CHIMBUKO LA WACHAGA KUMBE NI NDUGU NA WAYAHUDI KABILA LA YESU
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- CHIMBUKO LA WACHAGA KUMBE NI NDUGU NA WAYAHUDI KABILA LA YESU
Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE www.youtube.com...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
/ tricodmedia
LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
/ tricod-skills-11524157...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
/ tricodskills
#makabila
#wachaga
#Africa
Asante kwa kutuelimisha baba
Asante babakwakutufundisha ili tujitambue uafrica wetu imbuko
Long Live Africa 🤝
Stori nzuri Ingia ndani kidogo basi tuelewe zaidi....
sawa nitaandaa simulizi hii kwa undani zaidi siku si nyingi,endelea kuwa mdau wa tricod media
Shukran..
Tunasubiri
@@TricodMediatuletee kwa undani zaidi kuna watu wanabisha
Ni kweli kabisa tutambulike sasa
Ethiopia naamini
Siii kweli KWANINI kindi Iko kibosho lakini wakindi wapi upare neno tsana ni .... Na wsana wako upare
Nimefurahi kwakweli safi sanaaa
Hebu Angalia dance ya WACHAGGA na WA ISRAELI Kuna kitu Cha kufanania.
Na Wachagga pamoja na kwamba ni wakulima, huwa ni vigumu kuishi bila mifigo
Wayahudi wa wapi tena jamanii 🤯
I doubt
Ephiopia ni kubwa sana haikuwa Ephiopia kama inabyojulikana leo
Ni kweli kabisa , kumbuka mipaka ya nchi za Afrika iliweka na wazungu 1884-85 kabla ya hapo mipaka ilikuwa ni mwisho wa himaya za kichifu au zile za kitemi za jamii fulani,vinginevyo Afrika ilikuwa ni moja na ndiyo maana unaona mwingiliano wa tamaduni na mila za kiafrika hauna tofauti kubwa baina ya jamii hizi
@@TricodMedia lazima tuludi kwenye asili ndio tutatokwa na utumwa mila zetu sio mbaya au za kichwawi kama wazungu wanvyosema ni uwongo wa kutufabya tusijue sis ni kina nani na tuna nguvu gani wazungu wabaya sna historia ya kuafrika ukifuatilia ni kubwa sana na najivunia kuwa mama Afrika . Ukichunguza lingha zote za ki afrika zinaendana
si tulishasema hesu alikua mweusi sasa mbona munatuekea picha za wazungu tena.. wachagga hoyeee
Ora ora wera wera
kati ya watoto wa nuhu yule aliye laaniwa alimzaa MUSHI
chagga
😂😂😂
Uru ya wakalidayo na akina Mushi kwenye biblia wanahusika nabwachagga?
Kipindi kitamu sasa Sisi kwetu mambo ya asili wameyakata ukimuliza babu wako hivi sasa tulitokawapi na asili yetu niipi ata kujibu ashana nahayo mimi nimusomi hayo nimambo ya chetani sasa hapo ndafanyaje mimi nimu DRC kutoka Congo butembo
Ahahhaha kujua asili imekua ni mambo ya shetani tena?
umezngua
Labda inawezekana
Hakuna uhusiano wowote kati ya wachaga na wayahudi wala hakuna historia yoyote inayothibitisha hilo. Kuna jina la Mushi kwenye Biblia haithibitishi huo uhusiano.
Iwepo isiwepo ila si unaisoma sho yao.. hakuna mfano...
Ww ujasoma bibilia , mushi yupo
Eleza kwa point sio kwa Hisia.
Jee majina ya Koo za kichaga inamaana wayaudi nawo wangapi wanayatumia?
HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA SWALI ZURI MANAKE KILA MSIMULIAJI ANA ONGEA LAKE MWINGINE MALA KONGO MARA OHOOO MCHANGANYIKO WA MAKABILA TUSHIKE KIPI SASA?
Kutoka 6:19
Na wana wa Merari; ni Mali, na Mushi. Hizi ni jamaa za hao Walawi kulingana na vizazi vyao.
Mali na Mushi ni Chagaa names. Kutoka hapo utakutana na Mallya, Mosha, Moshi,
Kwa hiyo majina ya Koo za kichaga ni Yale Yale ya kiyaudi?
Yani 😂 najiuliza hpa so mm ni myaudi
@@nereimhindi5429 kuna MUSHI ambalo unalipata kwenye BIBILIA
@@chrisshonga haya mambo ya asili kutaka kuyaelewa inabidi ufute elimu ya mzungu kwanza kisha ndio uanze kujifunza haya mambo ya asili
@@nereimhindi5429 ndio
@@themask4665ni kweli
Wazaramo je?
Duuuh ndo maaana yuda alipenda hela aise kumbe ni mchaga
Ha ha ha ha ha ha ha
Hahahahahahahaha uwiiiiiiiiiii acha kutuonea jamani kila mtu anapenda pesa
Hahahahaha
😂😂😂😂😂