dah nyie watu nikajua nitakua wakwanza kumbe mmeshafika ila mnanipa Raha sana nikikuta mmeshafika nawapenda wote tunaofuatilia hii muvi ila tuacheni kuomba like jamabi hazisaidii kitu chochote
Busat😂😂😂 mimi ni ddm kutoka america nawapa pongezi ❤❤❤na walio furahi mama tasha kumiona sania na papa wakipeana kumbato kwanza tunafurahi kapisha ndoa ya zatiti na tasha kama unawaza kama mm give like❤❤❤❤❤🎉🎉😂😢😢😮😅😊😊
Me kibentu kanifurahishaaaa😂😂😂😂 pia mama Tasha kumuona Sania akikula hag na kiss la padi la uso huyoo Safi maana Tasha angeuziwa mbuzi kwa gunia na bado zatiti akija aseme katembea na bwanake chiko amesababisha kuachika kwasabu yake na kendy
Hii kipindi iliaza vizuri lakini naona mnaingiza vitu mbavyo havikua yani namanisha mmetoka mwenye maada jamani mbona mnatufanya tunakosa hamu ya kutazama mmakinike jamani from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
bola MAMA tasha kamuona sania woyoowooyoooo mliofurah MAMA tasha kuona sania yupo na makumbato like hapa😂😂😂😂😂😂😂
Kwisha habari yake 😂
Kitakuj kumuramba we muace atatafuta papa badai
⅝5@@kalamapendo2701
⅝@@kalamapendo2701
Mungu amfichi mbafiki
Hatimaye tena movie yetu pendwa wanao jisikia furaha wanapoona Tasha na zatit wakiwa pamoja like zenu
Jaman nimefurah bas tu
Allah awabariki kwa baraka za babu alizowaombea tasha na zatiti hakika mmeendan san Tasha na zatiti🎉🎉🎉🎉
Tupo hapa
🎉🎉🎉🎉🎉mauwa kwa zatiti na tasha jamani 🎉🎉🎉🎉❤
mm naona raha Tasha akiwa na zatiti tena sana naona pia ndoa hakuna maana alichoona mama mkwe si dhani kama atamuamini tena
Tulio furahi mama Tasha kumwona sania akiwa na papa like hap😂😂😂
😂😂mimi
😅😅
@@JeannetteManirambona-o6m 🤣🤣🤣
@@victoriangasa 𝐍𝐟𝐫𝐚𝐡𝐢𝐚 𝐱𝐧𝐚😂😂😂😂
😂😂😂
Wangapi wamefurahi kumuona mama Tasha akimfumania sainia😂😂😂😂😂
Ongea pole pole mm nimefurahi kuliko ww
@@issalugendo8452 😄😄😄😄🙌
Waliokua wametabiri kua Tasha atapata mke mwema Wala sio Sonia mikono juu🤚🤚🤚🤚
🙌🙌🙌🙌🙌🎉🎉🎉🎉
Kwanza huyo Sania sikumpenda tabia yke mbaya
❤
🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Nakuaminia msela kibendu hongora busu la kimataifa haipingwi nigaaz🤟🤟🤟🤟 one love 💕 mwanguuu👍💫💫💫💫
Tunaopenda couple ya Tasha na zatiti tujuane kwa likes🙏
Wanaopenda penzi la muhuni na keina tujuane,,muhuni akipenda anapenda kweri
Uwakika man hawanaga rongorongo
Uwiiiiii,,,nina furaha mama ake tasha ameshuhudia ujinga wa Sania ,,,,zatiti ndio wifi yetu
🎉uwakika
Umeonaa nafurah
dah nyie watu nikajua nitakua wakwanza kumbe mmeshafika ila mnanipa Raha sana nikikuta mmeshafika nawapenda wote tunaofuatilia hii muvi ila tuacheni kuomba like jamabi hazisaidii kitu chochote
Wow 👌 now am happy to see Tasha's mother she have seen everything Sania doing
Exactly 💯
Kibendu ndo ana n bamba mhuni lakin roho safi kabisa akili kichwan
Wanao furahiya mama Tasha kumuona Sania na papa kama mimi msininyime like plz
Yaan kibendu ndo kashapenda hvyo, na muhun akipenda anapenda kwl,
Yaan Mimi nimefrah jamn mhuni kasha penda
Hata mm nimefrai sanah❤😊@@LilianMwaijibe
Daaah jamn nimewahi kwely from Kenya jaman me nataka sania asiolewe na Mr tasha
Haiwezekani mama kamfumania na yeye ndio alikuwa mtetezi wa sania
akuna ndoa apo Tasha na sania
Wa kwanza Leo mm kama kawa like zote Kwa team BUSATI TV FANS
Kam kawaid yng natembeza like tu na nyie mnipe zangu✅✅✅
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️@@Noorat-hg8ut
Much love from Kenya...nipewe like na mm basi😮😮😮😢😢😢🤔
Nimewahii jamanii naombenii likee wa kwanza from Manyara
Jamanna me Leo cjachelewa sana wa elfu 6 naomben like naomben like jaman natokea Tz maana mm naona mataifa mengine tu Tz sioni😂😂😂😂
Wa kwanza kutoka DRCongo 🇨🇩 wanao furahiya kwa mama kumuona samiya na ndingi wake tiya like
Ahsante sana Ndugu yetu
Busat😂😂😂 mimi ni ddm kutoka america nawapa pongezi ❤❤❤na walio furahi mama tasha kumiona sania na papa wakipeana kumbato kwanza tunafurahi kapisha ndoa ya zatiti na tasha kama unawaza kama mm give like❤❤❤❤❤🎉🎉😂😢😢😮😅😊😊
Leo wa 5 🎉🎉 tuna enda mbele kwa mbele
Mko wapi tusiachwe nyuma wapenzi tunao kubali Tasha na zatiti tujuwane kwa like ❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤
wow🎉🎉🎉wanao taman tash ampelekee zatiti kwa mamake mnipee like🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉
Yani sisi wa Library tunaenjoy sana kwakweli🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wakwanza leo naomba like zamgu hapa❤ asante
Hatimaye mama tasha ameanza kuona mambo ya sania
Wakwanza kama wakwanza naomben na mimi like jamn vipnz vyangu ❤🎉🎉 ubaya ubwela
Wakwanza nahomba like zangu 🎉🎉🎉
Tim Tasha tujuane ❤
Tupo
Nd sis ap❤
Leo nimefurahi mama tasha kajua ukweli sania ni nani 😂😂kibendu leo ameceza vizuli kabisa mama shida akiona atafurahia kabisa
Jana nilitoa machozi tasha akisema anamuoa sania but now moyo wangu umefurahi kuona sania na papa,nipe likes bs🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mashaallah leo mama tasha ni lazima ayakumbuke maneno ya mwanae tasha alivyo sema sania si hadhi yake😂😂😂😂😂😂
Kbx atayakumbuka
Kwa mara ya kwanza kuwahi
❤ kazi nzuri san
🙏👍👍😂😂 safi sana wapenz wa uongo uongo
Hayawi hayawi lama Tasha amuoe Zatiti wangapi tunaku baliana nahiro
Kibendu jmn kumbe na ww una moyo wa kupenda kiasi hicho,,, nawapenda team Busata❤
Mimi binafsi siyapendi mausiano ya sania na tasha 😂😂
Jmn safr hii mbn mpk nmpnda nawapnd sn BUSATI ❤❤
Tuliofurah mam Tasha kujua tabia ya Sania tujuane kwa like
Waoooo mama tasha anamuona Sania napapa
Tunae subiria ndoa ya zuku na khay kwa hamu tujuane❤❤❤🎉😊
Leo ndo leo kma unamin tasha atampeleka zatiti kwao gonga like
Namba moja mimi
Wa kwanza leo kabisa kutoka RDC congo 🇨🇩 ambae amefurahi yakama mama Tacha amezijuwa tabia ya sania gonga lik hapa
Hello 💞 lovers nimekua wa kwanza leo lakin siombi likes 😅
Hatimaye mama tasha amemuona Sania alicho kifanya😮😮
Naomben like za Tasha na zatiti
Muhuni kakubali mrembo leo 😂😂😂
wakwanza msinipite jamn
Yaan huyo mamake mr Tasha amekoma kiranga😂 nimefrahi ajab
Kajionea mwenyewe
Wow mnajitahidi sana kwakazi nzuri
Walah Mim zatit Mr tash nawakupali San like ❤❤❤10
Eeeeeh na furaha kabisa mama kafumania mkwewe😂😂😂Tasha hongera kwa zatiti❤❤❤
Leo nimewahi jaman 😂😂😂😂😂😂 like at 20
Yaani nimesikia raha ilioje jamani 😂😂😂mama tasha kashuhudia yy mwenyewe na macho yake
Wakwanza🎉
Mmemuona muhuni na keina jamanii❤❤❤❤ nimependa sana sasa atabadilika🎉🎉🎉
Leo piq mutakataa kunipa like wakati nimewahi?
Nimefrah kuona mama Tasha kuona Sania na ujinga wake
Wa kwaza
Mamaaaaeeee kumekucha sania kashayatimba tayari
❤🎉 wa 3 leo
Masha Allah 🥰🥰 kibendu akanifurahisha 🎉🎉🎉🎉
😂 Huyo ngosha bhana wanaofurahishwa na ngosha like kwang😂😂😂😂😂
Kazi nzuri sana Mr. Kai🎉🎉🎉
Kama Kuna mtu amegundua nyumba anayokaa Kai saizi ilikuwa nyumba ya mama candy zaman gonga like
😂😂
😀😀😀😀
Hatimaye muhuni kapenda naombeni like zake 😂😂😂😂
Nimefurahi jamani kuona mama ake tasha kumuona sania jamani nimefurahi
Yaani HOUSE GIRL ina nipa raha sana natumai hata nyie mnaenjoy kama mimi congratulations kwa BUSATI TV 👏👏👏
Wow 😲 nimefulai kuona mama Tasha kuwona Sania na papa❤❤
Leo wa kwanza wapi like
Mnipee likes za wakenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 😊
Ziko na kibendu nenda mwenyewe kachukue 😂😂😂😂 mnabooo wenzenu bhana MTU kama huna chakucoment Bora Tu uworch kisha upita zako
Mnipe likes za kibendu
Nimefurahi sana mama tasha najionea mwenyewe
🤣🤣🤣😂
Yan ilo busu la kibendu linaondoa madoa chunusi na harara 😂😂
Riswaaaa🎉🎉🎉🎉 wa kwanzaa nipeeni likes
Kaz nzur ila uyu muhun namkabal sanah sio kwakupenda uko kibabe sanah
Me kibentu kanifurahishaaaa😂😂😂😂 pia mama Tasha kumuona Sania akikula hag na kiss la padi la uso huyoo Safi maana Tasha angeuziwa mbuzi kwa gunia na bado zatiti akija aseme katembea na bwanake chiko amesababisha kuachika kwasabu yake na kendy
Movie umekuwa tam balaa 😂😂😂 keyn kapata furaha ya moyo wake
We huogopi??😂😂 Leo litakufa jitu.....cy lililonileta nmefrah mam Tash kuuon uhalisia wa thania,,
Afadhali mweee mama tasha kaona kwa sehem kuhusu sania
Wa kwanza tena❤
Kwakwel😂
Jamani tunahitaji zuuu apendezee❤❤❤
Like yng
Léo mama Tasha kajionea😂😂😂 oyeeeeeeeeeeee
Atimae mama Tasha anaenda kumuamin maneno ya Tasha kuwa Sania anaigiza tabiaa😢
Nakwambiya mambo Yako muruwa weaca tu 😂😂
Hahaha am happy wow congratulations all well done ❤❤🎉🎉🎉
Nyie muhuniii atareee na hamia kwa kibendo cjui kibendu na demu wake..... Na Tasha kwa zatiii🔥🔥 busata wee..😲😲😲
Hii kipindi iliaza vizuri lakini naona mnaingiza vitu mbavyo havikua yani namanisha mmetoka mwenye maada jamani mbona mnatufanya tunakosa hamu ya kutazama mmakinike jamani from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Leo nmeenjoy sana mama Tasha kumuona Sania na papa angalau zatiti atakuwa na Tasha sasa tulio furahia mje mlike hapa❤❤❤❤
Kendy, my favourite character ❤😂😂
Safi sana sania, umeumbuka mbele ya mama tasha😂😂😂 I love you tasha and zatiti🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Tasha na zatit mnaendana san ingependez zaid mgeowan❤❤❤
Jaman mana tasha acha izo za kizaman
Mambo ni moto
Nataka kuona kila mtu katika hii movie ameowa ameolewa kimbendu kapata kichuna❤❤❤❤❤❤
Guyz nmefurahii kuona ma tasha kumuona sania na papa guyz nmefurah jmn naimn zatti ataolewa na mr tasha
wow jamani adi raha mna2furahisha asanteni wana busati