Mwijaku Afunguka Bifu na Harmonize Kutembea na Paula mbele ya Kajala Kufukuza Wasanii KondeGang
Вставка
- Опубліковано 30 вер 2024
- Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
Napenda maongezi ya Mwijaku sana although am from Kenya 🇰🇪 but this guy gives good advices 💪🏾
Eeehe kime fukuzwa hata hivo🤣🤣🤣🤣🤣
Kinini
The guy is a hypocrite
Nayamakwaza unawonge maneno mazuri
Y say although ur from Kenya?
Kama unaona anachokisema huyu niuongo weka like
Yote hayo sababu umefukuzwa wewe ulikuwa unamsifia paula na mamayake wewe bogazi kaungane na h baba umepewa talaka.
Fact
Apana ukweli na usemwe
@@amoratyclamar6215 kwa ukweli gn Huo Unafki au
Ila
We mshenzi Sana mwijaku unapenda Sana kufuatilia maisha ya konde vp njaa inakusumbua
Ndio maana Ally Kiba hawataki watu kama akina Mwijaku,maana anajua utapeli wao.
Mwijaku hela mbaya sana ukinyimwa unaanza kitu kama na kutumia dini ya kislamu ndani tuachie dini usitajetaje sana umekua mpumbavu sana
Team konde gang mkubali mkatae huo ndio ukweli huyo mmakonde anamambo yakiwaki sana hamjiulizi why kila siku yeye
Umemgeuka konde kweli hata vitabu vya dini tulisoma yuda alimgeuka yesu
KUMBE HILI JAMAA PUMBAVU KIASI HIKI
sishangai Mwijaku lumuongelea Harmonize like that, kwa sababu yuko pande za Diamond kashapewa masharti kama hamchafuwi Harmonize watamnyanganya mkutaba wa wasafi bet, tumisha pata habari zote.
Natamani angekumwagia haja ndogo ndo uondoke mnafki sana lakini sikushangai kabila lako mko hivyo nilijua tuuu hunajema kwa mwenzio wewe na mtasubiri sana hamo aanguke
mwambino amekupa ngapi?
Kama anachosema mwinjaku ni kweli harmonize anakosea sana
NI KWELI
Hili boga leo naona limeongea point dah poleni sana kajala na binti yake
Pont gan na ww
Unauhakikaaaa na anacho ongea?
mmh!!
Mwijaku hatujasahau uliyomtendea MENINA ujue 😄🤣
Alifanya nini 😂😂
Kajisahaulisha huyu kajizima data
Imagine ndomana lana ya menina inamuandama huyu 😂
Mnafiki wewe, tunakumbuka mpaka leo ulivyo mzalilisha menina
Umeonaa Kasahau 🤦🏾🙆🏽♀️Bado Yatamkuta Alivyomfanyia Menina☝️🤲Malipo yanakuja.
Hakuna kitu mbaya kwa hii dunia kama ulimi wenye unafiki , umezidi unafiki Allah akuongoze
ua-cam.com/video/WWLysrZ6vTw/v-deo.html
Haujui maana ya unafiki wewe
👍👍👍👍👍👍👍
@@Wamoyothenumberone wacha uchawi ndugu
Bro usiufungie macho ukweli kisa ushabiki ati unafiki unajua unafiki ww
Baada ya uchawa kuisha ndoo unaongea leo ulikua wap
Uyo ndo mwijaku 😄😄😄amemfanya mtangazaji ajitemee mate
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂🤣🤣🤣🙌🙌
😂
😂😂😂😂
😅😅
Jeshii umeingia chakike mond jichunge kwa baba levo
Haahaaah hawa machawa sasa changamoto
Penye ukweli turuhusuni kusemwa ili tujirekebishe makosa yetu ushabik mzuri ni kumuambia ukweli rafiki yako harmonize kakosea na kajala ni mtu mzima kama kweli hakupendezwa na alicho kifanya harmonize asinge rudiana nae tena ni kwa sababu yeye na mwanae hawa heshimiani hata kidogo na hawana hofu ya mungu
Hiii ni mass media kuna watu wanapitia haya katika jamii na wapo kimya maisha yanasonga mwacheni kajala mna ushahidi katoka na pau
mwijaku unaaibisha watu walio soma wa dree kwan uliesomea umbea tafuta kazi usiaibishe wasomi
@@missykalele5520 tofautisha mtu maarufu na asiye maarufu konde ni msanii maarufu kutembea na mama na mtoto aibuu
Umaarufu si 7bu ya kuona haibu Bali 2natakiwa na hofu y mung na tabia njema Allah a2epushe
Mwijaku nakuomba uache kuingiza dini yetu katika mambo ya kipumbavu hii mara ya mwisho nakuonya kama unafikir huwez kufanywa kitu endelea ila tusije kulaumiana acha kuingiza uislam kwenye mambo yako ya kipumbavu☝️ACHA NAKUFUATILIA
Huyu jamaa ana lopokaga lkn kwa hili la nyuchi za mama na mtoto😂😂😂,, ameongea point sn zenye akili timamu,, mwijaku on it.
Kwel bro
Una uhakika gani mbona yeye alimuadhiri mtoto wa watu menina na huyo menina alikuwa na mtoto pia uongo bwana
Mbona hukuonhea wakati ule.Nafiki sana
@@joscamwoshezi2986 Bahat nzuri sana wewe umeelewa vzr nilicho comment,, alaf bahati mbaya sana cjaelewa ulichoandika ndugu.
Weumejuaje kama hiki anakionge anaropoka
Fata yako acha kufatilia watu unao wasifia leo kesho utawasema pia machawa hizo ndo stori za kila siku mwanaume hutakiwi kuwa mmbea
Sasa wew mtu anaongea ulweli unachukia umelogwa ww
@@BREEZY882. ukweli gani hebu tuambiae ulikuepo hayo anayo ongea ukayashuhudia au unamfata måneno tu hebu vuta picha alivomfanyia nandy kisa hakumpa pesa
Huyu mnafki San lära aende kW alikiba mara harmonise sahv hiyo kubet ishamuingia ndo anataka kwenda ssa si aende tu hu'o asikae kumchafua mwenziwe
😂😂😂😂 uchawa umeisha sasa umekuwa mchawi 😂😂
Hahahahaaaaa htr sanaaaa
Ww muongo kama ingekuwa ivo mwijaku mbona ukusema mwanzo hamo alipokosea na Ndiokwanza ulikuwa unamkuadia adi kwenye msiba wa maunda zoro ww roho inakuuma hamo kachoka kukupa pesa kama mwanamke wake Bora ungekaa kimyaa
Hawa yye na hbaba walifanya bwege mtto w watu kila wanapotaka pesa anawapa ssa kagoma wamekaa kusema vibaya
@@fatmamansour676 ndio walikuwa wanafanya chumio washenzi kweli wanajenga wanakula kwa pesa ya mtoto mdogo zuruma zimewajaa wapambane na Ali zao
Mnafiki Sana Wewe unajifanya mzazi mwenyewe hekma, vipi una mdhalilisha bint wa watu Kama kweli limekuuma basi ungeli mwita huyo mwanaume na Huyo bint Kama bint Yako ukamfahamisha sio umuwanike mitandaoni, Kama ingelikuwa bint Yako anasemwa hivyo mitandaoni ingelikuwa ktk Hali Gani Wacha unafiki mwijaku
Kabisa, huyu jamaa anaigiza tu
Jamaa kiande sana
@@kazizaidi1695 kiande ni nini mm ni mkenya sijui hicho kiswahili 😰😃😃
Waaah mwijaku una msiba mkubwa moyoni.
Konde boy amekunyosha kama rula. hivi ww ile scandal yako na Menina ilishia wapi vile 🙄 na tamani Konde ukuchukue mzobamzoba mpaka kituo cha police ukaeleze vizuri.😂😂
ila hamonize anapigwa vita sana ilo siwe kuku bali sizani kama kajala anaweza kukubali hayo mwijaku muongo wew
Kuhusu konde kutembea napaula nikweli.nandiomaana kajara akaamua Bora waachane.lkn mwijako anampenda kuongelea sana.yale yalishapitaaa.
@@jareengeorge5478 harmonize hajawahi kutembea na paula,ila alimuonyesha tu sehemu zake za siri..ila hawakufanya tendo..ndio alikua anataka kulisanua ndo paula alimwambia mamake ndio wakaachana.
Uko sahii mwijaku kajala hakupaswa kurudiaa na harmo coz ya kumtakaa paula
mwijaku....wewe ni mnafiki...mnafiki saana... Khaaaaa mchwwwwww 💔
😁
Mbaya zaidi anajua dini mnafki sana huyu
Ukwel utabaki kuwa huru
Unajuaje Kama ni mnafiki
@@shanelmbunga1301 mbona hakuyasema Kabla ya Kufukuzwa
Mwijaku unaongea na uchungu sanaa. Natuambie kuusu melina..ukasambaza uchi wake tanzania nzima.tupe dhambi zake..
Ukuwai kuwa mchafu unajisaulisha ulichomfanyia menina ila kumbuka menina alimuachia mungu ss yatakukuta2 mengi maana ujaenda kumuomba msamahaa
Kajisahau 😄 🤣 😂.
@@zamibrahim3014 walimwengu ndio tunamkumbusha balazuri uyu kaonga pesa mahakamani na amerga kesi imefutwa
Acha ujinga rayvanny anaumizwa n JUX kachukua mtto acha zako
watu wata acha kukualika kwenye nyumba zao maana unalopoka mambo ya ndani za familia ya watu,, hakika we ni mnafiki uliekubuu ,,
Bora anaye kwambia ubaya au makosa uliyo nayo huyo inawezekana akakusaidia kwa kujirekebisha tabia yako kuliko mwengine anakwambia uko sawa na ilihali sivyo.
Kama ni kweli wewe ni mtu mzima unaye jielewa kwanini usiwakalishe chini uwambie hapa ivi na ivi sijapenda saa ukijakusema huku unapata farida gani au unamzalilisha nani kwani umewahi kumwambia acha hii tabia akakataa acha akili za kitoto wee ni mtu mzima vitu unaongea hata haviingii kichwani ujinga tu
Huyo mnafiki anazingua sis bdo team konde💞💞💞💞💞
Hajakwambia uache
MBONA WEWE ULIMZALILISHA MWANAMKE NA KUVUJISHA VIDEO
#mwijaku hakika unafkri anguko la #harmonize litakuw kwaajili ya unafiki wako? Lahasha! Mungu mara zote ni mweny nguvu na uwezo mkubwa san na ajawai mwacha pekee awaye yeyote mja wake, kwa hili utaushuhudia ukubwa wa harmonize adi uzeeni mwako na kuadisia wajukuu zako. Na pekee uyu unaemwona nyoka mbele zako ndiye mfalme na mtetez wa kizazi kipya cha music industry at sikulazimishi ulikubali hili lkn moyoni mwako unalo na utakuwa nalo tuu!
Ameeen
Ameeeeeeeeeen
Natamani tuongelee muziki pekeake wala sikukatalii Harmonize is super good artist but not the best na ukiisha zungumzia kizazi kipya Harmonize hayupo huku unakutana na kina Marioo Benson Jay Melody Kusah Mabantu Lord Music Cheed Ki2ga Dayoo na wengine kibao na mfalme wa hii new generation ni Marioo japo hata chukua muda mrefu saaana kwasababu yuko na watu wanaojua nini wanafanya
Huyu mnafiki na mchonganishi anataka kuachisha penzi la watu isitoshe kama alivomfanyia nandy ndo anataka kumfanyia huyu yaani kwa nandy je abgepanda presha a kajifungua mda sio wake kukatokea tatizo 7bu yye angesema je vile alivomfanyia kulzushia huyu watu wakimsikiliza ataachish sna watu
@@victormartin1696 Kaka uwez elewa yuko ktk angle ipi lkn uyu jamaan harmonize ana Play part kubwa san ktk awa new generation ivyo atkuw mkubwa wao kaka
Wanawake jamani tufanye kazi...mtazalilika kwa ajili ya kutegemea hawa wanaume wenye pesa
Ata mimi mtu kama uyo si pendi mimi ni wa mozambique🇲🇿 pemba
Mnafik hajawahii kutoka salama mbele ya Allah ole wako mwijaku
Kweli aisee huyu jama mbele ya Mungu awezi kutoboa uongo ambao anaouongea ni zambi kubwa sana aisee
Tuchunge ndimi zetu anavyoongea subhanallah
Umeongea point nzuri kabisa brother Mwijaku🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Wajifanya una diiini, na unasport kamari (Wasafi bet)
👯💂Mwijaku apewe tuzo😂😂😂kwa maneno mazuli ya dini
Anaongea
Msema kweli mwijaku anasema ukweli katibuka mwijakuu uchawa umekwishaa subhannaallah 🥺🥺
Hana akili ujinga tu na fitna zimemujaa
Ukweli gani dada angu hizo zote ni kukosa kitu alicho kua ana pata
@@naslee1010 K
Muongo huyo kataka kutu hajakipata ndo mana kumbuka alivomfanyia nandy
duh mwijaku umeishia kabisa tafuta maisha yako acha ujingia
Nyuchiiii ya mama Na mwana kondeboy
Muongo huyu mwijaku hakuna mtu anaweza kufanya uchafu km huo mbele ya watu huyu mnafiki
@@carinamatt1031
Inawezekana Mwijaku anatia chunvi story zake lakini haya mambo yapo na hufanyika sana tu, hivyo kauli ya kusema hakuna wayafanyayo hayo labda ni wewe tu haujawahi kuyaona ila yanafanyika sana tu.
@@monstermonster3649 duh basi hatari km ndo ivyo
Punguza uongo mwijaku acha maisha ya watu kama mama karidhia
@@salmayusuph227
Kuridhia mama na mwana kufirimbwa? Au sijaelewa kuridhia kitu gani?
We mbwa njaa zitakuua one day kuma wew
Njaaa zinakupereka vibaya ila tafuta maisha kwanjia nyingine
Mwijaku ako right kama nmuelewa
mwijaku Leo nimekuelewa sana
@@irenejoely5589 hivi mnamuelewa je huyu jamaa
Njaa tu hizo kama unajua dini mbona unasapoti kamali na angalia utakuja kuwekwa ndani
@@mwishehe2067 kabisa
Apa mi namuona kaka yake na mangekimambi🤣🤣🤣🤣 aibu umepigwa kitu kizito unapambana na kuchafwana
Wacha kula hela ya kamari ili uwe salama ama chako kimotoni siku moja BWEGE sanaaaaaa
Hakuna kitu kama icho unaunganisha story, harmonize awezi kufanya kama unavyo ongea wewe. Tatizo umepunguzwa Konde gang
Kweli
Hiyo kasoro yake umeiona leo? Siku zote ulipokuwa ukimsifia hukuiona? Kulikoni? Watu tuna akili ya kupembua mambo ni bora unyamaze kuliko kujivunjia heshima, hasa ukiwa na familia kama unavyodai.
Njia ya mwongo ni fupi katahayari huyo baba 😝😝😝
mazuri anasifia mabaya anakosoa uyo ndo mwijaku,
Mwinjaku upo sahihi nyuchi mbili za mwana na mama laana kubwa kofi la Mngu lipo tayali Kwake
Kama haya anasema yana ukweli, basi mmakonde ana hali mbaya sana. Kutweza utu wa mtu kwa sababu ya hali zao si haki mbele za Mungu.
Safii mwijaku semaa wakati unamsema diamond walkuwa wanafulahi sasa now ni m makonde watulie tu
Wote wampondao diamond, saiz wanabadilika, kwel daimond asemwi vbaya😂😂😂😂😂
Hii nchi yaajabu🤣
Sana aseee duuh
Nahamia Kenya jaman bongo nimechoka
Nauli unayo? 😂😂
Mi nip airport hapa nakusubil tugo ote
@@masala04official22 😄😄
Karibu
@@dushdollshow Asante nishaanza kupata wenyeji
Acha unafiki brother kama jamaa ka kupunguza kausha acha hizo we mtoto wa kiislam
Mm n fan mkubwa San w MWIBA leo mwijaku umenifungua San,mm nakusupport katka hilo msaad usiwe manyanyaso
Mm konde gang Ila harmonize akili mavi sana
kwan kuna kondgang?? maanayake hamonze (kondboy)
Huyu faala alivoropokaga eti.mtoto.wa tanasha ni wake siwemuani hata kidogo,,kajala.amemtimua.kwa harmo.ndo majungu.haya yote huyu mpuumbafu trust me
Kenya hakuna mambo ya machawa sijui machawi ya kulipwa pesa kusifia wasanii huu ni umbwakini tu Kwa huyu zuzu mwijaku much love @Harmonize from 254🇰🇪
Anaongea ukweli hapa sio umbwakini
@@souvenirweber7169 kwann hakuongea wakat akiwa chawa...au kwakua ameachwa
Hatuwez fanana kwa kila kitu jamaa kenya sio tz
Katika mashoga wa Tanzania nahuyu ni miongoni mwao
Skutegemea Kama mwijaku leo ataongea hivi kwel ubinadam kazi😭
Kumbe kweli huyu sio wa kumupeleka kwako..... Ila uo wote ni uongo wa hali ya juu....
Jisafishe bro ila apo umefeli.
Uzuri harmonize uwa ajali na maneno yenu
Ila mungu anamuna Kama kweli kweli narudia Tena Kama kweli anayasema ipo siku atayajari tu
@@ashamohamed1461 hamna ukweli hapo
Kafukuzwa kule
Yani story yote kumbe ilikua ataishia kwa kiba😂😂😂…. Anyway tuombeane salama pindi tunapoona mwenzetu anakosea🙏🏼. Tusimnyooshee kidole, ila tumuombe Allah amuongoze atoke kwenye shimo alilojiingiza. Hii sio karne ya kunyoosheana vidole. Muite mtu kando umkanye. Publicity haisaidii. No one is clean🙌🏻.
Muongo sana mwijaku unaaibu looh
Kama umeolewa bac toka na baba mkwe wako
Hunaakili Wewe. Ndio nyinyi mnaolala NA baba zenu
Leo yamewafika nyinyi Konde Gang ndo mmeamin huyu ni muongo
Mmechelewa xana acha mchambuliwe na nyie, Sisi WCB tumezoea kero za huyu
Tafutaaa helaa Ww msegee acha ujingaaaa
Mwijaku wewe nimtu Saii Sana
Ukweli ni kwamba Harmonize anajipoteza mwenyewe ila haoni kwasababu pesa zimemlevya kiasi kwamba haoni matendo yake na kujiondolea baraka zake ambayo ndio mafanikio yake.
kajala atakuwa kampunguza jamaa😂😂😂
Akuna dhambi kubwa zote ni sawa na ukitubu unasamehewa
Mtu yeyote mwenye akili timamu akae mbali na mtu huyu. Siri zenu hazipo safe
hakika n bora kuwa mtu wakawaida kuliko kuwa mtu marufu na auna kipato yan utaibika sana
Hiyo pua ya mwijaku tuu mi hoi 😄😄😄😄😄😄😄😄🙌🙌🙌
Mbna ukumwambia kutoka ile sku ulipowaona wanayafanya...alfu mbna unatudabganya na paula yuko n JUX acha kutudanganya ww
🤣🤣🤣 muongo huyu🤣🤣
Ukiangalia tu macho ya haka kanafki unapata picha halisi ya ukike ukike wake alionao. Badala atafte pesa kama wengine anaishi mjin akitegemea mdomo. Kifala sana hiki
Hv hyu mwislamu kwel?🤣🤣🤣🤣🙄ukifatilia hpa harmonise kamnyima hela,kwan tumesahau inshu ya nandy juz hahaha nafk hil
😹😹
ila huyu nae bana kazidi achunge mdomo wake bana. yaani hiyo ndiyo shida ya watu wanaopata senti chache, anavyoongea hapo hamuumizi haormonize mimi naona anamdhalilisha Kajala
Alafu usitukane mshenzi mkubwa raivani usimkaribishe uyu naona anataka kujiweka kwako
Interview za siku hizi muhojiji anauliza mara moja tu kazi yake imeisha hapo nikuporoja Kwa muhojiwaji tu
😂😂😂😂😂
Muhongo muhongoooo mwijaku nimekuita mara ngapi...
Umemwagwa tulia
Ndo umeamuwa kumcafuwa ivo🤭sikuamini hata kidogo wewe unatamaa tu huna ca urafiki wala nini
Nimekuelewa sana bro mwinjaku unapoongea vitu vya msingi unanyooka kama inavyotakiwa big up kwa hilo
Leo nimekuelewa jaku,,huo ndo ukweli
Hapo kwa kutema mate tumboni sasa😂😂 khaaa Mwijaku banaa🤣… kwani kuapa haitoshi hadi mate bana🤣🤣🙌🏻
Ni kharaaaamu 😂 daaah, mwijakuu😂
Mtume aliwaachia hurumateka wote.
Leo hataki ata kumtaja jina🤣🤣😂
😂😂😂😂😂😂Comments za leo fire🔥🔥🔥🔥. itakuwa hamjui 😂😂
@@joycendanundanu9218 vathei🤣🤣😂
Conde for life 🔥🔥🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Anavongea ukweli mwijaku
Unaongea ukweli mtupu mwijaku
😂
Leo hii mwijaku !!!!...... makubwa ya malimwengu hukuyasema kitambo wajayasema leo .....Mmmh!!!!!! Yng macho na masikio .....
😀😀😀😀👌🤸🤸🤸 hii inaitwa akuanzae mmalize 💪🔥🔥🔥🤸🤸🤸
Fact, vita ni vita Mura.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kachokoza pabaya
#harmonize ni bingwa acha mdomo wewe
No mutters what you can say about @Hamonaize Hakuna mwenye atamuweza
Tunampenda saaana
Unampenda ww na nani?? Mbona unatusemea na sisi??
@@kassimrajabu7805 @Hamonaize ni kiboko yawo
Mnafki kiwete unatafuta namna ya kujiweka sawa
#Mange kimambi alikutabili.kwamba iposiku.dadanmange ongelawewe jembe laah🔥💪
wewe ,wojaku ma h bb n bb levo mnauwa vipaji tazania
Wewe mwijaku muogope mungu wako basi😏😏😏😏
Kumbe hili jana nilijinga kiasi ichini ili amnazo
Leo umeongeya baba mwaga nimakafiri hao
A. Person who can market you is also capable of de-markerting you
Absolutely 👍 ttZo huyo jamaa anayoongea hapo anawwza akawa anatunga tu
Harmonize hakuwa promoted na huyu kimziki ila ni jitihada zake km unakumbuka interview kibao kafanya hata hizo nyimbo hazijui za Harmonize
@@allybakari8558 yaani kwa kumsikiliza tu ndo hujagundua km anatunga. Imagine mara Harmonize akishikwa kifua na Paula akitokea kajala anakimbia. Mara ohh mama na mwana wanamfanyia massage pamoja wakiwa hawana nguo mh
This is heavy
Wenimsalitiharmonizealikubebasanailanjaazakonatamaavinakuangaisha jamanituachiejeshiletu