Jawabu la Kwanini Mungu Anamswalia Mtume / ibada ni nini - Sheikh Walid Alhad

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 75

  • @IbrahimKaranja-qu9yn
    @IbrahimKaranja-qu9yn 5 місяців тому +1

    Allah akubariki sheikh wetu
    Sheikh walid
    Allah akufikishe daraja zajuu
    Iwe kam jina lako lilopunguka (d) iwe walii

  • @jersonmpeka4984
    @jersonmpeka4984 Рік тому +1

    Yesu Kristo anawaita nyi e Mumfuate mnajichanganya kila shehk anatafasili anavyo jua yeye ni shafuatilia sana majibu yenu yanatofautiana rudini kwa yesu Kristo ni njia kweli na uzima msibunibuni tu tafisda

    • @ummyayman9449
      @ummyayman9449 Рік тому +1

      Pole hatumuabudu kiumbe alueshi tumboni kwa mamaake kama tulivyoishi sisi tunamuabudu mungu mmoja hakuzaa wala hakuzaliwa wala hakuna aliefanana nae mungu aliemuabudu Ibrahim na mitume iliyopita sasa yesu ni mtume tu hatuabudu mitume sisi tunaabudu mungu wa hiyo mitume

  • @khadeejahrashid3177
    @khadeejahrashid3177 3 роки тому +10

    Mm binafsi najifunza mengi kupitia darsa zako, na nakupenda kwa ajili ya Allah. Sheikh Walid usiponiona peponi niulizie in Sha Allah

  • @SaalyIddi
    @SaalyIddi Рік тому

    Marshall ah Allah akupe afya na akuifadhi napenda darasa zako

  • @AminaMwarabu-f8z
    @AminaMwarabu-f8z 8 місяців тому +1

    Mola akubariki

  • @bughalib1
    @bughalib1 Рік тому

    بارك الله فيك ونفعنا الله بعلمك

  • @MuhdharMuhammad-qv3zl
    @MuhdharMuhammad-qv3zl Рік тому

    Shukran sana sheikh Wetu Allah akupe umri mrefu na Maisha mazuri hapa duniani na Kesho akhera ALLAH Akuingize peponi kabla hujafa

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi4082 3 роки тому +4

    Sheikh wangu niko Europe lakini natamani ningekuwa karibu yako nikakupa mkono wa kukushukuru kwa kunipatia ufunguo wa kuingia peponi.
    InshaAllah tukawe pamoja na Bwana wetu Mtume Muhammad salla llahu alayhi wasallam. Amin.

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  3 роки тому

      Doh Twayyib Mwalim

  • @ashahassan1877
    @ashahassan1877 2 роки тому +1

    Shukran shekhe wetu Allah akubarik

  • @musbahuksa147
    @musbahuksa147 4 роки тому +8

    Ustadh Walid inshaAllah mpaka nikuone nikusalimie. Mm kwetu Lamu Riyadha. Nanimefurahika umekuja kusoma Lamu.

  • @fahmialhatmyonline6093
    @fahmialhatmyonline6093 4 роки тому +5

    Maa shaa Allaah Sheikh Walid Alhad Omar
    🤲Allah amzidishie elimu yenye manufaa hadi akhera yake🤲

  • @achanifumos1093
    @achanifumos1093 3 роки тому +3

    Shaikh walid mm sina la kusema illa nakuombea IKHLASW...Allah akujaze ikhlasw ktk maisha yako..akulipe kwa unayotufunza...amiin

  • @ZUHURAKHALFAN-mc8nd
    @ZUHURAKHALFAN-mc8nd Рік тому

    MASHAALLAH Allah akupe umri mrefu SHEIKH Walid unatuelimisha

  • @salumahmadasalum1556
    @salumahmadasalum1556 Рік тому

    SHEKH WALID ALLAAH AKUHIFADHI NA VITIMBWI VYA SHAITWAAN NA FITINA ZA UONGOZI UBAKI KATIKA HALI HII HII

  • @wabongoughaibunimediaprodu4471
    @wabongoughaibunimediaprodu4471 4 роки тому +4

    Shukran Muba tunafaidika hata tulip mbali sana. Allah ambariki sheikh wetu Mpe salaam in shaa Allah

  • @qaniyowcade-v9i
    @qaniyowcade-v9i Рік тому

    Jazaka Allah Khayr Sheikh Walid...Allah akulipe kila la kheri..akudizishie umri na elimu..kwa kweli tunafaidika sana..Masha Allah...Allah akujalie uwe na Mtume wetu Muhammad Sallalahu Alaiyhi Wasallam bega kwa bega mpaka Firdaus al aala...Amii.

  • @suzanramadhan4231
    @suzanramadhan4231 2 роки тому +4

    Tunafaidika kwa elimu yako ALLAH azidi kukupa uhai mrefu na afya njema tukutane peponi inn shaa ALLAH

  • @achanifumos1093
    @achanifumos1093 3 роки тому +3

    ALLAHUMA SWALIAFDHWALA SWALAATI ÀLAA SAYYIDNAA WA HABIBINAA SAYYIDNAA MUHAMMAD...s.a.w

  • @fahmialhatmyonline6093
    @fahmialhatmyonline6093 2 роки тому +1

    Duh nimeckia maqaam rast hapo ya Sheikh Walid😁Maa shaa Allaah🥳

  • @abalmuhsinkassimonlinetv7997
    @abalmuhsinkassimonlinetv7997 4 роки тому +3

    Maa shaa Allah sifa zote nzuri wamezitaja wenzungu juu ya shekh,mwalim walidi mm naongeza kuwa mahadhi ya usomaji wa quran nataman kila aya atakayo isoma bac aipambe kama hivyo ,sioni cha kukuombea zaidi ya firdaus

  • @bashirukidana9315
    @bashirukidana9315 3 роки тому +2

    Mungu ukuhifadhi sheikh Walid tunanufaika Sana kupitia ww

  • @nurudinehamimu5658
    @nurudinehamimu5658 4 роки тому +4

    Nam shekhe Wang Nakubali sana mafundisho yako Allah akuongoze akuripe kiralakheri.

  • @jumajembe3570
    @jumajembe3570 4 роки тому +2

    Dah!Allah hakulipe kila lililo jema Sheghe Walidi kwa kutufundisha na kutuelimisha!
    Najifunza mengi sanaa na uwa nina kipindi maalum kila siku nipate hii rehma ya elimu ya bure kabisa kutoka kwako!
    inshaAllah, AMIN

  • @SASIBuyingArea
    @SASIBuyingArea 3 роки тому +2

    Mashallah naomba ratiba ya darsa lini na lini na mda

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Рік тому

    Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. Allahumma Swalli Wassallim Wa Baarik Ala Sayyedna Muhammad Swalallahu Alayhi Wassallam

  • @jamalrashid7459
    @jamalrashid7459 4 роки тому +1

    Mwenyezimungu akubariki sheikh walid kwa kutuelimisha na akujaalie pepo ww pamoja na cc

  • @yahayaali7970
    @yahayaali7970 4 роки тому +4

    Alhamdulllah nimekua wa kwanza Leo ishaallah anilipe khery

  • @omyguy3066
    @omyguy3066 4 роки тому +4

    Salaam aleykum ndugu, nakereka sana unapokatiza mawaidha matamu. Achilia darsa nzima tafadhali.

  • @kadulathumani7517
    @kadulathumani7517 4 роки тому +3

    As salaam Aleikum. Kabisa vizuri kabisa kuiweka wazi point hii. Tusije kukufuru juu ya neno sala. Baina Sala na ibada

  • @mundhirhaji6950
    @mundhirhaji6950 4 роки тому +2

    Jambo liliniumiza kichwa hili alhamdulillah yaan hadi nilishindwa kuwauliza wanaojua maana nilihisi wangenifkiria vibaya Allah anisamehe.Allah akubariki sheikh walid

  • @mohamedidd8923
    @mohamedidd8923 4 роки тому +2

    Allah akuweke sheikh walid dooooh

  • @khadeejahrashid3177
    @khadeejahrashid3177 3 роки тому +2

    Masha Allah sheikh Walid, mbona mm nafahamu darsa vizuri alhamndulillah na Hua na kitabu naandika ili nizidi kupata elimu

  • @bahamadiali5049
    @bahamadiali5049 4 роки тому +5

    Ma shaallah mabruok

  • @mwashambamakame4435
    @mwashambamakame4435 4 роки тому +3

    Jazaakalkah lkheir ,ahsante kwa kutuelimisha sheikh na nnakufaham haswaaa

  • @bir4450
    @bir4450 4 роки тому +2

    ni vizur sana kutoa ufafanuzi nashaur na mashekh wawe wanakuja kuziondosha mushkel kwenye mada zao.kuna wat kuharibu haribu

  • @samirasadasalum5974
    @samirasadasalum5974 Рік тому

    ALLAHUMA SWALI ALA MOHAMMED WALAALIHI MOHAMED KAMA SWALAITA IBRAHIMU WALA ALIHI IBURAHIMU

  • @SomSernk-mr3qe
    @SomSernk-mr3qe Рік тому

    Maashaallah

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 3 роки тому +1

    Nampenda sheikh akitoa historia ya Mtume saw

  • @somoelipunjaje1033
    @somoelipunjaje1033 4 роки тому +2

    Shukran kwa darasa ñimekusoma

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 4 роки тому +2

    Mashaallah mashaallah darsa nzur sana

  • @musbahuksa147
    @musbahuksa147 4 роки тому +3

    جزاك الله خيرا وبارك الله فيك الأستاذ وليد.

  • @bakarikusaga5658
    @bakarikusaga5658 4 роки тому +2

    Mashallah Sheikh Walid

  • @hassanijuma886
    @hassanijuma886 4 роки тому +2

    MashaaAllah haya ndio matunda ya Sheikh wa masheikh zetu Almarhum Sheikh Muhammad bin Sheikh Ayyub bin khamis Alkamadhy. Allah akuweke Sheikh Waleed.

    • @hassanijuma886
      @hassanijuma886 4 роки тому +1

      Hakika hii ni elimu iliyo ya kisawasawa yenye isnadi ya ajabu kutoka kwa Ibn Ayyub mpaka kwa Swahaba Abdallah bin Omar

    • @fetysukafetysuka8811
      @fetysukafetysuka8811 4 роки тому +1

      shukuran

    • @alimakame1293
      @alimakame1293 4 роки тому +1

      Alhamdulilah

  • @issamabubakar4767
    @issamabubakar4767 4 роки тому +2

    Bingwaaaaa sheikh Waalid

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 4 роки тому +1

    Mashaallah shukran sana ustadhi

  • @abdallahismael3993
    @abdallahismael3993 4 роки тому +2

    Mimi nliona wa kwanza siku comenti 😆. Habib shukran napata faida nkiwa nairobi kenya sheikh walid umenfunza mengi. Kama kawa kitabubnankalamu lazima. . Darsa tv muendeleee kutupa vitu twapata faida sana.

  • @fatumahamis9206
    @fatumahamis9206 4 роки тому +3

    Sheikh Walid Alah awlalipe Wazazi wako tunaneemeka mno

  • @hussenali3804
    @hussenali3804 3 роки тому +2

    Alhamdhu lilah

  • @hajraislam6124
    @hajraislam6124 4 роки тому +2

    Jazaka llah khayra

  • @salehemohamed2937
    @salehemohamed2937 4 роки тому +2

    MashAllah

  • @abdillahruna7794
    @abdillahruna7794 4 роки тому +1

    Allah akupe avya uzidi kutuelimisha

  • @yahayaali7970
    @yahayaali7970 4 роки тому +3

    Mashaaallah

  • @shabaniramadhani657
    @shabaniramadhani657 4 роки тому +1

    Nimefurahi sana

  • @MSIMBATIBoy-zd2rm
    @MSIMBATIBoy-zd2rm 6 місяців тому

    💖☝️

  • @musbahuksa147
    @musbahuksa147 4 роки тому +2

    اللهم صل على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه وسلم

  • @ajaabsaid2886
    @ajaabsaid2886 2 роки тому

    A.a sheikh walid vp haliyako wajiskiaje mzima hunaneno naitwa Abdallah tawfik nakuuliza je yafaa kuomba kwa kiswahili ndani ya swala ikiwa hujui kiarabu ??

  • @thabitalwiy1
    @thabitalwiy1 2 роки тому +1

    Sheikh hapo ningependa kuuliza. Hivi tunavomsalia mtume ndio Sawa kweli? Ikiwa Allah ametuamrisha walioamin kumsalia mtume na sie baada ya kumsalia mtume ndio kwanza tunarudisha amri kwa Allah kwa kumwambia yeye Allah amsalie mtume kwa kusema (Allahuma Swali Alaa Muhammad....)

  • @kinyororoazina2676
    @kinyororoazina2676 2 роки тому +1

    Samahani nime taka kuuliza.bona kama kuna mtu ana bisha kama iyo siyo mahana ya ibada iyo.niya wapi ingine

  • @JamalDawd-m3z
    @JamalDawd-m3z 8 місяців тому +1

    Muhammad ni mbora wetu mbele ya M/Mungu Sasa inakuaje tunamuombea Kila siku tena Mara Tano kwa siku na ikiwa yeye ni mtu wa peponi tayari anasubili sku ya kufufuliwa 2 Kisha aingie peponi . Je maombi yetu yanafaida gani kwake?

    • @JamalDawd-m3z
      @JamalDawd-m3z 8 місяців тому +1

      Kwanza yeye ndo inafaa atuombee kwa M/Mungu kwa sababu yy ni mtume ata maombi yake yanapokelewa mapema

    • @JamalDawd-m3z
      @JamalDawd-m3z 8 місяців тому +1

      Na ikiwa Mungu kumswalia mtume ni kumrehemu kwa maana iyo ni wazi kua ata sisi Mungu anatuswalia , maana siku zote tunaishi kwa rehema zake

    • @JamalDawd-m3z
      @JamalDawd-m3z 8 місяців тому +1

      Na si Kama Nina mashaka na mtume lahasha Bali Nina mashaka na elimu tunayofundishwa,

  • @jaafarjacka9272
    @jaafarjacka9272 3 роки тому +1

    Karibu kutazama Qaswida mpya kbs SISI NA MTUME
    ua-cam.com/video/l9jq7p33ZU8/v-deo.html

  • @mundhirhaji6950
    @mundhirhaji6950 4 роки тому +1

    Wacha nitembee kifua mbele sasa kwa ufafanuzi huu

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 2 роки тому +1

    shekh swala unayo ifanya wewe kwa muhhamad Allah nae anaifanya... wewe unamuomba Allah amsaidie Muhhamad sasa Allah anamswalia Muhhamad anamuomba nani amrehemu Muhhamad??

  • @rajabmadebo9137
    @rajabmadebo9137 3 роки тому +1

    Watoe school fees shekh wangu

  • @jumamasoud1188
    @jumamasoud1188 4 роки тому +2

    Maashaallah