SIMULIZI :Viumbe sita vinavyoishi miaka mingi kuliko binadamu/maajabu ya baharini

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024
  • #story#simulizi#mwananchi
    Samaki kwa jina Jellyfish Turritopsis dohrnii hana ubongo na moyo na anadhaniwa kuwa kiumbe pekee asiyeweza kufa duniani; ainaishi katika maji ya kitropiki.
    Kama wanasayansi walivyothibitisha, jellyfish hawafi kwa uzee kwani huishi hadi umri fulani kisha wanaanza kuwa wadogo na kurudi kwenye hatua yao ya asili.
    Na kutoka hatua hiyo ya kuwa mchanga , anaanza tena kukua. Kwa bahati nzuri, hakuna kikomo kwa idadi ya nyakati ambazo wanaweza kufanya hivyo! Kwa hivyo, kiumbe huki kinaweza kuishi idadi isiyo na kipimo .

КОМЕНТАРІ • 26

  • @henrylugendo280
    @henrylugendo280 4 місяці тому +1

    Safi sana ino

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila 3 місяці тому +1

    Mimi naami huyu mtoa hii stori anajua vizuri huyu samaki hafi kweli kwahiyo wanasayansi hatawakijua hawawezi kupanga Ili wawakee watu mungu atawachapa ila hiyo hafi

  • @Enockjean-xz2qj
    @Enockjean-xz2qj 6 днів тому

    Wow

  • @sangaremanus1316
    @sangaremanus1316 3 роки тому +2

    makala ya kipuuzi, there is no consistency. ujinga kama huu simulia wanao barazani kwenu, bladshwain.

  • @maulidmtowi3937
    @maulidmtowi3937 3 роки тому +3

    Na waukamilishe tu huo mpango tuijaze dunia hii yani mim nitakua nacheza miaka 14 na 18 tu mbna pisi zitanikoma

  • @severinaseverinanyoni707
    @severinaseverinanyoni707 Рік тому +1

    Asee namtafuta huyu samaki tubadishane asee yeye awe mm mimi.niwe huyu samaki 😅jeli fish😂😂

  • @msomishaule6172
    @msomishaule6172 2 роки тому +1

    Nilisha wahipitiwa na samaki huyo nikiwa beach aliniunguza sana baadhi ya mwili nakunifanya kushindwa kutembea na kuishiwa na nguvu na pressure kushuka namjua nilikimbizwa hospitali nakumbuka ilikuwa IMTU mpakaleo bahari naiogopa nahapo alikuwa nimdogo je angekuwa mkubwa nahisi ningekufa

  • @user-gu8wv4bn4o
    @user-gu8wv4bn4o 2 місяці тому

    Nyoka tusimuuwe eti wanasema utalii,najat killar

  • @Hamad-iy4xt
    @Hamad-iy4xt Місяць тому

    Kwenye kobe muongo umetudangany kobe anaishi mpaka miaka1000 wapo huko zanzibar kweny kisiwa cha utalii wanamiak 1000 kobe mpka miaka500

  • @annenduku5243
    @annenduku5243 2 роки тому +1

    Wamaanisha huyu jel fish niyule yule aliyeanza dunia ?

  • @MakameHamad-p2o
    @MakameHamad-p2o 2 місяці тому

    Sikweli kuhusu jelly fish anakufa 2 akipatabjoto

  • @MunalisaAwadhi
    @MunalisaAwadhi 5 місяців тому

    Wa000

  • @ummysoso859
    @ummysoso859 2 місяці тому

    😮

  • @solomonomar3708
    @solomonomar3708 Рік тому

    Scary

  • @salehally1082
    @salehally1082 6 місяців тому

    Mimi ninamashaka na hizi taarifa kuwa hazina ukweli ni kweli wapo viumbe hapa duniani nanaishi miaka mingi lkn hizi taarifa zinawekwa chumvi

  • @hassanrutabuka5159
    @hassanrutabuka5159 3 роки тому

    Duh na vipi kuhusu nyoka

  • @mrh2812
    @mrh2812 Рік тому

    Sijamsikia kunguru

  • @the_tech_wizard01
    @the_tech_wizard01 Рік тому

    HALOWEEN

  • @user-jj6sd8me9k
    @user-jj6sd8me9k 3 місяці тому

    KWAIYO WALE TINAOWAONA WAMEKIFA?

  • @djumacassim
    @djumacassim 3 місяці тому

    Hakuna kiumbe asie kufa

  • @stanlaymsabaha4038
    @stanlaymsabaha4038 3 роки тому

    Je nikimkamata na kumuua hafi acheni uongo

    • @msomishaule6172
      @msomishaule6172 2 роки тому

      Nikweli kakaangu hajaonge uwongo kumhusu huyo samaki

  • @severinaseverinanyoni707
    @severinaseverinanyoni707 Рік тому

    Asee ikipatikana iyo dawa mm wa kwanza asee 😂😂😅

  • @alimasha-qh3vn
    @alimasha-qh3vn 3 місяці тому

    Tukimuua