WATU HAWANA AIBU KUHAMASISHA NDOA ZA JINSIA MOJA HAYA NI MAAFA KATIKA DUNIA | SHK MSELEM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 48

  • @bakariawadh4838
    @bakariawadh4838 Рік тому +1

    ALLAH AKUPE UMRI MREFU SHEIKH MSELEM,KWA KWELI HUWA NAKUELEWA SANAA

  • @fauziakarama8581
    @fauziakarama8581 Рік тому +8

    Subhannallah, Allah awashinde na awaangamize walionzisha na kueneza hayo mambo kun faya kun dua takabal yarab amiin.

    • @abassomarabass8661
      @abassomarabass8661 Рік тому +1

      Subhannallah Allah awashinde na kuwaangamiza wale wote wenye kuchangia kuendelea kwa laana hizi

    • @AbdiHussen-f7p
      @AbdiHussen-f7p Місяць тому

      Kabisa 😭

  • @hassanlewa5317
    @hassanlewa5317 Рік тому +1

    Allah akubarki na akuhifadhi na akunusuru shekh pia akujazie kheri duniani na ahera

  • @shufaahamza847
    @shufaahamza847 Рік тому +3

    Subuhanallah !!!!
    Utakasifu niwako Allah twakuomba molawetu ulie mzuri na unaopenda vitendo vizuri washushe chini zaidi ya vilivyo chin wote na wotewa hamasishao wafanyao Tabia hizi chafu 😭😭😭😭😭🤭

  • @ahmedhamisi328
    @ahmedhamisi328 Рік тому +1

    Shukuran sana shekh wangu kwa kweli kabisa huu ndio ule wakati tulio ambia doh kwani watu watakikana kujichunga sana maana mwenyezi mungu akikasirika tushaumia in shaallah mwenyezi mungu awangamize

  • @twemeremunguzacharie6395
    @twemeremunguzacharie6395 Рік тому

    Alhamudull'Allah ! Sheikh Nakupenda..
    Sina Mengi!

  • @hilalikaumo3470
    @hilalikaumo3470 Рік тому

    Allah akuhifadh sheikh mselem

  • @ahmedhamisi328
    @ahmedhamisi328 Рік тому +1

    Kwani awa wangu ndio mashetani wa kubwa sana yani wao kila Jambo mwenyezi mungu alio kikataza wao waona kwao ni sawa tu in shaallah mwenyezi mungu awalani

    • @jawahiriaelmy
      @jawahiriaelmy Рік тому

      Sasa frimason wamekuja na mbinu mpya tuwe macho

  • @bizozmohamed9783
    @bizozmohamed9783 Рік тому

    Subhannallah Allah is one

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Рік тому

    Papa yy Kasema live et mwenyez mungu anawapenda mashoga na wasagaj mtihan mkubwa

  • @mussafoum6562
    @mussafoum6562 Рік тому

    Mashallah Mmung Akubariki

  • @AshaHassan-fl8tw
    @AshaHassan-fl8tw Рік тому

    Mashaalah kipindi kiZuri

  • @sayshabani6350
    @sayshabani6350 Рік тому

    Mashallah ♡♡♡

  • @waziriboy9941
    @waziriboy9941 Рік тому

    Allah Akbar

  • @daud405
    @daud405 Рік тому +1

    Ameen

  • @mohamedhassani4410
    @mohamedhassani4410 Рік тому +1

    Tumuegope mungu

  • @ahmednadhiru3725
    @ahmednadhiru3725 Рік тому +3

    Hii darasa ni live ama

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg 8 місяців тому

    Mkubwa wao wao amebariki ndoa za jinsia moja, na bado hawaelelewi, kana kwamba wametiwa pamba ktk masikio yao

  • @askofkibwe6106
    @askofkibwe6106 Рік тому

    Shekhe msellem ww master

  • @kamembano4119
    @kamembano4119 Рік тому +1

    Ni hatari Sana,umakini wahitajika kwa kweli.

  • @angelsulle7177
    @angelsulle7177 6 місяців тому

    Mlaaniwe sana kwa michoro yenu ya mnayoipenda lkn Kwa Wakatoliki mtabakia kuchora chora ninyi matahira

    • @MaryamIssa-y7v
      @MaryamIssa-y7v 19 днів тому

      Unajaa bure tu kwa vile binadam hapendi kuambiwa ukweli mbona alibariki hadharani ndoa za jinsia moja.unakasirika bure tu dada

  • @farijalakhalid5558
    @farijalakhalid5558 Рік тому +1

    Hiyo picha ya Sheikh sio ya kweli

  • @ahmednadhiru3725
    @ahmednadhiru3725 Рік тому +2

    Ni hvi sasa

  • @muslimayussuf
    @muslimayussuf Рік тому

    Hakika pepo imeumbiwa majini na wanadamu na moto imeumbiwa majini na wanadamu.Ushindi unatokana na Allah na hakika tutawashinda (mashoga) kwa nguvu za Allah .

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 Рік тому +1

    Alaikum salam wabarakatu usishangae nahao mashetani wamaframason mana papa alisema eti mahanithi niwana wamungu wakati ambao kaumu luthi imelaaniwa namungu hâta ndani ya biblia mstari huo upo Léo shehi feki anabusu papa hadharani Sisi waisilamu tusindanganyike hakuna shehi ambae amesoma kuruani hafidhu l'kuruani ambao atasubuti kufanya kitende kama hile shehi feki shetani aliovaa nkanzu na kofia tu

    • @raphaelrespiciusi1127
      @raphaelrespiciusi1127 Рік тому

      Udini unakusumbua shehi na maustadhi mbona wengi wanafanya mambo ya hivyo,Cha msingi nikukemea bila kuangalia dhehebu maana hao ni binadamu tu,kukengeuka kupo

    • @marthasomi
      @marthasomi Рік тому

      Washenzi

  • @ahmedhamisi328
    @ahmedhamisi328 Рік тому

    Kwa kweli kabisa mambo kama aya yatakikana Kwanza raisi ndio mtu atowee sheria Kali sana mfano mzuri ni raisi wa Uganda

  • @koberomizambwa7446
    @koberomizambwa7446 Рік тому

    Kashfa kwa dini za wenzenu ni ushenzi. Mmezoea ugomvi.

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Рік тому

    Nidalili tosha kwa wenye akili kujua hawa watu wanaamrishana wanaume kwa wanaume waowane bado tuu hamjatambua kuwa hawa hawana dini ya haki

  • @FatmaMsemakweli-ws2jr
    @FatmaMsemakweli-ws2jr Рік тому

    Eee mwenyez mung tunusu na Hilo janga

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah7892 Рік тому

    Hapa kuna mgongano wa sintofahamu ndio dunia inagawanyika ktk hili, hawa wamezaliwa nyeti 2, wapewe uhuru au wateketezwe ?

  • @machoguhamery3731
    @machoguhamery3731 Рік тому

    Mwambieni Fatuma Karume kutetea mashoga ni kinyume cha maagizo ya Mwenyezi Mungu. Mbona anatangaza waziwazi, na ninyi Mashehe hamumwonyi hali ya kuwa ni binti yenu wa Kiislamu? Kabla ya kurukia mbali hebu tuanze na wale wanaotuzunguka, tukianzia familia zetu wenyewe.

  • @jifunzemengi1620
    @jifunzemengi1620 Рік тому

    Adil tv hio picha hapo ni ya kweli kama si ya kweli basi ujue na wewe unahamasisha hayo mambo

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Рік тому

    Shee has explain what god creat on this world woman and men have different body structure nectur seem sexeuly ,seem creator from God is lmposible creating nectur. Structure thing done by god let leave to god cicreat between god and what god creat on this world people have to follow it what god creat

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Рік тому

    NENDENI KUMPOSA HUYO POP KWANZA

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Рік тому +1

    AIBU YA KOFIA KUONEKANA KTK HALI HIO,KOFIA PICHA YAKE NI MSIKITINI !

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 Рік тому

    Usiweke picha za kishenzi wa wewe ah! Mada hapo ilitosha. Karibu nitakua sifuatilii TV yako.

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 Рік тому

    Hivi mkuu wa wakristo ameshakua hivo ??? basi tusishangae ikiwa watoto wetu wanaharibiwa makanisani na maskofu namapadri katika nchi zaulaa

    • @emmanuelshayo4703
      @emmanuelshayo4703 Рік тому

      Na yule ustazi mbona hujamtaja au unafikiri yanayofanya na mashekh na maustazi hatuyajui

    • @hassanlewa5317
      @hassanlewa5317 Рік тому

      Huu ni uchafu ushoga una sababisha dhiki kwa walimwengu wote na hukmu ya ushoga ni sawa na mauaji . Laana zimufikia kila mwenye kukubali kufanywa kwa kitendo cha kaumu lut.

    • @raphaelrespiciusi1127
      @raphaelrespiciusi1127 Рік тому

      Ujitambui ikiwa linaongelewa jambo kubwa la kidunia na la kutisha wewe unaleta udini,maustadhi,mashehe hata juzi mmeona askari kutokea Zanzibar mtoto wa kiislamu anafanya uchafu mmmmmmmm

    • @johnohms-jk4dt
      @johnohms-jk4dt Рік тому

      Kuna watu wanachonganisha sijui lengo lao Nini....