Hii ndo elimu inayotakiwa ktk jamii achana na mayahud wanaokwambia ww mshirikina mana wao ndo washirikina wanahis na ww mshirikina hahahaha mayahud bhana keep grinding sheikh tuko pa1 na ww
Naombeni mnisaidie mimi nyota yangu ni ya ng'ombe mpenzi wangu ni nyota yake ni simba yaan mm ni udongo yeye ni moto je zinaendana katika mahusiano au tunasukuma tu siku ili mlad ziende
Mimi sina elimu wewe ni sheikh nae kukubali nakukuamini sana kama unajuwa sio upotevu sheikh wang namimi nahitaji iyo pète nakutibiwa ju zile dalili ulisema Kuna baazi ninazo wew ni sheikh tena tegemezi la jamii tunahitaji elim zaidi kwenu
Vp kwema dr sulle natumaini huko poa naomba upitishe elimu hapa kwa hawajamaa zetu wenye imani hii ya rasta man na hawa wanao hamini dini tumeletewa na wakoloni ili watutawale na wachukue mali zetu kupeleka kwao huko ulaya na uarabuni
Hao ni makafiri manaswala wanapoona wameshindwa hoja ndo wanajifanya dini tumeletewa shekh uislam ni dini iliyotoka kwa Mungu na ndo muongozo sahihi ayo maneno mengine ni washindwa hoja tu
Hii ndo elimu inayotakiwa ktk jamii achana na mayahud wanaokwambia ww mshirikina mana wao ndo washirikina wanahis na ww mshirikina hahahaha mayahud bhana keep grinding sheikh tuko pa1 na ww
Mwanzo mzuri mwisho mbaya mtihani huu sasa umekuwa mshirikina hazarani bado kuvaa nguo nyekundu na nyeusi
Afadhali ya kafiri aliyezaliwa kwenye ukafiri kuliko muislam aliye ritadi na kuanzia kumshirikisha Allah Kwa kufanya shiriki
Tumombee Dua huyu shekh, huu ni upotevu mkubwa
Naombeni mnisaidie mimi nyota yangu ni ya ng'ombe mpenzi wangu ni nyota yake ni simba yaan mm ni udongo yeye ni moto je zinaendana katika mahusiano au tunasukuma tu siku ili mlad ziende
Wewe nikiongezi unafatikiwa na wengi na kuaminika na wengi sana sasa kama unajuwa uko unapoteza watu ujuwe km utaulizwa na allah
Sawa
Mimi sina elimu wewe ni sheikh nae kukubali nakukuamini sana kama unajuwa sio upotevu sheikh wang namimi nahitaji iyo pète nakutibiwa ju zile dalili ulisema Kuna baazi ninazo wew ni sheikh tena tegemezi la jamii tunahitaji elim zaidi kwenu
❤❤❤❤❤
Wacha kupoteza watu
Vp kwema dr sulle natumaini huko poa naomba upitishe elimu hapa kwa hawajamaa zetu wenye imani hii ya rasta man na hawa wanao hamini dini tumeletewa na wakoloni ili watutawale na wachukue mali zetu kupeleka kwao huko ulaya na uarabuni
Hao ni makafiri manaswala wanapoona wameshindwa hoja ndo wanajifanya dini tumeletewa shekh uislam ni dini iliyotoka kwa Mungu na ndo muongozo sahihi ayo maneno mengine ni washindwa hoja tu