MAREKEBISHO/SAMANI au THAMANI,LKN hapa uelewe thamani ya mchezo huo siyo Kombe au pesa ni mwitikio wa watu na mahusiano yanayojengwa kati ya Yanga/Mpira wa Tanzania na Kaizer/Mpira wa South Africa, usilenge sana pesa .Mtakuja kuona thamani hiyo unayoitaja ,cse kama ile ya kuwaalika Kaizer mwaka jana imeleta hii PRE SEASON TOUR ,itakuwaje baada ya hapo.Halafu kwa umbea wetu ingekuwa ni Simba ungesikia eti TIMU ZOTE ZIIGE MFANO HUO,media mseme hili na mkemee toka simba ilivyofanya vizuri tulikuwa tunasikia slogan za kwa mkapa haoki mtu,do or die/yaani ubabe tu ,sasa imeibuka ubaya ubwela hapo kwa Tanzania utaanza kuona hakina TATU MALOGO wanavyotoa penati.
Ilo kombe linasaman gan
Sio Saman ni thamani kaka kombe ni kama kuongeza chachu ya mchezo tu halina thamni yeyote
MAREKEBISHO/SAMANI au THAMANI,LKN hapa uelewe thamani ya mchezo huo siyo Kombe au pesa ni mwitikio wa watu na mahusiano yanayojengwa kati ya Yanga/Mpira wa Tanzania na Kaizer/Mpira wa South Africa, usilenge sana pesa .Mtakuja kuona thamani hiyo unayoitaja ,cse kama ile ya kuwaalika Kaizer mwaka jana imeleta hii PRE SEASON TOUR ,itakuwaje baada ya hapo.Halafu kwa umbea wetu ingekuwa ni Simba ungesikia eti TIMU ZOTE ZIIGE MFANO HUO,media mseme hili na mkemee toka simba ilivyofanya vizuri tulikuwa tunasikia slogan za kwa mkapa haoki mtu,do or die/yaani ubabe tu ,sasa imeibuka ubaya ubwela hapo kwa Tanzania utaanza kuona hakina TATU MALOGO wanavyotoa penati.
@@proisolution7166 yap nikufanya gem iwe na ushindani tu ndymn wameweka chachu kuwa gem Ina kikombe
Mosonda kauzwa?
Yupo .... Tutamuona kwenye match ya kaizer