Safi sana mwamba unacho unacho sema ndio uhalisia na huo ndio msingi wa mtuu anae jiamini ndugu yetu champezzz hakuna bondia hapa nchini wa kufanana na wewe Kama Kuna mtuu anabisha ayakanyage Tanga tunalinga sana na wewe mungu akujalie achana na huyo mapafu ya panzi ni mwimba taarabu
Unamfahamu Mohammed Ali? Unafahamu kwamba alikua anaongea maneno ya shombo enzi za ujana wake wa ngumi? E ifike pahala sasa muelewe hizi ni ngumi na ngumi kuwa na maneno ya shombo ni sahihi kabisa.
Ulingoni unajitahid tatizo lako maneno mengi kama mtoto wa kike ulipigwa na kaonekana umepata jina baada ya kupewa mabondia ndizi mbona hutaki pambano,huna mafanikio zaidi ya kuwa muuza mgahawa
Unamfahamu Muhammad Ali? Unafahamu kwamba alikua anaongea maneno ya shombo enzi za ujana wake wa ngumi? Ifike pahala sasa muelewe hizi ni ngumi na ngumi kuwa na maneno ya shombo ni sahihi kabisa.
Safi sana bro tuko pamoja nawe M/Mungu akulinde
Safi sana mwamba unacho unacho sema ndio uhalisia na huo ndio msingi wa mtuu anae jiamini ndugu yetu champezzz hakuna bondia hapa nchini wa kufanana na wewe Kama Kuna mtuu anabisha ayakanyage Tanga tunalinga sana na wewe mungu akujalie achana na huyo mapafu ya panzi ni mwimba taarabu
W bondia mzuri tatizo una maneno ya kike sana, wanaume hatupo hvyo
Maneno yakike nikama yapi ndugu tuwambie
Unamfahamu Mohammed Ali? Unafahamu kwamba alikua anaongea maneno ya shombo enzi za ujana wake wa ngumi? E
ifike pahala sasa muelewe hizi ni ngumi na ngumi kuwa na maneno ya shombo ni sahihi kabisa.
Wewe ndio Tanzania one
Sawa sawa kaka nakubali
Nakubali unajiamini sana na huna hofu na mtu
Mbona uyu mwakinyo uweleki
Msambaa akipata
VIAZI😂😂😂😂😂😂😂 YAAN VIAZIIIIIII😂😂😂
Ww mwakinyo sisi atutajie ujekupigwa useme viatu vinanibana mshamba tu
Waziri wa michezo ajae ni mwakinyo sa mwingine umemuona wapi ???
Huna jipya vigelegele vingi tuu wewe kitumbuwa tuu zarau nyingi
Sasa ww mwakinyo unasema umesimama wakati umekaa.simama sasa
Ulingoni unajitahid tatizo lako maneno mengi kama mtoto wa kike ulipigwa na kaonekana umepata jina baada ya kupewa mabondia ndizi mbona hutaki pambano,huna mafanikio zaidi ya kuwa muuza mgahawa
We unafanya kaz gan
@@jumahatibu9240 kama yako
Unamfahamu Muhammad Ali? Unafahamu kwamba alikua anaongea maneno ya shombo enzi za ujana wake wa ngumi?
Ifike pahala sasa muelewe hizi ni ngumi na ngumi kuwa na maneno ya shombo ni sahihi kabisa.
😂 kwani kakataa kupigana baasi! Si kawaambia waende Jiym watamkuta tena waende na waandishi wa habari
Ndicho alichopewa naa mungu na anashukuruu mungu kamvisha.....sasaa wewe duuhhh..mwakinnyo pigaa kazi
W usitukan watu
Hahahaha mapafu ya panya nani ana mjua
Hom boy
Anazalau uyo msambaa
Sasa we na mwakinyo nani msambaa😂😂
Mvaa vikuku wewe tarabu nyingi vitendo ziro fala wewe