Nitawezaje kunyamaza kimya sauti yangu Bado inanguvu Amina . Tuzitumie sauti zetu vizuri wakati huu tunanguvu.. mwenyezi Mungu tujalie kuyatii na kuyafwata maandiko kwani siku zetu nichache sana
Mungu awabariki sana kwaya yetu ya kimataifa Kurasini SDA kwaya.Hatuwezi kunyamaza wakati Sauti zetu bado zina nguvu tupaze sauti zetu Yesu anarudi tena.
Mwalim kibaso 😭😭😭 Tutakukumbuka siku zote Za Maisha Yetu , Mungu Atuongoze katika Kazi Yake, kila Ni sikiapo Nyimbo izi Moyo wangu Uwa Unauma Saana 😭😭😭
This song is always my favourite. As a musician, and a director of Choir it gives me the courage and confidence of singing and singing and singing coz.....miaka yangu ni ya kukopeshwa, naishi kwa rehema za Bwana. When I imagine that one day I will not be able to sing, I shade tears. Powerful words in this song.
Kurasini choir hii wimbo went viral and it trended sana adi wa leo inatrend,mamillions za watu hasa wakenya waliifanyia challenges,DJs walicheza mix sana,live long SDA live long Kurasini
Waooow oooh waooow. Niliusikia huu wimbo mara ya kwanza nikiwa na miaka kama 10 hivi. Mbarikiwe sana uimbaji wenu ndio identinty yetu ya kanisa. Huu ndio uimbaji wa kisabato. Mabirikiwe sana kurasini.
Pongezi kwa wimbo mzuri....pongezi nyingi sana kwa mkalimani wa lugha ya alama hakika ametenda haki amewasilisha ujumbe vyema kbs kwa kuzingatia maudhui ya wimbo na melody...Mungu ambariki sana kwa kazi njema 🙏🏼🙏🏼
Barikiweni sana watu wa Mungu nasikia faraja sana ninaposikia maneno yenu ya matumaini. Mmekuwa mkiniamsha mara nyingi roho yangu ikikata tamaa na safari. Nimewafaham tangu mwaka 1998 nimejitahid kuwatafuta mkiwa mnauza analog cassette nawapenda na nawaombea msipungue mjipe moyo huku mliko mnatuongoa mno zaid ya mnavyofikiri. Nimejifunza uimbaji kupitia kwenu na hata sasa nafurahi kila ninaposikia sauti zenu. BARIKIWENI. ningependa mtupatie na zile za zaman kabisa zilikuwa na ujumbe sana. Tengenezeni column ya za kale
Amina watumishi wimbo unanikumbusha mwaka 2008 nikiwa form 5 Minaki High School,nilipokuja kusali Kurasini SDA church,tukiwa na mwamba Mwl Kibaso, waliimba huu wimbo na Safari ya Matumaini, Kurasini SDA church choir mumeeneza injili nje na ndani ya Tanzania
Huu wimbo nilihold na kujika nisiusikilize ili tu uwe wimbo wangu wa kwanza wa 2024 kuusikiliza.nimebarikiwa.Mungu ainuliwe kupitia huu wimbo.lindalissi
Popote historia ya Kurasini itatajwa na kuandikwa Mwalimu Kebaso hutatoshea kwa sura moja tu. Makiwa. Sauti zetu zitatoweka pia siku moja tuzitumie vizuri.
Am glad the choir is still strong,let not the devil shake your foundation,we are almost home...the bright shining star is ready to be seen from the east.
Miaka yangu ni ya kukopeshwa naishi kwa rehema za Bwana, hakuna njema nililotenda kushinda walio lala. Very powerful stanza.
Nitawezaje kunyamaza kimya sauti yangu Bado inanguvu Amina . Tuzitumie sauti zetu vizuri wakati huu tunanguvu.. mwenyezi Mungu tujalie kuyatii na kuyafwata maandiko kwani siku zetu nichache sana
Nivizuri kukubali kufanya vizuri kazi ya Mungu ungali na nguvu.
Mungu awabariki sana kwaya yetu ya kimataifa Kurasini SDA kwaya.Hatuwezi kunyamaza wakati Sauti zetu bado zina nguvu tupaze sauti zetu Yesu anarudi tena.
Maneno ya wimbo huu unapotafakari kama mwimbaji ina uzito sana hasa kwa wale wanao kasirika na kuacha uimbaji kwaajili ya viji sababu
Kwel kabisa
Mwalim kibaso 😭😭😭 Tutakukumbuka siku zote Za Maisha Yetu , Mungu Atuongoze katika Kazi Yake, kila Ni sikiapo Nyimbo izi Moyo wangu Uwa Unauma Saana 😭😭😭
Mimi siyo msabato lakini huu wimbo unajumbe mzuri sanaaaa
Wimbo mtamu mno..mola awabariki Sana waimbaji wote 🙏🙏
This song is always my favourite. As a musician, and a director of Choir it gives me the courage and confidence of singing and singing and singing coz.....miaka yangu ni ya kukopeshwa, naishi kwa rehema za Bwana.
When I imagine that one day I will not be able to sing, I shade tears.
Powerful words in this song.
Kurasini choir hii wimbo went viral and it trended sana adi wa leo inatrend,mamillions za watu hasa wakenya waliifanyia challenges,DJs walicheza mix sana,live long SDA live long Kurasini
Hata huku Congo,tuna kumbuka mwalimu kibaso. Tumaini lipo,tuta onana asubui njema
Barikiweni sana Kurasini
Waooow oooh waooow. Niliusikia huu wimbo mara ya kwanza nikiwa na miaka kama 10 hivi. Mbarikiwe sana uimbaji wenu ndio identinty yetu ya kanisa. Huu ndio uimbaji wa kisabato. Mabirikiwe sana kurasini.
Pongezi kwa wimbo mzuri....pongezi nyingi sana kwa mkalimani wa lugha ya alama hakika ametenda haki amewasilisha ujumbe vyema kbs kwa kuzingatia maudhui ya wimbo na melody...Mungu ambariki sana kwa kazi njema 🙏🏼🙏🏼
Barikiweni sana watu wa Mungu nasikia faraja sana ninaposikia maneno yenu ya matumaini. Mmekuwa mkiniamsha mara nyingi roho yangu ikikata tamaa na safari. Nimewafaham tangu mwaka 1998 nimejitahid kuwatafuta mkiwa mnauza analog cassette nawapenda na nawaombea msipungue mjipe moyo huku mliko mnatuongoa mno zaid ya mnavyofikiri. Nimejifunza uimbaji kupitia kwenu na hata sasa nafurahi kila ninaposikia sauti zenu. BARIKIWENI. ningependa mtupatie na zile za zaman kabisa zilikuwa na ujumbe sana. Tengenezeni column ya za kale
Mungu wenu mnaemtumikia hata nyamaza atawabariki,asante kwa kazi nzuri na ujumbe unaotia moyo.Kurasini will be the role modal to all Adventist choirs.
Amina watumishi wimbo unanikumbusha mwaka 2008 nikiwa form 5 Minaki High School,nilipokuja kusali Kurasini SDA church,tukiwa na mwamba Mwl Kibaso, waliimba huu wimbo na Safari ya Matumaini, Kurasini SDA church choir mumeeneza injili nje na ndani ya Tanzania
Mwalimu Kebaso and the greater Kurasini did and is doing good in service. May you be richly rewarded.
Nawapenda sana wazee wangu kurasini mnanigusa sana
Mungu awatunze watumishi wa Yesu....wimbo una ujumbe mzuri mnoo
You always bless me. Mungu awaongeze miaka ingine muendelee kumtukuza Mungu
Huu wimbo nilihold na kujika nisiusikilize ili tu uwe wimbo wangu wa kwanza wa 2024 kuusikiliza.nimebarikiwa.Mungu ainuliwe kupitia huu wimbo.lindalissi
Popote historia ya Kurasini itatajwa na kuandikwa Mwalimu Kebaso hutatoshea kwa sura moja tu. Makiwa. Sauti zetu zitatoweka pia siku moja tuzitumie vizuri.
Mungu atukuzwe kwa wimbo huu. Hongereni sana Wana Kurasini Kwaya. Mungu awatie nguvu na kuwabariki muendelee kumtumikia
Moja ya jambo zuri sana mnafanya kurasini SDA choir ni kuzirudia nyimbo za zamani na kuziweka katika teknolojia ya kisasa....mbarikiwe sanaaaaaaa
Umenena vyema Sir Rungu
Glory be to God 🙏
Amen🙏 Mungu awabariki kwa kazi nzuri na talanta tele! Hakika miaka yetu ni ya kukopeshwa, tunaishi tu kwa neema ya Bwana... 🙏
This is powerful……Definitely we can feel the presence of Mwalimu Kibaso..Your legacy lives forever legend…My all time choir❤️❤️
Be blessed
Shukrani. Re-do all your old songs tafadhali. Very sweet😊
Amina
You've gone through rough fiery times,but still soldering strong, never give up,for God is fighting your battles.
Ameen amen
Happy new year wapendwa ..Amen kwa kazi mnaendelea kutukuza Mungu mbarikiwa 🙏🏼🙏🏼
nice vedio Mungu awabariki sana kurasini mwende mbali
Thank you for bringing this song back to life❤..God bless you
May GOD strengthen you as you continue serving our SOVEREIGN LORD in His vineyard, AMEN 🙏🙌.
Wow amen mungu awabariki
very nice
God bless you all,much love all the way from Papua New Guinea
Thanks for bringing this one in video form....i used to listen & see that one recorded during funerals of Kibaso at Rorya
Feliz Ano Novo muita paz e amor lindo louvor ❤❤❤
Kujitayarisha kwa kuja kwa bwana
Napenda kupata namba za mtunzi wa wimbo huu na ule wimbo unasema kisa Cha Musa
Nawa penda saana, ahsant kwa kuuchagua wimbo huu kuufanyia video ni wimbo unao pendwa nawengi nami naupenda, mbarikiwe saana Mungu awape mwisho mzuri
Played this song all the way from home to church...it really blesses me a lot🙌
Mama ang amerud mavumbin na saut yke imetoweka ctaisikia Tena 😭😭😭😭😭💔 huu Wimbo Leo umeniliza sn
Barikiweni sana napenda nyimbo zenu Mungu azisi kuinuliwa kupitia kwaya ya kurasini
God bless you for the powerful ministry all these decades.Mola azidi kuwatia nguvu na kuwaongoza kwa yote .Amen.
Mbarikiwe na Mungu awatunze shambani mwake tufanye kazi yake tukiwa bado tuna uhai na nguvu
Aminaa, Huyu Baba wa Mbinguni azidi kuwatumia mdumu kuwa Baraka kwa ulimwengu wote.
Am glad the choir is still strong,let not the devil shake your foundation,we are almost home...the bright shining star is ready to be seen from the east.
This song is second to none🇰🇪
Mungu awaongeze kipaji waimbaji tunafarijika kwa ajili yenu nawapenda sana.
Amina, mbarikiwe sana. Niliwapenda tangu utoto wangu
Amina, mbarikiwe waimbaji kwa wimbo mzuri,songeni mbele kwa kazi ya Bwana.
My all tike SDA team 💥💥🔥🔥🔥
I really love kurasini choir and songs since my childhood. May our good Lord give you grace to spread his gospel worldwide. Mimi ni kurasini damu.
I concur with you...Kurasini damu indeed
Amen mbalikiwe maana mmenibariki Mimi William mbasha nimejifunza kitu kama kijana na mwimbaji
😇😇😇
Wenye wimbo wenyewe na tone Yao tamu,Mungu awabariki kurasini
Aaa the mighty kurasini mwalimu apumzike palipo amani
Sauti yangu bado ina nguvu nina imani Mungu atatuwezesha kuendza injili hii kupitia nyimbo
MUNGU azidi kuwalinda na kuwatumia katika kazi yake nawapendaaa sana wimbo mzuriiiii sana
Yaan nawapenda sana MUNGU aliwatumia kurasin kunafanya me kuwa msabato karibun mbeya iganzo
❤
Wimbo wangu pendwa sana umenifunza kupenda kuimba na Kwa kweli 😢
Whenever, I listen to this song I shed tears but I love it as well.
Be blessed. Kindly allow for comments ...some videos you have deactivated the comments.
Mbarikiwe from Nairobi Kenya 1st January 2024
Mmmhhh!
Asanteni Sana waimbaji wa kurasini.. mzidi Sana katika utumishi wa BWANA
Amen and Amen
Bwana awabariki wimbo huu huwa unanibariki sana!
Amen, amen.
Mungu nifundishe kuhesabu siku zangu
Amen wachaniembe ningali hai miaka niyakukopesha❤
Happy sabbath kurasini brethren ❤️
Sioni Sababu ya kukimyaaaaa...........Amen
Mungu awabariki sana na azidi kuwaongoza❤❤
Amina my favorite song I love it I'm blessed wapendwa
Mungu awabariki mzidi kusonga Mbele daima
Mungu awabariki kwa huduma yenu mliyoitiwa
Mbarikiwe sana watumishi wa mungu
Mungu awabariki sana watumishi wa Bwana
My best of all the best songs I listen
Twende kazi ya Mungu wetu kwa bidii
Mbarikiwe sana kwa ujumbe bora zaidi
Amen Mungu awabariki kwa kazi njema
Amina. Tutumie vipaji tulio pewa kwa wakati unaofaa tusije jutia
old school SDA songs hit differently...the best
Hakika wimbo huu ni hubiri kuu lenye uvuvio wa kutusogeza msalabani
Mbarikiwe sana kurasin nawapenda sana❤
well done kurasini Mungu awatangulie
Tunaendelea kubarikiwa kwa huduma nzur ya nyimbo zenu
Mbarikiwe Kurasini SDA Choir. Nabarikiwa na huduma yenu.
Forever sing For the Lord ❤.
Be blessed this song never gets old🙏
Mbarikiwe Sana wapendwa katika bwana
This song remind me 2017 after my FAVORITE aunty died. Mathare North SDA choir waliimba on the night before burial 😢😢😢
Mungu azidi kuwabariki 👏
Amen. Mungu awabariki sanaaa.
Mungu awabariki sana songeni mbele