ENG.HERIS AKAMILISHA DILI LA AZIZI KI|HAIKUWA RAHISI YANGA HII TAMU/AZIZI+CHAMA+PACOM=BURUDANI YANGA
Вставка
- Опубліковано 14 жов 2024
- #azamtv #azamfc #azampesa #mavalatv #simbasportclub #manaratv #ayomatv #azamtvmaxapp
#SimbaVSBisharaUnited#Simba#Yanga#YangaVSKageraSugar#BerkaneVSSimba#Challenge#TryNotToLaugh#Mayele#YangaVSMtibwa#LiveMatch#AllyMayay#MtibwaVSYanga#BerkaneVSSimba##AllyMayayTembele#YangaTv#SIMBA##KibwanaShomari#Yanga#Simba#Yanga#Simbawalivyoondoka#KikosichaSimba#Tryagain#SimbaApp#Simbakuondoka##UchambuziWaAllyMayay#Bocco#Mayele#yanga
mambo sasa ni mazur kama mwamba kakubal kuongeza kandaras bg up kwako rais wetu nauongoz kwaujumla
Hahahahaaaaa tunapenda kumwona huyu azizj ki akibaki ndani ya club yetu ya yanga hayo mengine mnakuwa mnazingua hususan kama huyu azizi ki akienda SIMBA ...😂😂😂
Shule huna ujiingiza mitandaoni eti ulipwe jalime kenge we mtangazani
Injinia pamoja na uongozi Kwa ujumla hongereni Kwa kupambana kumbakisha mwamba huyo
Hiki chuma kikienda kwenye Timu pinzani tofauti na yanga naapa sisi ndo tutajuta dadwki zenu tena mwambieni huyo alikamwe tutampiga mawe huku mitaaniii😂😂😂
Huyu azizi ki naomba uongoz wa yanga kama wataamua kumuachia azizi ki basi chonde chonde asibaki hapa tanzania please Eng.heris said😅😅😅
Na kama ataondoka its better aende nchi nyingine na si timu nyingine hapa tanzania kama atabaki tanzania basi viongozi wetu watakuwa wametuzalilisha vya kutosha na hatutoenda uwanjan 😂😂😂😂😂