapo alipata nafasi kwa miaka takriban miwili na nusu kufanya kazi na lebo bora zaidi ila baada ya muda akaamua kubwaga? Kwanini hasa? Sote tunajua kama nyasi za jirani huonekana zimestawi kweli kweli ila ukifika na kuziona kwa ukaribu utaelewa kwamba si kila kitu kina fanana na kionekanavyo. Ila mpaka kuamua kukusanya na mabegi na kuondoka kwenye ‘jumba kali’?
Majubu yake yalikua ya moja kwa moja tu na nafsi yake ilikua tayari kuhamia nyumba nyengine mwenzangu. Natumai kwa kiasi flani utasoma jambo, ingawa kwangu mimi natamani ningepata zaidi na zaidi ila inaonekana bado hakua tayari kutufungukia mazima. Binafsi namshkuru kwa kuja mezani kwetu na pengine tutaweza kukutana tena mbeleni In Shaa Allah. Yangu matumaini bado utaokota mawili matatu.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Rich mavoco wewe ni mtu na nusu, mm ni miongon mws watu wanakukubari kinoma noma. Nimependa sana msimamo wako.
Umenifunza mengi mavoko nakukubali Sana Kaka pambania talent yako iko sawa.ni masai mmoja kutoka +254 kajiado massive
Uko vizuri rich utafika mbali uko muimbaji mzuri saana Never give up
Richard your so Humble. Endelea Kumtumainia Mungu hatakuacha🙏
Vipi Chris's
Watangazaj chipukizi wanafaa kulearn somthng from ecee... Maswal yenye ufasaha.. Sio maswal ya kipumba tu... Salama upo vzr dada mkubwa, big up!!
Chipukiz wanauliza maswali bila kujipanga salama na zamaradi mketema huwa wana maswali kwenye notebook hawatoi kichwan ka machizi. Wale kinachokuja ndo wanauliza
@@nurukhalifa9413 eti machizi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂yani machizi kweli
Yani nimegundua mavoko ni mtu mwenye hekima zake God bless you brow
Naungana nawe ana busara kinyama nyama ❤
Thank you salama me ni miongoni mwa waliotaka kujua what exactly happened at WCB...
kwa mbali MAVOKO utasema MKALI WENU!!!
😂😂😂😂😂😂😂
Nikweliii
🙄🙄🙄🙄
Salama kwenye kutengeneza question ni nyoko....! Mavoko afunguke tu.
Big up samala; level za kina zuhura yunus kabisa.
Salama we dada mkubwa uko poa sana love from stone town michenzani apa brookline.
Nimekuja hapa baada ya kumsikia Middle Simba. Kama wewe ni kama mimi, gonga like!!
2po mzee🤣🤣🤣
Salama wew namba1 kwa kazihioo yani upetuliya zaidi kwa kuuliza swalli unatukubalisha Sista ✌️
I really love this guy Soo much wallah....much love from Nairobi Kenya
BADO MIMI NASUBIRIA SALAMA NA ISHA MASHAUZI INSHAALLAH
. ITAPENDEZA ZAIDI
We ❤ you kwaajili ya Allah tumefurahi kukuona dont give up unaweza Richie inshallah utanyanyuka na utawapita 🤲🙏,asante Salama kwa interview hii 👌🏿❤🇹🇿🇨🇭
Kuwapita NO! ajipite kwanza mavoko wa 2016-17
Sijui Unanielewa 😂😂😂
Baada ya Omary Nyembo Ommy Dimpozi na Marioo Huyu ndiyo baba yao sasa anaweza kuongea Sana na uwezo wa kujielezea which is good
Salama Zalhata Jabeer Tunamtaka Young Killer Next Epsodee
Kuna kitu nimeki #note yaani wazazi weengi wa kiume kuanzia miaka ya 95 kurudi nyuma walikuwa na ulimbukeni flani hivi wa maisha maana walipenda kuishi maisha ya usela kuliko kuangalia family zao na hii imechangi wazazi wengi wa #Kike wamelea watoto wao kwenye mazingira magumu huku wao wakiendekeza nyumba ndogo kuliko family zao. Ukiwatafuta vijana wengi waliozaliwa 95 kurudi nyuma wanastory za maisha yanayofanana kuhusu msoto wa kimaisha. Ila wakiwa na umaarufu wazazi wa kiume wanajitokeza na kujifanya wao ni ma Baba mzazi halisi wa huyo mtu,maarufu ila chanzo ni ukwepaji wa majukumu tu. 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 #Pongezi nyiiingi sana kwa #WanawakeJasiri waliovumilia shida zote na kupambana na family zao bila msaada kutoka kwa #MABABA wakwepa majukumu.
Nakubaliana na wewe 100% wahanga tupo wengi ya hawa wazee waliokuwa wanaendekeza USELA, So Sad but MUNGU atabaki kuwa MUNGU
Salama kweli kabisa unalosema
Wanawake hupenda kuwficha watoto kuwakomoa wenzi wao na kuwadanganya hata watoto wenyewe
Salama swali zuri Sana Hilo awe ametoa kwa funzo kwa wengine
Pacha wangu ndio wimbo bora kwangu kutoka kwa mavoko
Daaahh mavoko mkwel Sana
Rich tumekumiss rasta utakwenda mbelle zaidi njia Yako njema rich✌️
J'aime beaucoup cette émission je suis en RDC 🇨🇩
Hilo jina la kinywaji 😂😂🤣🤣🤣
Mambo yalivyo kwa sisi waafrika wengii tunashindwa kutofautisha tofauti zetu na matunda yetu"mfn.mume na mke hawasiti kukosana mbele ya watoto zao kitu ambacho ni tofauti na wenzetu wanzungu moja mbili wenzetu hawanaga vitabia vya kufekii vituu wao huishi kiukwelii zaidiiiii
Tunamtaka kwahamu sana mama dangote
Daaa rich mavoko ludiii mwananguuu
Jamani naombeni like zenu
Iviee salama majina ya vinywaji. Unayotowaga wp jmn😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Salama you know wha?? U re incredible genius## appreciate that
Waooooo, Safi sn Salama kwa kutuletea my Classmate!
mtuletee mama dangote to clear the air 😉
😆😆Unataka aje Achambweee
Mother ake Rich amenifundisha primary school "Mwl. Martin" - Ilala-Kasulu Primary School"
So?
Tufanye je?
@@hamzajunior6642 mwambie mama ako akufundishe upate adabu kwanza.
Akish baadae?
Unaweza Sana rich mungu awe nawe
Muite na nikki mbishi basi sister au bado umemkumjia jamaa anajua sana fanya kumuita
Richie is such a gentleman, humble guy
Daa rich pole Sana imeniuma xana
My love for salama jaber ♥️♥️♥️
Kwahivyo Richie.. Hakutaka kucontroliwa..mzee lebo lazima upangiwe bro...Duniani nzima ni lazima hiyo
Young money nan anatawala 😂😂
Duh WCB.... Harmonize yaweza kuwa chanzo cha mavoko kutoka WCB
Ndio
MAVAKO HUYU KWELI...HEHEHEHE
Pushoke na pr Jay 😂😂😂
Salama na harmonize tunasubili kwa hamu😂🔥🔥
MAVOKO wala sio MAVAKO mpenzi wangu Salama. Missed u so much, how's the going love? Hope you are keeping well ay'yuuuni. Love you darling 🥰💋🥰💋🥰💋
Mwambie arekebishe hapo
Mavoko, wamekupoteza mackini.
Oyooo kinywaji bikira😀😀kinapatikana wapi nimekitamani🤪
Shikamoo. Salama'
Nimependa style ya nywele ya salama
salama tuletee sanura a.k.a Sandra. Mama dangote
😂
Kama nani
Richie ndio amenileta hapa na nafurahia interview jamaa Yuko vzr Sana mungu atakuinua kaka ufike pale unapopataka
Bonge la interview,heshima kwako
Uko sawa madam
Next show diamond platnumz please . Love you lady salama kipindi chako ni salama maana najifunza mengi
Salama kama hauna mume nataka nikuoe 🤓🤓
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kamanda Salama atakulamba makofi
Nakielewa sana hiki kipindi cha salama maswali yko yko sawa sawa
Salama na billionea kid mavokooooo
Daah fany hii k2 iendelee maana namufatiya sna fund wang mavoko
Leo Salama umechangamka Mashaa'Allah
Uyu mdada anajua kweli
Hygiene ya mavoko inatatanisha😂
🤣🤣🤣he need to level up.
Sio msafi kbs..!!! Angekua ata na kitambaa basii au awe anachukua tissue kijisafisha
Salama tunamtaka harmony studio
Wew nimwanaume
Nice sana
Mambo ya wcb yanaanza dk ya 19
Umetisha kamanda...
✌🏾✌🏾✌🏾
Naqubhaliiiiiiii
😎😎
🤣🤣🤣 asante sana
Tunamtaka Jessica😂
Jessica mashalaaaaahhhh
kazi yako bora ni pacha wangu huwez kuimba nyimbo kama ile tena broo but still u,re the best arts
So kweli
Jamaa ana nyimbo nyingi nzur sana na ni mtunzi mzur
Salamaa na Richie Richie
Nipo kusikiliza kwanza
Dada salama tunamtaka Jessica wetu bhana
Rich mavoko nakukubali
Noma sanaaa
Namkubali sana
Big up Rich 🤑
You duin great salama
Appreciate bro
Mkaribishe Zamaradi umhoji plz
Lusinga ni jina ya ki Congo Kabila ya wa Tabwa, Taranaki Moba kandokando ya Ziwa la Tanganyika mpakani na Tanzania.
When is this podcast coming back😢
Mbona kipindi hakiruki Tena ni miez sasa
Salama Ali Choki anayo mengi ya kutueleza na kutufunza hasa kwa sisi vijana
Ni moja ya show qalii kwangu mimi
Eeeeeenhe hapo hapo Salama ninaomba au tunaomba sana umlete na Konde Boy
Nimeclick kumuona huyo mavako 😂😂
next time ni zamu yangu salama no matter what
Ulifanya vyema kuondoka mbongo akishaanza ahadi nyingi kwenye kazi ndio wanakumaliza kabisa, hutokaa utoke.
Dahhhhh salama kipindi hiki najifunza mengi Sana
salama tumemiss kumuona mwanamke
Amuite Mama Dangote au sio!?
@@asueddy1465 kama umeota😂😂
Je umeagiza GARI 🚘🚗nje ya nchi na unahitaji huduma ya clearance ya gari lako( Clearing & Forwarding ) kwa uharaka na BEI NAFUU ila unawaza Clearing Agent ⚓️🚢gani atalitimiza Hilo? Basi ondoa shaka na karibu nikuhudumie. Tazama baadhi ya bei zangu za kutoa magari bandarini 🚢Dar Es Salaam (Local) aina ya *TOYOTA* km ifuatavyo.. Kama aina ya gari uliyoagiza haipo kwenye orodha usisite kuniuliza📞Pia wateja wa mizigo ya AIRPORT 🛫/ CONTAINER & MAGARI🚗 yanayokwenda nje ya nchi ( TRANST ) mnakaribishwa.....
------------------
Kwa wateja waishio Dar Es Salaam utafikishiwa gari lako mpaka ulipo BURE na kwa wateja wa mkoani utalipia gharama ya Dereva kutokana na umbali uliopo kutokea Dar Es Salaam kama ukihitaji kusafirishiwa,
Asante
1: IST old - 850,000/=
2: HARRIER New-1,000,000/=
3: HARRIER Old-950,000/=
4: RAV 4 - 950,000/=
5: RAUM - 850,000/=
6: SPACIO - 850,000/=
7: PASSO - 800,000/=
8: VITZ - 800,000/=
9: PREMIO - 850,000/=
10: ALTEZA - 850,000/=
11: SUBARU - 850,000/=
12: CARINA - 850,000/=
----------------------------------------
Gharama hizi zinahusisha malipo ya
1: Port Charges
2: Shipping Line
3: Walfage
4: Agent Fee
5: Plate no
----------------------------------------
☎️DM/Piga/Text 0653953900 / 0742996876
☎️Whatsapp +255 653953900
📧 Email: charlessabikazi@gmail.com
Instagram@mr_sabyy
🏢Company: Mofaz movers
📍Location: PSSSF Tower, Samora Avenue
Dar es salaam, Tanzania
*NB: Triangle & Fire Extinguisher 🧯 BURE
*NB: KUAGIZIWA GARI NI BURE 🙏
*NB: KUAGIZIWA BIDHAA CHINA 🇨🇳 NI BURE🙏
Tunaomba umuite harmonize kwenye kipindi chako
Oya turudishie dada Jesca wetu
😂😂😂😂ata me naona
jesca mwenye shep lake
Kondeboy mnafikiii
Sijui unanielewa?
Eti kwann Mike zunafunikwa hapa🤔
MAVAKO YUPI TENA JAMANII?!!
Daaah jmaa kaongea pointy
Aiseeeee
Richii humble
Sikuwahi kupenda swala la Richi kuwa signed under someone else's label!! Nilikuwa naamini alikuwa anatosha kuanzisha his own label na kufanya poa sana, time at Wasafi ilikuwa ni pause..
Bado kuna nafasi ya kuanzia pale
Salama tuletee Omary mkali wa chuchu sound hatujamsikia kitambo sana