Ila maneno muachee huyu dada ni mzurii Sana tenaa anajitambua Sana watangaa wapo vizurii sanaaa I love you feyvan mungu awape maisha mazurii muwakomeshee wambeaa
kwani wote wanaoishi na wanaume wamefunga ndoa??? na kwan hawawaiti waume zao ni mabwana wao??? wabongo buana mnapenda kuona ya wenzenu tyuuuu mungu hapendi
du kumbe instagram unaeza pata mamyloo safi kabisa ngoja sasa nikadowload hiyo insta mana sina au huku huku naeza pata manz ili nighair kudownload jaman warembo??
Sasa jaman watu wameanza kuishi tangu 2015 mpk sasa wana mtoto tyr unataka asimuite mume wake ili iweje au unataka aseme mume wako??? Acheni wivu watanzania wenzangu
for the first time i drop my coment this woman is real and mature. i love this couple.
Seeing this after the big break up and then he is back to our favourite girl yaani fahyvanny kiboko yao..😅😅😊we pray the reunion last forever.
Kumbe siko pekeangu hapa
Tuko wengi
Ila maneno muachee huyu dada ni mzurii Sana tenaa anajitambua Sana watangaa wapo vizurii sanaaa I love you feyvan mungu awape maisha mazurii muwakomeshee wambeaa
Huyu dada inaonekana amelelewa maadili mazuri sana MUNGU awasimamie kwenye maisha yenu
This woman is so mature ...I love her na ndo baaaaaasiiiii...and she even apologized again....😍😍😍😍💯
By
Napenda Sana kazi zako ndungu yangu natamani Sana kuwa karibu Sana nawewe
Kuhusu ndoa wakat wamungu ndiyo sahihi dada mungu awajalie her😊
Kama naww umesikia very rooooooong,gonga like
😂😂😂
😂😂😂roooong seriously
My country pple😂😂😂😂
@@raelachayo8591 yeah our fellow kenyan🙂
😂😂😂😂😂
fahyma nikazur kanajielewa sana mashallah😘😍
Anajielewa nn kama karitadi
Wangapi tumerudiyahapa wakati wa Paula?🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbea ww
@@ShSh-my8cw 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kujimakini nako
Mtoto wa tanga haachwi ndio nimerudia hapa 😄
Kama umeskia audio coll na sio voice coll acha like japo Kama unajua kusikiliza kwa makini
Nampenda moto uyu kweli ni mtoto mwenye heshima 👏👏
Mmmmmh mm nawatakia maishamema tuu na nawapenda sana❤❤❤
Kmaaa ndoo mRa ykoo ya kwanza kumuona fyma kwenye intervew gonga like aapa😀😀
So beautiful, Such a real woman humble low-key
Nani ako huku kujikumbusha tu aliposema haezi achwa🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi ati mtoto wa kitanga
😉
@@sandrakateslopez2488 yaan natoa macho tu hta si mmaliz huyo dada kwenye r ana eka l na kwenye l ana eka r mtihan hawa wasanii wetu
Jamani mbonaivo binadam hmmmm kwani ulitaka aseme iposiku tutaachana watu jaman kufa situnajuwa kama Hakuna atakae baki dunian ila Nani kasema nakakufa 😀😀
Nawwe.rudi nyuma kwenye maisha yako utakuta byenye ulisemaga naukabipita
Rayvanny and Fahyma the best couple 👏👏👏👏👏👌💯
Nakuombea dadangu mungu awajaalie mufunge ndoa ya kheri inshaallah
😭😭😭😭
Wow @ fayma you just one in a million may God keep you and your relationship gal bigup
😭😭😭😭😭they broke up
Thanks for astory dear, much love💚
Nani kaja kusikiliza hii intevew baada ya fayvanny kupigwa chini tujuane na likes 🇶🇦
Nimekuja baada ya fayma kurudiwa
Nakukubali sanaaa🎉🎉
Mashallah fahima mzur kama mmi wajina wake
Kweli wew mzuri ummu
Mbona anaongea kwa kujiramba ajiamini vile
YOUR SOOO BEAUTIFUL BABY GIRL NA UMEONGEA POINT SANA .🇰🇪🇨🇿
"Nilikuwa Lesi sana" "nikianza kuelezea it's arooooong stoly" hii shida sasa.😂😂😂😂
😁😁
Kassim Rajabu 😂😂😂
😆😆😆😆😆
yaaani jitu zimaaaaaaaaa linashindwa kutofautisha r na l wanakwazaaaaaa
😂😂😂😂😂😂
Rayvanny is very handsome boy, I really admire him.
Hello
Uyu dada yuko kwenye malezi mazuri na naamini kuwa anampenda sana rayvani , poles sana fayma
Akili kubwa maana watu wana midomo mirefu 🥰🥰
😁😁
Maashallah ima so beautiful 😍 😍😍 😍😍 😍
Tafadhali achieni kizungu wazungu na wale wanawezana nacho. 😂 😂 😂 to cut this roooong story short tupende Kiswahili Sheng achieni wakenya
God bless you.254 mpooo
254🙋🙋🙋🙋🙋
254 oyeee....wa githu najua mko apa
Tupo kwa mpingo
Wakujie lessons kwa kartelo
Nakupendaa San fahyma❤️💖
Kupigiana video call ikageuka video ya paula😂😂😂😂😂😂😂
Jmn kumbe Instagram nitamu kumbe ngoja Nika download now kiukwel kumbe naweza pata mume kule ila mm naichukia sanaa kumbe nzuri jmn loooh 🏃
Hukty Asnaty mume wangu nilikuta nae insta mpka sasa ni mume
@@sarahalfani3124 jmn uwiiiiiiiiii mbona awaji jmn nataka iyo bahat jmn mimi
Hukty Asnaty haha
Mmm
Hukty Asnaty 🤣🤣
I am here after they're back together 😍
Very intelligent beautiful young lady tzd
Fahima umeongea point nzuri mungu awaendeleze
WA SNS Shukran Sana kwa kumuona Fayma
kwani wote wanaoishi na wanaume wamefunga ndoa??? na kwan hawawaiti waume zao ni mabwana wao??? wabongo buana mnapenda kuona ya wenzenu tyuuuu mungu hapendi
Waambie my
Ni bwanake mnaumwa wapi
Jamani😒😒🤔
Kwel hp wanazugaa kushangaaaa
Kura yangu nimewapa nyinyi best couple
Mi nataman nione macho yko jmn isitoshe umedamshii❤️❤️
Kwann macho
@@sharayamohd6363 Napend tyu kumuon uson bila mawan sababu Napend macho yke sina sababu nyingine au ww wafikiria vp
Love wajina wangh ❤️🤟💞
yan tangea rayvan yuko yamoto 2015 wafkiri uyo paula angemtaka...? wametoka mbali bwana wamuache2 fayma wawa2☹☹
No one is perfect na kila mtu ako na upungufu wake.. Sionhei mengi kwa sababu mimi pia ni mwanamke
Mimi nime rudia Huku Leo Nani mwenzangu Alie rudia kama Mimi tujuane, Huyu demu ni mrembo jamani she's so beautiful
Umbea TU umetuleta hapa 😂😂😂
Safi sana namsikiliza mme wangu tyu Sasa kwa upande wa pisi zingne zinasikiliza maneno ya watu hawataki kuwasikiliza waume zaoh
nilicho kipenda kwako shem ni mkweli sana yani kunawanawake wengine ni wazuri kushinda wewe safi sana umejikubali
My best couple... Single ladies tujuane hapa
MaryGrace Msigwa hello
Hellow..
@@raymoneyog-theafricantiger Hellow.
MaryGrace Msigwa How are you
how are you
Tanga. Tuwarembo jomn. Ebu. Like wataka watnga wenzangu
Daa fatma sio kwa ubaya nikuulize huyu bint mbona kartadi ?Ama family yake sio waislaam Wa kuzaliwa?
Nisamehe kama nitakuwa nimekukwaza coz nimeona labda unamfahamu
Dogo janja kashapita hapo🤣🤣
Sanaa mtoto mwenyewe nimrembo
@@ladymashaallahilikeuaadvis997 majibu kwa umbea sijaulizwa mm ila karitadi mtt mzuri an achezea moto kwa vidole
May God bless your union, 🙏
Pole sanaa kwa kuachwa
Besty couples ❤️🥰
Like back kuwa wakwaza ravnnyn
Umeongea Point sana pole lakn
Faimaa nakupendaa da😘😘😘😘
Gooood sana Mrembo fahyma uko vzr sana
Uko vizuri na umepatia kipaji lengo LA kila kitu ni kukizi yako na ya jamii inayokusogea
It's a rooong story......aaaaaa mama 😁😁😁😁😁sasa ushatuambia ni rong tusikilize au tupite
Ha ha bora tupite
GOOD COMMENT BY THE LADY...WOMEN SHOULD RESPECT THYA HUSBANDS...
Wow 💞so Sweet😍
Faima kakua mzuri maashallah
Its a rong story very rooooong story 🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️
🤣🤣🤣🤣
Mamori Dan 😂😂😂😂😂
mamori dan acha uchokozi bwana lol
Mamori Dan 🤣😂😂
😂😂😂😂
Dada unajiamini mupaka u achika 🎤🎤 🏃♀️ 🏃♀️ 🏃♀️ 😂😂😂 Paula kakutimuwa 😂😂😂🤣🔥🔥
Washa taa 😁minashangaa ujue
Fy nakupenda nakupenda mnoooo u mwelew xn
Karembo jamani❤...ila usimsifie mwanaume saaaaana..bakisha mama ila napenda couple yenu
Saidah licious 254 sawa umeona
Sifa nyingi those are the results
Shout out to u fayma you know how love is 👏👏👏👏❤❤
official istar focus
Safi Sanaa hatakama Janjaro katafuna mzigo yamepita Yale SEMA nyote wawili mnaushawishi,...Mhenga mmoja Aliniambia wanawake weupe Sio Watamu Bwana duu...•√
Mbona mm mtamu
Nivizuri Kama uko Mtamu by the way Sio Wote Ila Wengi wao...
Am the #SNS’s Best #MVS
Pole,,this ladys engrrrish is very rooooong lol ,,,oh dear even with her trying to be so confident lakini english Balaa
You r beautiful dear
She is very beautiful
Ni soon tu😀😀😀
Jifunze kusema inshaallah
Penda Sana ninyi ..hongera umejua kujieleza
Wangapi wanarudia hii clip kwa uchungu sana 😂😂
Nakukubali San fahima
roooooong story bado ni sawa bwana wee, kizungu kilikuja na meli bwana itabdid tunaelewa....
Kibali😀⬜
I Love you so much baby faima
Nakubeda Sana mum faima mupezi wa ravanny
Wallah fahyma ni mzur then nampenda sn huyu dada na couple yake i wish cku moja nmwone
Cute couples
I really like her... biggest fan😍
Love you faymah
du kumbe instagram unaeza pata mamyloo safi kabisa ngoja sasa nikadowload hiyo insta mana sina au huku huku naeza pata manz ili nighair kudownload jaman warembo??
😂😂😂
masalago vp mbn wacheka
Qwel
hahaaha
Wah!!!
Anakupenda sana naona sahii mume wako ana paula
😃😃😃
Mungu yupo kwajili yetu sote kamamungukaandikaatarufi tu
Kma unamkubali uyu broo acha like anajua kufanya interview Kama mtu mzima anamaswali ya akili Sana sio mropokaji jmn daahh
❤❤❤fey
Nimerudi hapa baada ya mama Mkwe kutunzwa pesa 😅😅😅😅
😃😃😃
Nice couple mungu awawezeshe to stay strong 💪
It's a wrong story 😂😂😂
Lakini duuu hana siri 🤔🤔🤔
She speaks alot wallahi......wanawake punguzeni
Hihihih
😂😂😂😂
Fayma wa zaman mzuri jaman ila sahv hapana
Waislamu nao kila mara wao huona dini yao ndio dini pooh mnaboo.Only God can judge we Christians know God will judge all people
Huyu dada anamfaa sana vanyboy wenye wivu wajinyonge
Nobody is talking about how beautiful she is all they're good @ is pinpointing her accent 🙄
Beauty with useless cheap accent is total bullshit
Soo cute😍😎
KILA MTU NI MZURI JAMANI
Sasa jaman watu wameanza kuishi tangu 2015 mpk sasa wana mtoto tyr unataka asimuite mume wake ili iweje au unataka aseme mume wako??? Acheni wivu watanzania wenzangu
Unajua maana ya mume ww?
@@saymarsaymar4654 bora me sijasema😁😁navyojuwa mimi hata muishi miaka 10 hujapata suna ya ndio huyo tumuite mchepuko mstarabu 🤣🤣
@@khadijamadry7822 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 falaaa
Noel Gasto ..umewezaa
Kwaza akuna ndoa muslam na mkirsto
even me I can't listen anyone😂😂😂😂
Shenzi😂😂
🤣🤣🤣
Fahyma amelala yoooooo 😔😔😂
mimi huwa nakapenda aka kabint sema wanaume ni nyoko hawana kizuri.
Mwanaume hana mke mzr akiamua kwenda anaenda tu
Kumbe Amjaona Alafu una Muita Mumewangu 😃 dunia hii jamani
😂😂😂 umenchekesha we Kaka daaa
😂😂😂😂😂😂daah
Yn hii comment nkirudia kuisoma najikuta nacheka automatic,yn we Kaka Aki umenchekesha 🤣🤣🤣🤣
@@lucyjohn7904 😃ah Maana Sielewi
😂😂😂 eti hii dunia jaman
We mzuri jamn nakupenda 😘😘😘
Ka beautiful 🤗😘😘
Ah kumbe ata tz wanaproduce watu wa roooooooong story😂😂
Anyway she's beautiful