Nitammis sn wamayo, story yake ilikuwa kali n anasimulia vizuri pia hawezi kumaliza kipande cha story pasipo kuchekesha..Mungu azidi kukupigania wamayo
Wewe tayari wameshakutumia wamemaliza... sasa wale mnaosemaga kuna majini wazuri na wabaya.. haya huyu jini kamtoa kwa mganga kampeleka kwenda kuuwa.. majini walishaasi hakuna irafilki na jini
Samahani kaka davistar ,ningependa umuulize ni mambo yapi pengine aliyafahamu katika maisha ya giza ambayo sisi binadamu tunayafanya napasipo kujua kua yana madhala makubwa . Mfano inavosemekana kusikiliza mziki wa rock , kutumia marashi makali kunaeza mdanya mtu kutengeneza mazingira ya kuwa karibu na majini?
Nitammis sn wamayo, story yake ilikuwa kali n anasimulia vizuri pia hawezi kumaliza kipande cha story pasipo kuchekesha..Mungu azidi kukupigania wamayo
Wamayo kiboko
Pia. Mimi nitammiss😢😢😢
Anachekeshapo vizuri sanapo
Me too
Wewe tayari wameshakutumia wamemaliza... sasa wale mnaosemaga kuna majini wazuri na wabaya.. haya huyu jini kamtoa kwa mganga kampeleka kwenda kuuwa.. majini walishaasi hakuna irafilki na jini
Majini wote wabaya hakuna aliye mzuri ,anaemsifia ni mwabudu mashetani vilevile .
@@emmanuelmachibya2034waislamu ndo wanaoamini wapo wazuri,,na majini waislamu ni wa kutosha
Dada yenu nimefikamo.. ❤️❤️❤️❤️🔋
Umemchangiamo kaka yako wamayo
Ahsante davista imeisha ya wamayo unaendelesha hii. Sikuihizi kali tupu.
Samahani kaka davistar ,ningependa umuulize ni mambo yapi pengine aliyafahamu katika maisha ya giza ambayo sisi binadamu tunayafanya napasipo kujua kua yana madhala makubwa . Mfano inavosemekana kusikiliza mziki wa rock , kutumia marashi makali kunaeza mdanya mtu kutengeneza mazingira ya kuwa karibu na majini?
Davistar huyu jamaa umeshindwa kumuhoji vizuri, story yake nzima amejumuisha jumuisha tu
Davista tunaomba uludipo kwa wamoyo ukamhojipo maswali stori yake tumeimisimo 😁😁🔥🔥🔥🔥
Mwamba karudii
Umeona ×100.i say hii kali
Aitoe hiyo UMEONA inaboa story' wanayo atakumbumwa jamani hana janga lingine asimulie 😄
Nyinyi hamumpendi wamayo, hana pa kulala mbona hamumchangii!
Hii ni story nzur lkn kuchelewa kwake
kumefanya kuea misunderstabled
Woi wamayo wetu ako wapi
Nilidhani ilishaisha hii kumbe ilimpisha kwanza Wamayo.
Hivi tuachilia wapi hii story mbona nimesahau
yaani utamu ımrpungua wapi tuliachı tumesahau
Titakumissimo wamayo.
Apologies sasa utakuta mwanamke ana mikucha ana mawigi unashangaa anaoga vipi uyu mwanamke anatembea mchafu japo anajiona kaoga lkn mchafu kupitiliza mijaba mihedhi mitupu
Sawa tuende na story
.wambie wamayo aendeleze tu hata kwa kutunga tunga tufike naye mpaka 100
Ww
Tusaidie wamayo we2
Kweli anateseka hata pakulala😢😢
👊🙏✌️.
Nimewaimo 😂😂
😂😂😂😂
Hata mimi nimefikapo