KABLA HAJAFANYA MAUAJI ALIINGIA NILIPOKUWA NIMELALA AKANISHIKA NAKUNIF...
Вставка
- Опубліковано 3 жов 2024
- KABLA HAJAFANYA MAUAJI ALIINGIA NILIPOKUWA NIMELALA AKANISHIKA NAKUNIF...
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
#MauajiSinza #AmmiminiaRisasi #TikiTvKiakiliZaidi - Розваги
kumbe kunavitu nilikua sijavijua ndo nimevijua hapa hakika mtangazaji unahoji vizuri sana yani huachi swali hata moja
Uyu kak wa habr tik tiv yuko poa sanaaaaaaaaaaaaaa ❤️❤️🙏
Anakuja vizur sana huyu kaka wa tiki tivi hata yule binti alie mchoma moto mpenzi waandishi wengine walikuwa wanalete habari juu juu tu lakini alipo kuja huyu kaka wa tiki tivi alihoji vizur mpka tukaelewa chanzo cha mgororo kupeleka hadi neema kuamua kufanya ujinga huo wa kuwasha nyumba moto
@@المهلهلالحراصي huyu yuko zaman sana nilikua na fatilia global lkn tangu ametoka sifatili
Asanteni na hongereni sana kwa kuichagua na kuendelea kuifuatilia Tiki Tv bila kuwasahau wajanja wote manaoendelea KU-SUBSCRIBE Tiki Tv #KiakiliZaidi, kazi yetu ni kuwaletea kilicho bora zaidi.
@@tikitvog kaka upo vizur mungu akupe maisha marefu
ninacho wapendea tiki tv hamkurupukagi kuposti habari mnafanya uchunguzi wenu kwa kina kabisa na mnatupa habari iliyoshiba yani kiufupi majibu ya maswali yetu yote yanajibiwa kupitia tiki tv love you mtangazaji 👍
Kelvin tangu ako global alikua vzr
Huyu ndo mtangazaji naempendga mie wengine wote masnichi tu mnatuletea habar za uongo big up tiki tv
Asanteni na hongereni sana kwa kuichagua na kuendelea kuifuatilia Tiki Tv bila kuwasahau wajanja wote manaoendelea KU-SUBSCRIBE Tiki Tv #KiakiliZaidi, kazi yetu ni kuwaletea kilicho bora zaidi, na tunawapenda sana.
@@rehemasalim4590 oooh kumbe ndo yule kaka alikuaga global😍😍
Hongera mwandishi uko vizuri , unataaluma ya kuhoji,safi sana tutafika mbali sana dogo
Binafsi nilikuwa najiuliza sana ilikuwaje na yeye akajiua baada ya kuua na kila habari niliyoangalia sikupata majibu ila Tiki Tv kupitia mtangazaji wenu makini Kelvin Shayo mmenipa majibu kwenye interview hii, kwakweli mpo vizuri sana big up.
Madeni ni ya kuyaogopa sana,yakizidi lzm yakuletee Depression, Bora angejiua mwenyewe jamani,kwenda kukatisha huai wa mwenzie kweli😭😭
Kwa kweli wote mliokuwa hapo Baar mlikuwa wazembe wa kuomba msaada wa Polisi mapema, ili kunusuru hali iliyokuwa inaendelea.
Ni sawa Baba Levo Kumiliki Silaha si atatuulia Harmonize mara hio
Babalevo atamuua ata mwijaku
@@loxlox7707 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣umewaza kwa sauti
😂😂😂😂umenichekesha nilikuwa na huzuni dah
😂😂au mwinjaku atatuulia mond sasa hivi
Kelvin unahoji vzr sana mungu akubariki
Nimeelewa huyu jaamaa alikuwa na hasira na hii bar na alishakuwa na stress za pesa huyu jamaaa dah maisha hayaaaaaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mtangazaji yupo vizuri sana anauliza maswali kwa akili 💕
Wamiliki wa bastola wapimwe akili kwanza
😂😂..stress uyo jamaa tu
Daaah gift umewaliza wengi mpenz pumzika kwa amani
Umeumbuka kama alikuwa mtu wako kwanini hukumuondolea stules au wewe ndiye umemfilis hd kumsababishia maut
@@pitargamba9208 mpuuz wee
@@pitargamba9208 we ujaelewa Alex ndo muwaji gift 🎁 ni ana tatizo
@@pitargamba9208 we nawe Alex ndiye aliyeua mbona umekurupuka
Thanks brother kwa ku fafa nusha story muzuri.
Dada pole sana jmn😭😭😭
kaka katili huyo yani kila akienda nnje akirudi anamtwanga risasi asingempiga nyingi kiasi hicho asingekufa asante tiki tv kwa habari nzuri yani ameelezea vizuri sana
kweli kiakili zaidi
Daaah..huyu jamaa alikuwa shetani anayeishi.,...ila Mungu ndo mwamuzi wa mwisho..RIP gift😭😭
Jamani kifo kinasiri mzito kwa mungu mana mekoso kutowaripoti poriss muda ote anazakujitapa mpaka anafanya mauwaji
Upo.sahihi
Kwa mara ya kwanza kukusikiliza hongera unauliza maswali vizuri sana
Mlifanya makosa makubwa sana mara ya kwanza tu mlipomuona ana bastola mlikuwa muite polisi kwa siri kwa msaada zaidi kabla hapajatokea mauwaji
Eti MTU amekaa na bastora hadharani sio police Ni raia tuu wameshindwa kuchukua piki piki fastar waende mabatini ni karibu nauli book tuu tatizo watanzania hatuna ushilikiano tupo tupo tuuu
Hyo akili inatoka kabxa hukumbuki km Kuna kituo karb..pia na kifo kikipangwa hata ufanyej huwez zuia
@@musashaweji4835 .waTzn ni watu wakushangaa tu , hata akipata akili jambo lishapita
Ilikua ishapangwa kue na kifo cha mtu
Ona jaman kifo kikipangwa walh hata kma kuna kitu kinaweza kusaidia unaweza usifanye na uka kumbuka baadae ila inauma san tz ss matukio mengi tutaanza kuogopan
Tiki tv habari za uhakika
Yes now wanakaribia kumpindua millard Ayo
MIKOPO MIKOPO MIKOPO NI SHIDA hata ya watumishi wa govt ni shida achana na MIKOPO ishi maisha yako japo ya taabu ishi Ayo Ayo
Hongera sana Tik TV yan kisa kinaeleweka Duh Dunia haina huruma😓
Hapo kulikuwa na uzembe wa kupitiliza mtu anatoa bastola anakoki,anatoa tena mnambembeleza!!!!Alitakiwa akamatwe mara moja kupokea kisago cha hatari,kisha anapelekwa police ananyang'anywa silaha.
👐👐
Daaah had huruma jamn mungu atusaidiye Tanzania inaenda WAP
Watanzani ni watu wazembe sana, kwanini hamkutoa taarifa mapema kwa polis, wakati kila akija bar anatoa bastola mlitaka auwe mtu kwanza ndio muongee. Mngepiga simu haraka kwa polis
Wogga
@@minaelnathanael1846
Tz watu wanakufa bila hatia na kukosa msaada,nchi za ulaya mtu anapiga simu polis na watu hawajui ninani ametoa taarifa hizo kwa polis, ila sio tz watu wanaogopa najua kwasababu mwisho wa siku wanasema fulani ndio katoa habari hizo.
Yaani, mngeenda wanaume km watatu,mlikamate kwa nyuma hiyo mikono,then mlichangie kwa kipigo mliulie mbali.
Yaan
Huyu jamaa na mwelewaga Sana aisee Kazi nzuri..
Yn ww hata usingehadithia Mimi unanikera mwenzio anapigwa lisasi we unaangalia badala utafute msaada umuokoe mwenzio
mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema pepono amen
Pepo ipi hakuna pepo ya alieidhulumu nafsi yake pia hakuna pepo ya asiekua muislamu
Pepo tena
@@rehemasalim4590 mmmmh
Kukwel inaumiza mno mnooo jmn......... Wanaume wote waliokimbia walishindwa nini ata kumrukia kwa nyuma na kumwangusha na kumyang'anya uyo mtu bastola wakat anam shoot gift ya mguuni.........jaman tujitahd kuwa na upendo....... Mm ni mschana but kiukwel ningekua kweny ilo tukio kipind anaanza kum shoot tu ningemkaba kwa nyuma na wengine wangejiunga tukachukua iyo silaha gift asingekufa ila basi tu ila inaumiza mnoo jmn mnooo tujiulize tu waliokimbia wakamwacha gift apo angekua ni ndugu yao wa damu wangemwacha!!????? Tuweni na upendo jamani dah
Daaaaaa family yangu Tiki TV r. I. P. Gift
Asante na hongera kwa kuichagua na kuendelea kuifuatilia Tiki Tv +Ukhut Fatumah pamoja na wajanja wote manaoendelea KU-SUBSCRIBE Tiki Tv #KiakiliZaidi, tunawapenda sana.
It is very sad for that event
Depression is real ,tatizo hili ni kubwa sana nchini kwetu
Nimekpenda muandishi upo p.Unauliza maswali yako vzr hakna linaro baki
Asante na hongera kwa kuichagua na kuendelea kuifuatilia Tiki Tv @devotha Ignatus pamoja na wajanja wote manaoendelea KU-SUBSCRIBE Tiki Tv #KiakiliZaidi, kazi yetu ni kuwaletea kilicho bora.
Dah aisee yaan alikuwa na mkopo bank na anatoa ofa kwenye bar lak 6 🙄🙄🙄🙄
Sifa tu jamani laki 6 utowe ofa kweli usawa huu kweli
Hiyo ilikuwa ni mpango wa kuuwa wahdum lakini mungu akwakoa akuruhu gift maana ilikuwa ni siku
Yaani hapo watu wasingekimbia jamaa angeua wengi sana
Afazari nayeye alivyojiuwa tena mungu amuangaze hata mbinguni asifike huyo muaji
Tatizo wachaga wengi hasa vijana ni washamba sana hasa wakipata vijihela wanamisifa sana RIP GIFT.
Thanks brother kwa ku fafa nusha story muzuri.
JAMANI WANAUME ALIPOFETUA RISAC 1 HEWANI MNGEMPIGA MTAMA AKADONDOKA KISHA MKAMNYANG'ANYA HIYO CLAHA.AU MWANZO ALIVYOKUWA ANAITOA MNGEMRIPOTI MAPEMA HUENDA GFUT ACNGEPOTEZA UHAI.
mtu kashachanganyikiwa af ana silaha unasema wakampige mtama. si unaona yaliyomkuta huyo Gift huenda ndo alitaka kumpiga mtama
Icho ndicho kilicho mkuta Gifts
Poleni sana kwa wenye husika wa msiba, ila hapo kwenye tukio ama karibu na hapo hamna hata kituo cha polisi kiskia mlio ya risasi
Tiki tv mko vizur saana
Tatizo nyie mngepiga sim polis fasta sana ila sjui kwanini munachelewa ad tukio lilipotokea
Meneja akamatwe na baa ifungwe maana hakuna ulinzi kwa wateja wanaopata huduma hapo. Ni uzembe wa hali ya juu. Mnashindwa kuita polisi!!!
Jamaa alikuwa limbukeni pia,ni ile mijitu inapendaga kujionyesha.
Na kupata pesa ukubwani ndo shida.
Mmmmmh Mungu turehemu tumekutenda dhambi
Hii mimkopo yabenk imemfanya hadi leo babaangu ayupo vizur kimaisha wala kiakili mda wote mtu wamawazo tu yani
😂😂😂
Nilihisi tu anamarejesho, maana hicho kitendo cha kuwa na kujiuwa nimsongo wa marejesho.
Marejesho yataua wengi.
Kawahi kuuwaaa uyuu uyo Alex ndo mana hii ni karmaa
Mbona walikuwa wanasema Alex alikuwa vizuri kimaisha kumbe alikuwa anaishi kwa Mikopo!
Jaman ndo maana hatupasw kuingia haya maeneo shetan anakaa sana haya maeneo
Huyo usalama aliyekuwepo hapo nae aliubiru! Hajakumbuka hata kuita police kabla ya maafa kutokea. Usalama katoa kitambulisho kamuonya Alex kisha kapotelea wapi 🤔🤔
Hiyo sio kazi yake
Mi naona walichukulia soft tu alaf anambiwa aombe msamaha wakaona mambo sawa kumbe dhamira yake ilkua nyingine
Tz sijui tumeingiliwa na Nini ,Maana naona kadri Siku zinavyoenda matukio Kama haya nimengi sana ,da mungu atupe mwisho mwema ,napia awqrehemu wote waliotangulia Mbele ya khaki Amina yarabi😪
Ndio maana kabla ujatoka nyumbani sali na umuombe mungu kabla ujaanza siku yako, maana ujui utakavyokutana navyo huko mtaani
Kabisa yan mm nakosa hata jibu
mda wote anatoa toa silaha mlkua mnadhania ni pipi wabongo hamjifunzi tuu mnadhani bastola ni manati #acheni uwaki..
Hatujazoea vita ingekuwa kenya aiseee wangetoka mbio mpka mbu wangeshangaa.
Yaan mijitu inayotaka kusikilizwaga yenyewe me inanikera cjui inajiona miungu watu haya c angemsubirisha malakul maut sasa asimtoe roho inaonekana alikuwa mtu wa majivuno sana kisa ana pesa wenzie akawa anawaona m'mbwa tu haya sasa na aende na bastora yake akafanye fujo kaburin yeye c mba'be bwana
Wanakera mnoo watu wa hivyo siwapendi
Kaka kaeleza vzr sana polen sana
Jameni iyokitu ikimiliki H maman na mwijaku na babuyao muse Yousuph basi mond wetu tunamukosa kiulaini🗣🗣wasipewi kabisa🙏🙆♂️
mambo
Yani wanaume wa Dar🙆♀️ kweli huyo mtu mlishindwa kumkata mtama na kumyanganya hiyo gun?
Na kwanini tangu saa nane mpaka anakuja kufyatua watu mbona msipige police?
Dogo usiongee usiyoyajua we Mara ya mwisho kusikia risasi Ni lini Kama huna point kausha
@@yazidiselemani541 forget about it,carry on with your life.Usifikiri kila mtu anaye comment hapa ni dogo.Respect brother🙋♀️
Dar kweli kabla hujafa hujaumbika pole ndg wa jift
Tiki tv mnawazidi online tv
yani hawa jamaa ni noma sana me nawapenda sana
Huyu kaka yupo vizuri sanaa Mimi binafsi nampendaa
Huyu kaka mtangazaji yuko vizuri sanaa aiseee unajua kuhoji
Gift ameendaaa kwa Ahadi lkn aliemuuwaa ndio Shetani aswaaaaaaaa
Tungeweza kunusu maisha ya mwenzetu kama tungeripoti polisi,ninahakika polisi wangemweka chini ya ulinzi. Maranyingi baadhi ya watanzania huwa tunapuuza mambo na kudhani ( hayanihusu )
Wakati wote huo mtu ameanza kutishia mbn hamkupigia polisi toka mwanzo
Hilo ndo kosa. Inaonesha walikua wanasubiri ushahidi kamili wakihadithia story iwe imekamilika km ivi. Sasa iwe funzo ukitoka hali km hiyo watoe taarifa polisi mapema
Yaan walifungwa akil zao nao ittakuwa saiz ndiowanajiuliza
Depression😢😢😢
Kaza but dogo Kelvin unakuja kwa kas ya 4G tik ni tik kwel
Madhara ya chanjo ya Corona yameanza, ukute ana sumaku tayari inavuta ubongo
hata mm nimefikir hivyo sumaku imeleta shida
Sumaku
R.I.P. Gift
Uyo muuwaji alikua sikuzake zimefika sasa likua atafuta mwenziwe wakuenda nae vitu kama ivyo maranyingi vya tokea mjifunze mkiona paali popote pan mgogoro kam uo mjiepuk nae wengine awakubali kufapekeao
mamboo
Duh ulimwengu ni mitihani wallah
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema pepon Amin
Mmmh polen sana jaman
Jaman mnafanyaga nini bar usiku acha ya wapate wengine mumewacha ndoa zenu mnakuja kufanya starehe mpk saa 8 usiku mshahara wa starehe mivinyo
Ivi una akili kwl ww
Wewe mwenye akili kakeshe nawewe bar chiz wewe mshahara wadhambi ulijua nipesa
Meneja akamatwe na baa ifungwe maana hakuna ulinzi kwa wateja wanaopata huduma hapo. Ni uzembe wa hali ya juu. Mnashindwa kuita polisi!!!
Kweli ila pangekuwa na walinzi..yasingetokea
Jamani kwani huwa hawawapimi akili kabla ya kuwapa silaha???
Ndio hapo
Akili anazoo, shida watu wanataka ku trend mjini, anakopa halipi, shida sana , anakula bata tu
Kwani huko Bongo kwa nini serikali inamarikisha watu siraha? Kwa misingi ipi? Sheria mbovu 😙😙😉
Dah, kweli kifo kinaogopwa, hivi wanaume wote mkakimbia mkamuacha mwenzenu akiuliwa kama mnyama jamani duh, 😭kweli kifo kikiwa kimepangwa hakipingiki.
Bastola Haina uanaume wewe
Hata ungekuwa ni wew pia ungekimbia kila mtu anatetea roho yake ndgu..
Kuna wanaume na mifano ya wanaume.wanasema wanaokoa nafsi zao wanadhani zitaishi milele ujinga tu.
Dada umewah ckia mkito Wa bunduki?? Makomando huwa wanakimbia sembuse RAIA??? Huyo askar Wa Usalama akamatwe pia
Niliwahi kukabiliana na jamaa anamniga mtu .watu wote walikimbia wakaniacha pekeangu na yule jamaa huku anatishia atakae sogea kuokoa naua.ilibidi nikakubali bora kufa kuliko kushuhudia ukatili wa namna ile tena wa kiuonevu kabisa.nilipambana na yule mwamba hadi nikavunjika bega.baadae Askari ndio wakafika hapo kusaidia.usifikiri kila mwanaume unaemuona anatembea kavimba kifua ni mwanaume wengi ni mashoga tu.ukute ndugu yako anata kuuliwa ukimbie kuiokoa nafsi aliekudanganya utaishi milele ni Nani sasa.kitendo Cha kuokoa mtu kweny hatarii kinahitaji akili na nguvu zitumike.badala ya kuwa mnashindia bar.fanyeni mazoezi usitegemee kuwa polisi watakulinda muda wote.
kifo kikifika jaman hakikwepeki, ila ushasikia chuma ya mzungu imelia bado unasogea tena!! wabongo bana
Huyo Usalama akamatwe,
Kuna la kujifunza hapa,fata mambo yako,Gift ubabe umemponza,r.i.p
Hii clip ukiisikiliza kwa makini,ukaitafakari inaashiria kitu fulani,imekwisha tokea kila mtu anaogopa ushahidi, lakini Mimi binafsi inaashiria kulipa kisasi, muuaji alikuwa na Jambo nyuma ya pazia, tuwaachie polisi, hata Kama alikuwa na jambo, labda alikuwa anatafuta gear ya kufanya mauaji sio kwa namna hiyo. Huyu Alex Mroso??? Sijui. R. I. P😭😭
Kweli ndugu mtangazaji unastahili kwa maswaliyako mazuri.ila pole sana kwa familia ya marehemu
Ah! Sasa mtu kumbe alikuwa anatoa toa bastola mara awatishie watu bado wanamwangalia tu wanamwacha!?
Uongoz wa hapo bar nao ni wazembe kweli!
Inna lilahi wainna ilehim rajiun😥😥🇪🇭🇪🇭
Mwenye nguvu mpishe
Nimeumia Sana jaman tunaelekea wap
It's so Pain 😥😥
Lkn mama samia alikataza mambo pf 3 unampeleka hosptali kwanza mengine baada ya hapo
Hata hivyo, walichelewa sana kutoa taarifa polis kuhusu tukio zima. Walipaswa kutoa taarifa mapema kabla
Tiki mpo vizuri
Huo mtindo ws Movie ukome kabisa.restaurants na silaha marufuku
Huyu kaka anatoa maelezo vizur japo ana uchungu moyoni
Kweli kabisa Grory unachokisema
Sasa huo muda kapanda juu anaangalia siangekimbia kufata police jaman yn unaangalia mwenzio anapigwa lisasi badala ukimbie kufata police
Kabisa Kuna uzembe umefanyika mkubwa tuu
@@mosesmwailenge5192 yan unajua kifo kikikuita bwana ata wale watu waliyokuwa apo kunakitu kiliwapumbasa
Kweli kbs
Hivi wachaga tumekuwaje😢😢
Hana akili marehemu mbona wengine wao vzr
Kumbe kulikuwepo na uwezekano wakukamatwa mapema hajareta maradhara
Maskini kijana wa mwisho anatia huruma
Humu kama kuna mtu anamfahamu mwenye silaha na ni mkorofi,atoe taarifa mapema jamani
Mi ninayo ya panga
@@xuzypeter2625 😀😀😀😁😁😂
@@xuzypeter2625 Wewe kajisalimishe mwenyewe 😄😄😄😄😄
🤣 🤣 🤣 🤣 Minnayo ntaanza na ww😜
@@mamachris6811 😂😂😂😂😂😂🙈🙈🙈🙈🙈ila sauti aitoshi 🎤🎤🎤🎤
Kichaa kakabiziwa rungu pumzika Kwa amani Gifti 😭 Mungu akuondoshee adhabu ya kaburi
Muda wote hamtoi taarifa Police
Hapo ndio nashangaa mtu anaenuka alaf anarud kuket wanakosa akili mtu mmoja kutoka na hekma akaita police
@@antybabybintrashid2333 hata huyo alionesha kitambulisho,naye bomu, usalama gani anaoufanyia kazi
Au mpaka mtu amtukane Kiongozi !!!!!!????????
Jamani naombeni anaejua namba za police maana haya mambo yanatisha
@@joycechaz2840 114
Mtu akishaanza kutoa bastola sio wakumuacha, eidha toa lipoti police au anawaiwa yeye
Ukipatwa na matatizo rejea kwa ALLAH.
Kabisa
Kwani mda wote hakuna mtu alikua cm mkapigia police??mlifanya uzembe wa hali ya juu alivyotoa bastola mara ya kwanza mngepigia police hayo mauaji yasingetokea lamda tungesikia maneruhi
Police wa Tanzania unawapigia saa mbili wanakuja saa nne
Jaman mbona tunakua makatili mpak shetani anaogopa
😭😭😭
Kweli jambo likipangwa limepangwa hakuna wa kulipangua.😔
Mshamuona mtu kaingia bar na bastola badala mngetoa taarifa kwa polisi nyinyi mnamuangalia tu
Na huyo aliyetoa kitambulisho eti afisa usalama..mbona hakuchukua tahadhari na kutoa taarifa maana yeye ana mafunzo ya usalama...upuuzi tu!!!
Lkn twende mbele tuludi nyuma hao waliopo hapo kwenye hilo tukio ina mana hawakushtuka kutaalifu police na huyo mwenye baa hakushtuka tuu kutoa taarifa daa
Pumnzika kwa amani gift imeniuma Sana yani
Nyie watu mnapoona mambo Kama hayo toeni taarifa mapema police mpka mambo yanatokea ndio mnasema watazania niwatu waajabu Sana msemwamini m2
Umeongea point
hapo ndio walipokosea, mtu anachechezea bastola wao wanasubiri tu, wangewahi kuwapigia police pengine ingekua salama
Kwanza mwanzo wanasema alkuapo police eneo la tukio alichukua uamuz gn?