Mapenzi ya kweli ni kutoka kwako kwenda kwake wewe unamfanyia nini mpenzi wako sio wewe kumtegemea yeye akufanyie wewe anza wewe kumpenda na onyesha kwa vitendo sio I love you tu.
Kaka Acha uzushi!Mbona huna saiklojia yyote ya mapenz? Kuoa unadhan ni kukurupuka swala la kujipanga lipo hapo,Unaharibu mahusiano ya watu,kafanye kazi ingine iyo sio yako
Mapenzi ya kweli ni kutoka kwako kwenda kwake wewe unamfanyia nini mpenzi wako sio wewe kumtegemea yeye akufanyie wewe anza wewe kumpenda na onyesha kwa vitendo sio I love you tu.
Nice 🙌🙌
Daa yaani wee acha tu haya mapenzi nishida tuuu
good
Nalo neno
Nawapenda jamani
Huo mziki niwanini si mutuache tusikie maneno
Kweli hiyo
Hmm🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️
Hajibu maswali ipasavyo
The skips are really boring!
Acha kingereza sana mzee baba
Kaka Acha uzushi!Mbona huna saiklojia yyote ya mapenz? Kuoa unadhan ni kukurupuka swala la kujipanga lipo hapo,Unaharibu mahusiano ya watu,kafanye kazi ingine iyo sio yako