Chemical Ft Malkia Karen - Unanifaa (Official Video)
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- For Bookings and enquiries;
Email: chemicaltz1@gmail.com
Catch Up with Chemical on
Instagram: / chemical_tz
Twitter: / chemical_tz
Facebook: / chemicalofficial
ITUNES:itunes.apple.c...
SPOTIFY:open.spotify.c...
TIDAL: tidal.com/browse/artist/15739491?play=true
For Bookings: Contact +255 787 012 490
Email: chemicaltz1@gmail.com
Subscribe on Chemical UA-cam Channel: / @chemical_tz
Ngoma kali ana mkubali Chemical ametisha weka like twende sawa
Nakupenda zaidi ya mziiki
Nakubali
Kama ngekupata ngejitoa kafara
Kuna wasaniii wanapendeza sana machoni bana na song linabembeleza wapi like za chemical
Chemical nakupenda sana ndomana nakuitaga “my Tanzanian wife!”🙌🙌🙌💎 huu wimbo nawusikiza mara kama 10 kwa siku! Malkia Karen sasa ndo akamarizia kila kitu❤️❤️❤️❤️🇹🇿🇧🇮🇺🇸🔥🔥🔥🔥👊🍹
Kama nawewe unakubali kua aloimba kiitikio atakuja kua mkali zaid ya nandy gonga like
Mwisho wa Nandy Umefikaa 😂😅😆
Mtoto wa marehem Gardner
Kama unamkubal kareni achia like
Chorus sasaaaaaaa......Mamaaaaaaa Karen umeumizaaaaa
🥰🥰🤛
Kweli chemi
Ata we umeua❤❤
@@nicerjoseph2904ivi chemical uwa niwa kiume au wa kike🙄
Du!!! Mungu wangu chamical nakupenda mno
Chemical nimezimiss swagger zako Bora umerudi
Hii naicheza hadi mauti,,, my love for chemi gal 💖💖💖💖💖
Chemical is SUPER TALENTED RAPPER
Like nyingi kwa chemical
We mkali hakuna mpinzani.... Big up sana!!!
Karen umenimaliza na chorus from+254 Chemical pamoja
Kazi kali sana Dada Chemical huwajahi niangusha Dats true
Karen sauti tamu sana...nyie watoto hakuna kama nyinyie
Kama umeludia kuanglia ili song gonga like ap
Binafsi
Nimekubal
Hiyo
Song
Sijawahi juta kuangalia video wala kusikiliza ngoma zako. Hongera kwa UNO🔥🔥🔥
Chemical Nakukubali kama Jina Lako ,,,,,kissss
Wow! Gd staff 4 sure, Alafu Karen una sauti classic napenda unavyovaa tu mm 😙😙
My best female hiphop star in Tz...Good job malkia Karen
Nimeilewa sana iii song ni moto chemical unakosea kabisa kumuweka caren yn daaaah nouma
Daaaah wimbo mtaamu kweli,,, Mimi ndo chemical ""boy"" na kareen ""girl""ndo Dem wang
Karen jamn mi nakupenda snaa... anyway mmetisha pia napenda kuona watoto wa kike mkishirikiana hvo😍😍
🔥🔥🔥🔥 wewe Mtoto Nakuja Kutoa Mahali
Aliyeimba kiitikio muangalien kwajicho la tatu atakuja afunike watu Kama unakubali gonga like hata tano tu
Ngoma tamu..much love
Pamoja chemical nimeipenda hiyo ngoma kinomanoma
Pamoja Sana wimbo mmeutendea haki
From +254 i appreciated ua job ma dia,pamoja xana nani kama chemical,, after papa jonhs wewe ndo unafuata kwa wale raper naokubali
Hataleee utabaki kuwa wewe tuu tz one
Chemical wewe huna mpinzani unajuwa sanaa
Kama kawaida yako nakuelewa sanaa hukoseagi
Mamy naona kabisaaa unaniosha Kinoma nakuambia duh!!
Alot of good music is underestimated in Bongo, lovely song.
Sijui kwann nimechelewa kuionaaaa
Kaz nzur dadaz
Soo talented ♥️
Sana chamical big up Mungu akuzidishie wepesi i like yr music
Chemical yupo tofauti Sana'a yaan me namkubalii na ninampenda sana chemical na msfananishe chemical na rosaree yule mtfta kiki tu nakachukia
aaah wapi mimi sisamehi kwa kweli...
potelea pote
Karen Aliua sana huu wimbo🔥🔥🔥
Nakupenda sana chemikal 💋💋💋💖💖
Nimekuja sababu ya king kiba kumtaja huyu dada kweli anajua aisee
Nawa penda sana
Wanaokubali chemical afananishwi na aliefanya xxx akafungiwa juzi gonga like
Ww Gades yupo juu sn huwezi mfananisha na chemical sema nd vle umagharibi mwingi tu...
Daaaah hawa watuui wako vzr Sanaa's
Ukiacha ujinga wako ww nimsanii mzuri sanaa
Goma kari san big up chemical
Kama umelielewa hii tena Kali zifike 100 like
Mocco
Chemical
Karen
Bonge moja la combination
Bonge la rapa sema umekosa waandaaji wa Audio
##dah mwanang Umeuaaah##🥰🥰🥰
Ngoma kali sana nimependa mnooo
mi nakubali sana chemical unaweza sana ujawai kutuangusha bi mdada
daaah napenda chemical anavyorelax kma hafany game ya bongo hv
Wajina wangu yuko pw sana
Watching it daily
Nkiweka tyuu bando naanza na hiii
Young ma from bongo🔥🔥🔥
Kama unamkubari Chemical gonga like
Gud
Gd
Poa
Duuh Karen ana saut Kali jamn mpk inaamsha mizuka😋😋😋
Hakika ngoma iko powa sana wagapi wanaagalia kama mimi 28/10/2021
Simple music but no one can do it only chemical
Upo vizuri sana
Nakupenda chemical 😍😍😍😍😍😍
Wow! Karen anasing poa naomba collabo popote upo chemical,Karen and centano naomba tu collabo pia yamoto bend
Chemical wew nihatari San nkuelewa San ...From. A town Chuga boy ..ramaso
mwanamke ni mwanamke tu, chemical na utomboy wote ila chuchu naziona
Nakubaliiiiiiiiiiiiii sanaaa
Mimi mwanamke wandoto zangu nikaren mda simrefu ntaliamusha dude Mana unanifaa ile mbaya
Napenda unavo rapu yahabibi ❤❤❤❤
Umeua Mwana Lubao
Chemical
Chemical nakukubal kimonoma noma kaz mwana
Chemical we ni noma sana iko poa kinyana
Karen mungu akulinde kwa hivi ulivuoimba kah!!👏 nyie ni wakari
like kwanza,ili twende sawa 🚁🛫
CHEMICAL TENA bado promotion tuna kaza kaza DRC. CHEMICAL MBELE MBELE
Noma sana
Ni Kali Sana
Chemical u is fire sanaaaaa
Shenzi sana dogo langu Chemical hii ngoma ungemshirikisha Nandy ungeua zaidi ya hapo ila poa tu mamy
Nandyyy uko Wapiii Ndo Unapinduka hivo Hyu Karen SIO POA KABISA ANAIMBA MPAKA ANAIMBA TENA Anakupindua Nandyyy kwenye Umalikia Angalia Hata Anavojiitaa 😅 kwaheri Nandyy
Yeeesssss muone mwanalubaooo ha ha haaa unanipa guzbum kinyama nice song boss
Noma sanaaa
Hii nyimbo natizama nakuiskiza kama 10 kwa siku❤️❤️❤️❤️💎🙌🙌🙌 I love u so much Chemical!
Chemical natamani nikupe hug siku moja. Love you and always love your songs daima. Mwaaaaaaah!!!!
Chemical karudi kwenye ubora wake afu crushie na yeye kabana chorus kinoma kubwaaaaaa.....
#IyanizzoTheGenius #Supports
Bonge ra jimbo weunaweza many😘
Nakubali Sanaaa chemical
Good song makemikaliiiiiii👍
Karen na chemical muko vizuri hongereni nyimbo nzuri balaa
Gomaaaaa kaliiiiiiii
Namkubali sana huyu dem
iko sawaaa
Karen nakuelewa .,. ..
kama unamkubali chemical like apaaaa
Nakukubali saaana chemical utanikuta show ya th 29 /11/ show yako ya gairoo!!!
Aaaah chemical unajua mziki adi unakera yaani Karen nae kaua kabisa na hyo vocal yake
shutouts KWENU ASEEE
Ngom nzur mno big up chemical
Chemical ni mkali sanaaaaaaaaa
Leo ndio nimejua huyu ni mwanamke
Kali sana
Nimeikubal kinoma noma pamoja sana chemical🔥🔥🔥