Jamani wanaomtaka kicheche kwenye hii movie mtuache kidogo hatakiwi hapa😂😂 hii kitu iko serious saana na yule hawezi kazoea comedy ko atatuharibia movie😂😂😂
Vai mbona mwisho wasiku sasa utakuwa majinuna we utajiamin nakujuwa ni akili nyingi kumbe zote zisha ruka ebu mpe chake baba lao kwasababu naw itakusaidia mudi nawe mpe hakiyake mukewako nyinyi wote mupeyane mambo basi mimi hapa nina miaka 5 bira kufanya tendo huwezi amini kwasasa nishakuwa majinuna😂😂😢😢😢😢😢🎉❤❤❤
Wewe utakae like comment hii , Mwenyezi Mungu aibariki mikono Yako / Amin
Naomba WhatsApp number
Nimeyipenda sana tena sana💕💕💕🥀🥀🍎
Amen😅
Hii movie mbn haijawah tokea yaaan n bonge la movie, hongeren kwa kubuni ktu knzr,
@@JullianaEmmanuel-tm5xg nakuunga mkono kak manyanya anajua sana Yani alikuwa wapi siku zote izo
Sasa uyo ni kaka au mdada @@MakwanaJr
uhakika kweli ni bonge la movie
Wale tunao enjoy mapenzi ya mudy mlevi na bebe ake tujuane❤❤❤
Akili na pombe 😂😂😂😂😂😂😂viabishana😂😂😂❤
From 254 Kenya tunatambua sana channel ya Asma Film Kwa vitu vizuri kama wewe pia unaikubali hii Channel Gonga like basi
Jamani wanaomtaka kicheche kwenye hii movie mtuache kidogo hatakiwi hapa😂😂 hii kitu iko serious saana na yule hawezi kazoea comedy ko atatuharibia movie😂😂😂
Mbona kicheche anaweza kwenye hii movie
Aah wapi yule hana userious kabisa.kila character atafanya comedy 😆🤣
@WilsonKihanga-jb5fb🤣🤣🤣🤣 yule angewekwa kwenye scene ya muuza genge au duka angetisha sana
Kicheche hawa watu aliwatupa ndio maana wamekuja kivyaovyao
One point
Wakwanza mim leo nipeni like Zang from Moz 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Ila Manyanaya unajua had unajua tena, hongera broo
Kawimbo kanaugusa moyo anayejua jina lake
Muda chachetu lakini movie yenu nimeikubari shabiki yenu from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Hyo mwanamme mwenye tai yuko na maneno mazito na muhimu sana kwa wanandoa,,,mambo ya dunia kwa kweli
Hakika wachukue na kuyafanyia kazi
Wa kwanza jamani kutoka kenya like zangu🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿
Yeyote atakaye tazama hii series abarikiwe mpaka achangae🙏🙏
Amin nawe pia
Chapombe kweli kama ni zulia unalo lakutosha
Hewaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉 nilikuwa nasubiria part 2 ,hatimae
We chapombe nyoa hvi love gorden bna😂😂😂
Kama kichaka 😂😂😂😂
Anyoe ili iweje Kwan Kila nywele niyakunyoa ushasem g love wengine tunayapenda
Naipenda kutoka Kenya❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Oy weeh sema hii move kali sna❤❤🙏🙏👋👋
Nimewah jmn naomba hata like 10
Kweli ndoa zina mengi 😂😂😂😂😂hii Dunia ina mambo kila mwanandoa yuko na zake kwake 😂😂😂😂 single mpo ?tujuwane basi 😢 😢
Manyanya ni mtanzania kweli?😂😂😂
Vai mbona mwisho wasiku sasa utakuwa majinuna we utajiamin nakujuwa ni akili nyingi kumbe zote zisha ruka ebu mpe chake baba lao kwasababu naw itakusaidia mudi nawe mpe hakiyake mukewako nyinyi wote mupeyane mambo basi mimi hapa nina miaka 5 bira kufanya tendo huwezi amini kwasasa nishakuwa majinuna😂😂😢😢😢😢😢🎉❤❤❤
😂😂😂😂😂,,,, majinuna maana yake nini?
𝐜𝐡𝐢𝐳𝐢 😂😂😂@@esterkimalio8846
Haya Maisha Yapo tuu na ndiyo Tunaishi
ila mlevi anajua sana aisee 😅
Jordan umefanana na x wangu na umbeya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂umbea tu....jamani huyu Jordan 😂😂😂
Wanaume wanaojari ndoa yao wachache sana katik hii nnchi wanaume mjifunze❤🔥👌
Vayleti nakupenda Sana kuanja zamani me iyi muvie nime kuchukiya mwanaume haumu tendeye haki kabisa
Vijana najua mnatafta na insha'Allah mtafika. Keeps it up wakubwa❤❤❤❤❤
Wanaomkubar mista madaftar gonga like
Naipenda kutoka 🇧🇮❤❤.
Naombeni hata like tano tu plz😢🎉🎉
WA kwanza Leo nipeni ata tano bass
Jamni vai ana nin at ataki kutow owa mke wa 2 atakaa sw uy 😂😂😂 mzenj ap
Baba yake mzazi nae ni mbwa pia maana nae ni mwanaume 🤣🤣🤣🤣🤣
Manyanya ni wa Hollywood but tupo nae Tanzania 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tunaomutaka kicheche kwenye hii movie tujuane kwa like jamani
Mudy n Manyanya respect san mnajuw,mnawez tena san 🎉🎉🎉🇧🇮🇧🇮🙏🙏🙏
Shida ya movie za kibongo lazima ziwe na mwingiliano wa kimapenzi naona rafiki yake mumewake vai anataka kumla vai
🎉wa kwanza hapa kutoka Kenya 🇰🇪 naomba hata like moja
Mkinitukana basi lakini wajameni kicheche yuko wapi au kunashido
Ili chapombe linaaribu movie tu ulevi gan mpaka kitandan na pombe
Jamani asma comedian naomba mumalizane na queen na yy ARudi tumewamiss sana
Jaman hii asma comedian wanaleta movie nzur sana msimamiz ni kicheche au maan kali balaa
Huyu Waife ananifanana juh me na pesa ni kama yeye na mmo😂🎉
Brother kanji 🤣 asubuhii pombe et Cha asubuhi
NIMEIKUBALI LAKINI AGANO ilikuwa 🔥 SANA
This movies is interesting congratulations guys, Kicheche has miss in the movie
Movi nzuri kabisa lkn mnatowa fupi jamani 19 min
Sema mko poa sana ila msichelewe kutoa muendelezo
Huyu Mulevi Mbona Hatali Sana, 😂
LATIFA yupo wapi jamani.....
Tuliommiss Latifa wa agano....tunamtaka wa dunia
Mzee wa mathematicaly unajua jamaa angu. Chapombe dah huniangushagi mzee.. kongole zinduna
Hii movie kwamoto haifai kabisaa maneno yake mmh😮😮
Najifunza kitu kupitia hii series❤❤❤❤🎉
Yani uku kuna wanaume WA ovyo sana mwingine kamaliza mwezi hajui kazi kujibust na pombe tu🫣🫣
Ila Cindy na chapombe mnaendana snaa big up ❤
Vai nakukubali sn unajua kuigiza naona utafka mbali sn
Love more❤❤❤❤❤❤ vai and manyanya
Nasma napenda Toka kwenye movie ya kichaw
Vai umeyakanyaga kwa manyanya🎉🎉🎉 mzee wa misemo
Jamn mud chapombe kapendwa😂😂😂😂
Binge la movie asee salute Sana kitu iko pw
Kitu dawa amsikemoney ya
Movie iko smart sana ❤❤❤from 🇰🇪 kenya 🇰🇪🥰🥰
HONGERA SANA Mr manyanya
Good idea hii na kuna funzo KUBWA hasa kwa wanandoa
Dada vai kicheche wapi jamani, ila séries iko bien, tuko pamoja sana toka Drcongo 🇨🇩
Hii move inamafunzo sana haswa kwa mke na mume
This wife to manyanya is too much all the time business
Mambo 😮
Manyanya honger San kak kaz nzuri ❤❤❤
Ka
Simama dede ake kamuona mchumba wake
Huyo mlevi nihatari
Kama nimemona pdd na taulo umo😅😅
😂😂
Chapombe bana anache kesha hadilaha
Kazi nzur ssn hongeren kwa wote
Movie nzur inaonyeshaa uhalisia ya wanandoa jinsi wanavyoish kabisa big up
Kunakitu nitajifunza 😢😢😢😢🎉🎉
Yani chapombe eti majukumu. 😂 majukumu ya kuleta mawe 😂😂😂
Manayanaya anatesekaa walai😂Mtu akigusa comment yangu namtongozaa😅
Zinduna kamenona mashalla
Mudi hana mudi 🎉😂😂😂😂😂😂😂
Muddy chapombe😂😂😂
Yn huyu mlevi eti chin sijalewa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hii chuma nikar mmeweza na mmegusa maisha tunayo ishi humu kwene ndoa zetu
Hapan naludi kuangalia movie maan nilikuwa nisha acha kufatilia
Duh! sio Kwa mazulia hayo
Jamani naomba ata like moja tu
Tunaitajiwa follows
Ila chapombe 😂😂😂
Naye atakumiss siku hutakuwa na mudi muache fala huyo
Mudi mazulia😂😂😂😂
Nimewakubali aisee
weuh wa kwanza 😅npeni zang
Chapombeee😂😂😂😂
Asee toka nachek movie hii movie iko active na dunia yetu hii
Asee directer 🎉🎉
❤❤❤❤❤ good movie am from 🇲🇿🇲🇿
Kwani Mudi sasa dah 😂
Mass of woman if they're busy with a money they forget their relationship🇿🇦🇧🇮
🎉🎉wanajua sana!!! vai❤ yaani napenda ujasiri wako😂❤
😂😂eti simama Dede eti😂😂mlevi pubavu zako
Chapombe 😅
Nawapenda nyote