HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIWA MEATU - 08/09/2018
Вставка
- Опубліковано 21 вер 2024
- Rais Magufuli amewaagiza viongozi wa Mikoa na Wilaya zote nchini kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuandaa mipango bora itakayowawezesha wafugaji kufuga mifugo yao bila kuwaathiri wakulima badala ya kuwaita wafugaji 'wavamizi'.
Rais Magufuli amesema hayo alipokuwa Meatu katika ziara yake inayoendelea hapa Mkoani Simiyu.
Uncle magu you left a big legacy in TZ. 🇰🇪🤙
Magufuli ni mfano mzuri wa viongozi wa nji za africa
Magufuli,wana Meatu tunasema,pumzika kwa Amani vita umevipiga vilivyo,mwendo umeumaliza.
Kuzaa ni muhimu sana kwa taifa
Ukisikiliza hotuba za huyu mzee Unabaki njia panda Umuamini yupi
Uzarendo nikama Imani!!
Mhhh,,, kiukweli 😭😭😭😭😭😭😭
Binafsi huwa nakukumbuka sana mimi timu yako
Mtamkumbuka magu
nilikuwepo live
kweri Raisi ni mu Tanzania kiswahili sanifu
Rest In Peace JPM