Tanzania New Capital City- Dodoma, Updates (2021 -2024)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 21

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 10 місяців тому +2

    Yeah!kazi nzuri serikali tunataka jiji hili la Dodoma liwe la mfano kwa uzuri na majengo ya kisasa katika bara la Afrika.

    • @MamuduAziz-h1z
      @MamuduAziz-h1z 9 місяців тому

      Kujenga majengo ni julumu la wananchi Sio jukumu la seriikali isipokuwa serikali jukumu lake waweke misingi y uchumi na ajira alafu wachore miundo mbidu ya makazi y wananchi kisha kujenga shule vyuo n mahospitali masoko ya kisasa na kuweka sheria safi Sio sheeia za ukandamizaji km za Dar

  • @mathiasmichael9915
    @mathiasmichael9915 10 місяців тому +2

    Much Respect to the rate brave and genius President JPM... I love you forever.....❤❤🥰🥰😍

  • @simbarashekwaimona9724
    @simbarashekwaimona9724 9 місяців тому +5

    Baba mungu tunakuomba eeemwenyezi mungu baba muumba wa mbingu na nchi nakuomba umpe cheo chochote mpendwa wetu alitutoka gafla bin vuuu sema silalamiki Sana kwani Ni maamuzi yako ulimpenda Zaidi yetu au alishamaliza muda wake hapa duniani mpendwa wetu.JOHÑ POMBE JOSEPH MÀGUFULI MPE PPUMZIKO JEMA AMEN

  • @gastonmodestkaziri2566
    @gastonmodestkaziri2566 9 місяців тому +2

    Ndugu Bandawe, nimekukubali umeeleza vizuri uratibu wa kuhamia Makao Makuu Dodoma.

  • @SoFrii
    @SoFrii 6 місяців тому

    Hongereni sana kwa makala nzuri sana, ama kwa hakika mpango kabambe wa Makao Makuu ni moto hasa. Mungu wetu atupe neema ya kuukamilisha itokee Dodoma ya kisasa kabisa. USHAURI: Hiki kipindi kina jina la kingereza ndani lugha iliyotumika ni Kiswahili. Kwa faida ya wazungumzaji wa kingereza ni vyema mkaandaa toleo jingine litalokuwa na subtitle za kingereza. Pia background music ipungue kidogo kuruhusu maelezo haya yaliyoshiba ya Bw. Meshack Bandawe yasikike vizuri kwa kila mtazamaji.

  • @egdldm4981
    @egdldm4981 10 місяців тому +2

    Ushamba ni mzigo, huo wimbo kwa nini msiuzime ili tusikie kinachosemwa ambacho ndio muhimu?😮

  • @mussamussa8181
    @mussamussa8181 10 місяців тому +2

    Alie ifanya dodoma kua makao makuu ni MAGUFULI TU UKO KWNGNE KOTE ZILIKUA KELELE TU NA MIPANGO,,amtak kumpa hedhima Magufuli mnstuletea tathimin na mipango smbayo sikufsnyika mwanaume kafsnya maamuzi mara moja

  • @eliasnicolaurobath6864
    @eliasnicolaurobath6864 10 місяців тому +1

    Nawakumbushu ilivyo dar mitaa yake ni mwembamba dodoma iwe na mitaa mipana na barabara ziwe pana pia ipo shida nyingine kira jiji duniani linapendeza na taa za barabarani na mitaani hii shida ipo tanzania hamtaki kuweka taa za barabarani na mitaani

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 10 місяців тому +1

    Magufuli baba tunakukumbuka baba. Wanashindwa kusema ukweli. Uliyoyafanya ni makubwa baba.

  • @castroydaimon3107
    @castroydaimon3107 10 місяців тому +1

    Hakika swala hili limewezekana kwa sababu ya mwamba JPM

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 4 місяці тому +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿💕👏

  • @User-xl1ul4fp9b
    @User-xl1ul4fp9b 6 місяців тому

    Nikweli tunamkumbuka hilo jembe saivi nchi yetu ingekuwa inakaa kama ulaya

  • @fransicmushenyera9302
    @fransicmushenyera9302 9 місяців тому

    mukiendelea kusema ukweli kuhusu kazi alizozifanya JPM mtakuwa mnawatendea haki watanzania lakini mkificha mnamchonganisha rais samia na wananchi wakidhani labda yeye ndio anawambia mfanye hivyo.kumbe sio sasa wananchi watapenda kuendelea kufuatiria

  • @freddiekalyango3801
    @freddiekalyango3801 9 місяців тому

    @noelchoma Huo mziki Nicole

    • @freddiekalyango3801
      @freddiekalyango3801 9 місяців тому

      Hio bendi ya Moro Jazz ya Mbarak M. Mwaruka akiimba katika 1973 kuhusu kuhamia Dodoma vile hayati Mualimu JKN alitaka

  • @noelchomola8409
    @noelchomola8409 9 місяців тому

    Hilo limziki sijui lina umuhimu gani

    • @freddiekalyango3801
      @freddiekalyango3801 9 місяців тому

      noelchoma huo mziki ndio ulikuwa unayimbwa na ile bandi ya Moro Jazz wakati wa mwaka 1973