BIASHARA ZA M-PESA, JINSI WANAVYO LIPA KWA MWEZI NA FAIDA ZAKE. SEHEMU YA II

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • Huu ni muendelezo wa biashara za M-pesa na hii ni sehemu yake ya pili biashara ya M-pesa, jinsi wanavyo lipa kwa mwezi na faida zake. sehemu ya II
    Kama shemu ya kwanza ilikupita basi usijali gusa link hapa chini;

КОМЕНТАРІ • 192

  • @SaumaBakari-ld2dy
    @SaumaBakari-ld2dy Рік тому

    Aste kaka yang mm napenda sana kazi iyo kama Nikiwa na swali nitakucheki❤

  • @christinarichard7062
    @christinarichard7062 2 місяці тому +2

    Kazi nzurii lkn ningependa kujua kuhusu kutofautiana kwa kiasi cha malipo kulingana na hela mteja anayoweka au kutoa. Umesema mfano wa 1k and 10k

  • @shukuru9792
    @shukuru9792 Рік тому +1

    Bro nme kpata vizur kk somo zur

  • @melesianageorge2012
    @melesianageorge2012 2 роки тому +2

    Asante sana kaka

  • @EnockSamwel-r1s
    @EnockSamwel-r1s 6 місяців тому

    Kka samahan Hy biashara ni imenikaa sana akilin mwangu nipe maelekezo Zaid mpaka nifanikishe malengo yang

  • @Apmarleytz
    @Apmarleytz Рік тому +6

    Kaka samahan kama naanza na milion2 ntazigawaje kwa lain zote4 na ninatakiwa nibak na shingapi mkononi

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  Рік тому +2

      Kila laini weka tsh 250,000 au 300,000 Kisha baki itakayo baki iyo ndio ya mkononi

  • @MaryBiyaki-t4y
    @MaryBiyaki-t4y 18 днів тому

    Shukurani 🙏🙏

  • @ErickJonas-ie2rr
    @ErickJonas-ie2rr Рік тому

    Dyuh kumbe biashara ni nzuri kama ukijituma

  • @sefaniajeremia
    @sefaniajeremia Рік тому

    Thanks

  • @SalmaJuma-u4g
    @SalmaJuma-u4g Рік тому +2

    Kaka samahan je nikianza na mtaj wa million moja inatosha

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  Рік тому +1

      Ndio

    • @EsterJnnko
      @EsterJnnko 4 місяці тому

      ​@@rabaonetvSema inategemea na eneo aliko kama kuna mzunguko haitoshi

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  4 місяці тому +1

      Ukisha kua na mzunguko mkubwa uwezi baki na 1M lazima utakubidi kuongeza mtaji tu, ila iyo 1M ni kwajili ya kianzio

    • @TunsumeMwaijumba
      @TunsumeMwaijumba 2 місяці тому

      Je lipa kwenda lipa inalipa?

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  2 місяці тому

      @TunsumeMwaijumba ndio

  • @saliminigeorge8027
    @saliminigeorge8027 9 місяців тому

    Kama asant sana

  • @nehmahussein3253
    @nehmahussein3253 2 місяці тому

    Shukran sana kwa elimu nzuri kiongozi. Naomba kujua je unarekodi vipi kwenye daftari lako la mauzo kila siku, je unaandika ela ambayo umefungua nayo asubuh wakati unafungua biashara na jioni ela uliyofunga nayo? Au unaandika kwenye daftari kila muamala wa mteja unaofanya? Nataka kujua ili ata ukimuajir mtu ujue unamfuatilia vipi

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  2 місяці тому

      Kila muamala ulio fanyika nikipata nafasi nitafafanua zaidi

    • @nehmahussein3253
      @nehmahussein3253 Місяць тому

      Shukran sana #itapendeza

  • @brendaemsuya6607
    @brendaemsuya6607 Рік тому

    Somo zuri na tumelipenda, , , hyo lipa namba unaipataje, , maana ni nzuri, , inakuwa na usajili wake au inakuwa vipi???

  • @SperiusGotfrid-gu2pm
    @SperiusGotfrid-gu2pm 9 місяців тому +3

    Naomba kuuliza hio kamishen inajumyishwa kwenye flot ilioko kwenye lain au

  • @pendotumsifu1587
    @pendotumsifu1587 Рік тому +2

    Je mahesabu unapigaje? Kwa siku au wiki au mwezi na ni vip Yani ili ujue na faida yako?

  • @boazgalla8908
    @boazgalla8908 Рік тому

    Nataka kuanza biashara ya mpesa mtaji shilingi ngapi

  • @jumakisonga8040
    @jumakisonga8040 12 днів тому

    Mtaji wa laini 4 niwe na shilingi ngapi!

  • @EstaMrosso
    @EstaMrosso День тому

    Kamisheni huw zinapatikana vip na niwe na mtaj kiss gan kuanzisha hii bias har a??

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  День тому

      ua-cam.com/video/N1hME0bxIvA/v-deo.html
      Gusa link hapo juu upate ufahamu wa kamisheni

  • @franknguzu6380
    @franknguzu6380 2 роки тому +1

    Good

  • @SalamaMwaga-co3st
    @SalamaMwaga-co3st Місяць тому

    Kaka kama utasajili kwa mtu hizo lain kuepuka process haisumbui

  • @pendotumsifu1587
    @pendotumsifu1587 Рік тому +2

    Na je miamala ya kununua luku comishen yake unapewa ? Au ni ofa tu kwa wateja!

  • @BrytonLadslaus
    @BrytonLadslaus 5 місяців тому +1

    Hellow

  • @FredKapinga
    @FredKapinga Місяць тому

    Ni uwongo mkubwa sana wanasajili kwa gharama kubwa sana kwa baadhi ya mitandao kama tigo na airtel

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  Місяць тому

      Inawezekana Ila huduma uwa nibure Ila kama ujuavyo vya Bure siku zote lazima vinakasoro fulani fulani, mfano: kucheleweshwa,... kwaio ndio mana wengine wanamua kulipia

  • @SharifaSharifa-fo1ps
    @SharifaSharifa-fo1ps 3 місяці тому

    Mi naomba kuuliza mteja wa Togo pesa kiwango cha mwisho kupokea pesa ni ml ngapi?

  • @ssos037
    @ssos037 2 роки тому

    Asante

  • @BevolyneMoraa
    @BevolyneMoraa 3 місяці тому

    Lipa number ni gani

  • @alexmnogi1822
    @alexmnogi1822 2 роки тому

    Boss nmekuelewa sanaa...sasa ntaomba no yko chief tuyajenge!

  • @EsterJnnko
    @EsterJnnko 4 місяці тому

    Naomba kujibiwa iv kunashida yyte kumwekea mteja au kumfanyia miamala mara nyingi kwenye hiyo hiyo namba yake??

  • @SalmaJuma-u4g
    @SalmaJuma-u4g Рік тому

    Na je changamoto zake ni zipi

  • @BevolyneMoraa
    @BevolyneMoraa 3 місяці тому

    Nisahidie plizz alopaa ni nni

  • @dhulkarnaynmwinyi692
    @dhulkarnaynmwinyi692 3 місяці тому +2

    Mkuu vipi hali kwema naomba kujua hapo kwenye lipa namba umesema mtu akitoa elfu 10000 nampa elfu 9200 baasa ya kukata mianane yangu sasa naomba kufahamu hizi hesabu naweza zipata kwa mfumo gani ilinijue natakiwa kupata kiasi gulani kwenye ela flani napiga kiasilimia au vip

    • @deogratiasmazangi-mk4fp
      @deogratiasmazangi-mk4fp Місяць тому

      Yaani ni kwamba analipa sh 9500 ile miatano anakatwa na mtandao then ww kwenye hiyo 9500 yako ni 300 ko yeye utampa 9200

  • @makindyapython
    @makindyapython Місяць тому

    hakuna hakuna asilmia ta nyongeza kutokana na miamala mingi uliyofanya

  • @saramarigo9619
    @saramarigo9619 4 місяці тому

    Naomba kujua kupata lessen inahitajika kama sh ngap na nina ipata wapi hyo lessen

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  4 місяці тому

      Almashau (manispaa) ya mji, jiji, wilaya laki 1 Kuja chini

  • @jazilambaji2789
    @jazilambaji2789 2 роки тому +4

    Nimependa unavyoelekeza kwa ufasaha'ubarikiwe

    • @FarnhamSeif
      @FarnhamSeif Рік тому +2

      Je itakuwaje? me nkifungua duka la zaga zaga vp nitapasi au vp

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  Рік тому +1

      Zaga zaga ndio tuka gani?

    • @KulwaAndrew
      @KulwaAndrew 3 місяці тому

      Rejareja​@@rabaonetv

  • @BrunoMswima
    @BrunoMswima 5 місяців тому

    Bro mm nina laki sita nataka niweke raini nne4 nita toboa kweri

  • @simonmbena-wf1xb
    @simonmbena-wf1xb Рік тому

    Mbona mmetaja faida ya mtandao mmoja tu

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  Рік тому

      Inaendanda haiyachani sana

  • @tithomathias
    @tithomathias 11 місяців тому

    nakwamtandao wa halopesa kwamfano ukatoa 1000 unalipwa shingapi

  • @lydiagadiye7054
    @lydiagadiye7054 4 місяці тому

    iyo lipa namba unaipataje

  • @godlovemashindo
    @godlovemashindo 8 місяців тому

    ukiwa na million 9 unaweza kufungua mitandao yote si ndiyo

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  8 місяців тому

      Hata M2 tu unaweza wakufungua yote na kubakisha chenji

  • @RethoShirima
    @RethoShirima Рік тому

    Lips namba inakua n line yenyewe au ipo ndan ya mfumo wa mpesa tigo au halotel

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  Рік тому

      Ipo ndani ya mfumo, ila ina menu yake na ndani ya mfumo inaitwa account ya biashara

  • @MaryPatern
    @MaryPatern Рік тому

    Mtaji sh?

  • @BevolyneMoraa
    @BevolyneMoraa 3 місяці тому

    Alopesa ni nini

  • @RashidiAmosi
    @RashidiAmosi 2 місяці тому

    Kaka nikiwa na m5 nina uwezo wa kufunga shii ngap kwa mwenzi nikiwa najituma kwa sana.

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  2 місяці тому

      Ili swali uwa ni ngumu kulijibu moja kwa moja mana kinachofanya wewe ufunge faida ya kutosha ni jinsi unavyo weka na kutoa yani miamala mingapi unatoa na kuweka

  • @JamilhaSelemani
    @JamilhaSelemani 4 місяці тому

    Abar yako kaka angu me nlikuwa natamani sana hii biashara lakini nlikuwa cna mtaji wa kuanzia sasa nmeshapata mtaji kitu ambacho nataka unisaidie jee napataje izo line vitambulisho vyote ninavyo kasolo leseni na hyo tin namba ndio ambacho cna ninaitaji line mbili ya Vodacom lipa namba na Tigo pesa

  • @SospheyTz
    @SospheyTz Рік тому

    Me nmelipwa commission ila haipo kwenye account naitoaje kweny m pesa ili iingie kweny accounts

  • @costantinelucas8531
    @costantinelucas8531 8 місяців тому

    Mimi lipa no yangu imefungiwa ikiwa na pesa naitowaje

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  8 місяців тому

      Wasiliana na watu wa uduma kwa mteja

  • @gracerobert5271
    @gracerobert5271 Рік тому

    Lipa namba unaipataje?

  • @annathomas4544
    @annathomas4544 Рік тому

    Nisaidie mawasiliano yenu..

  • @SihabaAbdallah-li6dx
    @SihabaAbdallah-li6dx 4 місяці тому

    Ntk number zak

  • @makindyapython
    @makindyapython Місяць тому

    je hakuna nyongeza yoyote kutokana na miamala uliyofanya

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  Місяць тому

      Sina uwakika sana wa hii, Ila inaweza kuwepo si unajua mambo Yana badilika mara kwa mara

  • @IbrahimMendezi-lp2gd
    @IbrahimMendezi-lp2gd 4 місяці тому

    broo mamb vep nimependa elim yko ya biashar.mm swali langu kwako ni mtaj kias gn kwa mtu anae anza biashar iyo

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  4 місяці тому

      Angalabu uwe na tsh 350,000 na kuendelea na hii ni kwa line moja

  • @gracerobert5271
    @gracerobert5271 Рік тому

    Lipa namba unaipatake

  • @deborajulius319
    @deborajulius319 2 роки тому

    Me nahitaji line za wakala mwenye nazo tuwasiliane

  • @joankayanda5909
    @joankayanda5909 2 роки тому

    Kwahyo elfu kumi ukiitoa Kwa pamoja Kwa mfano elfu hamsini hapo Hela camission yako inasoma hiyo miambl na point mara Tano au inasoma muamala mmoja?

  • @AdamArosi-jc2nc
    @AdamArosi-jc2nc Рік тому +1

    uwakala unahitaji uwe mtaji kiasi gani

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  Рік тому

      Kima cha chini kabisaaaa ni Tsh 250,000 kwa laini

  • @MariamAbuu-u3x
    @MariamAbuu-u3x 6 місяців тому

    Namtaji wa laki 200000 naweza kufungua biashara ya uwakala

  • @nancynkya4462
    @nancynkya4462 2 роки тому

    Je unatakiwa uwe na mtaji Kama shingapi

  • @ELISHAALFAXARD-s4t
    @ELISHAALFAXARD-s4t 10 місяців тому

    Naomba kuuliza je kwenye maswala kama haya hamna wizi ambao unaweza kutokea,namba wakala unaipata kwa muda gan??

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  10 місяців тому

      Wizi wa namna gani unazungumzia?, muda wa kupata ni kutegemeana na wanao kufanyia iyo huduma

  • @MonaMbalike
    @MonaMbalike 8 місяців тому

    Mm nauliza na km mtaji unaweza ukaanza na sh.Ngapi

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  8 місяців тому

      Kwa laini moja ni tsh 250,000/300,000

    • @ANITHADAMASI-sl4px
      @ANITHADAMASI-sl4px 3 місяці тому

      ​@@rabaonetvmimi nna laki 4 na nusu naweza kuanza nayo kwa line mbili

    • @MalaikaManyota
      @MalaikaManyota 15 годин тому

      @@rabaonetvhiyo ela ni yakununua rain tu au balance ya ela unayotakiwa uanze kueka ili uwalushie watja ela?!

  • @MwajabuRashidi-no8sk
    @MwajabuRashidi-no8sk 9 місяців тому +1

    Mim natak kujua kimfano kwenye tigo pesa nimeanz na lak1 laki 1yo naigawa mar2 ya kwenye lain nanyingine cash siinafaa

  • @pauljonn-o5i
    @pauljonn-o5i Рік тому +1

    Mtaji

  • @mwamtumdady669
    @mwamtumdady669 Рік тому

    Je tin naomba inapatikanaje na je ili umilik line unatakiwa uanze na mtaji wa sh ngap na je hiyo lips naomba Mayo mi line na inapatikanake

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  Рік тому

      ua-cam.com/video/Aj2GjPpHg84/v-deo.html

  • @masisaLimbe-du5mr
    @masisaLimbe-du5mr Рік тому

    Nauliza lipa namba wanasema haina kamishina je faida yake naipata je

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  Рік тому

      ua-cam.com/video/Q8tn1nXY4jY/v-deo.html

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  Рік тому

      Fatilia hapo utapata majibu yote 👆

  • @MwanahamisiChawa
    @MwanahamisiChawa Рік тому

    Sorry bro,napataje line za uwakala

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  Рік тому

      Tembelea mawakala wakuu wa mitandao ya simu ndio wanatoa izo huduma

  • @yonalema7442
    @yonalema7442 2 роки тому

    Nashukuru sana kaka.!! Ila samahani naomba kufaham Endapo nimeweka Pesa (Flot) kwenye line yangu ya Mpesa kwa muda na Biashara Nikaamua kuacha. Nitazipataje? Hizo pesa (FLOT) NITAZITOA KAWAIDA AMA. KUNA PROCESS?🙏🏽

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  2 роки тому +1

      Aiwezekani kutoa kawaida ,
      Kuna njia mbadala za kufanya
      1. Kumuingizia flot wakala mwenzako Kisha yy akupe keshi
      2. Upate mteje mwenye uwitaji na pesa Sawa ulio nazo kwa laini yako Kisha umuwekee

    • @yonalema7442
      @yonalema7442 2 роки тому

      @@rabaonetv nashukuru sana. Kaka.

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 Рік тому

    Je naweza kuanza na mtaji wa kiasi gani km nikitaka line 3 tigo mpesa na halopesa?

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  Рік тому

      Kima cha chini ni Tsh 250,000 laba kama wawe wamebadili mfumo

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  Рік тому

      Hii ni lwa laini moja

  • @idamamganga
    @idamamganga Рік тому

    Kaka naweza kuanza na mtaji wa shingapi ,,

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  Рік тому

      Inategemeana na maeneo ulipo kama Kuna wateja wengi ni bora ukaanza na 500k na kuendelea
      Kama watu wachache 250k hadi 500k

  • @josephabdallah6625
    @josephabdallah6625 Рік тому

    Nawezaj kupata lipa namba?

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  Рік тому +1

      Nenda kwa wakala mkuu wa mtandao usika

  • @HamisTambueni
    @HamisTambueni Рік тому

    👍👍👍👍

  • @elizayoedward9720
    @elizayoedward9720 2 роки тому

    Inawezekana ukapata laini mkoa mwegine naugaenda kuhudumia mkoa mwegine

  • @dansonn9732
    @dansonn9732 2 роки тому

    Laini napata kwa sh ngap

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  2 роки тому

      Zataani wanaanzia Tsh 250,000

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 Рік тому

    Unatakiwa mtaji kiasi gani?

  • @simonmkungano
    @simonmkungano Рік тому

    1 milion itatosha kwa lain zote?

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  Рік тому

      Haitoshi, ila unaanza nayo iyo iyo ili ianze kukusogeza

  • @SharfuKongolinho
    @SharfuKongolinho Рік тому +1

    Je ukitaka kupata lain unpaswa kuaandaaa xhngap

  • @Fredmnaku
    @Fredmnaku Рік тому

    Kama nimeanzisha uwakala wa laini nne yaan M-pesa, Tigo pesa, Halopesa na Airtel money kwa mtaji wa laki tano, Je nitazigawaje kwenye laini zote hizo napia natakiwa nibaki na cash kiasi gani?

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  Рік тому

      Ni ndogo hazitoshi kwa mitandao yote iyo

  • @shabanmuhidin1399
    @shabanmuhidin1399 2 роки тому

    Sasa kma mm cijaelewa nikiwa na no ya nida na hyo barua tofaut na TN number

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  2 роки тому

      TIN muimu zaidi mana yenyewe ndio itakufanya upate leseni ya biashara

    • @shabanmuhidin1399
      @shabanmuhidin1399 2 роки тому

      @@rabaonetv na kwamfano hyo TN number ni itagarimu shingi kwa uzoefu wako

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  2 роки тому

      @@shabanmuhidin1399 ni bure bila garama yoyote

    • @BaikokoTz
      @BaikokoTz Рік тому

      Tin hip inafaa kaka non business au business

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  Рік тому

      Zote zinafaa ilimradi uwe na TIN kwanza kama wataitaji for business inabadilishwa hapo hapo

  • @BrytonLadslaus
    @BrytonLadslaus 5 місяців тому

    Kaka kama nina laki mbili naweza kuanza ?

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  5 місяців тому

      Inategemeana unanza na line gapi

    • @BrytonLadslaus
      @BrytonLadslaus 5 місяців тому

      @@rabaonetv laki mbili naweza Kwa line ngapi

  • @GraceIssah-t6f
    @GraceIssah-t6f 9 місяців тому

    Mbona mi Niki wekaa 1000 vodaa napa kasheni 33.66

  • @Happy-z8u
    @Happy-z8u Рік тому

    [1] Na izo pesa ninazotoa mtaji utakuwa wangu au?
    [2] je kama mtaji ni wangu nazipataje izo pesa ninazotum?

    • @naseebjoseph5330
      @naseebjoseph5330 Рік тому

      Ukituma ela si lazima upewe cash na mteja

    • @Happy-z8u
      @Happy-z8u Рік тому

      @@naseebjoseph5330 naukitoa unapataje iyo pesa???

    • @RukaiyAthumani
      @RukaiyAthumani Рік тому

      ​@@Happy-z8uyaani kama vile mteja akitoa lazima ubaki nayo ww kwnye sm Yako Akija mwingine anaweke Kisha anakupa Cash Ivo Yani

  • @aikafrances1333
    @aikafrances1333 2 роки тому

    Lipa namba naipata siku ninayopata laini za uwakala?

  • @BevolyneMoraa
    @BevolyneMoraa 3 місяці тому

    Alopecia ni nni

  • @tumainishekalaghe6224
    @tumainishekalaghe6224 Рік тому

    Wee acha ungo 10000 sio 200 ni 175 kaah acha kudanganya watu lamda hiyo ilikuwa zamani sio Sasa ivi

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  Рік тому +1

      Tatizo la watanzania Pali pakutoa somo watu waelewe unaanza acha uwongo, uwongo wangu ni nini hapo mm nimesema ninacho kijua na kukielewa kuwa ni 200 na ww kwa uzoefu wako umekuja kupunguza unasema 175
      Sioni kama Kuna uwongo hapo kila mtu amesema kulingana na uwelewa wake, au kwa vile wewe ni wakala mkuu ndio mana unatuona sisi mawakala wadogo atujui ?
      Hadi muda natengeneza iyo video ilikua 200 na uwo ndio uwelewa wangu mm 🙏

  • @AdamuAloisi-sx8do
    @AdamuAloisi-sx8do 9 місяців тому

    Mimi nimeanza uwakala tareh 23 had saiz bado sijalipwa

    • @AdamuAloisi-sx8do
      @AdamuAloisi-sx8do 9 місяців тому

      Et

    • @AdamuAloisi-sx8do
      @AdamuAloisi-sx8do 9 місяців тому +1

      Mimi nimeanza kazi tareah 23 lakin bado sijalipwa

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  9 місяців тому

      Miamala mingi ndio inamfanya mtu alipwe, sasa kama hujafanya miamala ya kutosha iyo inaweza kua sababu mojawapo

  • @lydiagadiye7054
    @lydiagadiye7054 8 місяців тому

    pesa zako wanakuwekea kwenye acount ya bank au

  • @elizabethchima8098
    @elizabethchima8098 2 роки тому

    Je biashara ya uwakala inafaa uanze na mtaji wa kiasi gani??

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  2 роки тому

      Video imeleza Tsh 500,000 ni mtaji mzuri wa kuanza nao

    • @elizabethchima8098
      @elizabethchima8098 2 роки тому +1

      Asante bro kumbe nina uwezo wa kuanza

  • @Jackinchimbi03
    @Jackinchimbi03 Рік тому

    Na kuhusu mtaji wakuazia kwenye hizo line za mpesa inahitajika kuazia shingapi!?

  • @Johnsonmkubwa
    @Johnsonmkubwa 2 роки тому +1

    VIPI KAMA MTU ANATOKA INJE YA NNCHI ANAWEZA KUWA WAKARA??

  • @mnankamnanka7667
    @mnankamnanka7667 2 роки тому

    Je pesa za kulipia wateja waliokuja kutoa au

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  2 роки тому

      Swali alijaeleweka

    • @mnankamnanka7667
      @mnankamnanka7667 2 роки тому

      Yaani kwa mfano mteja anatoa pesa je? Zile pesa unazo mpa ni za kwako au unapewa na kampuni

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  2 роки тому +2

      Kampuni aikupi kitu cha ziada tofauti na laini na zile karatasi za matanganzo au za kuangalia kuusu kuweka na kutoa tu 🤣
      Mengine yote ni ya kwako ww , ndio mana unasikia lazima uwe na mtaji

  • @rhodaerasto6151
    @rhodaerasto6151 2 роки тому +1

    Kaka na je kama unataka kuongeza uwakala wa Bank kama CRDB na NMB Najisajili vp na faida napataje

  • @mrjulius5840
    @mrjulius5840 2 роки тому

    Samahan kaka, naweza kuzihamisha pesa kutoka line yangu ya LIPA kwenda line yangu ya Mpesa kama flot ?

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  2 роки тому

      Hii sijajua ila nitakuja kukupa majibu

    • @mrjulius5840
      @mrjulius5840 2 роки тому

      @@rabaonetv sawa, nasubiri majibu yako mkuu

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  2 роки тому

      Aiwezekani

    • @yonalema7442
      @yonalema7442 2 роки тому

      @@rabaonetv Nashukuru sana kaka.!! Ila samahani naomba kufaham Endapo nimeweka Pesa (Flot) kwenye line yangu ya Mpesa kwa muda na Biashara Nikaamua kuacha. Nitazipataje? Hizo pesa (FLOT) NITAZITOA KAWAIDA AMA. KUNA PROCESS?🙏🏽

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 2 роки тому

    Kaka we unasema laini ni bure kivpi mbona leo nimekwe kwenye mitandao nikuta gharama voda wanataka 32000 halotel 20000 tigo 20000 hiyo nje ya leseni

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  2 роки тому

      Acha kudanganya watu laini ni bure ukiona umechajiwa jua Kuna vigezo ujatimiza ,
      Ukifatilia vizuri nimehainisha nini na nn kinaitajika

    • @plumbingtanzaniaplumber7570
      @plumbingtanzaniaplumber7570 2 роки тому

      @@rabaonetv siwzi kudanganya sabu nazihitaji na leo nimekwenda voda tigo na halotel ss sijui kama wanataka kunipiga

    • @plumbingtanzaniaplumber7570
      @plumbingtanzaniaplumber7570 2 роки тому

      @@rabaonetv na tili ya kununua nimeambiwa kwa tigo 100000 na halotel 70000

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  2 роки тому

      Pole sana

  • @josephkija4766
    @josephkija4766 2 роки тому

    Samahan kaka hiyo commission nitaitoaje ILI nitumie

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  2 роки тому

      Inatumwa kama pesa za kawaida na unaweza kuzitoa kwa wakala yeyote

  • @Emanuel-kz4tt
    @Emanuel-kz4tt 5 місяців тому

    Nakkbal

  • @EsterJnnko
    @EsterJnnko 4 місяці тому

    Naomba kujibiwa iv kunashida yyte kumwekea mteja au kumfanyia miamala mara nyingi kwenye hiyo hiyo namba yake??

  • @makindyapython
    @makindyapython Місяць тому

    hakuna hakuna asilmia ta nyongeza kutokana na miamala mingi uliyofanya

  • @SalmaJuma-u4g
    @SalmaJuma-u4g Рік тому

    Na je changamoto zake ni zipi

  • @SalmaJuma-u4g
    @SalmaJuma-u4g Рік тому

    Na je changamoto zake ni zipi

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  Рік тому

      Changamoto kukosa wateja tu

    • @SharfuKongolinho
      @SharfuKongolinho Рік тому +1

      Je ukitaka kupata lain unatakiwa kuandaaa xhingap?

  • @EsterJnnko
    @EsterJnnko 4 місяці тому

    Naomba kujibiwa iv kunashida yyte kumwekea mteja au kumfanyia miamala mara nyingi kwenye hiyo hiyo namba yake??

    • @rabaonetv
      @rabaonetv  4 місяці тому

      Hapana , ndio mana kuna watu wana wakala wao mahalumu

  • @EsterJnnko
    @EsterJnnko 4 місяці тому

    Naomba kujibiwa iv kunashida yyte kumwekea mteja au kumfanyia miamala mara nyingi kwenye hiyo hiyo namba yake??

  • @EsterJnnko
    @EsterJnnko 4 місяці тому

    Naomba kujibiwa iv kunashida yyte kumwekea mteja au kumfanyia miamala mara nyingi kwenye hiyo hiyo namba yake??