Mwa ng'ang'nai ma like kweli badala ya kuliza mbona thamthilia zengine zengine kama SIKU MOJA BAADA YA NDOA HAIJAMALIZWA. toeni maoni badala ya kudai ma like
Daa naombeni mtoe ep ya 50 saiv bas kwan aiwezekani inanoga afu dakika chache inaisha aise jitaidini bas nimeipenda hii muvi hatar kai na zuul nawapenda sana mnavyoigiza
We chiko ww usimalize maneno utakuja kuumbuka ww ndo huna uwezo wa kuzalisha naona Mimi! Nimejifunza kitu hata mwanaume ni mgumba na mawifi punguzen gubu. Pole dada ila utazaa TU ❤❤❤
Ndoimekia Tamu SS nilikuwa Makini Na kuagalia nyanya naye Kaya malizia haruc tunayo. Zuu uckubali kupeana asali kai angoje asali akabithiwe Na Bibi Aile vizuri Kwa Makini. Asante Bibi Kwa mwito wako.
Cend cend una nyumba Wala mimba cend ww dishi la yumba la cend wallah chiko chiko mimba ya papa hyoo utajuta ww chiko zatiti wa Tash kama Tasha ❤❤ pambe tu. Tuna harusi mbili mwaka huu ya zuuu na zatiti
Kama umeamka salama kabisa mwambie Mungu asante alafu like kidogo please 🙏🙏❤️😂
🙏🙏
Asant mung
Asante Mungu
Suu😅
Ast mng
Leo nimeamua kucomment ❤ wanaompenda kai na zuuuh na baba kai gonga like😊
Tokea nianze kuangali movie, hii movie ya house girl nimeipenda sana, ina funzo kubwa, inaburudisha pia. Hongereni kwa kazi nzuri
Nimewahi leo hhhhh kabla ya lisali moja hebu naomba like zenu
Hongereni kwa move nzuri yaan inashawish sana kuendelea kuiyonaa leteni muendelezo
Mwa ng'ang'nai ma like kweli badala ya kuliza mbona thamthilia zengine zengine kama SIKU MOJA BAADA YA NDOA HAIJAMALIZWA. toeni maoni badala ya kudai ma like
Nashindwa na hawa watu kabisa
Kwel yan hio sku 1 kabla ya ndoa at haielewek imefia wap
Kai kua makin ucje kumbikiri mtt wa wa2 bado mdogo 😂😂😂😂
Heeeee jamanii amlali jaman au mlikuwa mnasbria house girl daah movie Kali kweli hii msnipe like ila kama mnaikubali tia like hapa
Tunaisubiri vinoma
Kuomba like tu kuangalia maudhui haaaa😒
@@JoymarzMakori-e4b ni atry
@@LoyceJastine mbona sjaomb
Jamani Leo mm nimekuwa wa mwisho naòmbeni like pia😂😂😂
Jamani Kai hanataka hasali,, zuuh mwambia mwambia mumeo mutarajiwa mwanzo hafike nyumbani 🎉🎉🎉🎉nawapenda tu nyote
Jaman team Kai big up Xana aiseee mpo vizur mnaachia Kwa wakat!!!!!!🎊
Wanaosubiria ndoa ya Kai na zuu kwa ham tujuanee hapanaa kwa like jamn❤❤
Sawa
Jaman kendi
❤❤ weee mimi nikona mauwa
Wakwanza ku watch your video nipeni like zangu
Jamani nimegundua watu awalari. Jana nimeisubiri iiii mpka ety nakuja sahz nakuta watu wengi Atari. Pleas bc naombeni like mae ata5🙏🙏🙏❤️
Daa naombeni mtoe ep ya 50 saiv bas kwan aiwezekani inanoga afu dakika chache inaisha aise jitaidini bas nimeipenda hii muvi hatar kai na zuul nawapenda sana mnavyoigiza
Jamani.msicheleweshe.
Muv.tam.sana.hongereni.wapendwa
Nasubli ndoa ya Kai na zuuuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nami naingojeaaa
Hapo sasa mimba sio inababa wangapi kazi nzuri kend
😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉
Chiko kitakulamba kwaza kabsa ile mimba kwa candy syo yako upoo😂 alafuu wew chkoo ndo huna kzazi alaaaaaaAaaaah😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Ambao wamekesha kama mii tujuane kusubiliaa house gril ❤❤❤
Wa 12 leo nipeni like ata 3 tu
Sina tofauti na mzee magoma 😂😂😂😂😂😂😂😂😊😊😊
Kai jiongeze bhana mbona mihemuko huna 😂😂 hivi Kweli zuu unamuongelesha ukiwa mkavu hivo Kweli 😂😂
Duh hatar 😂😂
@@tizojr7003 kaniboa bhana ye zuu ashaambia asali wasiguse sasa kai nae anajifanya kama haelewi 😂😂
Wakumi Leo jamon naombeni like zenu Nami jomoni😂
Hya pumziken lkn zuu n Kai mjue nahitaji kuitwa shangaz harak iwezekanvyo cha mtume badae 😂😂😂😂
😂,😂❤
Chiko chiko chiko nimekuita mara 3 utaishia pabay chiko huna uwezo wa kuzalisha wew
Ila asavali kamubaribia candy
Nmecheka Kwa sauti😂😂😂😂😂
Namuonea imani aki
Oya kend atajuta xana 😂 af chiko ameyakanyaga😢😢😢😢😢 hana ngv za kiume hahahaha 😅
Unazani chiko atafany nn endapo atagundua kuwa mimba ci yake😊😊
Kwl wapo vzr Sana wanajitaid katika Kaz
Yani ukimuangalia kendi hata akiwa aongea inaonyesha kuwà hayupo sirias
Muangalie machoni kwa umakini akiwa aongea 🤣🤣🤣🤣🤣 yani kama vile ataka kucheka
Candy Badirisha Iyo Nguo Jamani Eeh😅😅😅😅 Ndio Ushavulugwa
😂😂😂😂🎉🎉🎉
Ila mungekuwa mnaongeza dakk kdg au bas
😂😂ety au basi
Sijawai pata like ata moja naombeni ata 5 tu❤
❤
@@-kagerayetubw9jx like hazisaidii jamani toa maoni
HAHAHA NGOJA KISA AUZE NYUMBA APITE NA HELAA MTAKUJA KUNIAMBIA 😂😂😂😂😂
Sjawah. Kuona. Mwanamke. Aliekosa. Haibu Kama Kendy
Nawapenda sana ndugu zangu zuu nakupenda sana dadaangu hujambo like zangu ❤ from 🇰🇪
❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mke wa chiko maua yako🎉🎉🎉🎉
Endereea kujizma Data Candy! Ondoka na mume wako Chiko
Hongera sana zuu EP 50 twaomba leo
Zuu kama hana D mbili😅😅😅ety ka kai😅
Kuna wanaume wanaongombania mimba na Kuna wanaume wanokataa mimba mmmmh
Ila asilimua kubwa ya wenye kugombania mimba hua hawazalishi😮
“asilambe asali hiyo” bibi zuuh bana 😁🏃🏃🏃
😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
@@ThaBroski bibi hataki utani 😂😂😂
Ambao jana tuliokuwa tunachungulia chungulia kila mara episod ya 49 gonga like tujuane........😅😅
😅
@@mohamedlopa8410😂
Nililala nimenuna😢lakini asubuhi nimefulai😅😂❤
@@Maggy-nr4un😂😂😂😂😂😂😂😂
Tupo wengi
Zuu atapata ujauzito😂😂 nani anafikiria kama mm. Akijaribu tu ndicho kitu
Jaman jana niliisubir sana mpak usik napenda sana hii story lov team kai na familia
Candy 😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤ unanifurahisha sana
Ndugu zangu mumecheza kwa hii movie 💯
Chiko ndio hana uwezo wa kuzalisha alaf anamchukia mke wake tayar kashauponza kama nimepatia gonga like
❤❤❤❤🎉chko muàche utaj⁷uta😅 ķendy hùmjuwi etiiee
Kay hupati kitu bnahhh asali yetu hailiwi hpo jitulze😂😂😂 afu unasema candy hana mamlaka wkati ushamkabdh nyumba hya kalalen aje awatimue😊😂
Kashapigwa Candy hati imesepa hyo
Asante sna kwa movie yenu nzuri naikubali sna hii movie ila jana mulituboesha kwa kwel
Jamani Leo nimecherewa Ata like 1
Imetishaaaa kaliii
We chiko ww usimalize maneno utakuja kuumbuka ww ndo huna uwezo wa kuzalisha naona Mimi! Nimejifunza kitu hata mwanaume ni mgumba na mawifi punguzen gubu. Pole dada ila utazaa TU ❤❤❤
Jamani kiukweli nampenda sana chiko ni mzuli sana
🙏🙏
Jmnii nipo naumwaaa but hiiii moviee najikza kuangalia
😢 pole mama chiko ndoa hizi jamani
kusema kweli hii movie imenipa hela niwashukuru na kuwapongeza kwa kazi nzuri nzuri na mungu awabariki🙏🙏🙏
Oyooooo 🤸♀️ penda shana mko vizuri manshaallah mfike mbali kwa uwezo wa allah 🎉🎉
Kimekulamba kendy hahahaaa😅
Wangap wanasem chiko han uwez wa kuzaa tujuane
Muda so mrefu kitamramba we subiri
nyie watu mpo faster kama aitel nawakubali sana team Kai kama unawakubali kama mm tujuane kwa comment hapa sasa tuache kuomba like hazisaidii wazee
Wapo vzr
@@EdinathaRaphael kweli wapo gudi sana hawa jamaa
Hakika
Hakika wako sawa
Kwenye aiterl apo sasa
Candyyyyy😂 umeshikwa tai na chiko umekuwa mpole gafla😂
Candy unanifurahisha sana 😂😂😂
Kisa cha chiko na mkeo naona kinaniingia akili sanaa
Nawakubali sana team kai na nawapenda nyoote 🇰🇪🇰🇪
37.daaaa Kai maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mshaanza kuboa sasa ipo kama ya kihindi haimalizi aaah
Tuaomba mtutorehe kwa wkt km mwanzo tunawapenda sana asateni kwa move mzuri
Mbona haifunguki mliowahi mmeshaiona
Wote hapa ifikapo 2099 tutakua tumekufa 😅au 3000😮
😂😅
Tulio subilia sana Toka Jana tujuane Kwa like 👉👉
namim nimewah naomben like
We chiko ety king'ang'anizi kama magoma
Kai lazima afunge ndoa na zuu ndo hii movie inoge
Chiko ameuwa mbavu zangu yeye king'ang'aniz kam mzee magoma
😂😂😂😂😂 hatari sana
More fire 🔥😂😂😂
Jaman nawapenda nmechelewa lakini naomba like moja
Halooh candy ashadhurumiwa hati huyo
Nani kaona candy kachezwa na dadamachozi na mpenzi wake naona kwa mbali😅😅😅😅😅😅chiku chiku ,nakuita mara tatu aki😢😢😢😢
Chiko 😁😁😁😁et yeye ni king'ang'anizi 🤣
Ndoimekia Tamu SS nilikuwa Makini Na kuagalia nyanya naye Kaya malizia haruc tunayo. Zuu uckubali kupeana asali kai angoje asali akabithiwe Na Bibi Aile vizuri Kwa Makini. Asante Bibi Kwa mwito wako.
Huyu Bibi Yake Zuu kafanyaje hizo nywele zikawa nyeupe mbona bado kijana😂ila Candy ww umeshindikana kabisa 😅😅
Jaman hii movie Kali sana nipen like zenu nazsubili🎉🎉
Wa kwanza leo Masha Allah nipen like jmn
Wakwaza kutoka 🇰🇪
Kazi nzuri Mr. Kai❤
Wakwaza nimewai naobeni laik zenu wadau❤❤❤ dazu ba kai
Kenyans 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 in the house anguka nayo
😂😂😂
alafu man akili sana ya kuendeleza season atar ongeren zen wajumba
Candi ananifurahishaga pale akitamka baba wangu mkwe 🥰
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉😂😂😂😂😂😂etiiii najuwa kuowa sijuwi kuwachaaa
🤣🤣🤣
Cend cend una nyumba Wala mimba cend ww dishi la yumba la cend wallah chiko chiko mimba ya papa hyoo utajuta ww chiko zatiti wa Tash kama Tasha ❤❤ pambe tu. Tuna harusi mbili mwaka huu ya zuuu na zatiti
Na dakika tano tu na mm mnipe like zanguu
Upendo wa vuka mito ,, watu wawili katika mapenzi hata banda huwa nyumba 😊
Mm nimechelewa lakin Kila anaeupenda huu mchezo tujuane HP please#
Hahaha Kisa akiuza nyumba na kukimbia na hizo pesa bila.shaka candy atakuwa chizi 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 bibi bana eti asirambe asali vile kai anauchu miezi sita candy alkuwa yuwambania
Nimewakubali mpo Fasta nimewapenda sana
Nangoja mwisho wa chiko
Wow so fast i really like the updates and the way pipo conduct yourselves in amovie
Naomba like 5 tuu na mm
Yaani mtoto wa watu nimengojea toka jana Hadi nimejanganyikiwa kweli nani amekua kaa mm jamani mziwe ivoo.....🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪