Simulizi ya mama anayepambana kumuokoa kijana wake kunyongwa Saudi Arabia
Вставка
- Опубліковано 27 тра 2024
- Mama Mkenya anavyopambana kuokoa maisha ya mtoto wake anayekabiliwa na hukumu ya kifo Saudi Arabia
-
Familia ya Stephen Munkho inakimbizana na muda ili kuokoa maisha yake.
-
Wanahitaji kuchangisha Dola za Marekani 950,000 kama fidia ili kusitisha kunyongwa kwake nchini Saudi Arabia.
#bbcswahili #SaudiArabia #kenya #mahakama #sheria #sheriazakimataifa