Unajua wanawake sisi ni wanafki sana yupo atakayemdifia umependeza kwa ukivaa tu nguo nzri kuliko kuvaa matambara autopendeza mimba yako ahitaonekana??? Mpaka utuonyeshe tumbo alafu kuna mambo wanawake tunapaswa kutambua ukiwa uchi yahani wewe ni mbaya kinyama labda utapendeza ukiwa uchi chumbani kwako lakini ukivaa muonekano wako unaonekana hata kama nguo siyo nzr
Uzungu huuu uta wafikisha pabaya sn,zamani mtu akiwa na mimba ana jificha ,leo hii imekuwa mambo hadharan km watamba juu ya mimba zao
Unajua wanawake sisi ni wanafki sana yupo atakayemdifia umependeza kwa ukivaa tu nguo nzri kuliko kuvaa matambara autopendeza mimba yako ahitaonekana??? Mpaka utuonyeshe tumbo alafu kuna mambo wanawake tunapaswa kutambua ukiwa uchi yahani wewe ni mbaya kinyama labda utapendeza ukiwa uchi chumbani kwako lakini ukivaa muonekano wako unaonekana hata kama nguo siyo nzr
ila jamn 😂😂
Heeee🤣🤣🤣
Kumbuka ipo cku utakutana na mola wako, na adhabu zake ni kali mnooo
Kwakweli Mungu tumemsahau kabisa tunageukia njia zetu wenyewe
Sielewi kinachofanyika apa aki😢
wee cheka nawenzio tu kaa kioo kikinuna nawe nuna kikicheka nawe chaka😂❤
Kiukweli Nandy rafiki Muzuri sana
Nyie wamama mda mwingine akili inawaruka
Nani kaona kigodoro cha nandy😂
Mm hapa 😂😂😂
😢jaman aliemxhauri😂
KIbibi yuko wapi au kishawaka. Maana hamchelewi
❤
Pili❤❤
Nandy ❤❤
Pili ana ujauzito wapili tena?
Ndio
Yeah
❤️♥️♥️♥️🤰
Dah jmn mbona Sasa yupo uchi
Ulikuwa upumbavu mtupu eti mke mtu
Rafk yako kibibi wa huba sijamuona hapo