Mwijaku Afunguka Bifu na Harmonize Kutembea na Paula mbele ya Kajala Kufukuza Wasanii KondeGang

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 вер 2024
  • Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
    #bingoonlinetz
    #sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
    Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1

КОМЕНТАРІ • 1,1 тис.

  • @rowneyodinga417
    @rowneyodinga417 2 роки тому +98

    Napenda maongezi ya Mwijaku sana although am from Kenya 🇰🇪 but this guy gives good advices 💪🏾

  • @smart47tv33
    @smart47tv33 2 роки тому +13

    Kama unaona anachokisema huyu niuongo weka like

  • @shabanihalfan5547
    @shabanihalfan5547 2 роки тому +30

    Yote hayo sababu umefukuzwa wewe ulikuwa unamsifia paula na mamayake wewe bogazi kaungane na h baba umepewa talaka.

  • @leahvenas4140
    @leahvenas4140 2 роки тому +3

    Ila
    We mshenzi Sana mwijaku unapenda Sana kufuatilia maisha ya konde vp njaa inakusumbua

  • @yhasintakalenyula970
    @yhasintakalenyula970 2 роки тому +2

    Ndio maana Ally Kiba hawataki watu kama akina Mwijaku,maana anajua utapeli wao.

  • @hassanosman3824
    @hassanosman3824 2 роки тому

    Mwijaku hela mbaya sana ukinyimwa unaanza kitu kama na kutumia dini ya kislamu ndani tuachie dini usitajetaje sana umekua mpumbavu sana

  • @rajabumussa8032
    @rajabumussa8032 2 роки тому +1

    Team konde gang mkubali mkatae huo ndio ukweli huyo mmakonde anamambo yakiwaki sana hamjiulizi why kila siku yeye

  • @tinershayo6191
    @tinershayo6191 2 роки тому

    Umemgeuka konde kweli hata vitabu vya dini tulisoma yuda alimgeuka yesu

  • @ndeyeeeconomistplatform4835
    @ndeyeeeconomistplatform4835 2 роки тому +9

    KUMBE HILI JAMAA PUMBAVU KIASI HIKI

  • @myriamjay
    @myriamjay 2 роки тому

    sishangai Mwijaku lumuongelea Harmonize like that, kwa sababu yuko pande za Diamond kashapewa masharti kama hamchafuwi Harmonize watamnyanganya mkutaba wa wasafi bet, tumisha pata habari zote.

  • @sashahauke2032
    @sashahauke2032 2 роки тому

    Natamani angekumwagia haja ndogo ndo uondoke mnafki sana lakini sikushangai kabila lako mko hivyo nilijua tuuu hunajema kwa mwenzio wewe na mtasubiri sana hamo aanguke

  • @herimigabo1958
    @herimigabo1958 2 роки тому

    mwambino amekupa ngapi?

  • @zuwenasleiman3587
    @zuwenasleiman3587 2 роки тому +2

    Kama anachosema mwinjaku ni kweli harmonize anakosea sana

  • @issakinono9124
    @issakinono9124 2 роки тому +37

    Hili boga leo naona limeongea point dah poleni sana kajala na binti yake

  • @Dira-90
    @Dira-90 2 роки тому +45

    Mwijaku hatujasahau uliyomtendea MENINA ujue 😄🤣

    • @mapettcokenya
      @mapettcokenya 2 роки тому +1

      Alifanya nini 😂😂

    • @carinamatt1031
      @carinamatt1031 2 роки тому +3

      Kajisahaulisha huyu kajizima data

    • @haifaahoussain7787
      @haifaahoussain7787 2 роки тому +3

      Imagine ndomana lana ya menina inamuandama huyu 😂

    • @rabinzsinoya1434
      @rabinzsinoya1434 2 роки тому +3

      Mnafiki wewe, tunakumbuka mpaka leo ulivyo mzalilisha menina

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen 2 роки тому +2

      Umeonaa Kasahau 🤦🏾🙆🏽‍♀️Bado Yatamkuta Alivyomfanyia Menina☝️🤲Malipo yanakuja.

  • @abdulazizsharif2984
    @abdulazizsharif2984 2 роки тому +65

    Hakuna kitu mbaya kwa hii dunia kama ulimi wenye unafiki , umezidi unafiki Allah akuongoze

  • @anjerinasamson7209
    @anjerinasamson7209 2 роки тому +1

    Baada ya uchawa kuisha ndoo unaongea leo ulikua wap

  • @jonasstephano7680
    @jonasstephano7680 2 роки тому +17

    Uyo ndo mwijaku 😄😄😄amemfanya mtangazaji ajitemee mate

  • @hamadysalum7032
    @hamadysalum7032 2 роки тому +2

    Jeshii umeingia chakike mond jichunge kwa baba levo

  • @princesanita46
    @princesanita46 2 роки тому +28

    Penye ukweli turuhusuni kusemwa ili tujirekebishe makosa yetu ushabik mzuri ni kumuambia ukweli rafiki yako harmonize kakosea na kajala ni mtu mzima kama kweli hakupendezwa na alicho kifanya harmonize asinge rudiana nae tena ni kwa sababu yeye na mwanae hawa heshimiani hata kidogo na hawana hofu ya mungu

    • @missykalele5520
      @missykalele5520 2 роки тому

      Hiii ni mass media kuna watu wanapitia haya katika jamii na wapo kimya maisha yanasonga mwacheni kajala mna ushahidi katoka na pau

    • @mumsboy4410
      @mumsboy4410 2 роки тому +2

      mwijaku unaaibisha watu walio soma wa dree kwan uliesomea umbea tafuta kazi usiaibishe wasomi

    • @karasuyazidi8547
      @karasuyazidi8547 Рік тому

      @@missykalele5520 tofautisha mtu maarufu na asiye maarufu konde ni msanii maarufu kutembea na mama na mtoto aibuu

    • @saidikitambulio6264
      @saidikitambulio6264 Рік тому

      Umaarufu si 7bu ya kuona haibu Bali 2natakiwa na hofu y mung na tabia njema Allah a2epushe

  • @ibraheemqassim3018
    @ibraheemqassim3018 Рік тому +1

    Mwijaku nakuomba uache kuingiza dini yetu katika mambo ya kipumbavu hii mara ya mwisho nakuonya kama unafikir huwez kufanywa kitu endelea ila tusije kulaumiana acha kuingiza uislam kwenye mambo yako ya kipumbavu☝️ACHA NAKUFUATILIA

  • @celinekenedy870
    @celinekenedy870 2 роки тому +43

    Huyu jamaa ana lopokaga lkn kwa hili la nyuchi za mama na mtoto😂😂😂,, ameongea point sn zenye akili timamu,, mwijaku on it.

    • @fredysimwanza735
      @fredysimwanza735 2 роки тому +2

      Kwel bro

    • @asyamgeni9819
      @asyamgeni9819 2 роки тому +2

      Una uhakika gani mbona yeye alimuadhiri mtoto wa watu menina na huyo menina alikuwa na mtoto pia uongo bwana

    • @joscamwoshezi2986
      @joscamwoshezi2986 2 роки тому +1

      Mbona hukuonhea wakati ule.Nafiki sana

    • @celinekenedy870
      @celinekenedy870 2 роки тому +1

      @@joscamwoshezi2986 Bahat nzuri sana wewe umeelewa vzr nilicho comment,, alaf bahati mbaya sana cjaelewa ulichoandika ndugu.

    • @Wamoyothenumberone
      @Wamoyothenumberone 2 роки тому +2

      Weumejuaje kama hiki anakionge anaropoka

  • @rajabusalimu8426
    @rajabusalimu8426 2 роки тому +26

    Fata yako acha kufatilia watu unao wasifia leo kesho utawasema pia machawa hizo ndo stori za kila siku mwanaume hutakiwi kuwa mmbea

    • @BREEZY882.
      @BREEZY882. 2 роки тому

      Sasa wew mtu anaongea ulweli unachukia umelogwa ww

    • @fatmamansour676
      @fatmamansour676 2 роки тому

      @@BREEZY882. ukweli gani hebu tuambiae ulikuepo hayo anayo ongea ukayashuhudia au unamfata måneno tu hebu vuta picha alivomfanyia nandy kisa hakumpa pesa

    • @fatmamansour676
      @fatmamansour676 2 роки тому

      Huyu mnafki San lära aende kW alikiba mara harmonise sahv hiyo kubet ishamuingia ndo anataka kwenda ssa si aende tu hu'o asikae kumchafua mwenziwe

  • @shaqdizo7678
    @shaqdizo7678 2 роки тому +3

    😂😂😂😂 uchawa umeisha sasa umekuwa mchawi 😂😂

  • @wardamunguakuzidishew9399
    @wardamunguakuzidishew9399 2 роки тому +13

    Ww muongo kama ingekuwa ivo mwijaku mbona ukusema mwanzo hamo alipokosea na Ndiokwanza ulikuwa unamkuadia adi kwenye msiba wa maunda zoro ww roho inakuuma hamo kachoka kukupa pesa kama mwanamke wake Bora ungekaa kimyaa

    • @fatmamansour676
      @fatmamansour676 2 роки тому

      Hawa yye na hbaba walifanya bwege mtto w watu kila wanapotaka pesa anawapa ssa kagoma wamekaa kusema vibaya

    • @wardamunguakuzidishew9399
      @wardamunguakuzidishew9399 2 роки тому

      @@fatmamansour676 ndio walikuwa wanafanya chumio washenzi kweli wanajenga wanakula kwa pesa ya mtoto mdogo zuruma zimewajaa wapambane na Ali zao

  • @latahilehsein3749
    @latahilehsein3749 2 роки тому +8

    Mnafiki Sana Wewe unajifanya mzazi mwenyewe hekma, vipi una mdhalilisha bint wa watu Kama kweli limekuuma basi ungeli mwita huyo mwanaume na Huyo bint Kama bint Yako ukamfahamisha sio umuwanike mitandaoni, Kama ingelikuwa bint Yako anasemwa hivyo mitandaoni ingelikuwa ktk Hali Gani Wacha unafiki mwijaku

  • @victoriadaizy5277
    @victoriadaizy5277 2 роки тому +3

    Waaah mwijaku una msiba mkubwa moyoni.
    Konde boy amekunyosha kama rula. hivi ww ile scandal yako na Menina ilishia wapi vile 🙄 na tamani Konde ukuchukue mzobamzoba mpaka kituo cha police ukaeleze vizuri.😂😂

  • @cycynageragezekwambaraneza1987
    @cycynageragezekwambaraneza1987 2 роки тому +16

    ila hamonize anapigwa vita sana ilo siwe kuku bali sizani kama kajala anaweza kukubali hayo mwijaku muongo wew

    • @jareengeorge5478
      @jareengeorge5478 2 роки тому +1

      Kuhusu konde kutembea napaula nikweli.nandiomaana kajara akaamua Bora waachane.lkn mwijako anampenda kuongelea sana.yale yalishapitaaa.

    • @minjesha
      @minjesha 2 роки тому +1

      @@jareengeorge5478 harmonize hajawahi kutembea na paula,ila alimuonyesha tu sehemu zake za siri..ila hawakufanya tendo..ndio alikua anataka kulisanua ndo paula alimwambia mamake ndio wakaachana.

  • @chelseafc3990
    @chelseafc3990 2 роки тому +18

    Uko sahii mwijaku kajala hakupaswa kurudiaa na harmo coz ya kumtakaa paula

  • @winnieamanya1550
    @winnieamanya1550 2 роки тому +30

    mwijaku....wewe ni mnafiki...mnafiki saana... Khaaaaa mchwwwwww 💔

  • @halimasalim5477
    @halimasalim5477 2 роки тому +1

    Mwijaku unaongea na uchungu sanaa. Natuambie kuusu melina..ukasambaza uchi wake tanzania nzima.tupe dhambi zake..

  • @wardamunguakuzidishew9399
    @wardamunguakuzidishew9399 2 роки тому +7

    Ukuwai kuwa mchafu unajisaulisha ulichomfanyia menina ila kumbuka menina alimuachia mungu ss yatakukuta2 mengi maana ujaenda kumuomba msamahaa

    • @zamibrahim3014
      @zamibrahim3014 2 роки тому

      Kajisahau 😄 🤣 😂.

    • @wardamunguakuzidishew9399
      @wardamunguakuzidishew9399 2 роки тому

      @@zamibrahim3014 walimwengu ndio tunamkumbusha balazuri uyu kaonga pesa mahakamani na amerga kesi imefutwa

  • @fatumafatuma9931
    @fatumafatuma9931 2 роки тому +7

    Acha ujinga rayvanny anaumizwa n JUX kachukua mtto acha zako

  • @michaeljohn9070
    @michaeljohn9070 Рік тому +1

    watu wata acha kukualika kwenye nyumba zao maana unalopoka mambo ya ndani za familia ya watu,, hakika we ni mnafiki uliekubuu ,,

    • @samsoncharo9348
      @samsoncharo9348 Рік тому +1

      Bora anaye kwambia ubaya au makosa uliyo nayo huyo inawezekana akakusaidia kwa kujirekebisha tabia yako kuliko mwengine anakwambia uko sawa na ilihali sivyo.

  • @Queen_latiffa
    @Queen_latiffa 2 роки тому +8

    Kama ni kweli wewe ni mtu mzima unaye jielewa kwanini usiwakalishe chini uwambie hapa ivi na ivi sijapenda saa ukijakusema huku unapata farida gani au unamzalilisha nani kwani umewahi kumwambia acha hii tabia akakataa acha akili za kitoto wee ni mtu mzima vitu unaongea hata haviingii kichwani ujinga tu

  • @nassrasharja3106
    @nassrasharja3106 2 роки тому +11

    Huyo mnafiki anazingua sis bdo team konde💞💞💞💞💞

  • @anethd1319
    @anethd1319 2 роки тому +5

    MBONA WEWE ULIMZALILISHA MWANAMKE NA KUVUJISHA VIDEO

  • @jervinbronze9143
    @jervinbronze9143 2 роки тому +57

    #mwijaku hakika unafkri anguko la #harmonize litakuw kwaajili ya unafiki wako? Lahasha! Mungu mara zote ni mweny nguvu na uwezo mkubwa san na ajawai mwacha pekee awaye yeyote mja wake, kwa hili utaushuhudia ukubwa wa harmonize adi uzeeni mwako na kuadisia wajukuu zako. Na pekee uyu unaemwona nyoka mbele zako ndiye mfalme na mtetez wa kizazi kipya cha music industry at sikulazimishi ulikubali hili lkn moyoni mwako unalo na utakuwa nalo tuu!

    • @Kamala_thegospel
      @Kamala_thegospel 2 роки тому

      Ameeen

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 2 роки тому

      Ameeeeeeeeeen

    • @victormartin1696
      @victormartin1696 2 роки тому +1

      Natamani tuongelee muziki pekeake wala sikukatalii Harmonize is super good artist but not the best na ukiisha zungumzia kizazi kipya Harmonize hayupo huku unakutana na kina Marioo Benson Jay Melody Kusah Mabantu Lord Music Cheed Ki2ga Dayoo na wengine kibao na mfalme wa hii new generation ni Marioo japo hata chukua muda mrefu saaana kwasababu yuko na watu wanaojua nini wanafanya

    • @fatmamansour676
      @fatmamansour676 2 роки тому

      Huyu mnafiki na mchonganishi anataka kuachisha penzi la watu isitoshe kama alivomfanyia nandy ndo anataka kumfanyia huyu yaani kwa nandy je abgepanda presha a kajifungua mda sio wake kukatokea tatizo 7bu yye angesema je vile alivomfanyia kulzushia huyu watu wakimsikiliza ataachish sna watu

    • @jervinbronze9143
      @jervinbronze9143 2 роки тому

      @@victormartin1696 Kaka uwez elewa yuko ktk angle ipi lkn uyu jamaan harmonize ana Play part kubwa san ktk awa new generation ivyo atkuw mkubwa wao kaka

  • @nasraiddy3252
    @nasraiddy3252 Рік тому +4

    Wanawake jamani tufanye kazi...mtazalilika kwa ajili ya kutegemea hawa wanaume wenye pesa

  • @thedjnewbabilah1599
    @thedjnewbabilah1599 Рік тому +2

    Ata mimi mtu kama uyo si pendi mimi ni wa mozambique🇲🇿 pemba

  • @sanjookhan2120
    @sanjookhan2120 2 роки тому +26

    Mnafik hajawahii kutoka salama mbele ya Allah ole wako mwijaku

    • @anthonymwambepo7441
      @anthonymwambepo7441 2 роки тому +1

      Kweli aisee huyu jama mbele ya Mungu awezi kutoboa uongo ambao anaouongea ni zambi kubwa sana aisee

    • @khadijasalum2302
      @khadijasalum2302 2 роки тому +1

      Tuchunge ndimi zetu anavyoongea subhanallah

  • @lowasakitwiyan7758
    @lowasakitwiyan7758 2 роки тому +25

    Umeongea point nzuri kabisa brother Mwijaku🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 2 роки тому +14

    Wajifanya una diiini, na unasport kamari (Wasafi bet)

  • @walizanasiri4963
    @walizanasiri4963 2 роки тому +9

    👯💂Mwijaku apewe tuzo😂😂😂kwa maneno mazuli ya dini

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 2 роки тому +29

    Msema kweli mwijaku anasema ukweli katibuka mwijakuu uchawa umekwishaa subhannaallah 🥺🥺

    • @abdulazizsharif2984
      @abdulazizsharif2984 2 роки тому +1

      Hana akili ujinga tu na fitna zimemujaa

    • @naslee1010
      @naslee1010 2 роки тому

      Ukweli gani dada angu hizo zote ni kukosa kitu alicho kua ana pata

    • @gidionmakopa5427
      @gidionmakopa5427 2 роки тому

      @@naslee1010 K

    • @fatmamansour676
      @fatmamansour676 2 роки тому

      Muongo huyo kataka kutu hajakipata ndo mana kumbuka alivomfanyia nandy

  • @shabansaid4154
    @shabansaid4154 2 роки тому +36

    duh mwijaku umeishia kabisa tafuta maisha yako acha ujingia

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 2 роки тому +19

    Nyuchiiii ya mama Na mwana kondeboy

    • @carinamatt1031
      @carinamatt1031 2 роки тому +1

      Muongo huyu mwijaku hakuna mtu anaweza kufanya uchafu km huo mbele ya watu huyu mnafiki

    • @monstermonster3649
      @monstermonster3649 2 роки тому +3

      @@carinamatt1031
      Inawezekana Mwijaku anatia chunvi story zake lakini haya mambo yapo na hufanyika sana tu, hivyo kauli ya kusema hakuna wayafanyayo hayo labda ni wewe tu haujawahi kuyaona ila yanafanyika sana tu.

    • @carinamatt1031
      @carinamatt1031 2 роки тому +1

      @@monstermonster3649 duh basi hatari km ndo ivyo

    • @salmayusuph227
      @salmayusuph227 2 роки тому +1

      Punguza uongo mwijaku acha maisha ya watu kama mama karidhia

    • @monstermonster3649
      @monstermonster3649 2 роки тому +2

      @@salmayusuph227
      Kuridhia mama na mwana kufirimbwa? Au sijaelewa kuridhia kitu gani?

  • @sharifubakari1705
    @sharifubakari1705 2 роки тому +1

    We mbwa njaa zitakuua one day kuma wew

  • @mubarakhassan2618
    @mubarakhassan2618 2 роки тому +15

    Njaaa zinakupereka vibaya ila tafuta maisha kwanjia nyingine

    • @barakakoi5976
      @barakakoi5976 2 роки тому

      Mwijaku ako right kama nmuelewa

    • @irenejoely5589
      @irenejoely5589 2 роки тому

      mwijaku Leo nimekuelewa sana

    • @mubarakhassan2618
      @mubarakhassan2618 2 роки тому

      @@irenejoely5589 hivi mnamuelewa je huyu jamaa

    • @mwishehe2067
      @mwishehe2067 2 роки тому +1

      Njaa tu hizo kama unajua dini mbona unasapoti kamali na angalia utakuja kuwekwa ndani

    • @mubarakhassan2618
      @mubarakhassan2618 2 роки тому

      @@mwishehe2067 kabisa

  • @asmamimy8096
    @asmamimy8096 2 роки тому +1

    Apa mi namuona kaka yake na mangekimambi🤣🤣🤣🤣 aibu umepigwa kitu kizito unapambana na kuchafwana

  • @matanohassan9667
    @matanohassan9667 2 роки тому +10

    Wacha kula hela ya kamari ili uwe salama ama chako kimotoni siku moja BWEGE sanaaaaaa

  • @allyzegele6280
    @allyzegele6280 2 роки тому +20

    Hakuna kitu kama icho unaunganisha story, harmonize awezi kufanya kama unavyo ongea wewe. Tatizo umepunguzwa Konde gang

  • @marymakwega1366
    @marymakwega1366 2 роки тому +18

    Hiyo kasoro yake umeiona leo? Siku zote ulipokuwa ukimsifia hukuiona? Kulikoni? Watu tuna akili ya kupembua mambo ni bora unyamaze kuliko kujivunjia heshima, hasa ukiwa na familia kama unavyodai.

    • @fatumasaidi2592
      @fatumasaidi2592 2 роки тому

      Njia ya mwongo ni fupi katahayari huyo baba 😝😝😝

    • @paulrichard4696
      @paulrichard4696 2 роки тому

      mazuri anasifia mabaya anakosoa uyo ndo mwijaku,

  • @sadikiballack1631
    @sadikiballack1631 2 роки тому +8

    Mwinjaku upo sahihi nyuchi mbili za mwana na mama laana kubwa kofi la Mngu lipo tayali Kwake

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 2 роки тому +8

    Kama haya anasema yana ukweli, basi mmakonde ana hali mbaya sana. Kutweza utu wa mtu kwa sababu ya hali zao si haki mbele za Mungu.

  • @happyjooh8145
    @happyjooh8145 2 роки тому +4

    Safii mwijaku semaa wakati unamsema diamond walkuwa wanafulahi sasa now ni m makonde watulie tu

  • @nangatv7258
    @nangatv7258 2 роки тому +5

    Wote wampondao diamond, saiz wanabadilika, kwel daimond asemwi vbaya😂😂😂😂😂

  • @iddyissa7124
    @iddyissa7124 2 роки тому +11

    Hii nchi yaajabu🤣

  • @nizytz7273
    @nizytz7273 2 роки тому +19

    Nahamia Kenya jaman bongo nimechoka

  • @naslee1010
    @naslee1010 2 роки тому

    Acha unafiki brother kama jamaa ka kupunguza kausha acha hizo we mtoto wa kiislam

  • @emmanuelsimsokwe6244
    @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому +4

    Mm n fan mkubwa San w MWIBA leo mwijaku umenifungua San,mm nakusupport katka hilo msaad usiwe manyanyaso

  • @champion11537
    @champion11537 2 роки тому +27

    Mm konde gang Ila harmonize akili mavi sana

    • @livinjbenon8026
      @livinjbenon8026 2 роки тому

      kwan kuna kondgang?? maanayake hamonze (kondboy)

    • @agwalubifaridah7079
      @agwalubifaridah7079 2 роки тому +2

      Huyu faala alivoropokaga eti.mtoto.wa tanasha ni wake siwemuani hata kidogo,,kajala.amemtimua.kwa harmo.ndo majungu.haya yote huyu mpuumbafu trust me

  • @hurstingsmwangudzah5329
    @hurstingsmwangudzah5329 2 роки тому +23

    Kenya hakuna mambo ya machawa sijui machawi ya kulipwa pesa kusifia wasanii huu ni umbwakini tu Kwa huyu zuzu mwijaku much love @Harmonize from 254🇰🇪

    • @souvenirweber7169
      @souvenirweber7169 2 роки тому +4

      Anaongea ukweli hapa sio umbwakini

    • @leeobite5657
      @leeobite5657 2 роки тому +5

      @@souvenirweber7169 kwann hakuongea wakat akiwa chawa...au kwakua ameachwa

    • @jameskilasa759
      @jameskilasa759 2 роки тому +4

      Hatuwez fanana kwa kila kitu jamaa kenya sio tz

    • @naslee1010
      @naslee1010 2 роки тому +3

      Katika mashoga wa Tanzania nahuyu ni miongoni mwao

    • @linahsemindu4261
      @linahsemindu4261 2 роки тому

      Skutegemea Kama mwijaku leo ataongea hivi kwel ubinadam kazi😭

  • @kennedylangfell6435
    @kennedylangfell6435 2 роки тому

    Kumbe kweli huyu sio wa kumupeleka kwako..... Ila uo wote ni uongo wa hali ya juu....
    Jisafishe bro ila apo umefeli.

  • @mariamke8437
    @mariamke8437 2 роки тому +13

    Uzuri harmonize uwa ajali na maneno yenu

    • @ashamohamed1461
      @ashamohamed1461 2 роки тому +1

      Ila mungu anamuna Kama kweli kweli narudia Tena Kama kweli anayasema ipo siku atayajari tu

    • @yonicdontah6392
      @yonicdontah6392 2 роки тому +1

      @@ashamohamed1461 hamna ukweli hapo
      Kafukuzwa kule

  • @yarahstaste104
    @yarahstaste104 2 роки тому +2

    Yani story yote kumbe ilikua ataishia kwa kiba😂😂😂…. Anyway tuombeane salama pindi tunapoona mwenzetu anakosea🙏🏼. Tusimnyooshee kidole, ila tumuombe Allah amuongoze atoke kwenye shimo alilojiingiza. Hii sio karne ya kunyoosheana vidole. Muite mtu kando umkanye. Publicity haisaidii. No one is clean🙌🏻.

  • @elizamapunda6043
    @elizamapunda6043 2 роки тому +47

    Muongo sana mwijaku unaaibu looh

    • @madudumadudu9273
      @madudumadudu9273 2 роки тому +1

      Kama umeolewa bac toka na baba mkwe wako

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا 2 роки тому +3

      Hunaakili Wewe. Ndio nyinyi mnaolala NA baba zenu

    • @ibrahdedonny4073
      @ibrahdedonny4073 2 роки тому +1

      Leo yamewafika nyinyi Konde Gang ndo mmeamin huyu ni muongo

    • @ibrahdedonny4073
      @ibrahdedonny4073 2 роки тому +1

      Mmechelewa xana acha mchambuliwe na nyie, Sisi WCB tumezoea kero za huyu

  • @phiniaskamara3008
    @phiniaskamara3008 2 роки тому +2

    Tafutaaa helaa Ww msegee acha ujingaaaa

  • @kamandamkuu4g57
    @kamandamkuu4g57 2 роки тому +27

    Mwijaku wewe nimtu Saii Sana

  • @MrSokwe
    @MrSokwe Рік тому +1

    Ukweli ni kwamba Harmonize anajipoteza mwenyewe ila haoni kwasababu pesa zimemlevya kiasi kwamba haoni matendo yake na kujiondolea baraka zake ambayo ndio mafanikio yake.

  • @mwisukulu1
    @mwisukulu1 2 роки тому +12

    kajala atakuwa kampunguza jamaa😂😂😂

  • @tumainiyusuph420
    @tumainiyusuph420 2 роки тому +1

    Akuna dhambi kubwa zote ni sawa na ukitubu unasamehewa

  • @mimifineliving2022
    @mimifineliving2022 2 роки тому +3

    Mtu yeyote mwenye akili timamu akae mbali na mtu huyu. Siri zenu hazipo safe

  • @officialAlAbdul
    @officialAlAbdul 2 роки тому +12

    hakika n bora kuwa mtu wakawaida kuliko kuwa mtu marufu na auna kipato yan utaibika sana

  • @jescaemmanuel100
    @jescaemmanuel100 Рік тому +1

    Hiyo pua ya mwijaku tuu mi hoi 😄😄😄😄😄😄😄😄🙌🙌🙌

  • @fatumafatuma9931
    @fatumafatuma9931 2 роки тому +6

    Mbna ukumwambia kutoka ile sku ulipowaona wanayafanya...alfu mbna unatudabganya na paula yuko n JUX acha kutudanganya ww

  • @wananchii
    @wananchii 2 роки тому

    Ukiangalia tu macho ya haka kanafki unapata picha halisi ya ukike ukike wake alionao. Badala atafte pesa kama wengine anaishi mjin akitegemea mdomo. Kifala sana hiki

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 2 роки тому +3

    Hv hyu mwislamu kwel?🤣🤣🤣🤣🙄ukifatilia hpa harmonise kamnyima hela,kwan tumesahau inshu ya nandy juz hahaha nafk hil

  • @Cao_ZeKai
    @Cao_ZeKai 2 роки тому +1

    ila huyu nae bana kazidi achunge mdomo wake bana. yaani hiyo ndiyo shida ya watu wanaopata senti chache, anavyoongea hapo hamuumizi haormonize mimi naona anamdhalilisha Kajala

  • @wardamunguakuzidishew9399
    @wardamunguakuzidishew9399 2 роки тому +6

    Alafu usitukane mshenzi mkubwa raivani usimkaribishe uyu naona anataka kujiweka kwako

  • @ZINDUKAMUISILAMU30
    @ZINDUKAMUISILAMU30 2 роки тому +2

    Interview za siku hizi muhojiji anauliza mara moja tu kazi yake imeisha hapo nikuporoja Kwa muhojiwaji tu

  • @fatumafatuma9931
    @fatumafatuma9931 2 роки тому +5

    Muhongo muhongoooo mwijaku nimekuita mara ngapi...
    Umemwagwa tulia

  • @asmamimy8096
    @asmamimy8096 2 роки тому +1

    Ndo umeamuwa kumcafuwa ivo🤭sikuamini hata kidogo wewe unatamaa tu huna ca urafiki wala nini

  • @Suka_Dm_Guy
    @Suka_Dm_Guy 2 роки тому +24

    Nimekuelewa sana bro mwinjaku unapoongea vitu vya msingi unanyooka kama inavyotakiwa big up kwa hilo

  • @yarahstaste104
    @yarahstaste104 2 роки тому +1

    Hapo kwa kutema mate tumboni sasa😂😂 khaaa Mwijaku banaa🤣… kwani kuapa haitoshi hadi mate bana🤣🤣🙌🏻

  • @zulphaadam4671
    @zulphaadam4671 2 роки тому +10

    Ni kharaaaamu 😂 daaah, mwijakuu😂

  • @fathiyasalim3946
    @fathiyasalim3946 2 роки тому

    Mtume aliwaachia hurumateka wote.

  • @mlenglewis1747
    @mlenglewis1747 2 роки тому +4

    Leo hataki ata kumtaja jina🤣🤣😂

    • @joycendanundanu9218
      @joycendanundanu9218 2 роки тому

      😂😂😂😂😂😂Comments za leo fire🔥🔥🔥🔥. itakuwa hamjui 😂😂

    • @mlenglewis1747
      @mlenglewis1747 2 роки тому

      @@joycendanundanu9218 vathei🤣🤣😂

  • @bbycandy3979
    @bbycandy3979 2 роки тому +19

    Conde for life 🔥🔥🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @aminamikidadi7754
    @aminamikidadi7754 2 роки тому

    Leo hii mwijaku !!!!...... makubwa ya malimwengu hukuyasema kitambo wajayasema leo .....Mmmh!!!!!! Yng macho na masikio .....

  • @yustayusuph9101
    @yustayusuph9101 2 роки тому +25

    😀😀😀😀👌🤸🤸🤸 hii inaitwa akuanzae mmalize 💪🔥🔥🔥🤸🤸🤸

    • @monstermonster3649
      @monstermonster3649 2 роки тому +1

      Fact, vita ni vita Mura.
      🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @mdta8161
      @mdta8161 2 роки тому

      Kachokoza pabaya

  • @Zorobwoy
    @Zorobwoy 2 роки тому

    #harmonize ni bingwa acha mdomo wewe

  • @shinevira
    @shinevira 2 роки тому +13

    No mutters what you can say about @Hamonaize Hakuna mwenye atamuweza
    Tunampenda saaana

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 2 роки тому

      Unampenda ww na nani?? Mbona unatusemea na sisi??

    • @shinevira
      @shinevira 2 роки тому

      @@kassimrajabu7805 @Hamonaize ni kiboko yawo

  • @ngayaimkwe5175
    @ngayaimkwe5175 2 роки тому

    Mnafki kiwete unatafuta namna ya kujiweka sawa

  • @bigdaddy_faustinjumong4427
    @bigdaddy_faustinjumong4427 2 роки тому +7

    #Mange kimambi alikutabili.kwamba iposiku.dadanmange ongelawewe jembe laah🔥💪

    • @mashakamadenge6584
      @mashakamadenge6584 2 роки тому +1

      wewe ,wojaku ma h bb n bb levo mnauwa vipaji tazania

  • @mapenzishindoshindo4939
    @mapenzishindoshindo4939 2 роки тому +1

    Wewe mwijaku muogope mungu wako basi😏😏😏😏

  • @yohanaally4544
    @yohanaally4544 2 роки тому +13

    Kumbe hili jana nilijinga kiasi ichini ili amnazo

  • @blaqplatnumz801
    @blaqplatnumz801 2 роки тому

    Leo umeongeya baba mwaga nimakafiri hao

  • @suntzu8959
    @suntzu8959 2 роки тому +18

    A. Person who can market you is also capable of de-markerting you

    • @allybakari8558
      @allybakari8558 2 роки тому +1

      Absolutely 👍 ttZo huyo jamaa anayoongea hapo anawwza akawa anatunga tu

    • @pilimwanza8117
      @pilimwanza8117 2 роки тому

      Harmonize hakuwa promoted na huyu kimziki ila ni jitihada zake km unakumbuka interview kibao kafanya hata hizo nyimbo hazijui za Harmonize

    • @pilimwanza8117
      @pilimwanza8117 2 роки тому

      @@allybakari8558 yaani kwa kumsikiliza tu ndo hujagundua km anatunga. Imagine mara Harmonize akishikwa kifua na Paula akitokea kajala anakimbia. Mara ohh mama na mwana wanamfanyia massage pamoja wakiwa hawana nguo mh

    • @omarsalimomar6293
      @omarsalimomar6293 2 роки тому

      This is heavy

  • @abdulswaibu801
    @abdulswaibu801 2 роки тому

    Wenimsalitiharmonizealikubebasanailanjaazakonatamaavinakuangaisha jamanituachiejeshiletu