🙄🙄🙄niulize nyie watangazaji Huw munatubeba aje kichwa cha habari n tofauti na mahojiano wololo.. ..all i love you 😘 ❤ favyvanny.🔥🔥🔥🔥🔥🔥majibu huwa unajibu vizur mpole all
Not sure if anyone cares but if you guys are stoned like me atm then you can watch pretty much all the new movies and series on InstaFlixxer. I've been binge watching with my girlfriend for the last couple of months :)
Wameachana bado hawajarudiana ndio nataka no zafahyma nimuozeshe kakaangu wanaendana kbisa mana brother Wangu nimweeupee kisha mrefu nimzuri kbisa naombeni no zake
Fahyma fanya shughuli zako tunza mwanao achana na hao wenye roho ya kwa nini halafu usiweke mambo yako kwenye mtandao wewe sasa hivi ni mama weka akiba unachokipata usijali mambo ya kwenye mitandao
Hawa wasanii huwa wananichekesha sana maana hapa bongo hakuna baridi ya kufaa swetar wengine huvaa viatu vya winter makoti ya winter bongo wanatafuta kuripuka🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄😀😀😀
Kwa matatizo ya michirizi, makovu, nyama uzembe, kuongeza shape, hips,miguu,kutoa mikunyanzi, kurefusha nywele, kupunguza matiti, kuwa softi, n.k Karibu ofisini, SMS/whatsap 0693_330284
Nampenda uyuu dada anayo tabia kama zangu za kuwa mpolee nakuwa wamoto motoo tenaaaa 💋♥️♥️♥️♥️
Chuiii nexti levo misic na ravnnyn Chuiii NEXTl LEVO MISIC RAVNNYN macvoice NEXTI LEVO MISiC
Well done umejibu maswali vizuri sii kama Nana maringo tupu💕
🙄🙄🙄niulize nyie watangazaji Huw munatubeba aje kichwa cha habari n tofauti na mahojiano wololo.. ..all i love you 😘 ❤ favyvanny.🔥🔥🔥🔥🔥🔥majibu huwa unajibu vizur mpole all
Yani wanatubeba nyanya za kuoza sana😃😀😃😀😀
Kama umesikia kuvaa kigodoro sio dhambi tupia like yako hapa😁😂😂😂
Nikwer sio dhambi kama hujajaliwa
Kawajibu nyinyi ambao amuchoki kutwa kumufatiliya
Not sure if anyone cares but if you guys are stoned like me atm then you can watch pretty much all the new movies and series on InstaFlixxer. I've been binge watching with my girlfriend for the last couple of months :)
@Royal Kairo yea, I have been using InstaFlixxer for months myself :D
Nampenda uyu dada..anaprotect familia yake sana
Atari saaaaana uyu dada anaakili weacha tu
Naona skuizii kaacha yale mambo yake yakusema no comment. Kama umegundua pia ww achaga like tukiendaga
Aliekuwa anasem hiv ni tessy siy huy
@@angelpritchard9399 yeye pia ali kuwa ana xema 😂😂
Ongera my pambana usikubali kukatishwa tamaa
Nakapenda sana haka kabinti
Nakupenda dada Mungu akutunze na nyie mnaomchukia kafieni mbele uko mwacheni mtt wa watu
Fayma love you 💕👌 pend Sana 😍🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Hongera mdogo angu umekua pia piga kazi mdogo angu
Fahyma unapendeza 😍😍😍🧡🧡
Leo akili imemkaa sawa kila swali anajibu kapunguza mashauzi mxeew
Kuachwa sio mchezoo
😄😄😃😃dunia duara
@@nyarkebs1569 alijiona kafika
@@angelpaul2048 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yaani kuachwa kitu chengine aiseee ndo maana katulia mno yaani Kawa mpole
Haha
Aaaaiii Tanasha anafaa kigodoro wapi na hatuoni 🤣😅😅😅🤣🤣🤣lakini kwa hamisa tunaona tena 🤣
Hamissa ni mwili wake
Congrats 🥳🥳🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪
Nampenda faymah ...u r the most beautiful baby girl
Fayvanny❤️😍😍
Yale mapicha uliyokuwa unapiga mbona hauyafanyi tena? Au dishi limeyumba.. maisha yanapanda na kushuka naona umenyooka kweli.
Naomba kuuliza hivi harmonize na harmorapa ni ndugu wa damu moja maana wamefanana
Hawajafanana hata kidogo ukiwatizama kwa karibu msijidanganye sio ndugu
Hahahaha
Msambaa girl mashaAllah
Interview in English pls 🙏🏾🙏🏾we don’t understand even thou we r funs 😟
Jamaniii mbonaa km anaaa makengezaaa au
Leo yuko NATURAL naona.. hayuko mrembo kama nilivyo mzoea.... ama ni nywele
Makengeza ndio anayo hadi nandy anayo
Ni maringo anayo.
Nakapenda aka ka dada jamani
❤ 0:30
Amenenepa mashallah pambana shost akuna kukata tamaa
Apo sasa kigodorooooo,🔥🔥🔥🔥🔥💃💃
Umenenepa best
Baada yakuachwa kawampole mashauz yameisha mfyu
True
Nampenda huyu dada sijui kwann watu wanamchukia
Roho mbaya tu zinawasumbua mdada yuko poa tu
Chunguza interview zake za zamani wakati ana ishi na Rayvanny utajua ni kwanini wanamchukia
ila kwasasa watu wemependa kumuona anaogea kwa upole na kujibu maswali vizuri kibinadamu kwa heshima
umejibu vzur sanaa yan
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 umekuwa mpole sana sikuizi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Chezea wajumbe wewe🤣🤣
Alikuwa na majivuno sana wacha atuliye
Umeona eeh?
Ukiachwa alafu ukirudiwa lazima uwempole
Alafu anamakengeza 😂😂😂
Nice 👏
Smart lady
Dar, Kwani ulirudi pole pole Kwa Rayvanny
Kwani kunasehem wasema kama wameachana au yalikuwa maneno ya watu tuu
@@mereyamhomesmariamhomes3464 🤣🤣🤣ya watu wawili ukiingilia yatakushinda
🤣🤣🤣🤣🤣
Wameachana bado hawajarudiana ndio nataka no zafahyma nimuozeshe kakaangu wanaendana kbisa mana brother Wangu nimweeupee kisha mrefu nimzuri kbisa naombeni no zake
Umejtahdi jmn Leo sjaskia No comment
Yaani sahivi kisilani kimemuisha nyondo zote zimeisha kipindi yupo na ray alikuwa anajibu majivuno sana akiwa hivihv hadi raha
Fayvan nakuoenda bule Dada angu usiskilize maneno ya watu fanya kazi mama
Fahyma fanya shughuli zako tunza mwanao achana na hao wenye roho ya kwa nini halafu usiweke mambo yako kwenye mtandao wewe sasa hivi ni mama weka akiba unachokipata usijali mambo ya kwenye mitandao
This girl is smart
Kamrembo sana😍
Naona umetulia
They don't know anything kuhusu mavazi (wa Tz)
Ila Hiyo miwani Kwenye macho vipi
Uyu dem ninzuri sana na Amekua mpole
Nice interview fyvanny
Wa 4
Duka lipo wapi wajamani
Hiyo sweeter ni pesa ngapi?
😂😂😂
Hawa wasanii huwa wananichekesha sana maana hapa bongo hakuna baridi ya kufaa swetar wengine huvaa viatu vya winter makoti ya winter bongo wanatafuta kuripuka🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄😀😀😀
Dah kawa mpole km sio faima 2019 mwisho mwisho
Fai wake
Duuuuuuu sikuhizi kawa mpoleeee
Wajumbe walimkomesha uyu bibieeeeh
Nakapenda sn aka kadada ❤️
Fahma anajua kuvaa jamani mwacheni
Kweli kabisa tena kwenye I m zuchu aliva kipekee sana watu awakuagi nakubali vyakwao sijuwi kwanini
@@mutwalesylvie7443 wivu wabongo huwa hatutaki kukubali kwamba alipewa kapewaaaa jamani""Mungu hawezi kukupa vyote"
Tafadhali nawaomba ndugu zangu kwa Ku comment Ku Shea Ku like na Ku subscriber hakika ukifanya ivo utakua umenisaidia sana asante
Wakisuka nywele mpya wanataka interview
😂😂😂
Wivu tuu utakuuwa
Kumbe huyu bint anamacho ya kengeza🙄haraf kamevimbiana mashavu sijui kanabuga ugolo😂😂
Amna nimacho yako tu
I love you fahyma
kanakula vizur☺️
Ww ndio una kengeza juu huoni vzr
Dem ako sawa kabisa yaani she is very beautiful wengine wana wivu tu😂
Mbona hamtuonyeshi hivyo vitu sasa
Inchi za inje zipi ushawahi kwenda?kama sio SA na na nigeria?😃😃
Ndo izo izo jamani si nchi za nje wabongo mnaboa sana
@@ummysalumu6606 lol 😆 sasa nigeria na South Africa ni inchi za inje?
@@Roncita-c5k hivi wewe Una hakili kweli sasa SA au Nigeria kwahiy nimikoa ya tz
🤣🤣🤣🤣🤣
@@juliejulie8704 🤣🤣🤣🤣
Mie kigodolo navaa sasa muniuwe eheee😁🤪🤪🤪
Haha
👋👋
😍😍fayvan
kichwa cha habar na anachokiongea ni tofaut
Ndoujinga wao hawa wandishi wetu
Aki wanaeza kosanisha watu
Waoooo
Kwa matatizo ya michirizi, makovu, nyama uzembe, kuongeza shape, hips,miguu,kutoa mikunyanzi, kurefusha nywele, kupunguza matiti, kuwa softi, n.k
Karibu ofisini, SMS/whatsap 0693_330284
Kusema ukweli hata mimi nakuchukia sana wewe Fayvanny
Mmmh 🙄
Umepata faida gani?
@@teddysanga7451 faida I hate her too! She looks like a Catoon! Yeah! You feel me?? Good! 💩
Hongera
so get a life.
Akaa mjamzito
Hizi captions zenu za uongo zitafanya nisi-subscribe
Tuonesheni bac ilo duka na sehemu gani
Unaiga sauti ya mrembo mmoja acha ujinga huna lolote.
Aunt 🤣😁
Msompenda kazi mnayo
Cyo kaiga saut yako?
Duu kigodoro kilasiku ukipiga PC unakivaa wacha uwongo
Ulimuvua ukamuona kavas
@@elibarikioloipukye6530 maranyingi tu
Wivu utakuuwa. na roho mbovu na chafu
@@elibarikioloipukye6530 Nimjinga sana nayye akanunue avae
@@aishaasumany561 sana kama mkundu wamamayako
Rayvanny kakwachua mtoto atali
Hatari
👏👏👏👏
I love her sana🤪🤪🤪🤪
Caption ya uongo ata siezi subitu ku subscribe
Leo adabu mkononi dada hahaaaaaaa chezea mtanga kuachwa
Ana meno mengi au hiyo ongea vip
Waja hamuishi maneno em chunguzen yenu kwanza kaz kusema ya w2 tyu utadhan nyny wakamilifu
Huhuhuhu comment zenu konkiii
Leo ushauli wake kwako uko wap
wa pili
Mmh
I love you fayvany ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️wewe mzuri sana mwaaaaaah
Ana makengeza eeh
Lol
Amkome
haaaaaaa
Ni Mimba??? Ama kunenepa??
Hata maziwa unahis yamejaa
Kweli eti kawa bonge aiseer
unataka akonde umpeleke wapi?
@@tonianekesa342 Nimpe Tuzo.
@@maryannqueen7356 End kwa chama chako cha roho chafu wakupe tuzo..