Bony Mwaitege -Neema Imenibeba '' (Official Music Audio)
Вставка
- Опубліковано 7 лют 2025
- Hellow ndugu zangu ulimwenguni kote, ule wimbo wetu wa Nikwaneema sasa tumeufanya kwa upya na naamini utakubariki sanaa,
#neemaimenibeba
Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
Bony Mwaitege -Neema Imenibeba
MUNGU AKUBARIKI SANA.
Baba mungu akubariki kupitia wimbo,, neema tu RDC
Neema imbebe mtumishi wa MUNGU @Bony mwaitege na ivunje Sheria kwa jina la YESU 🙏🙏🙏 anaimba nyimbo zinazobariki na kuinua mioyo yetu🙏🙏 umbali huu YESU ni Ebenezer 🙏🙏🙏 lets support 🙏🙏🙏🙏🙏
Asante sana ndugu yangu
Amen Asante sana ndugu yangu
@@bonimwaitege4073❤❤
Primeiro comentário 🎉
Courage vraiment pas de soucis 🇹🇿🇹🇿🇨🇩🇨🇩
Naupenda muziki ♥️wa kiafrika japo siuelewi, mimi ni wa Angola🇦🇴 tu, ni mwafrika tu


Welcome Tanzania 🇹🇿
Baba kazi ipo juu Sana ubarikiwe sana
Hongera sana kwa wimbo mzuri lakin naona umeuludia wimbo wa kwa neema lakin sio mbaya pamoja kaka Boniface
Ndio ndugu yangu NIMEBOLESHA.
Amina kwakweli neema inatutocha,
KENYANS WELL REPRESENTED 💯HII NI MOTO SANA MTUMISHI WA MUNGU ,...BINAFSI NIMEIKUBALI🤝🤝🤝💯
Asante sana
Uko SAWA Bonny tunakupenda sana.nawale vijana wanachezeanga poa usiwaache kabisa
Nice song ❤❤❤❤
Nyimbo nzuri sana🎉🎉🎉🎉❤❤
Asante
Good song.
Amina sana mtumishi barikiwa sana kwaujumbe mzuri sana
Neema inatosha.hivi nilivyio mimi.....ubarikiwe saaana mtumishi.
Hata mm neema imenibeba
It's only Grace of God bless us nimependa xn song
Kabisaa tunabebwa na neema ya Mungu ubarikiwe saaana 🙏 ndugu yangu
Kwer kaka balikiwa na bwana neema ya mungu imetubeba sana wimbo hakika unabaliki sana balikiwa sana
Good song barikiwa sana mutumishi wa mungu
Amina ubarikiwe bonny sana na mungu kwa hizi nyimbo zako ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wonderful ❤❤🎉🎉
Ni kwanema yake kweli. Na mimi ni mdhaifu sana lakini nema yake Mungu ndio inanisaidia. Ni Ubuntu bw Imana kweli. Sinobesha.
Ubarikiwe Bony mwaitege
Love your song aki sna
Good morning. bro
ime nibeba
Hivyi nilivyo ni NEEMA ya MUNGU
I'm waiting 4 this grace to take over
Mungu akubariki sana , jinalabwa nayesu lisifiwe , Amina Amina ❤❤❤,🇨🇬🇨🇬🇨🇬🙏🙏🙏
Amina ndugu yangu
Neema tu mtumishi wa mungu ,nyimbo zako tangu enzi zinaguzo miyo ya tutu wengi barikiwa sana ❤❤❤
Hakika nimebebwa na neema ya mungu tu
Barikiwa sana
Powerful❤❤❤❤
Amen
Neema tu
🙏🙏🙏 high level man of God
Mungu akubarikii sana mtumishi aendelee kukutumia tena na tena
Legend wetu kwenye Gospel heshima kwako Mtumishi
Kenyans in the house chapa likes... Neema imetubeba
God bless you, am blessed with your songs 🙏🙏🙏
Merci mon artiste
Very nice 👍
Nikwa neema ya Mungu tuu❤❤❤
Amazing,,, man of God let that grace be with you always
neema imenibebe mtumishi wa mungu ❤❤🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Hakika nyimbo zako zinabariki na kumtukuza MUNGU wetu
Kufika leo hii ni neema ya mungu tu❤❤
Amen
Hakika ni Neema tu
Amina
Neema imenibeba
Ahsante mtumishi
❤❤❤🔥🔥🔥
Nice song mtumishi
Kweli kabisa nimebebwa na Neema ya Mungu, Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
Wonderful song God bless you man of God ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Amen
Nilishukuru kujuimuika nawe Nairobi Kwa Mchungaji Mukiadi wa Mukiadi......ulitamuka Baraka za vipaji vya uimbaji wa nyimbo za injili
Amen
Barikiwa mtumishi wa bwana
❤❤❤❤❤❤❤❤❤ keep it up Man of God 🙏🙏🙏
Wow❤❤❤❤ kwa neema tu nimebebwa na Mungu
This is a hit 😊😊😊of another version. Kudos blessed man of God
May God Almighty continue blessing you wishing you more years
Ameeeeeen mtumish wa mungu
Neema ya mungu imenibeba katika jina la yesu 🙏🙏🤚
Am in Uganda how I like ur songs may u be blessed amen
Amina, nmebebwa na neema ya mwenyezi Mungu.. Mungu azidi kukuinua mtumishi wa mungu bonny..nyimbo zako za sai na ata za kitambo uwa zinatuhudumia na tunabarikiwa zaidi.. 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Asante sana ndugu yangu
@@bonimwaitege4073 barikiwa sana
I like this man of God ❤nabambika sana na nyimbo za bonny mwaitege
Mume bado sina lakini kwanema nitamuona
I really appreciate you mtumishi bony mwaitege
Mungu akusaidie mtumishi
I'm from kenya but working Dubai l love this song Neema ya mungu pia imenipepa❤🙏🙏
Très bien
Neema inatosha
Neema imenibeba hakika
Amen Amen Amen ashukuliwe Mungu mwenye katuletea neema ❤ ubarikiwe mtumishi wa Mungu yote hayo ni kwa Neema
Asante sana
I'm soo blessed by this song thanks and be blessed in the name of Jésus Pastor bony mwaitege❤
Thank you so much
Being lifted,and lited very nice
Umenibeba wema
Neema.ya.mungu.tu
You're the best ❤❤
Thanks
Nice
Barikiwa sana🙏🙏
❤aminaaaa
Je me rappelle une chose
Wonderful song ❤❤
Thanks
🔥🔥🔥🔥🔥
wonderful song👍
Wapi like za wakenya wenzangu ❤❤❤
Alleluya,❤
ubarikiwe xana kwa kutumia sauti nzuri kutangaza neema ya mungu mungu azid kukupa sauti yenye uwezo daima
Asante sana
I'm blessed ❤❤❤
Much blessing....ni kwa neema tu
Amen
Blessed🎉🎉🎉🎉
Ombo langu moja, ongeza sauti ya Bahati Bukuku kwa huo wimbo. Utakuwa moto kuruka
Asante sana
I am a living testimony of God's Grace, thankyou mtumishi ❤
❤tumefurahi sana kutoka Burundi
Mulakoze chaane
Solo artist wote nakubali bonny mwaitege kuliko wote
Asante
Loving this song ❤️
Good job@ Boni
Bonge la remix wimbo NI KWA NEEMA.😄😄😄
Amen
Loving this song, Amen.
Ameeen
Neema