Michezo ni kiwanda cha mambo mengi nawapongeza Yanga,nawapongeza Simba kwa Visit Tanzania RAI yangu tuache CHUKI.Huku mnatembelea wagonjwa huku mnapigana uwanjani halafu Jambo la AJABU eti timu fulani ikija kucheza na Simba msaidie!Tuache quality ya soccer ijitangaze sio ujanja ujanja!
Hawa waarabu hata wasomali wana tabia ya kuoana ndugu na kuzaa na hii uwa inawasababishia mara nyingi watoto wao kupata magonjwa kama haya, kwa wasomali wengi wana magonjwa ya akili kutokana na kuowana ndugu
Saasa weewe una uhakika gani kama hawa wameoana ndugu... je na wale wasio oama ndugu na watoto wakazaliwa hivi unasemaje..... usihukumu ndugu yangu. We mshukuru Mungu kwa uzima ulopewa.
Allah atawafanyia wepes wagonjwa wote inshallah na cc atupe afya njema na imara kwa sote inshallah
Pole mama Ally , Mungu ampe maisha marefu atapona kwa uweza wake
Pole mtt mzuri utapon mungu atakuafu INSHAALLAH 🤲🤲
Pole ally mipango ya Mungu, Mungu hakosei kuumba ...ugua pole
Dada ana jua kujieleza vizuri sana 👏🏼👏🏼👏🏼
Pole sana Ally inshallah mungu kwake akuna linalo shindika utapona
Daaaaahhh pole sana Dada yangu .....Ally atapona ....Allah ampe nguvu
Namuombea Mtoto wetu Ally uzima na afya. Ya Raby nakuomba mpe uzima mtoto wetu Ally.
Pole sana Ally ALLAH atakujaalia kher utapona kwa idhini yake inshaallah 🙏
Allah atawapa wepesi wa kumlea
Ali na kila la kheri
Pole sana sisitunakupenda sana
Pole sana Ally
MUNGU Amponye Mtoto huyu Kwa Jina la YESU KRISTO..
Safisana yanga kuwasaidia watoto kamahao wezetu wa msimbazi wao waendelee kupeleka hela zao kwenye kamati ya ufundi
Wallah Yanga mkifanya haya aliomba huyu mama, imani yangu kesho kiama mna fungu kubwa kwa Allah
Pole sana mtoto mzuri
Michezo ni kiwanda cha mambo mengi nawapongeza Yanga,nawapongeza Simba kwa Visit Tanzania RAI yangu tuache CHUKI.Huku mnatembelea wagonjwa huku mnapigana uwanjani halafu Jambo la AJABU eti timu fulani ikija kucheza na Simba msaidie!Tuache quality ya soccer ijitangaze sio ujanja ujanja!
MUNGU awape tumaini lake ktk mioyo yenu 🙏🙏
Fact huyu mama anafaa kuwa balozi wa wengine
Sahihi
Hawa waarabu hata wasomali wana tabia ya kuoana ndugu na kuzaa na hii uwa inawasababishia mara nyingi watoto wao kupata magonjwa kama haya, kwa wasomali wengi wana magonjwa ya akili kutokana na kuowana ndugu
Saasa weewe una uhakika gani kama hawa wameoana ndugu... je na wale wasio oama ndugu na watoto wakazaliwa hivi unasemaje..... usihukumu ndugu yangu. We mshukuru Mungu kwa uzima ulopewa.
@@Mamkubwa kabisa
MIMI ni SIMBA saaaaaaaaaana, NAWAPONGEZA sana UTOPOLO katika Jambo hili la Kheir. Mnaanza kuwa kama SISI.🙏🙏🙏🙏
Pole saana makolo utakufa kwa kuangaika
Pole saana makolo utakufa kwa kuangaika
Safisana mwana makolo lkn wambie Simba wache kamati ya ufundi waige mfano wa yanga
anaumwa ni nini
Uyooo jamaa muongo. Sana. Anasema. Kuowana ndugu. Ndio unapata marazi. Wacha uwongo wewe.
Usibishe hutokea sana
Roho inakuuma Kwa yanga kutoa misaada kamahiyo Nye Simba endeleni kupeleka hela Kwa waganga wakienyeji