SIMBA WANATAKA KUUA KIWANGO CHA MANULA,ASIKUBALI KWENDA KUKAA BENCHI KAMA NB:MASHABIKI HAWANA IMANI NAYE VIONGOZI MNAMNG'ANG'ANIA WA NINI WAKATI HAMKUMTAMBULISHA
Malipo ya tamaa ndio hayo huyu jamaa aliwaumiza Wana Simba maumivu ambayo yatachukua muda kusahaulika lakini na yeye mpira utamshindi mukimpa haki Basi ata ndumba atakula vyenginevyo aache kucheza mpira
Mpuuzi kabisa, unaweza kutoa ushahidi wa tuhuma zako? Mambo ya hovyo, hamtaki kukiri kuwa mlikuwa hoi. Kwani hadi kipa afikiwe si kuna wachezaji 10 mbona hao hawaulizwi mchango wao kwenye kufungwa?
Acha ujinga mungu ana makusudi yake goli la kwanza musonda alipiga kichwa free header mbele ya che malone goli la pili ngoma,inonga, na chemalone walimuacha max anafunga goli la aziz ki alipiga tobo wachezaji 4 kabla ya goli la nne mzize alimzidi nguvu shabalala na kupiga krosi maxi akafunga la tano penalties fault ya inonga hapo manula kahusikaje nyie wasenge ngoja tufungwe tena 7 halafu tufukuze wote
maisha ni fumbo kubwa mno hivi watnzania mme fumba macho kama vire hamuoni rinari tokea kwa mazuri ariyo fanya aishi manura kwenye krabu yake na midia kazi umbea na uchambuzi uchwara ira kwenye mambo ya msing no ira umbea midia zote hovyo
SIMBA WANATAKA KUUA KIWANGO CHA MANULA,ASIKUBALI KWENDA KUKAA BENCHI KAMA NB:MASHABIKI HAWANA IMANI NAYE VIONGOZI MNAMNG'ANG'ANIA WA NINI WAKATI HAMKUMTAMBULISHA
Hiyo ndo kolos hakuna wanaemuacha vzr japo ukiwasaidia sana
Shida yetu ndogo awe muwaz kwenye zile Tano yeye alikula shingapi😅😅😅😅😅
Yule mchexaji wa yanga simba katokawp apo ubaya ubwera
Hillo duka amevuna alicho kipanda mechi na yanga katuuza mechi na wajelajela alibet msenge huyu
Mbona fedha walikula wote na jaribu tena mbona yy hamjamfukuza
Kwani kuna ulazima gani kuwapa taarifa wasafi?
Aende hata Fifa malipo ya usaliti ndio hayo
Simba acheni roho ya chuki mwacheni aende huyo kipa
Malipo ya tamaa ndio hayo huyu jamaa aliwaumiza Wana Simba maumivu ambayo yatachukua muda kusahaulika lakini na yeye mpira utamshindi mukimpa haki Basi ata ndumba atakula vyenginevyo aache kucheza mpira
Mpuuzi kabisa, unaweza kutoa ushahidi wa tuhuma zako? Mambo ya hovyo, hamtaki kukiri kuwa mlikuwa hoi. Kwani hadi kipa afikiwe si kuna wachezaji 10 mbona hao hawaulizwi mchango wao kwenye kufungwa?
@@TheGreat-lq9tg nakubali Mimi mpuuzi lakini chukua maneno yangu kwa tz uyo jamaa mpira atauskia tu lakini yeye is over
Dah! Tz ni shida sana timu zilizofungwa 5 na yanga msimu uliopita ni nyingi but wanakuwa primitive tu
Acha ujinga mungu ana makusudi yake goli la kwanza musonda alipiga kichwa free header mbele ya che malone goli la pili ngoma,inonga, na chemalone walimuacha max anafunga goli la aziz ki alipiga tobo wachezaji 4 kabla ya goli la nne mzize alimzidi nguvu shabalala na kupiga krosi maxi akafunga la tano penalties fault ya inonga hapo manula kahusikaje nyie wasenge ngoja tufungwe tena 7 halafu tufukuze wote
@@yunusimchala6569 kwani mko wangapi mnomtetea ? Mchukueni timu yenu Basi mapumbu wakubwa nyie
Hii timu ya ukoo inashida
@@mkubwakasim1470 Kama vile timu yakutambulisha wachumba sio?
tatizo huyu jamaa ni duka na ana Tamaa sana,alaf huyu ni mchezaji wa Simba kwani halipwi mshahara?kama vp avunje mkataba tu aende
maisha ni fumbo kubwa mno hivi watnzania mme fumba macho kama vire hamuoni rinari tokea kwa mazuri ariyo fanya aishi manura kwenye krabu yake na midia kazi umbea na uchambuzi uchwara ira kwenye mambo ya msing no ira umbea midia zote hovyo
Mbn alikuwa analipwa bosi
Sasa kwa nini wasimuache tu