Ni vema kuwaza kuwa wanaotekwa,kupotea,kuuawawa siyo wa Chadema tu.Kuna jambo ambalo hatulijui kwa uwazi. Sasa,walio na wajibu katika jamii wana vifaa na nyenzo za kuchunguza na kugundua kiini cha tatizo hili.Hata hivyo,hadi sasa taasisi zetu kwa kazi hizi ni dhaifu sana.Taasisi hizi hazina usimamizi imara.Muundo wa uongozi wa muungano unanipa mashaka kuwa ndiyo chanzo cha unyonge huu.Tulete Tanganyika ili iwe makini na matatizo yake.
Ndugu Zangu wote wa Tanzania hakuna sehemu ya kimbilio Bali ni Mungu ajibu maombi yetu maana serikali ya mama Samia ndie panya rodi Ombi Moja Kwa wanaichi ni kuwandamana kuitetea wesetu Tanzania sio inchi Tena
RAIS WANGU SAMIA AFADHALI SANA UNGEIFANYA KAZI WANAYOIFANYA PANYA ROAD, KWA NINI AFADHALI, HAWA PANYA ROAD HAWAJA APA KIAPO CHOCHOTE MBELE ZA MUNGU, WAMEAMUA MAISHA YA KUPORA NA KUUA WATU. LAKINI RAIS WANGU UNA KIAPO CHA KUTENDA HAKI UMEAPA MBELE ZA MUNGU WAKO KULINDA MAISHA YA WATU NA KIAPO NI HATARI SANA, NI HATARI KWA SABABU KINA HUSU MAISHA YAKO YA MILELE NA MILELE JANUMU AU MILELE PEPONI. MUNGU HATANIWI KAMWE!!!!
Ndugu yako tupaze tu saut lakin serekali hii ni katili sanaaa mm nahisi mama so yule wa R 4 tena noooo sasa hv ni mama anaependa madaraka sanaaaa na hao anaowateua wanamjaza mama kuwa bila kufanya hv hatishindi so serekal ina haja madaraka so kelele zenu naishia hapa kwa leo
JAMANI NCHI INANUKA UOVU !!!
EE MUNGU MWAMSHE MTANZANIA
EE MUNGU MUAMSHE MTANZANIA
EE MUNGU MWAMSHE MTANZANIA!!!!!
TUAMSHE EE MUNGU TUAMSHEEEEEE
Kwel watu wanapotea wengine wanasema siasa utakapo potea wewe siku Moja au ndugu yako ndo utaelewa
Hatuna uongozi mbaya
Ndiomana ccm ya sasa ni ya familia chache
Ni vema kuwaza kuwa wanaotekwa,kupotea,kuuawawa siyo wa Chadema tu.Kuna jambo ambalo hatulijui kwa uwazi. Sasa,walio na wajibu katika jamii wana vifaa na nyenzo za kuchunguza na kugundua kiini cha tatizo hili.Hata hivyo,hadi sasa taasisi zetu kwa kazi hizi ni dhaifu sana.Taasisi hizi hazina usimamizi imara.Muundo wa uongozi wa muungano unanipa mashaka kuwa ndiyo chanzo cha unyonge huu.Tulete Tanganyika ili iwe makini na matatizo yake.
Serikali haiwezi kutoka hadharani kwa sababu wao ndio wahusika wa haya maovu washenzi sana mapolisi na huyo mama yao
We mbwa la fisiemu tuache bana wasipowaachia tutaandamana tu kakojoe. Ulale mbwa wewe
Tamko hili lisiwe la Mbeya tu, ila kila mkoa utoe tamko kama hili, likifuatia utekelezaji. Vijana simameni muikomboe Tz.
Mnaokejeli subirini mpotee wenyewe ndio mtaelewa
Hii nchi inahitaji kazi mpya.
Umeongea kwa Hekima kubwa sana
Ndugu Zangu wote wa Tanzania hakuna sehemu ya kimbilio Bali ni Mungu ajibu maombi yetu maana serikali ya mama Samia ndie panya rodi Ombi Moja Kwa wanaichi ni kuwandamana kuitetea wesetu Tanzania sio inchi Tena
Kipi bora kati ya kuangamiza kizazi na taifa la kesho .au kumpa mtu cheo au madaraka au ulaji ..NAOMBA MAJIBU
🙏👏✌️🤝
Mungu Iponye nchi
Atukubali acha watutese
RAIS WANGU SAMIA AFADHALI SANA UNGEIFANYA KAZI WANAYOIFANYA PANYA ROAD, KWA NINI AFADHALI, HAWA PANYA ROAD HAWAJA APA KIAPO CHOCHOTE MBELE ZA MUNGU, WAMEAMUA MAISHA YA KUPORA NA KUUA WATU. LAKINI RAIS WANGU UNA KIAPO CHA KUTENDA HAKI UMEAPA MBELE ZA MUNGU WAKO KULINDA MAISHA YA WATU NA KIAPO NI HATARI SANA, NI HATARI KWA SABABU KINA HUSU MAISHA YAKO YA MILELE NA MILELE JANUMU AU MILELE PEPONI. MUNGU HATANIWI KAMWE!!!!
Polisi naomba mbadilike
Sasa hiyo amani inayohubiliwa wakati watu wanatekwa ni amani gani na hasa wanaoteka ni wa upande wa pili hii amani itadumu kweli ?
Ni mazingira magumu wanajitengenezea
Ndugu yako tupaze tu saut lakin serekali hii ni katili sanaaa mm nahisi mama so yule wa R 4 tena noooo sasa hv ni mama anaependa madaraka sanaaaa na hao anaowateua wanamjaza mama kuwa bila kufanya hv hatishindi so serekal ina haja madaraka so kelele zenu naishia hapa kwa leo
Tumelia mpaka machozi yamekauka
K
Acha ujinga kaandamane ww na mkeo
Akili yako mavi matupu