Penda sana hii nasheed mie sina chama chaaina yoyote ila nimepends mlivyojistiri mmeyuliys pia katika nasheed yenu nanyipia wazuri wasura mashallah mungu awazidishie
Dokta husein ukichaguliwa maendeleo zanzibar nzima haijashi kuna wapinzani watu uwaunganishe ajira kwa vya vyote wapendwe zanzibar wote ndugu hao tofauti vyama tuu vijana pemba wapewe ajira
Hii production c sehem ya mjadala hakuna haja y kuonesha hisia z kiupinzani tunafany kaz kw wot hata wewe km una chama chako unatak kufanyiw promo unakaribishw "mijadala ya kisiasa kweny group z siasa na km mda mwengne umekosa cha kuongea ni vyema unyamaze"
nyimbo nzuri.. ila najua ni sababu ya njaa ndo mmejitahidi ili mpate chochote huku nchi inazidi kuangamia.. msijiangalie nyinyi tu.. angalieni na vIzazi vyenu vijavyo
Wao wenyewe hawana kitu hao hawajielewi tu ila wataelewa mwaka huu tuombe mungu atufikishe alaf waje walete mizinguo kwenye vituo vya kupigia kura waone tutakavyowafanya watajuta kuzaliwa
Naomba mjitahidi na kuhamasisha watu kwenye mikutano wajisitiri fanyeni daawah ya kher mungu ndio mlipaji kuwa na vyama isiwe sababu ya watu kukaa bila yanguo
Wewe unataka maendeleo gani kipofu macho ya wazi unadhani ukisema hivyo ndio watu watu ndio watachagua uoinzani ndio ulete maendeleo . kama unavyodhani utakutiliwa pesa mfukoni hilo lisahau hebu tujiulize huko Pemba miaka 20 majimbo yote ni ya upinzani mbona hatujaona maendeleo zaidi ya kujunufaisha wao na familia zao hayo unoyosema wewe si maendeleo yamefanywa na CCM. Zindukeni
Walhiy sio nja mitihani huyu waschan waki islamu watisha viuno hivo halfu mwasema qaswida kwa pesa yasiku moja kulipwa kaa ni nja ka nishone upo pale pale bt kuna sehemu ya tusubiri tusijisahau
Ah walokufa nasikia ni wengi sana haswa pemba maskin nimwenyewe tu mungu wa kuwaweza hawa majini hayana hata mibuyu na mi situ ndio mnaikata wanatuingia sisi mwilini ila hasmina minallwa wanemal wakil hatar hawakushinda wamepokonya hata dura zao hazina furaha basi tu ushetan
Allah ataitangusha hiyo c c m kama mshuma unavo yayuka hatutaki nchi yetu rudi kwenu acheni wizi c c m sio chama bora pemba hamna c c m hapo wengi masikini c c m hawa lolote teteni haki zenu pemba na unguja wote wa moja ngundu acheni kuitia ila nchi yenu
Wezetu mashehe wapo ndani wana nyanya sikia wengine hawana kosa wameekwa gereza kama yeye takubali wanateseka ndani wengine wakifanyiwa vitendo vya kinyama acheni uzuchi c c m haina mana wateteni wale wezenu walo kua ndani wanateseka wameacha wake na watoto acheni dhuma hakina haito dumu milele iyo utaende mbele ya mola ukaone adhabu za Allah
Hao ni wazanzibari ila bado hawajajielewa ni bendera wanafata upepo hawajui wanapotoka, walipo wala wanapokwenda wapo wapo tu ila wataelewa mwaka huu tutachinjana kama kuku isipotendeka haki
Kuna wengine hapo nawafaham tunaish pamoja hali yao ya maisha tunashindana ila leo nashangaa kuwaona wanashabikia ccm wakati hao ccm wanaowashabikia ndo wanaosababisha ugumu huu wa maisha cjui hata watazinduka lini
Kabisaa pemba hakuna c c m unguja na pemba ndugu acheni kuingia kwenye c c m wakati nchi yenu masikini na kuzalumiwa teteeni haki zenu tanzania haija pelekwa na c c m hilo mulijue mnakufa umasikini kisha haki zenu hamtetei c c m wizi tu hamna lolote wanalo liweza bada mifujo tu
Wapinzani jamani hawawezi siasa kila jambo limalofanywa na CCM wao linawakera cjui wanatakaje kama ni qasida mal. Seif keshaimbiwa sanaaa na jakuna alokereka punguzeni bifuuuu wacheni na wenzenu wajinafasi katika nchi yao.
Hajakatazwa mtu kuimba kasida ila waangalie hao wanaowashabikia wana shida na wapemba au wanajipendekeza kwao tu hapo kuna watu wanahashukwa hawajui wakirudi nyumbani kwao watakula nini kuna wengine ni bora niwanyamazie tu kwani vitu vyengine havisemeki mlengwa akiona comment atajiskia vibaya ila me niwashauri kwanza tuikombowe nchi yetu kisha ndo washabikie vyama kinyume na ivo atakuja kulia mtu kilio cha paka hapo pemba ikishakua wilaya
@@snsonlinetv8432 Mnawakataza ndio hivyo manawambia wasiwaimbie CCM kasida jamani vimekuja vyama vingi kila mtu ana haki ya kuchagua sio lazima watu woote wamchague mal. Sefu tunatofautiana mitazamo tushindane kwa hoja huo ndio ukomavu wa kisiasa.
@@rukiamsellem3372 siasa sio mchezo wa karata kama unacheza kwa kujifurahisha tu unapoingia katika siasa unategemea kiongozi utakaechagua akuletee maendeleo katika nchi sio kushabikia tu na ccm hakuna maendeleo wanayoleta nchini hasa huku kisiwani Pemba na ndo mana tunawashangaa wapemba wenzetu kuwashabikia na kuwasifia wakati hakuna walilofanya labda kuongeza ugumu wa maisha na kama kuna maendeleo kwanini wanalalamika maisha magumu c wangetulia tu watuache cc wapinzani pekeyetu tulalamike na ndo mana tukasema haohao wanaoshabikia ccm wakiondoka hapo wanakuja kukopa kisha hawakulipi tena ivi ndio maendeleo hayo? wakati hao wanaowashabikia matumbo yao yamejaa mda wote wanajenga majumba ya kifahari wala hawana matumizi nayo wanaharibu hela tu wakati wananchi wanakufa njaa barabara mbovu ajira hakuna na huyo anaejisifu ana ajira anapokea 150000 kilo ya mapembe 1500 sasa jiulize hiyo hela anayopokea inakidhi mahitaji kweli? wakati kuna huduma nyengine kibao anazohitaji kupitia hiyo hela yake mbuzi anayojisifu kama ni mshahara kuna mavazi, sabuni, matibabu na mengineyo yote yanahitaji pesa hiyo hiyo na kikubwa zaidi Zanzibar wengi wetu ni waislam na naamini kila muislam hajapenda kitendo cha kuwekwa ndani viongozi wetu wa dini bila ya sababu alaf wao wanajiita waislam na wanajua viongozi wetu wanateseka huu unakaribia mwaka wa 8 na hao ambao wanawashabikia ndio ambao wamewaeka ndani ivi kweli ni waislam hao ambao wanamtii kiumbe kwa kumuasi aliyewaumba? Sasa cc ukweli tutaongea kama ichi kitu tunachukia kuunga mkono madhalim wanaorudisha nyuma uislam ukweli ndo huo hata mkachukia
Kwa taarifa yenu mm ni mzanzibar halis kwa baba na mama mtajijua nyie wakimbiz nyie act nyote wapemba wapofu maan wapo wapemba wanajielew il sio nyie shezi mwenyew
Mm baba ang ni shamsi vuai nahodha usishitushwe na jina ilo bwege ww. Halaf unapoongea na mm shung mdomo wako nawez nikaja hadi ulipo kupitia location jii ya utube
Kama Pemba kuna ccm mngepata angalau kiti kimoja 2015 ila cha kushangaza hata diwani hamjapata mpaka muliposaidiwa na jecha mkarudia uchaguzi na mwaka huu in shaa Allah ndo zaid hamna lenu
Zanzibar oyee Mungu mmbariki Mwinyi na Magufuli Best leaders in TANZANIA 👍👍
Nzuri hio ndio kampeni safi hamvuki mipaka ya mungu mmejistiri kina mama alhamdulillah
Penda sana hii nasheed mie sina chama chaaina yoyote ila nimepends mlivyojistiri mmeyuliys pia katika nasheed yenu nanyipia wazuri wasura mashallah mungu awazidishie
Dokta husein ukichaguliwa maendeleo zanzibar nzima haijashi kuna wapinzani watu uwaunganishe ajira kwa vya vyote wapendwe zanzibar wote ndugu hao tofauti vyama tuu vijana pemba wapewe ajira
Hulazimishwi kupenda ccm walokuwemo wanatosha pemba oyeeeeeee
Kama wanatosha mbona mnaomba kura mpka kwenye sim mnatuma msg c mtulie tu
hhhhhaeeeee
Humuingiii ikulu ikulu ya mwalimu seif tutaenda kuifukiza kwa maudi
Kunshiba weye
@@IntroSoftProductions weye ndo uloshiba mali za dhulma
Kweli kabisa CCM excellent Chama
Pambe 2 .mashallah.kasda bulbul 💖
Ongera dada kweli dada zanzibar kumenoga
Hatuangalii tena kaswida zako wala hatununui
Uo wako ww ni ugonjwa
Njaaa wte hao 🤪🤪🤪 hmn llte mara hii kuleeeeeee 🙋♂️🙋♂️
Pole yako
@@IntroSoftProductions yangu mm au yko hyo kw sbb ww ndo uliesma pole 😉😉 mm sjajua mdom ksma hv na wla stjrbu ksma hvo🤪
Hii production c sehem ya mjadala hakuna haja y kuonesha hisia z kiupinzani tunafany kaz kw wot hata wewe km una chama chako unatak kufanyiw promo unakaribishw "mijadala ya kisiasa kweny group z siasa na km mda mwengne umekosa cha kuongea ni vyema unyamaze"
Na wewe una njaa
@@jumakapilima5674 kanywe maji ya bendera yako ya ccm bs kam una uchu nayo au 🙂
nyimbo nzuri.. ila najua ni sababu ya njaa ndo mmejitahidi ili mpate chochote huku nchi inazidi kuangamia.. msijiangalie nyinyi tu.. angalieni na vIzazi vyenu vijavyo
Wao wenyewe hawana kitu hao hawajielewi tu ila wataelewa mwaka huu tuombe mungu atufikishe alaf waje walete mizinguo kwenye vituo vya kupigia kura waone tutakavyowafanya watajuta kuzaliwa
mlo 1 tuu kwa siku hawa wanaonesha na km imezidi milo 2 milo 3 hawa mitihani lkn njaa zao zinaenda kuzidi mn watajuta haswaa
Tokeni apo majuha nyie njaa tupu na mnatatizo la kutojielewa
Pambeee allah awabarik
Naomba mjitahidi na kuhamasisha watu kwenye mikutano wajisitiri fanyeni daawah ya kher mungu ndio mlipaji kuwa na vyama isiwe sababu ya watu kukaa bila yanguo
Usiseme uongo ccm hawajaleta maendeleo wala hawawezi kuleta' zindukeni wazanzibar
Wewe unataka maendeleo gani kipofu macho ya wazi unadhani ukisema hivyo ndio watu watu ndio watachagua uoinzani ndio ulete maendeleo . kama unavyodhani utakutiliwa pesa mfukoni hilo lisahau hebu tujiulize huko Pemba miaka 20 majimbo yote ni ya upinzani mbona hatujaona maendeleo zaidi ya kujunufaisha wao na familia zao hayo unoyosema wewe si maendeleo yamefanywa na CCM. Zindukeni
Kweli broo maisha magumu khatari kazi yao ni kujijaza matumbo wao na watoto wao washenzi sana hawa
mmh
Nimerejesha Mara 10
Hizo ni njaa zenu Zanzibar munaepoteza kwa njaaaaaa℅
Walhiy sio nja mitihani huyu waschan waki islamu watisha viuno hivo halfu mwasema qaswida kwa pesa yasiku moja kulipwa kaa ni nja ka nishone upo pale pale bt kuna sehemu ya tusubiri tusijisahau
Na wewe una njaa
Mm naon cio njaa tu na upungufu wa akili wanao
@@suleimanalsawafi3023 hata wewe una upungufu wa akili pia
Ww umeshiba Amani unataka njaa sio.
Mashaallah kazi mzr ukhty Salma uko vzur kwa kweli
Mashallah!! Ccm songa mbeleeeee!!!
Ah walokufa nasikia ni wengi sana haswa pemba maskin nimwenyewe tu mungu wa kuwaweza hawa majini hayana hata mibuyu na mi situ ndio mnaikata wanatuingia sisi mwilini ila hasmina minallwa wanemal wakil hatar hawakushinda wamepokonya hata dura zao hazina furaha basi tu ushetan
Maccm mwisho wenu umefika kwa upande wa TANGANYIKA na ZANZIBAR.
Allah ataitangusha hiyo c c m kama mshuma unavo yayuka hatutaki nchi yetu rudi kwenu acheni wizi c c m sio chama bora pemba hamna c c m hapo wengi masikini c c m hawa lolote teteni haki zenu pemba na unguja wote wa moja ngundu acheni kuitia ila nchi yenu
Njaaa Kali
Kama Kuna hajaolewa waoeni wawe salama
Kabisa
@@iddyramathan4507 wasije kwendaowa wapumbavu wakat wazma tupo🤣🤣
Shida zimewaandama mnashangiiria zulma mmewasaliti mashehe wenu sababu ya tamaa awo wasaka tonge. Hanna jipwa ccm ina wenyewe Dodoma
Na wewe una njaa pia!!
Vituko' Allah yastur🤲
Wewe njaa. Sana wwe mwanamke
Hamuoni aibu jamani😄😄😄😄😄
Angeimbiwa sefu usingesema hivyo!
Awo wote walimu na wanafunzi wamefosiwa tu pemba hakuna ccm
Wala hujakosea
Hao wote washamba kepu watupu
Hahaha 😂😂😂nimecheka kwa sauti kepu watupu tenaaaa
Zanzibar is the real home of Taarab!!
Hii ni kaswidah au nyimbo jamanii
Uliv ifaham ndivy ilivy
Tokeni hapa
Vijiso bibaya
Km ww
Hawajielewi wapo tu wanahashukwa
Njaa mbaya lkn mwaka huu mtalia
Nasema hatutaki tena sidii zako .
Wezetu mashehe wapo ndani wana nyanya sikia wengine hawana kosa wameekwa gereza kama yeye takubali wanateseka ndani wengine wakifanyiwa vitendo vya kinyama acheni uzuchi c c m haina mana wateteni wale wezenu walo kua ndani wanateseka wameacha wake na watoto acheni dhuma hakina haito dumu milele iyo utaende mbele ya mola ukaone adhabu za Allah
Nice!!!
Huu ndio mwsho wa ccm 2020
Masha ALLAH
Wanafiki wote walio hapo wote ni washezi tu sura zinawaparama. Wengine. Ni waongo unawaona waziwazi.
Nyie wenyew wanzfik washenz wasojielewa nyoniii na mtabk iv iv kupelekeshw km mj y mto
Na mtasubir can mwaka huuu kw kupew nyie mkaongoza
Mipumbavu hii
💚💚💚👌
Pambe hatar!!! Wapinzan mtaumwa sana km hamjaona maendeleo yalofanywa na CCM itabid tuwatafutie miwan ya mbao.
Pumbavu, maendeleo gani ayo maendeleo kwanza hawajafanya ccm peke yao
Maendeleo wakati barabara zina mashimo kama trea za mayai istoshe ajira hazipatikani unamaliza kusoma unatafuta ajira mpaka unazeeka hujaipata
Pemba unaijuwa maendeleo error ucseme uongo hamna kabisa
Hamna kazi tu
Nyie mwapatwa na mengi hebu mda mwengine kausheni
7bu hata munune CCM ndo chama lao
Masha allah
Dr.mwinyi allah ampe wepea juu ya kaz zake
CCM oyeeeeee
Wizi tu nyinyi c c m acheni wizi uwooo ovyooooooooooooooooo
Unahashuwo wwe wwe mwenyewe mbaya sura kama nembo ya ccm
Choyo, mbona yuko pamba!
Unamkufuru Muumbaji ww ukiambiwa uweke kwny sahani utengeneze mtoto wako utaweza ? Fanya istifaru haraka.
😂😂😂😂
ama kweli dunia itakwisha lakini wasiofahamu wapo , hawa au labda si wazanzibari ?
Hao ni wazanzibari ila bado hawajajielewa ni bendera wanafata upepo hawajui wanapotoka, walipo wala wanapokwenda wapo wapo tu ila wataelewa mwaka huu tutachinjana kama kuku isipotendeka haki
Wapelekeshwa tu
Ali wee namba hii Qaswida nitumie wathap 0778379258
ukisikia kuishiwa ndiko huko wapuuzi wakubwa
Pambe
Kuna wengine hapo nawafaham tunaish pamoja hali yao ya maisha tunashindana ila leo nashangaa kuwaona wanashabikia ccm wakati hao ccm wanaowashabikia ndo wanaosababisha ugumu huu wa maisha cjui hata watazinduka lini
Chefuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuùr
njaa tu iyo .mafala
Tizama Nyengine Hii Ya Kibabe👇🏿
m.ua-cam.com/video/fUMrQyGMcV8/v-deo.html
Kabisaa pemba hakuna c c m unguja na pemba ndugu acheni kuingia kwenye c c m wakati nchi yenu masikini na kuzalumiwa teteeni haki zenu tanzania haija pelekwa na c c m hilo mulijue mnakufa umasikini kisha haki zenu hamtetei c c m wizi tu hamna lolote wanalo liweza bada mifujo tu
Duuh tumefikia hapa Kuimba mbele ya wanaume
Hahaha, inaonesha umeshaondolewa akili
Mbona akiimbiwa sefu, husemi hivyo?
Wacheni wizi kama wema wezenu wapo magerezani wanateseka moto wa jahanamu unawasubiriiiiii dunia nn nyinyi acheni uchiziii uwooooo looooh
Dini inaelekea wapi sasa.. hii nyimbo tu na sio kusema kasida.. apo hasifiwi mtume..
😂😂na anger imbiwa sefu cjui ingekuwaje 😂
Kaswida =nyimbo
Kasda nazo ni nyumba
🤣🤣yahorofa au
Akuna kitu muhimu duniani kama Elimu
Tanzania hakuna Elimu huwezi kushabikia ccm kama waishii visiwani pemba
Ovyo
Njaa tu hio muna nn ccm mulolifanya znz kunanuka njaa hpo wengne wakitoka wajaomba mchuz kwenye vibanda vya watu loh 😂😂😂
Hata Mtume alikuwa na masikini
@@rizikihaji7654 kwahio umackn wa mtume ndio unaufananisha na umackn wa znz au pyuuuuu
Wala hujakosea wengine wakopa halaf wanajisahaulisha hawalipi
@@rizikihaji7654 kwaiyo turidhike na umaskini kwa sababu mtume alikua maskini? Bas haina haja ya kushabikia vyama kama tulipofika panatosha tutulie tu
@@maryamnassoornassoor3336 hajielewi huyo kanywa maji ya bendera ya ccm ila mwaka huu atayatapika tu
Taarab oyee
😃😃😃😃😃😃 we Ali seif huna adabu
@@fatmahamad9314 kwani apo kilichopo ni nini da fatty
Imetulia
Wapinzani jamani hawawezi siasa kila jambo limalofanywa na CCM wao linawakera cjui wanatakaje kama ni qasida mal. Seif keshaimbiwa sanaaa na jakuna alokereka punguzeni bifuuuu wacheni na wenzenu wajinafasi katika nchi yao.
Hajakatazwa mtu kuimba kasida ila waangalie hao wanaowashabikia wana shida na wapemba au wanajipendekeza kwao tu hapo kuna watu wanahashukwa hawajui wakirudi nyumbani kwao watakula nini kuna wengine ni bora niwanyamazie tu kwani vitu vyengine havisemeki mlengwa akiona comment atajiskia vibaya ila me niwashauri kwanza tuikombowe nchi yetu kisha ndo washabikie vyama kinyume na ivo atakuja kulia mtu kilio cha paka hapo pemba ikishakua wilaya
@@snsonlinetv8432 Mnawakataza ndio hivyo manawambia wasiwaimbie CCM kasida jamani vimekuja vyama vingi kila mtu ana haki ya kuchagua sio lazima watu woote wamchague mal. Sefu tunatofautiana mitazamo tushindane kwa hoja huo ndio ukomavu wa kisiasa.
@@rukiamsellem3372 siasa sio mchezo wa karata kama unacheza kwa kujifurahisha tu unapoingia katika siasa unategemea kiongozi utakaechagua akuletee maendeleo katika nchi sio kushabikia tu na ccm hakuna maendeleo wanayoleta nchini hasa huku kisiwani Pemba na ndo mana tunawashangaa wapemba wenzetu kuwashabikia na kuwasifia wakati hakuna walilofanya labda kuongeza ugumu wa maisha na kama kuna maendeleo kwanini wanalalamika maisha magumu c wangetulia tu watuache cc wapinzani pekeyetu tulalamike na ndo mana tukasema haohao wanaoshabikia ccm wakiondoka hapo wanakuja kukopa kisha hawakulipi tena ivi ndio maendeleo hayo? wakati hao wanaowashabikia matumbo yao yamejaa mda wote wanajenga majumba ya kifahari wala hawana matumizi nayo wanaharibu hela tu wakati wananchi wanakufa njaa barabara mbovu ajira hakuna na huyo anaejisifu ana ajira anapokea 150000 kilo ya mapembe 1500 sasa jiulize hiyo hela anayopokea inakidhi mahitaji kweli? wakati kuna huduma nyengine kibao anazohitaji kupitia hiyo hela yake mbuzi anayojisifu kama ni mshahara kuna mavazi, sabuni, matibabu na mengineyo yote yanahitaji pesa hiyo hiyo na kikubwa zaidi Zanzibar wengi wetu ni waislam na naamini kila muislam hajapenda kitendo cha kuwekwa ndani viongozi wetu wa dini bila ya sababu alaf wao wanajiita waislam na wanajua viongozi wetu wanateseka huu unakaribia mwaka wa 8 na hao ambao wanawashabikia ndio ambao wamewaeka ndani ivi kweli ni waislam hao ambao wanamtii kiumbe kwa kumuasi aliyewaumba? Sasa cc ukweli tutaongea kama ichi kitu tunachukia kuunga mkono madhalim wanaorudisha nyuma uislam ukweli ndo huo hata mkachukia
@@rukiamsellem3372 cc hatujawakataza na wala hatuna uwezo wa kuwakataza ila tunawambia ukweli waamke huu c mda wa kulala tena kumekucha
Hamna kazi nyie mbona hamjengewi uko Pemba bandari haifai miaka yote iyo ccm ipo na Pemba haibadoliki apo mlipo njaa tupu nyie
Hawajielewi hao wanajipendekeza wasipopendwa ila wataelewa mwaka huu in shaa Allah tunawang'oa na mizizi yake
Mm
Mashangingi ya CCM haya na mashoga wa CCM
Wapi mashangingi ya ACT?
Utaacha kusikiriza wewe na familia yako nyau wewe kwani huyo seif atafanya nn
mashaallah
Unamdifia mtu anamkufuru Mungu Subhanallah
Mmependeza nyie wadada! Jamani kwanini watu hawawezi kuimba hadi wavae vichupi?
Hata kama hawajavaa vichupi nyimbo ni Haram haifai kwa Muislam
hahahahaha wasani wa kaswida
RC
Kwan nyinyi act mnaibiwa nn maan tukisema tukague umo majumbani mwenu hamn ata chupi inayofikia saman ya elfu nne kwendeni uko muibiwe nn
Waambie
Ndo nawapa siwaachi na mm
Mi bwege imo ya sina nyingi, siamini kama ni wazanzibari nyie mmetumwa tu. Rudin Keanu shenzi nyie
Kwa taarifa yenu mm ni mzanzibar halis kwa baba na mama mtajijua nyie wakimbiz nyie act nyote wapemba wapofu maan wapo wapemba wanajielew il sio nyie shezi mwenyew
Mm baba ang ni shamsi vuai nahodha usishitushwe na jina ilo bwege ww. Halaf unapoongea na mm shung mdomo wako nawez nikaja hadi ulipo kupitia location jii ya utube
Ikiwa njaaa sisi bado tunasonga mbele kazi kwenu wa pizani na chukizenu ccm oyeeeeeeeeeeeee by
Pambee
Hulazimishwi kupenda ccm walokuwemo wanatosha pemba oyeeeeeee
Kama Pemba kuna ccm mngepata angalau kiti kimoja 2015 ila cha kushangaza hata diwani hamjapata mpaka muliposaidiwa na jecha mkarudia uchaguzi na mwaka huu in shaa Allah ndo zaid hamna lenu