RAIS MAGUFULI AMBANA RPC RUKWA 'Nawapa siku 7, Hata mke wangu anaona sura yangu mbaya"
Вставка
- Опубліковано 18 жов 2024
- Rais Dk. John Magufuli leo Oktoba 6, 2019 anaanza ziara ya siku tatu mkoani Rukwa ambapo anatarajiwa kufungua barabara ya Tunduma - Sumbawanga yenye urefu wa Km 223.21. Rais Magufuli yupo katika ziara ya siku tisa katika mikoa ya Songwe, Rukwa na Katavi.
Asante jpm
Ajali ya tunduma
Kkkk sura yangu mbaya
Eeeeheee mtakoma hapo fedha ya mwananchi haiendi bureee!!
😂😂😂😂😂😂😂😂 camandar kunywa maji mengi moyo uelee