TUNDU LISSU SISI CHADEMA SIYO WAJINGA,AMETENGENEZA MTEGO TUSIPOUTAMBUA TUTALIWA VICHWA
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►UA-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Tundu lisu noma sana, watu kama Hawa niwachache sana
Mweshimiwa lissu,,mimi huwa nakuelewa sana,,kwangu mimi wewe ni mwalimu mzur sana,,kwa hili nimekuelewa
Ila huyu mzee anatumia nguvu na akili nyingi Sana kulielimiaha taifa lakini wanamuelewa wachache Sana, hivi kwanini mtu Kama huyu tusimlinde hata traditional!!, binafsi hua namuelewa Sana sijali kutukanwa ila ila mtu akinitukana karibu namzika mda huohuo.
Kichwa utamla Mama ako mwehu wewe tena mshenzi
Utamzika baba ako na mama ako
Angekuwa na akili tungemlinda lkn hatuwezi kumlinda sabb chadema wauaji
Huwa najiuliza traditional huwa azifanyi kazi Kwa waviongozi wezi😢😢
Ndugu yangu hao wanaokutukana ni mashemeji wa viongozi pia ni kula kulala
Akili kubwa sana
Hakili kisoda hawawezi kumwelewa Tundu Lissu mwamba anaona mbali sana Asante Sana kwa maana tunapata elimu jinsi watanzania wengi hakili zetu zimedumaa
Yaani hii ni mbaya sana watanzania amkeni Samia na genge lake hawana Nia njema kabisa dhulma ni kubwa sana .m.mungu ataangamiza hili taifa kwa dhulma
Kama umeona hilo mbona hukuandamana, 23
Lissu,, wewe ni darasa zaidi ya chuo kikuu,,
Genius wa Taifa
Makamu Akili nyingi!
Tundu lisu baba laoooo
Asante lisu kwa kuwafundisha SACCOOS kusoma na KUANDIKA MAANA SIASA bado sana hawa zaidi ya matusi na CHUKI 😢😢😢😢
Hongera unajua namna ya kuifanya demokrasia idumae. Ole wenu ck zinakuja ndo mtajua kuwa hamjui.
@@ulomirabiel6980 KABLA YA DEMOKRASIA TUJUE KWANZA KUJAZA FOMU MAKAMANDA 🤩🤩🤩🤩
Lakini hiyo mitego yote ni uovu uliolenga kukosesha watu haki. It is devilish. Majitu haya yanapata wapi uhalali wa kutuonza?
Watakuja kuivuruga nchi hii siku moja kama hawataki kufata sheria zilizotungwa na bunge. Ubabaishaji unamwisho.
Kongole kwako Mh. Lisu kwa elimu sawia
Mwalimu wa sheria na siasa
wewe ninoma Mzee lisu naku penda sana muhe shimiwa
Ndomaana sikuizi wananchi wanashangilia yanga na simba ishu ya viongozi kuaikikiza tunakutwa na wakati mgumu saana
Vijana wengi wa tanzania ni watoto wa mama na ndio maana hawana ujasiri wa noo, na ndio maana pia wapo kwenye hofu kubwa ya kubakwa alihali ni wanaume tena wanahofu na maumbile waliyopewa na hakuna mtu anaweza kuyagusa isipokuwa kwa hiari ila hawawezi kuutetea uhai pamoja na tunaoutetea ,hawawezi kujitegemea badala yake wanaishi kama kunguni kwenye vitanda wakisubiri teuzi kama mafisi wanaongoja mzoga wanaokula simba porini
Sasa Mweshimiwa naomba habari hii ielezwe nchi nzima, na ikiwezekana muihoji mahakamani. Japo la zaidi la kusaidia mwelimishe wanaohitaji kugombea. Yaani hawa watu wa ccm wanatuongoza kwa hila sana.
Kwa mimi binafsi nisha piga kura rais wangu ni ney wa mitego makamo wa rais roma mkatoriki na waziri mkuu tundu lisu baba wa talifa mbowe mzee wa akiba dr. Sikaha nimemaliza
Fisiemu ni korona la taifa kulazimisha kututawala kwa mabavu. Ni mashetwani mungu simama tumechoka
Chadema ndio kansa kabisa
tundu lisu anaelimisha vizuli sana ila kuna machumiatumbo utaona yanakosoa ili kuokoa matumbo yao ambayo hayana huluma na wana nchi utayaona natukama pale mwamba anapo ongea ukweli mnavunga hampendi ukweli kunasiku mtaupenda
Ni aibu msimamizi wa uchaguzi tena waziri wa nchi, anapobuni mbinu chafu za kukwamisha uchaguzi huru na wa haki.
Basi wawalete kwenye ofis zetu za chadema yaan watu ni shida
huyu mtu nimhimu na nibidha kwetu mungu akulinde kwauelewa wako
Wanao pinga hawajitambui toka madarasan au utotoni mwao hatawanayo fanyakatika maisha yao ni ujinga tu ni magugu na mlio ngano songeni mbele
Kiwavi jeshi😊
Chadema sio wajinga Bali sema wewe ndo hujielewi
Mtajua wenyewe leteni michongo ya maisha yawe mepesi sasa wewe miaka nenda rudi mambo ni kuwaza uchakuzi ukisha unasepa ulaya
Wakupe mchogo wa maisha, kwani wao ndiyo wameshika dora.?, hilo swali waulize serikali iliyoko madalakani. 😅😅
Tunataka sera! Mkipewa nchi mtatufanyia nini! Sio kukosoa tuuu na matusi yasiyo na mwisho!😢😢
Nenda memkwa
Naomba mlisemee pia kuwa na askari ndani ya chumba cha kupigia kura.
Kuwepo kwake ni kuondoa dhana ya kuwa HURU. Mamlaka ya uongozi yanatoka kwa watu ni lazima wawe huru. Lakini pia askari wanaweza kubadilishana kwa kuingia na kutoka. Mnajua wataingiza nini? Kumbuka uchaguzi wa ubunge Kawe
Huyu mzee baya lake lipi wakat anatetea haki itendeke
Ni mtu mjinga tuu ndie atasema Mh. Lisu ni mbaya, au ana wivu na serekali ya ccm. Haiwezekani unaakili ukamdharau huyu Mh. Tundu Lisu
HIVI CCM NA SERIKALI YAKE NI LINI MTAENDESHA NCHI KISHERIA NA KIDEMOKRASIA???????
KWA NINI MNAPENDA SANA MAMBO YA HILA UJANJA UJANJA UKOROFI KWA NINI?????
KWA NINI HAMPENDI KUTENDA HAKI??????
Naomba Simba tundu umpe mchengerwa mwanao ili awe mkwe wako wewe maana una wivu akiwa mkwe wa mama neno kidogo mkwe wa mama mambo ya kazi Yanahusiana Nini na maisha binafsi ya mtu acha kuwa mpumbavu na unaheshimika Mzee
😂kwani uongo? Uyo ni mkwe wa mama kama hutaki jiue
Huyu nae kacoment nini xaxa UJINGA TU
Kwani sio mkwewe
Hata mama alitamka kuwa ni mkwe wake siku anamwapisha kuwa Waziri.
Hi nchi itaokolewa na mawakili 😢😢
Huyu ndie yule mteule wa MUNGU wa Israeli tunayemtaka
Camera man miyeyusho sana unashindwa nn kuzungusha camera 📸 au na wewe ni chawa kama machawa wengine
Tuombe mungu atusimamie na corona wa ccm waondoke kabisa
Jamani buyu mtu kichwani sio salama
Kweli?
Wewe kichwa chako kikoje ?? Thibitisha hilo 😂😂😂😂
Uchawa utawaua, ndiyo maana mnapigwa machupa jukwaani.
Ni kwel kichwa cheke ni computer
Hujui nenda memkwa
Mtu yupo kwenye semina huku coment mnatukana duh.
Chadem❤❤
Fisiem ni kansa kwa Taifa
Daa!
Tundulisu anayo akili sanaaa
Kwani uchaguzi ni kama vita vile
Tumesanda lissu wamiango
Dhuluma. Dhulumaaa
Jamaa kichwa sana uyu 😅
LISU MBONA AMLETI SELA KILA SIKU VISASI VIJEMBE TU SERA AMNA UCHAGUZI NDIO UWAPA LISI WA LEO SIO WA APO NYUMA
We hujui hujielewi
Jitahidi kujifunza cyo kujibu kila kitu hata kama uelewi
Huu sio mda wa sela mpumbavu wew
Bora ww uliyemwambia uhalisia @@SephaniaMsigwa
Muelimishe usimtukane@@SephaniaMsigwa
Fisi m ni baba la shetani
hawa chdema hawayoipata nchi mpaka viongozi hsw waondoke wote kwanza.
maana viongozi hawajielewi
Wewe kama sio mtanzania rudi kwenu choko we
@@SephaniaMsigwasio kila mtu lazma awe chadema
tatizo lalisu analughu zadharau kwaviongozi wanchi kama yeye kweli mwanasheria hapaswi kutumia lugha hizi huu niupumbavu.
utasemaje mkwe wamama kwani haitoshi kusema waziri??
Yaani hilo ndio tatizo lake! Dharau na anachotaka yeye anataka lazima litimizwe! Sera hakuna zaidi ya kiburi!
Hivi ni lini mtawamini watendaji wakuu wa serikali?
Mkusanyiko wa matukio waliyoyafanya miaka yote yanasababisha wasiaminike.
Mungu endelea ufunua uchi usio na thamani !!! Ni aibu na madudu matupu!!! Yaani ni ukware ukware tu usio na mantiki !!! Kwa kifipi ni UJAMBAZI WA HAKI WA KUPINDISHA PINDISHA UHALISIA !! yaani aibu!!
Uongo huo.mawazo yoko.
Nendeni mkafuate form nyinyi sio vilema.
Ma ccm utayajua tyuu
@@philemonsnyanda9450 kua na chama ni uchaguz.
Ujitambui kenge wew
Mi nwkunaga mjinga hapo unaaza kumuatack mtu na kuacha hoja angalia kazi siyo umamamkwe unaosrma lisu unaujinga flani huwa unafanya ila tukusamehe bure umri nao shida akili inazeeka wee
Sana nani mzee kati lisu na huyo mwingine
chadema hooo.
Lissu anawapotosha wenzake kwa kila kitu, yeye ni mjuwaji tuu,
Ukweli ukoje??
Usiropoke ropoke
Chama cha malalamiko kujifanya ujuaji lakini uwezo hakuna nyinyi lalamikeni mpaka mchoke kila chama cha siasa lengo lake ni kushika dola sasa tundu lisu chambua kanuni sisi tunasema samia suluhu hassan mitano tena
Mhhh
Mnasema na Nani?
Wewe fyatu hamna kitu, labda huyo samia utamchagua wewe pekeyako sisi hatumtaki
TUNDU LISU ana akili kubwa sana, ndiyo maana Mungu alimuokoa kwenye lile shambulio. Bila sauti za hawa jamaa tutachezewa sana Watanzania. Tuzidi kuwaombea
Chadema hatuwapi nchi wahuni nyie
Ww nimpenzi wa pididi paka mweusi wewe
Wwe nan labda
Duuu hill jama linawapotosha wenzake
Wewe ndo huelewi endelea kula miguu ya kuku na utumbo wa bloire
Kweli akili nyingi sana nakubali sana
Chadema wajinga sana na siwajinga tu ila niwehu kabisa
Nani mjinga zaidi kati ya mjinga na anayefuatilia wajinga?!!! Uchawa utatumaliza.
Wajinga mamaako@@IsayaKamomonga
Unafikiri umeandika kitu cha maana ? Watu kama wewe ni tatizo kwa taifa
@@IsayaKamomongaNENDA KWANZA KAFUNDISHWE KUJAZA FOMU NA UFUNDISHWE ADABU 😢😢😢😢😢
ukafie mbali kuita wenzio wajinga kenge wewe