Kabla sijaokoka kuna siku nilikutana na mwanaume na kuanzia hiyo siku maisha yangu iliharibika sanaaaa,lakini namshukuru mungu Kwa kunikomboa na wokovu
Hapo lazima kimwili. Anatuambia ili kututahadharisha na kutufunza. Si rahisi kujiweka wazi. Asante Patience ubarikiwe utaponya mabinti wengi humu@@UsafiMichael-mc8kt
Baba ni asante Kwa wamayo na wasimulizi wote ,namfunika na damu ya yesu,I declare a turn around in his life, every satanic bondages be broken in Jesus Christ of Nazareth,I speak salvation over him in Jesus name ameeeen
LKN WAMAYO HAYO MAMBO YOTE NI WW ULISABABISHA BALAA KWA WATU. MAANA YAKE BADALA YA WW KUTUMIKIA ADHABU YAKO ULILETA BALAA.KWA BINADAMU WENGINE KULETA JINI LA KUHARIBU MAISHA YA WATU.
Huyo babu madhabau yake ipigweee na radi na Moto wa roho ukose uhai na ipasuke kabisa katika jina la yesu Christo wa Nazarethi🔥🔥🔥🔥🔥😂,waaa uyo jini alikuwa hatari kweli
Ntaanza kuwa ogopa wanawake sasa, Unavimba mtaan mwenyewe nimepata dem kumbe,umepatikana . Unakuta unatembea na mwanamke Mara unaanza kufulia hata buku mfukoni unakosa.Daah nimekoma
Makahaba wengi,manesi,madaktari wengi ni mawakala wa shetani,omba sana ukiwa na mgonjwa hospitalini. Thus manesi wengi ni makatili Sasa ya Ile roho ya shetani uwavaa na kuwafanya wawe makatili
Malambi Jeremiah Kutoka Dom Tanzania. Aise kweli yule joka mkubwa aliyetupwa mbinguni yupo hapa duniani. Heri yule asomaye na kuona huu ujumbe na amtafute yesu kristo mwana wa MUNGU aliyehai yeye ndo tegemeo letu na hatatuacha kamwe tukifuata mapenzi yake. Mganga kuna wakati naye atakufa hivyo tusimtegemee kamwe mwanadamu
"Wa mayo" ni Kisukuma kumaanisha "Wa mama", ama "Wake mama", kama sijakosea. Yaani, yeye ni kijana wa mama, licha ya ukatili aliyomfanyia. Kwa mtazamo wangu, mengi anayosimulia ni kweli ila mengine ni hekaya za Abunuasi.
@@UsafiMichael-mc8kt Hela tena, Msafi? Tuna uhuru wa kutoa maoni, waabeja. Alivyosema Mtume Petro, "Sina fedha wala dhahabu lakini kile nilicho nacho nitakupa".
Samahani hiviii nyota ya mtu inayozungumzwa Sana na baadhi ya watu hivii katika mwili wa binadamu nyota hukaaa Wapiii...?? Au hiyo nyota inayozungumzwa huwa Ni kitu ganiii
Nyota inayozungumzwa na watu wengi naamini hua ni wito tunaweza sema destiney au kitu ambacho mungu ameiusudia kwako kwenye maisha ya hapa duniani. Mungu anaweza kuwa ameweka kwako uwe dactari/ raisi au mwalimu, mtu kama daktari lazima awe na akiri shuleni ndio wanaiba akiri ya huyo mlengwa, na wakitoa hakiri manaake wameiba destiny yote yaani huwezi kuwa dactari tena, mwingine ni mwanasiasa kama kuna mtu anataka kuwa mwanasiasa akaenda kwa mganga, mganga anachofanya anaiba nyota ya mwingine kuweka kwake yaani kuchukua lile jambo ambalo Mungu amekupangia uwe kwenye maisha yako hapa duniani. Tunaita nyota na hilo neno linachanganya kweli, wengi hatuelewi nalo. Sizani kama nmeeleza vizuri kama navyoelewa kabisa lakini kidogo unaweza elewa apo. God bless you brother
@@joshuarafael5186 kwa maana hiyo sasa Kama mganga anaweza fanya hayo mathlani kuiba nyota it's means Ni kuwa kila Jambo Mungu anakuw kakusudia Hilo likupate pia maana haliwezi fanyika Jambo mpaka Mungu apendeee
Hapa kidunia tuna ita nyota ila huwa namaana ya karama au hatima au kisudi la Mungu kwa binadam, nahii zawad kuichukua ningumu ukiwa na nguvu ya Mungu, Ila shetani na mawakala wake wanachofanya wanakutumia mikosi,shetan muongo sana atajifanya anakupa nyota kumbe anakupa jini kwa maagano mtakayo ingia.Hayo mambo yote ukifatilia shuhuda za Davistar wameyaongelea sana
@@rahimomary7663 ndio kabisa ndugu, Mungu hujua yote... naweza sema kwa mfano una mtoto, ukaamua kumnunulia zawadi lakini unajua kabisa kuwa anaweza kuibiwa kwa sababu hajui thamani yake kwa hiyo hawezi itunza vizuri pengine ataharibu, lakini bado utamnunulia tu, si kwasababu hujali no! Ila ni kwa sababu unampenda na kumpa the best, na pale anapoharibu au kuibiwa akirudi kwako kajifunza vizuri kutunza pengine utamnunulia iliyo nzuri zaidi kwa sababu amejifunza vizuri. Likewise kwa Mungu wetu, hujua yote lakini yeye atabaki kuwa ni Mungu na anatupenda sana, anatupa japo anajua wengi wetu tutakosea pia anajua atatuokoa pia, na Mungu ndiye chanzo ya uhai kila kitu anacho tena tele, hakuna siku tutamu-outrun mungu. Tukijua tumeharibu tukarudi kwake kwa unyenyekevu pengine atatupa kilichobora zaidi. How wonderful is our Lord.
Hii ya majini kuwa wengi ktk maclub nimeiskia sana hata kwenu davista ile club ya Nolasco Majini wanakujaga sana pale... ukimuona ni kama dem mkali Sana
@@bakari-si1pw hatar kaka mitaa ile yamenikuta mengi ikiwemo kupotea njia, njia ambayo naipita kila siku ila siku hiyo nilikuwa siioni kuanzia usiku wa sa 5 mpaka sa 9 nahangaika afu mwisho njia nikaja kuiona pale pale nilipokuwa siioni 😄😄
@@tahirnephessalum3678 yani nayashangaa sana kuyasukia aya hapo napita kila siku za Mungu natoka Dege nakwenda Darajani job ila ukipita usiku pale kumekucha kaka mambo ni 🔥🔥🔥kumbe mijini tupu
@@tahirnephessalum3678 unajuwa kitu ambacho najiuliza wwe umepoteaje wakati pale seemu akuna vichchoro vingi ukitaka kutoka lazima uje mpaka mji mwema au uje hapa kituoni daraji na uwezi tembea kwa miguu lazima uchukuwe usafiri ndoo upate kutoka au kama kwako naribu ndoo utatembea Ssa kitu kinanishangaza yaani wwe usiku mzima bado unatafuta njia Inashangaza kusikia aya😳😳muda huu saa8:00asubui hii napita hapa bado watu wapo wanakunywa tu
Nakukubari sana wamayo... Umejitahidi sana kuwa muwazi katika story yako na umetufundisha mengi mno.…
Mimi mkenya ila nimeufuatilia hii story saaana
Wamayo thank you for the good lessons you've thought us
Kabla sijaokoka kuna siku nilikutana na mwanaume na kuanzia hiyo siku maisha yangu iliharibika sanaaaa,lakini namshukuru mungu Kwa kunikomboa na wokovu
Ulikutana naye kimwili au kirafiki tuu tuelezeee
Hapo lazima kimwili. Anatuambia ili kututahadharisha na kutufunza. Si rahisi kujiweka wazi. Asante Patience ubarikiwe utaponya mabinti wengi humu@@UsafiMichael-mc8kt
Watu tunaipenda sana hii story ka Mkubwa wote tunafurahi sana🙏🔥🔥
Baba ni asante Kwa wamayo na wasimulizi wote ,namfunika na damu ya yesu,I declare a turn around in his life, every satanic bondages be broken in Jesus Christ of Nazareth,I speak salvation over him in Jesus name ameeeen
Yesu anamsubiri Wamayo
Ameen
I cant get over this channel❤
LKN WAMAYO HAYO MAMBO YOTE NI WW ULISABABISHA BALAA KWA WATU. MAANA YAKE BADALA YA WW KUTUMIKIA ADHABU YAKO ULILETA BALAA.KWA BINADAMU WENGINE KULETA JINI LA KUHARIBU MAISHA YA WATU.
Wakwanza Leo jamii munipee likes ❤
Asante msimlizi kwa kuendelea kusimlia hii nifunzo tosha
Dahii yaani hapa kwenye jini ni mtihanii sana Kwakwelii bla maombi hapo hauchomokii tuombe sana jamanii kwenye hili akuna ujanja😢
Huyo babu madhabau yake ipigweee na radi na Moto wa roho ukose uhai na ipasuke kabisa katika jina la yesu Christo wa Nazarethi🔥🔥🔥🔥🔥😂,waaa uyo jini alikuwa hatari kweli
Hiyi story ya wamayo na story ya zabron mwita ndizo nilizopenda sana sana
Hile story ya zabron ni mzuri mno.
Kwa kweli
Duuuuu masikini Yule mzee nilimsikiaga kafia Gest daaaa
Dunia hii ndo maan mm mwiko kwendaa club mwiko kuwa na mahusiano nje ya mume hata before mume yan ni mwiko .... 😢😢😢
God bless you
Kupitia hii story nimejua umuhm wa maombi
Tufie kwa maombi tu na neno la Mungu
Wa kwanza
Wamayo in the house
Hata makahaba wengi sana ni majini wanachukua nyota za watu
Ntaanza kuwa ogopa wanawake sasa, Unavimba mtaan mwenyewe nimepata dem kumbe,umepatikana . Unakuta unatembea na mwanamke Mara unaanza kufulia hata buku mfukoni unakosa.Daah nimekoma
Wa Moyo tuko 🤝
Nipo on😂naisubir 💃
Nikweli kabisaa wazazi wengi wanakimbilia ata na kutusi watoto pasipo kujua wametekwa waaa. Mungu aturehemu
Duh MUNGU TUSAIDIE BABA
Tupate part 28 ya kulalia jamaniiiii
Makahaba wengi,manesi,madaktari wengi ni mawakala wa shetani,omba sana ukiwa na mgonjwa hospitalini.
Thus manesi wengi ni makatili Sasa ya Ile roho ya shetani uwavaa na kuwafanya wawe makatili
Hii ni Kali ya mwaka
Aixee hii kitu elimu dunia maana sio poa wamayo
Wamayo umeng’aaa ❤
Malambi Jeremiah Kutoka Dom Tanzania.
Aise kweli yule joka mkubwa aliyetupwa mbinguni yupo hapa duniani.
Heri yule asomaye na kuona huu ujumbe na amtafute yesu kristo mwana wa MUNGU aliyehai yeye ndo tegemeo letu na hatatuacha kamwe tukifuata mapenzi yake.
Mganga kuna wakati naye atakufa hivyo tusimtegemee kamwe mwanadamu
Story mzuri nimejifunza kitu aky, nilikua nalegea kwa maombi sasa wacha niamuke
Ila wamayoo anapenda misosi hatariii😄😄
Wamayo 🔥
Hapa kuna somo kubwa sana
Wanaume tufunzu apo ni kweli
Ulipo tupo😂
Tupo pamoja na wamayo🤳
Wa kwanza nipeni maua yangu
Hzo nyota zinakazi gani hasa naomba nisaidie kumuuliza please
Nikisikia akisemaKibaya zaidi ujue ujue anasimulia kitu kizito zaidi.
Shetani utumia wanawake wengi sana wazuri kuiharibu dunia.Thus wanawake wengi wazuri hawaolewi
Nani kampa wamayo Hela ya saloon namuona kanyoa ndevu 😂😂 me nilishamzoea Na madevu yake bhna ila Bro davita Uyu wamayo ni balaaa
Nyota Ina pembe tano.
1.mvuto,2 ndoa,3 uongozi,4umiliki,5 kibali
Mpe namba ya Mwakasenge,huyu lazima aokoke,na sio Kila mtumishi ataweza
Ukweli na uwazi
Wanayoo
Wamayo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Huyo jini jamani alimaliza mtaa kabisa watu waokoke kabisa ili wasipatane nahili jini
29 pls
Wewe Ulitambuaje Kma Anachukua Nyota? Hizo Nyota Ilikua Unaziona?
👊🙏.
Tunaendelea kwa pamoja.
Yote hayo yanafanyika ww huonekani dah wanayoo
Kumbe ni Wamayo mi najua wa moyo😂 sijui moyo wa nani 😂
"Wa mayo" ni Kisukuma kumaanisha "Wa mama", ama "Wake mama", kama sijakosea. Yaani, yeye ni kijana wa mama, licha ya ukatili aliyomfanyia. Kwa mtazamo wangu, mengi anayosimulia ni kweli ila mengine ni hekaya za Abunuasi.
Wamoyo tena😂😂😂
@@owinomakochieng828 za bunuasi tena pita hivi acha nayo
@@owinomakochieng828 kwahyo kama ni hekaya za abunuasi wewe umechangia davista shilingi ngap?
@@UsafiMichael-mc8kt Hela tena, Msafi? Tuna uhuru wa kutoa maoni, waabeja. Alivyosema Mtume Petro, "Sina fedha wala dhahabu lakini kile nilicho nacho nitakupa".
Duuuh
Muone wamayo vile ako smart.
Vipi kuhusu magonjwa alikua asambazi Ukimwi kwanjia hiyo
Wamay uko vizur kweny sekt yakula
Wamayo natamani avue kofia nione ndonga yake, hana kakipara kweli huyu mwamba???
Kama ulishawahi kwenda kwa mganga tambua ulishaibiwa nyota yako.
Nyota ni biashara kubwa sana kwa waganga
Uyo jini hakuna wema alio wahi fanya yeye ni maovutu
Uzinzi Ni kitu kibaya sana ,tujifunze kupitia Wamayo
Mungu alitupa amri kumi kumbe zina maana kubwa ,Maana hii dhambi ya uzinz dah
@@butondodavid2105 Yaan hata Mimi nimefikiria hiyo Amri ya usini kumbe Ina Maana kubwa sana
@@butondodavid2105ni kweli yani ina maana kubwa
Arafu huyo jini hana jinsia yani oyaoya aaaaaa Dunia hii hadi jini shoga
Davistar kumbe chanel yako ya dini mbona wafuta comment za ndini nyingine wanapo jbiwa .ukwer wewe wafuta sio poa mungu hapendi upendeleo
Samahani hiviii nyota ya mtu inayozungumzwa Sana na baadhi ya watu hivii katika mwili wa binadamu nyota hukaaa Wapiii...?? Au hiyo nyota inayozungumzwa huwa Ni kitu ganiii
Nyota inayozungumzwa na watu wengi naamini hua ni wito tunaweza sema destiney au kitu ambacho mungu ameiusudia kwako kwenye maisha ya hapa duniani.
Mungu anaweza kuwa ameweka kwako uwe dactari/ raisi au mwalimu, mtu kama daktari lazima awe na akiri shuleni ndio wanaiba akiri ya huyo mlengwa, na wakitoa hakiri manaake wameiba destiny yote yaani huwezi kuwa dactari tena, mwingine ni mwanasiasa kama kuna mtu anataka kuwa mwanasiasa akaenda kwa mganga, mganga anachofanya anaiba nyota ya mwingine kuweka kwake yaani kuchukua lile jambo ambalo Mungu amekupangia uwe kwenye maisha yako hapa duniani.
Tunaita nyota na hilo neno linachanganya kweli, wengi hatuelewi nalo. Sizani kama nmeeleza vizuri kama navyoelewa kabisa lakini kidogo unaweza elewa apo. God bless you brother
@@joshuarafael5186 kwa maana hiyo sasa Kama mganga anaweza fanya hayo mathlani kuiba nyota it's means Ni kuwa kila Jambo Mungu anakuw kakusudia Hilo likupate pia maana haliwezi fanyika Jambo mpaka Mungu apendeee
Yeah true 👂
Hapa kidunia tuna ita nyota ila huwa namaana ya karama au hatima au kisudi la Mungu kwa binadam, nahii zawad kuichukua ningumu ukiwa na nguvu ya Mungu, Ila shetani na mawakala wake wanachofanya wanakutumia mikosi,shetan muongo sana atajifanya anakupa nyota kumbe anakupa jini kwa maagano mtakayo ingia.Hayo mambo yote ukifatilia shuhuda za Davistar wameyaongelea sana
@@rahimomary7663 ndio kabisa ndugu, Mungu hujua yote... naweza sema kwa mfano una mtoto, ukaamua kumnunulia zawadi lakini unajua kabisa kuwa anaweza kuibiwa kwa sababu hajui thamani yake kwa hiyo hawezi itunza vizuri pengine ataharibu, lakini bado utamnunulia tu, si kwasababu hujali no! Ila ni kwa sababu unampenda na kumpa the best, na pale anapoharibu au kuibiwa akirudi kwako kajifunza vizuri kutunza pengine utamnunulia iliyo nzuri zaidi kwa sababu amejifunza vizuri.
Likewise kwa Mungu wetu, hujua yote lakini yeye atabaki kuwa ni Mungu na anatupenda sana, anatupa japo anajua wengi wetu tutakosea pia anajua atatuokoa pia, na Mungu ndiye chanzo ya uhai kila kitu anacho tena tele, hakuna siku tutamu-outrun mungu. Tukijua tumeharibu tukarudi kwake kwa unyenyekevu pengine atatupa kilichobora zaidi.
How wonderful is our Lord.
Thus biblia inakataza uzinzii ili kuepukaa usipate magonjwa ya kiroho na kimwili
Hii ya majini kuwa wengi ktk maclub nimeiskia sana hata kwenu davista ile club ya Nolasco Majini wanakujaga sana pale... ukimuona ni kama dem mkali Sana
Kigamboni mji mwema pale usiku atari sana wikeend atari
@@bakari-si1pw hatar kaka mitaa ile yamenikuta mengi ikiwemo kupotea njia, njia ambayo naipita kila siku ila siku hiyo nilikuwa siioni kuanzia usiku wa sa 5 mpaka sa 9 nahangaika afu mwisho njia nikaja kuiona pale pale nilipokuwa siioni 😄😄
@@tahirnephessalum3678 yani nayashangaa sana kuyasukia aya hapo napita kila siku za Mungu natoka Dege nakwenda Darajani job ila ukipita usiku pale kumekucha kaka mambo ni 🔥🔥🔥kumbe mijini tupu
@@tahirnephessalum3678 unajuwa kitu ambacho najiuliza wwe umepoteaje wakati pale seemu akuna vichchoro vingi ukitaka kutoka lazima uje mpaka mji mwema au uje hapa kituoni daraji na uwezi tembea kwa miguu lazima uchukuwe usafiri ndoo upate kutoka au kama kwako naribu ndoo utatembea Ssa kitu kinanishangaza yaani wwe usiku mzima bado unatafuta njia Inashangaza kusikia aya😳😳muda huu saa8:00asubui hii napita hapa bado watu wapo wanakunywa tu
Muone😅
daaah nimejifunza mengi mno mno kwenye hii story...tuishi katika maombi shetani yupo kazini kila wakati