Kidene Amshangaza Diamond Na Babutale kwenye Show watu Wakata miti wapigana vibao amri ya singeli
Вставка
- Опубліковано 23 жов 2024
- #kisene #singeli #morogoro
Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
Singeli bwana huu nimziki wanyumban bhana 2022 like hapa tujuwane
noma san kk😄😄😄
Simba wenu hajaamsha kama kinene ,,salute brother
Kahamsha nini hapo mbona nifujotu
Lkn ye mwnyew kaimba mistari ya simba au co!!!
Weeee ni king wa singeli bhana
huyu jamaa ni noma namkubali vibaya maisha
Kidene wewe ni noma sana wakimbize
#uyo msenge atal
Imepita iyo
Nawaona wahuni💥
Balaaah
Kidene mzee wa bakora
Nice
utasababisha watu waumizane , watatoana macho na upuuzi wako mbona hamna health and safely ? kwenye kundi la watu namna hiyo kuna mambo mengine huwezi kuyafanya lazima uchunge usalama wao .
Wamefuata nn uwanjan
Dangote had umemkubali kidene xo pw
Wauni ukienda nao sawa mbona awakupingi
Af Ooo coronavirus ipo sawa ipo lakini sisi magufuli alishatuaminisha kwahiyo coronavirus kwetu sisi mchumba tu
Jamani huko ni muhadharaaaaa au niiiii
Kk vp nataka namm nitoe nyimb
😆😆 kidene utawauwa kumamake wallah aise
Hapa ni wanaume tu wanaoruka ruka au kuna wanawake????
Ilikuwa ndio mara yangu ya kwanza kumuona na kumsikia huyu msanii alinishangaza kupita maelezo
Alikushangaza nn sasa??
@@kultomkultom5390 Kwanza jamaa singeri yake ni ya kitofauti ni kama ana rap michano konk tena free style lakini ni alivyowa control watu kuwaambia watu kakakate matawi ya miti wanatii anasema hayo ni madogo waende kukata matawi mengine wanaenda kama kawaloga vile
🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaha yale maji aloyarusha cio buree akiamrisha watu wanafanya
Ndio maana mimi sim niliacha Nyumbani niliyajua aya
kwer
Kideene rais wa singeli
Kidene utawaua
🔥🔥🔥🔥
Acha ushamb undio mzk waktaa pny ww
Uyo mwanamke apo mbele
Kidene unajua kusepa na vijiji hata ulaya utasepa na vijiji
Nakubak
Watu kwakupenda upuuzi, hapo ameimba nn kama sio kelele tu
Mimi mwenyewe sielewi chochote nimeenda kwenye page yake pia sioni maajabu..... ila baadhi ya watu wanakarama ya kupendwa hata wakofanya yasiyoeleweka
Huezi kuelewa
Utaelewaje wapenda singeli nilazima tuwachanye😂😋
Mziki kelele nying hakuna anachokiimba.
Watu ndo wanataka vibe sio Kila kitu uimbe chenye maana
Soma
Mh hatari
Hata anachoimba mm sikielewi zaid ykusikia kata majani anaongea tu mhmhmh makubwa namliza bando langu kusenge kwer yaani mm tu ninayemsikia kwenye mtandao kelele zake mpk kichwa kinauma sasa cjui watu waliopo kwenye shoo mziki mwingine hata show bure Kama ilivyo show hii mm unipti nibora nikango'lee majasi shambani
Huwezi kuelewa
Nifuraha kwa shetani pale wakala wake anapowaendesha mazuzu wa kibongo atakavyo mf kata majani mazuzu wanakata hata angelisema wale kinyesi chake hao mazuzu wangelikula hii inaitwa njoo kwa shetani kuna raha
😂😂😂
Huyu Nae Sijui Ananini
Singeli nesheni
Jamaa hii nyota alikoitoa anipeleke
Watu bwana yaani mnaacha kuwashangilia wakina mboso wanaimba nyimbo za maana unampigia kelele huyu kinata na nyiimbo zake zakijinga tangu apande kwenye steji nimeskia kata majani hebu tusimalize nguvu na sauti zetu sisi mashabik kwanyimba za kisenge jamani mnasumbuliwa Kama machiz heti kata majani ukirud home mtu umechoka Kama umetoka kulima kumbe kuangalia show tu poleni
Huwezi elewa
Utaelewaa tuuu ata kiroho mbaya
Washingilie Wewe Usitufundishe Nn Tuflahie ata Wewe Mbona Upo live Unaburudika Na Singeli
Ukikua utaacha
ina maana huyu akipiga show watu wanaingia kwa pesa ? naona fujo tu
Huwezi kuelewa
@@lusekelomwaigwisya850🐱💄🐱💄🐱😃🐱😃🐱
Mh
Nice
Acha ushamb undio mzk waktaa pny ww