Je ndio sawa na kusuka wanavosuka vijana wa sasa wanasukwa saloon za wanawake ambao sio maharimu zao...wanawake wamevaa uchi hawana hijab na wengine sio waislam wenye kuwasuka hizo nywele
Mtihan mimi mwenyewe nilipata challenge na watoto wangu wa kiume wanasoma madrasa na walisoma somo la hadith ya kuwa mtume alifungua makka alionekana amefunga nywele zake sasa wao wanapambania ya kuwa sio haram na sie tunaishi nchi hizi za ughaibuni uk vijana watu wazima wamesuka na kutoboa maskio,pua Mtihan mkubwa hakika
Shekh vp kwa sisi wamasai ambao kwetu wanaume husuka na huvaa shanga?
Je ndio sawa na kusuka wanavosuka vijana wa sasa wanasukwa saloon za wanawake ambao sio maharimu zao...wanawake
wamevaa uchi hawana
hijab na wengine sio waislam wenye kuwasuka hizo nywele
Mtihan mimi mwenyewe
nilipata challenge na watoto wangu wa kiume wanasoma madrasa na walisoma somo la hadith
ya kuwa mtume alifungua makka alionekana amefunga nywele zake
sasa wao wanapambania ya kuwa sio haram
na sie tunaishi nchi hizi
za ughaibuni uk
vijana watu wazima wamesuka na kutoboa maskio,pua
Mtihan mkubwa hakika