Wewe Ben my friend alie kushauri hiyo kufanya hvyo hana roho mtakatifu kabisa hvi sisi ndo barua kwa wasio mwamini mungu tena wewe ndo unafanya hvyo kweli🤔🤔😪😪 alfu unataka utoke uende wapi wimbo hauna utukufu kbisa na ww anoint mmmh
Sasa wimbo mzuri ila Sasa heleni Tena mara kusuka nywele jamani injili inagoma mbona annoint huyo vipi na wewe unaona ni mtumishi mwenzio kweli basi na wewe umefika pabaya Kaka
Kama unaamini Mungu uinua zaidi na zaidi piga like...Wapi likes za kiongozi nchini Tz annoint Amani . nipitie team tz pia..
Ben benna on the beat..wazo zuri mwanangu mfalme wa gospel utafika🔥🔥
Yesu ni mkuu❤❤❤ love song
Kama wewe ni mkenya nipee likes tukisonga❤❤ anointed we really love you Kwanza Ile wimbo ya ( mama) naipenda sana 🙏🙏
Barikiwa sana amani kwa kumtambua YESU
Ujumbe nzuri kaka zangu
Ubarikiwe sana mtumishi 🇰🇪
Mtu amesuka, amevaa hereni, crazy jeans alafu ananifikishia neno la Mungu mimi...Hapana kwakweli
Chukua ujumbe mengine achia Mungu
mhh hapo kuna kaukweli
Usiwe ivyo
Kumbe unaimbia watu hembu ambia Mungu wako nini unatakae
Nikimwangalia Benny uwanalia sanaa,Ben Rudi msabalani
From Kenya....nice job and be blessed
Wewe Ben my friend alie kushauri hiyo kufanya hvyo hana roho mtakatifu kabisa hvi sisi ndo barua kwa wasio mwamini mungu tena wewe ndo unafanya hvyo kweli🤔🤔😪😪 alfu unataka utoke uende wapi wimbo hauna utukufu kbisa na ww anoint mmmh
😂😂😂😅punguza plesha elewa content ya wimbo kwanza kaka
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kaz nzur kaka😊❤🎉
Sasa wimbo mzuri ila Sasa heleni Tena mara kusuka nywele jamani injili inagoma mbona annoint huyo vipi na wewe unaona ni mtumishi mwenzio kweli basi na wewe umefika pabaya Kaka
Yeye amefanya hivo kulengana na hiyo nyimbo venye inamaanisha hebu isikize tena mwanzo
Wimbo mbaya sana
Amen ❤❤❤❤
😂😂😂😂nataka nitoke uende wapi jamani
Moto kama pasi,,more anointing guys
Mbona huyo mwingine kama shoga kwanini avae heleni na asuke halafu anatangaza neno la Mungu atakuharibia Annoint tunakukubali sana
Noma sana❤❤❤
MTU and video call Later 🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥😍😍😍
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪