YANGA DAY HAIKUWA NA MPANGILIO | CHAMA VS FERNANDES NANI ZAIDI..| - AMRI KIEMBA
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Legend Amri Kiemba anatoa tathmini yake kuhusu matamasha ya Yanga & Simba Day, ushindani wa wachezaji wapya ligi Kuu, ubora wa kikosi cha Yanga vs Simba, Chama Vs Fernander...
Mchambuz wangu bora❤🎉🎉🎉
Kiiemba uko powa sana kaka unajua sana unajua unajua ishi sana kaka🎉🎉
Usi watete pale yanga wamejaa wajuaji ila simba kuna wa wajibikaji 🦁 # UBAYA UBWELA
Yanga walichokuwa wanakifanya ni kuongeza kile ambacho simba hawakukifanya, ni ukweli usiopingika mengi waliyofanya hayakuwa katika mpango wao. Big up Kiemba umechambua ukweli, wewe ni mchambuzi wa kuigwa. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ahmed Ali ni jeshi la Mtu mmoja kweli leo Nimeamini kawafunika woote wasemaji watatu wa Tamasha lao
Yanga wanashindana wao wenyewe,kila mtu anataka kuwa mkubwa kuliko mwenzake, tamasha lao lilikuwa fujo tu
Ni genge la machawa na uongozi umekua na usela wanakumbatia mnoo usela na kiki inabidi wajue yanga kubwa kuliko mtu yoyote hivyo haina haja yakujikomba kwa watu kisa kiki yanga ni ya watu wasiona na umaarufu ila wako kwa mamilioni
Jamaa umeongea point sana
Kiemba usiwatetee.....hawakuwa na mpangilio na hawakuwa na sababu ya kushindana na Simba....
True 🇰🇪
Uko vizury kaka unaakili sana
Umeongea vizuri.
Like kwa amri kiemba😊
Tamasha la Zailisa na Mobeto limebuma ma mc watatu ulickia wp Zembwela ,Kitenge,Manara ,maskin Aliy Kamwe ametupiliwa mbali hata hakuonekana wala kutambishwaa
Akili nyingi kiemba
Kweli matukio yalikuwa hayaeleweki manara ndo alikuja kuharibu kabisa sherehe muda wa kutambulisha wachezaji alichukua muda mrefu na manjonjo yasiyo na maana hadi muda ukaisha makamu wa raisi akaingilia kati utambulisho haujaisha
Manara ni kivuruge masifa mengi mwishoe ameharibu siku ya mwananchi
Kweu kaharibu tu manara Ila ss ♥️ tumependa Sana maneno 8
Kwann mme umia Wana Simba
Nyanga nimanyanga kwel😅😅 Af wanakunywa na vidonge vya kuongeza nguvu nabado niutoporo tu msimu huu ni Ubaya Ubwela
Kilichoniacha hoi ma mc kibao utopolo🐸🐸🐸🐸 na alijitakia kujimbulisha 🐸🐸🐸 😅😅😅😅😅😅😅 walikesha😅😅😅😅 kwa 👑👑👑👑👑 the lion jembe moja Ahmed Aly❤❤❤❤❤❤
kiemba wewe mchambuzi namba moja africa kwasababu unatoa uchambuzi bila kujali kupewa elf20
Mpangilio mtauona tarehe 8
Ni kweli maana kuna watu walienda kwa Ajiri ya kumuongelea MO na GSM na manara na Ahmed Ally ni kweli hawakua na mpango kazi na kitenge nae kutangaza magari yake mara Azizi ki na hamisa yaani ni Aibu haijawahi kutokea
GSM na ndugu yake silent ocean kuonesha kwann mo nae kamtambulisha mdogo wake fatma ni Aibu yanga walikifanya
Yanga wachezaji wamepiga picha na jezi za mazoezi...na sio sare ya mashindano.....labda ndio utofauti walioufanya
Mbona uheleweki Mara jersey Mara sare 😂😂
@@user-ce1ps5hy4fKwan we hujui kuwa utopolo wana jezi na sare zile za mazoezi ndio jezi na ndiyo maana walipata ujasiri wa kupigia picha alafu kuna vile vitenge, vijora, na batiki zile ni sare 😏😏😏😂😂😂
YANGA KAKUSANYA TUZO SABA JUZI NA NI MUHIMU KULIKO TAMASHA....CHA AJABU HATUKUWAONA MKITUMIA NGUVU KUBWAA KULIZUNGUMZIA LKN TAMASHA MNAJADILI MPAKA MISHIPA IMEWASIMAMA!!!
YANGA WENYEWE WAMELIDHIKA NA TAMASHA LAO NA WALA HAWAKUHITAJI KUWAFURAHISHA WACAMBUZI WA MCHONGO.....NYIE ENDELEENI KUTUMIKA TU LKN MAJIBU SAHIHI NI UWANJANI.....
Shida sio mipangilio kikubwa tulikua tunapigania kupata wanachama wengi sasa full house hayo mengine mtajua wenyewe madunduga
Kumbe we kiemba bwabwa eeh simba anajitafuta we choko kwel pre season yanga kashinda ngap kafugwa ngap afu angalia na game za Simba choko wee
Mm nlikerwa na sauti ya dj kila saa wananchiiiii, yaan kiukweli haikuwa organized vzr ilikuwa ni fujo tu kila mtu anashika mic, wasan wanapanda jukwaani bila mpangilio yaan kila mtu pale alikuwa na mentality ya kushindana (kufunika tukio lililopita) which is not good!
Kiufupi walifanya ushambaa😂😂😂
Yaani maji yatajitenga tu, wakati Yanga haifanyi vizuri walijitokeza wachambuzi wengi sana kujifanya wanachambua mpira, lakini kadiri Yanga anajibebea ufalme usio na mpinzani utawasikia tu, kacheza na mbovu, hajafanya vizuri, hajajaza wa kupendeza, yaani ilimradi wakosoe lakini huwasikii kusema mafuriko ya viwanja viwili for the same time!! Haijawahi tangu kolo kuumbwa!
Kutafuta kiki tu, lakini kusema ukweli aaaaaaaaa??????😂😂😂😂😂
Wewe haya matamasha ni trailer, cha mhimu ianze ligi.
Gamondi ameonyesha kikos tu simba waikifat mbinu alizotumia gamond atapotea nyingi mno
🙏🙏🙏🙏👍👍👍🙏🫶
Acha umama ww ulittaka yanga waje kimasi pia au garib atambulishe mkewe
Kwani kipi kimepungua? Kiemba
Hivi chama atakuwa anacheza peke yake?
Kwa hiyo mo kutambulisha dada zake ilikwa ratiba?, tunajua yanga ilikufukuza ndo maana unamihemko kama danga
Dadake Mo ndio mzamini wa Team ya wanawake wa Simba amewanunulia hadi Bus la team kakojoe ulalee
Hivi wewe mchambuzi ongea mambo ya msingi ila nikwambie ishu ni kujaza uwanja kitu ambacho simba hawajaifikia yanga ndo walijaza mpaka uwanja wa uhuru
Umeshaanza kubwabwaja ehhh?
Achenii kuongea porojoo nini maan ya tamasha na burudanii mbona simba akatambilisha dada kwani kilikuwa kuna ulazima wa kutambulishan dada
Shida kiemba unatafuta ugari kupitia comments, sema tukuchangie pesa za kuosha Rasta chafu
Kiemba acha ushamba na ushabiki mandazi
We mwanamke tu. Huna lolote LA kusema
Hivi Yanga alikuwa anataka kushindana na simba? Jamani mara ngapi Yanga wanaanza tamasha lao?? Nyinyi wachambuzi ndo mnaolinganisha na lasimba.
YANGA NI WAJANJA HATARI SANA...ULITAKA WAONYESHE KILA KITU ? YANGA AWAKO ORGANIZE ? HAO UTAWAJUA TAREHE 8