Askofu Mwaikali Dayosi ya konde awashiwa moto mkali sana na wachungaji pamoja na waumini
Вставка
- Опубліковано 30 лип 2021
- Wakristo na waumini dayosisi ya konde haina Imani na uongozi wa Askofu wao Edward Mwaikali kutokana na uongozi na maamuzi yake batili ya kuhamisha makazi ya dayosisi kutoka Tukuyu kwenda jijini Mbeya.
@BusokeloTV @bishoperickmwangi735 @JosephatGwajimaRudishaTv @MasanjaTVgospel @PeterMcKinnon @pilipili
Mkitoka apo muende na kwa waganga wakienyeji maana Kristo hayupo hivi
Kumbe Mwaikali hafai msaka tonge ( Hongera sana mjomba yangu Mwakihaba kwa maamuzi yako ya kijasili)
jamn mtumishi mwaikali wapi unapeleka kanisa jamn kanisa sio biashar 🙋🙋jmn muogopen mungu wakristo🙏🙏🙏🙏
Kama wapo maaskofu waliochoka ki-roho, basi Askofu Mwaikali ni wa kwanza. Akae benchi. Kongole sana kwa MWAKIHABA.
Kaka Elieza ahsante bro
Mabadiliko kkkt ni muhimu sana.wokovu wa baridi wanatafuta pesa badala ya kutunza wana wa Mungu
Kwnn mnapenda malumbano na magonvi makamisani mwenu? Ibilisi amewashika kweli kweli
Kanisa la kkkt linaenda kupoteza mwelekeo wa kumcha Mungu wanapambana kimwili sana
Mimi ndio maana nilikimbia huko KKKT yaani wakavuuu! Hawana hata tone la Mungu, yaani huwa nawaangalia nachoka kabisa
Palipo na hela hapakosi magomvi
MWAKIHABA ametengeneza ndama 😎😎Ni Haruni wa hapo
Nyie wachungaji au wapiga dili?kupatwa kwa dini
Tafuteni mungu kwa bidiii kila kitu kina sababu
Mwaikali ajiuzuru Kama vipi Mbeya waanzishe dayosisi yao
Mungu awatetee sana mlio amua kusimamia kweli.amelaaniwa mtu yule anaemtumainia mwanadamu
Wabaki na dayosisi Yao tu
shida ya hapo nlioona ni kwamba mabadiliko hampendi ... Je historia ya kuhama kutoka sehemu moja kwenda nyingine mnaifaham au historia ya jinsi ilivyo anza mwaifahamu ....? Alafu mnaelewa shida ya Ukabila kweli nyie kweli Msije kua mnatenda dhambi Bure .... Mungu awatangulie ila hili litakuja kua shida mbeleni Mjitathimini sana katika Yote msemayo Msije mkawa nyie ni wasaliti 😊😊😊
Hawa ni waasi wakubwa hawafai hata kusikilizwa wapo kimasilai wengi washirikina tu hapo Mungu atende kazi ugomvi wenu wa ukoo mnauleta kwenye kanisa hatukubali uasi wenu
Hatari ndani ya kanisa we have to give more praising
hatari mno
Hawaa wakina mwa mwa ni shida uovu mwingine hamuoni sio🙈🙈
Umoja ni nguvu
Yesu awasaidie wanyakhusa madalaka mnapenda nakusalitiana ndomana kila kanisa mwa mwa
Mmmmh
Mwakihaba ndio kiongozi wa waasi hapo, 😃😃 😃 😃 Toba aaaa
Aibu mnamuaibisha sana kristo mtalipa hakika
Kkkt sio Wana tamaa ya madaraka duu mnalipeleka wapikanisa?mnataka askofu awe mwakihaba huyo ndo chanzo Cha ugomvi
Jamani jamani kaziipoo emungu ingilia kati
Ukosefu wa Nidhamu tu
Mbona hilo limeisha wajameni mweeh
Wanyakyusa ubinafsi unawasumbua sana! Kitu kdg ivo mnafanya upuuzi ivo
Sisi wanakonde tuko nyuma yenu na Mungu at u shi ndie yule bwana asiiyemjua yusuph ajiuzuru tuu
Sawa bodia naona mapambano yanaendelea
Mwakihaba huyo nitatizo kwa miaka mingi!hapo kweli mfanyacho Ni mungu kweli!yaani swala la kuhamisha makao makuu ndo mgombane hivyo jamani!
Tuendelee kuliombea kanisa letu
KANISA LETU LUTHERAN TUNATIA AIBU SANA KILA SIKU MIGOGORO ? NI AIBU KUBWA SANA
Yani kuhamisha dayosisi ndo muache waumini wakiyumba yumba dah mnaitaji muokoke
Watapigwaa na MUNGU hawa yeti macho ....🤔🤔
Watapigwa na Mungu yupi? Mungu ni wa utaratibu,nje ya utaratibu tuliojiwekea hapo hapana Mungu.
@@ulimbagakipole9156 subirini muone ....Endeleeni tu ndio mtajua MUNGU sio mjomba wenu
Tunalipeleka wapi kanisa watu wa MUNGU? Tunapata faida gani tunapokuwa tunalumbana?
Kuna wafanyakazi hawajalipwa ujira wao kwenye miradi mbali mbali kama hospital, shule kulikuwa hakuna uharaka wa kuhamisha makao kabla ya kulipwa au kuingia makubaliano.
Mnatia aibu Sana yaani kuhamisha makao makuu ndo mgombane hivyo?duuu!mpo kwenye Vita vya damu na nyama!
Mh!! Kumbe msaidiz wa askofu no mwingine?
Katiba yenu inasemaje? tuanzie hapo
Kanisa L KRISTO tumelogwa wapi., pesa, tamaa ya madaraka, ubinafsi, vimeharibu Kanisa la KRISTO na kupoteza mwelekeo wote, Eeeeh KRISTO MWANA wa MUNGU Shuka uchukue Kanisa lako tu
0
KWANI HUJUMA MNAYOMFANYIA ASK. MWAIKALI NI YA MUNGU? NYIE NDIO MNAOMTUMIKIA NABII WA BAALI!!!
Mnatengeneza uasi.....Hili Ni kundi la waasi dhidi ya kuhani Mkuu wa kanisa
Fresh tu mwanangu haina noma
Usitupangie
Wapendwa tunatakiwa kuomba si kuomboleza
DUNIA IMEISHA KANISA NA ASKOFU KUGOMBANA .EE MUNGU TUHURUMIE
HAKUNA ASIEJUA KUWA HUYO MWAKIHABA ALIKUWA ANAUTAKA USKOFU WA KONDE KWA HIYO HE IS TRYING TO CORRUPT OTHERS ILI WASIUTII UONGOZI WA MWAIKALI, SHAME ON YOU MWAKIHABA AND YOUR TEAM!!
NAMSHAULI PROF. MARK MWANDOSYA UKAE MBALI NA HUU MGOGORO MAANA INASEMEKANA UKO NYUMA YA AKINA MWAKIHABA NA TEAM YAKE YA AKINA KIMONDO
Kwa msio ijua dayosisi mnabweka tu!!, Mnaijua hata mirad ya dayosisi ya konde nyie mnao chat humu. Fuatilia miradi ya dayosisi ya konde utagundua imekufa yote, uliza kwa Nini,Tena Ni tangu alipochaguliwa kuwa askofu mirad haiendelei
Hakuna, miradi imeanza kufa wakati wa Askofu Mwakyolile!!
Wewe mwakihaba ndo tatizo!unataka wagawe dayosisi ili uwe askofu?sio vzr mwabudu kwa roho na ukweli acheni uroho wa madaraka
Acheni ujinga na upumbavu wa kidunia ninyi. Eti munapigania kuhama huu si ujinga tu. Yaani povu linawatoka eti kwasababu ya kuhama. Kwanza hamna adabu kama viongozi wa kanisa. Yaani Lutherani bhana ndio maana wengine tumeacha kusali.
Nelson ishengoma
Eneo hapo tukuyu dogo Sana Wala hapafai kuwa ndo makao makuu!mwaikali wapeleke mahakami utawashinda
Mh!! Hivi wewe zinakutosha kwel
Mambo ya Mungu mahakamani kufanya nini😳
Reuben tumia akili sn inaonekana uwezo wako ni finyu kufikiria,au ndugu yako huyo
MWAKIHABA NA KUNDI LAKE NI WA HOVYO KABISA. KWANI MBEYA IKO WAPI, HAWA WATU NI LIMBUKENI SANA KINACHOWAUMIZA NI UFISADI WA MADARAKA TU. ONDOENI UPUUZI WENU NYIE WATU WA TUKUYU KWANI TUKUYU NDO KONDE?? HOPELESS KABISA NA MNATIA AIBU!!
kweli hiz nyakat za mwisho kama t marumbano yanaanza kanisan jee???😂😂😂mataifa inakuaje🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
wanaofanya ivo so vichha kumbuka no watu wazima kuna kitu chini ya kapet unaehukum sio Nazi yako mwachie mungu
⛎
Niwakati wakuomba yote yanayotokea ni Mungu anataka tubadirike nisauti ya Mungu anataka tutengeneze tuzidi kumuombaMungu arudishe amani ya kanisa lake
Wanyakyusa mna maneno mnataka muongozwe na Nani?mnalipeleka wapi kanisa nachoka Bora niwe mpagani nyie sio rubbish pastor
Mabadiliko kkkt ni muhimu sana.wokovu wa baridi wanatafuta pesa badala ya kutunza wana wa Mungu