HAMISA MOBETTO Afunguka DIAMOND kumsusia MTOTO/ Kutotoa HUDUMA/Kupewa Gari na Mpenzi wake

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • Kwa mara ya kwanza Hamisa Mobetto amefunguka tetesi za Baby Daddy wake Diamond Platnumz kumsusia mtoto.
    ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram www.instagram....
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------
    #HamisaMobetto #DiamondPlatnumz

КОМЕНТАРІ • 144

  • @RickMediatanzania
    @RickMediatanzania  2 роки тому +20

    Kama unaona sauti inasumbua refresh Simu yako

    • @Jflavour
      @Jflavour 2 роки тому +1

      Xawa mdam

    • @husseinofficial3955
      @husseinofficial3955 2 роки тому +1

      Daah kweli ume sema kweli ! ahise ina sumbua sometimes

    • @maujanjatv24h41
      @maujanjatv24h41 2 роки тому +7

      Sauti inasumbua hakuna cha kurefresh wala nini

    • @Swahili14
      @Swahili14 2 роки тому +6

      Acheni ujanja account yenu mbovu🌚

    • @zaydelabay9776
      @zaydelabay9776 2 роки тому

      @@maujanjatv24h41 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 turefresh imekuwa app ya mange

  • @Faith_joseph
    @Faith_joseph 2 роки тому +52

    Hivi ni mimi pekee yangu napendaga kumsikiliza huyu dada au tupo wengi aki anajua anachokifanya....Watanzania tumebarikiwa kuwa na huyu mlimbwende🤩😍❤️

  • @ARAFATVSHOW
    @ARAFATVSHOW 2 роки тому +13

    Nakupenda hamisa manshallah ❤️

  • @natashaally192
    @natashaally192 2 роки тому +8

    Hamissa kaonewa mno...na mafanikio ni kero kwa wengine..nakuombea kila la kheri . You are a strong lady mashallah

  • @stellanyakango5195
    @stellanyakango5195 2 роки тому +4

    Safi Sana bby girl, mapenzi ya public utaendeshws km gari bovu. Endelea na msimamo wako. Nimefurahi uko smart ktk majibu yako. Endelea kupambana na Mungu akulinde wewe na familia yako.

  • @maisaaalawy8064
    @maisaaalawy8064 2 роки тому +8

    With confidence good hamisa

  • @muminawellnesssolutions4559
    @muminawellnesssolutions4559 2 роки тому +6

    Respect for Hamisa, "Mimi ni Mama"

  • @priscillawilliam2085
    @priscillawilliam2085 2 роки тому +6

    Safi sna Hamisa , unamajibu yenye hekima

  • @tashaciara6550
    @tashaciara6550 2 роки тому +3

    Just love u hamisa from kenya

  • @aquinoowour6067
    @aquinoowour6067 2 роки тому +6

    Hamisa you're a super woman

  • @shamlimah5682
    @shamlimah5682 2 роки тому

    This lady is the best pretty lady from all of diamond

  • @magrethathuman6824
    @magrethathuman6824 2 роки тому

    Very nice talking Mobeto,,unajielewa Sana dear keep it up achana na hao wanaojionesha Leo kesho wanaachana

  • @sandraechiveraya8570
    @sandraechiveraya8570 2 роки тому +13

    Woooooow you are brilliant 💕

  • @AMwamzola
    @AMwamzola Рік тому

    Yuko social good hamisa i like

  • @jurakijuraki8870
    @jurakijuraki8870 2 роки тому +11

    Ila wanyarwanda ni wazuri sana.

  • @rukiyatajir8064
    @rukiyatajir8064 2 роки тому +1

    Congradulations dear keep it up dear you are doing well 😊 👍

  • @Noah-se3ni
    @Noah-se3ni 2 роки тому +19

    Hamisa zaa tu kwasababu wewe ni mtoto mmoja hao watoto wako ndio ndungu zako wanao sema yule sio mama yako wanawivu kwasababu mama yako anaonekana bado mdogo,

    • @khamisally9559
      @khamisally9559 2 роки тому

      Azae kupitia huo umalaya wake au? Mitoto ya haramu mitupu.

  • @rachelthomas1866
    @rachelthomas1866 2 роки тому +3

    Mashalaah.. majibu yako yako vzr

  • @shadivahassan1639
    @shadivahassan1639 2 роки тому +1

    Smart woman 👌🏽😊

  • @paulinekamau9633
    @paulinekamau9633 2 роки тому +18

    She is the sweetest

    • @zenahyusuf46
      @zenahyusuf46 2 роки тому

      You can say that again😍

    • @pillymcharo9855
      @pillymcharo9855 2 роки тому

      Mm mwenyewe nampenda sn hamisa na hata nikisia mtu anamsemaga vibaya napagawa mnoo nampenda sn uyu bint

  • @Nimohdaniels
    @Nimohdaniels 2 роки тому +2

    Majibu yako missa mashallah

  • @najmaaa6548
    @najmaaa6548 2 роки тому +3

    Nakupenda bure Hamisa. Allah kakujalia kauli poa

  • @djtashrastababy2592
    @djtashrastababy2592 2 роки тому

    She is very brilliant

  • @aminaanab1071
    @aminaanab1071 2 роки тому +3

    Smart girl 💗❤

  • @ndayisabaemile2219
    @ndayisabaemile2219 2 роки тому +3

    Huwezi kuongeza sababu ya kuleya. Kulea ni kazi Mmmm.

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 2 роки тому

    Ķwa kweli uko vizuri

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 2 роки тому

    Hamisa💟💟💟💟

  • @المت-ب2ي
    @المت-ب2ي Рік тому

    Yupo wengi

  • @njuka3515
    @njuka3515 2 роки тому +7

    umekuwa Hamisa Hongera

  • @rosemaryikamba5288
    @rosemaryikamba5288 2 роки тому

    Unajibu maswali vizuri Sana 👍

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 2 роки тому +18

    Wewe una akili sana Mashaallah lzm uweke heshima kwa watoto wako sio zari mama wa ovyo

    • @malianonicass7029
      @malianonicass7029 2 роки тому +3

      We usijifananishe na Zari kakuzidi Kila kitu harafu bonge la mama

    • @mohammadoman8963
      @mohammadoman8963 2 роки тому +1

      @@malianonicass7029 mama gani asiyekuwa na tabia mama lina watoto wakubwa anatakiwa kujiheshimu ahemuka tu na kiben 10 anawafundisha nini watoto wake?

  • @cherylcheryl7694
    @cherylcheryl7694 2 роки тому +5

    Nakupenda we mdada hadi basi

  • @pamela3335
    @pamela3335 2 роки тому

    Je t'aime beaucoup

  • @rorency8819
    @rorency8819 2 роки тому

    Brother diamond kapoteza sanaaa.

  • @mariamshadia4974
    @mariamshadia4974 2 роки тому +3

    Mitano tena kwa hamisa

  • @mathewmathayo212
    @mathewmathayo212 2 роки тому +5

    Kweli mapenzi ya public siyo poa sana siyo kama wale wenye mapenzi ya public kama wale ambao wanaonaga haitoshi wakaweka na mabango yawezekana ikawa ni ushamba ikitokea mmeachana muweke na mabango ya kuachana kwa ababu si mbapensa mapenzi ya public umewasikia wenye akili wanakuambia hawana mapenzi ya kujionyesha

  • @sihabasihaba5155
    @sihabasihaba5155 2 роки тому

    Mrs juagar

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 2 роки тому +1

    Aisee

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 2 роки тому +7

    Hamisa maneno yako ni ya maana sana.

  • @ummimohamed2148
    @ummimohamed2148 2 роки тому +2

    Mimi. Namuombea dua aolewe kwan yote hayo mitihani tu namuhurumia tu.

  • @telmacornelioluciano9632
    @telmacornelioluciano9632 2 роки тому

    He is the bestest 😂😂😂😂😂duuh

  • @neemankondya9642
    @neemankondya9642 2 роки тому +5

    Amefanana na anjela kuongea

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 2 роки тому +3

    Kama mnavyofaham 🍹

  • @yusufually-dl8lj
    @yusufually-dl8lj Рік тому

    Tupooooo

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 2 роки тому

    I like u

  • @mamboyake4520
    @mamboyake4520 2 роки тому +1

    Hamisa and wengine kumbukeni kuna UKIMWI. ila pole keako ma kwa huyo mkaka wa watu

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 Рік тому +1

    Si umesema baba watoto wako ndio wamekupatia

  • @susanwanyama1594
    @susanwanyama1594 2 роки тому +2

    mungu akulinde

  • @ndayisabaemile2219
    @ndayisabaemile2219 2 роки тому +4

    Unaokopa kusemwa duhhh sababu umekaliya kuchukuwa mabwana wawatu.

  • @michaelbenson1802
    @michaelbenson1802 2 роки тому +7

    Wakarim wawapi wakati wanaua wa congo

    • @Noah-se3ni
      @Noah-se3ni 2 роки тому +2

      Kweli Kabisa 😂🤣🤣🤣🤣😂😁🤣

    • @michaelbenson1802
      @michaelbenson1802 2 роки тому +1

      Uyu dd hawajui vizuri ao watu

    • @Noah-se3ni
      @Noah-se3ni 2 роки тому +1

      @@michaelbenson1802 Kweli Kabisa unachokisema 🤣🤣🤣🤣😁😂🤣

    • @michaelbenson1802
      @michaelbenson1802 2 роки тому +1

      @@Noah-se3ni ndo ivo kk

    • @p30lites46
      @p30lites46 2 роки тому

      Unajua wanyarwand walo jazana rwanda acha kupotosh watu khaa

  • @maryamkhamis2321
    @maryamkhamis2321 2 роки тому

    Ckia..dada..angu..tubili..akimaliza..miti. huja. Mailin..hichi..kisikukoseshe..amani. hawakuazia..hapo.waliaza.mbali..sana. Hao.. kesho.watakwambia.mwegine..nigependa.kam.ugenyamaza.kam.hakuna
    Kilichopita..tu.nibora.yako.maisha.yanaendelea..tu

  • @mercyprecious
    @mercyprecious 2 роки тому +3

    Ila bodyguard uko nyuma wueh nani kamchokoza jamani

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 2 роки тому +1

    Sura yake sasa....🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @willwi9123
    @willwi9123 2 роки тому +1

    Those cheek bones. Age is catching up with her

    • @cheupestefano5424
      @cheupestefano5424 2 роки тому

      I thought I was the only one who saw her cheeks show she is aging

    • @kassiAmos
      @kassiAmos 2 роки тому

      Unfortunately we will all age 😂😂😂

  • @asteriaheliza1093
    @asteriaheliza1093 2 роки тому +1

    Vipi rich Ross waliachana au???

  • @MostWorldOfSports
    @MostWorldOfSports 2 роки тому +2

    Sauti mnaua vyb🤧

  • @shadyachina2470
    @shadyachina2470 2 роки тому +3

    C mpenz mzinifu mwenzio

  • @lulurubby2235
    @lulurubby2235 2 роки тому +4

    Uongo bwana kwahiyo ata hukumbuki ulikua ulikua wapi au kwenye event duuh ..na yule uliekua unatoa video zake akiwa amelala au ulikua unamkomesha zari, kwahiyo diamond alikwambia mzae mmmm

    • @maryikwabe3368
      @maryikwabe3368 2 роки тому

      Juu ww unaujua ukweli sitwambia basi aliyeinunua nani uko na majungu dada tulia yeye at least ako na hiyo ya kupewa au ya kujinunulia ww uko na gani? Wacha wivi ikifika mtu ako na chuki na mwizako kama amefanya vizuri wacha apewe hongera zake

    • @subirahamis7412
      @subirahamis7412 2 роки тому

      Makasiriko 😂

  • @letciamapunda8428
    @letciamapunda8428 Рік тому

    Tupambane hamisa watoto hawachelewi kukua tuwaache na Vicent vyao siyo wewe tu nimekupenda tupo wengi

  • @susanwanyama1594
    @susanwanyama1594 2 роки тому

    umesema kweli

  • @swaleherashidimayunga4891
    @swaleherashidimayunga4891 2 роки тому

    Mwanamke huyu kachanganyikiwa hivi mwanaume anaweza kupata mtoto bila KUOA?

  • @Thedivadiary579
    @Thedivadiary579 2 роки тому

    She gifted herself with a car 😂😂😂

    • @kassiAmos
      @kassiAmos 2 роки тому

      At least she's able to gift herself what about you 😂?

  • @juliakamarey8476
    @juliakamarey8476 2 роки тому +1

    At least hamisa anajiheshimu you keep your relationship secret

    • @khamisally9559
      @khamisally9559 2 роки тому

      Kujiheshimu ndio huku kuzaa nje ya ndoa? Hakuna lolote hapa ni umalaya tu.

  • @swariotibi6134
    @swariotibi6134 2 роки тому

    Aki loe umeogia ukweli kabisa hamisa

  • @fridakakiko1217
    @fridakakiko1217 2 роки тому +1

    usipende kuchukua wanaume za watu

  • @zainabally4
    @zainabally4 2 роки тому

    Uongo mbona Rich Rose mbona ulimtambulisha adharani duniani

  • @eliyboy2240
    @eliyboy2240 2 роки тому

    Umeacha lin kujitangaza au baada ya kusemwa na mange

  • @princefakamiomupovizurifak5929
    @princefakamiomupovizurifak5929 2 роки тому +4

    Card umepewa au ufunguo tu unakutosha

  • @zaydelabay9776
    @zaydelabay9776 2 роки тому +1

    No voice

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 2 роки тому +2

    Acha uwongo ww mbea Mkubwa ww mbona mondi uku ficha

  • @rosejoely4518
    @rosejoely4518 2 роки тому +1

    Bona la simba ulisema hazalani hukuficha

    • @lareineminah1353
      @lareineminah1353 2 роки тому

      Alisemaa baada ya myaka 9
      Nakupatikana kwa mtoto

    • @modrinmaufi9142
      @modrinmaufi9142 2 роки тому

      @@lareineminah1353 usimjibu huyo chizi na committee yake ya kijinga

    • @lareineminah1353
      @lareineminah1353 2 роки тому +1

      @@modrinmaufi9142 sawa

    • @janembanga2138
      @janembanga2138 2 роки тому

      Mama dangote alikuja kuona mtoto ukamwitia wandishi usifikirie tumesahau

  • @Bobomsupa
    @Bobomsupa 2 роки тому

    Haka kadem ni karembo

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 2 роки тому

    sauti jamani wandishi

  • @munaisa5850
    @munaisa5850 2 роки тому +2

    porojo tu muna jifanya wahindi muna andika hapa kitu kingine muna andika kingine mafala huyo hamisa hana uzuri wowowte wala hana weupe amitumiya madawa yakuwa mweupe mwa mbiye atowe pecap uta kimbiya hahaha

  • @maymunaabdallah4238
    @maymunaabdallah4238 2 роки тому +1

    MUNGU NISAMEHE HUYU MTOTO NI WA JAGOUR YULE MBUNGE WA KENYA. AMEFANANA NA WATOTO WA MHE HATA SISI TULIENDA TEMBELEA BUNGE LA KENYA ALITUELEZA KUWA NISALIMIENI MTOTO WANGU

    • @NS-ru1yf
      @NS-ru1yf 2 роки тому

      Hahaaa! Doh,unamkasirisha Simba jaman

  • @michilita2959
    @michilita2959 2 роки тому

    Huyu Domo aka diamond baba east Africa amuheshimu huyu Binti kulingana na majibu yake ameonyesha kuwa anaheshimu deadbeat dad na hataki kumuazirisha

    • @freelancer6368
      @freelancer6368 2 роки тому +2

      Ukiwa sidechick utakuwa na heshima gani watu wa one night stand? Ajue nafasi yake.. diamond hajaomba heshima kwa pugi she can talk whatever for all he cares

    • @michilita2959
      @michilita2959 2 роки тому

      @@freelancer6368 stop being stupid did she or he tell u it was alone night stand km hujuwi nyamaza hao waliishi nyumba moja

    • @michilita2959
      @michilita2959 2 роки тому

      @@freelancer6368 I think ur amale n if ur awoman be sure to fit in her shoes she was there to this idot called diamond growing from nothing ulizia history Yao uambiwe

    • @freelancer6368
      @freelancer6368 2 роки тому +2

      @@michilita2959 Nyumba ganiii? Her situationship stopped at one night stand which led to accidental pregnancy

    • @michilita2959
      @michilita2959 2 роки тому

      @@freelancer6368 pliz get something else u DNT know her plus the story I wish angekuja akakupea prove

  • @ndayisabaemile2219
    @ndayisabaemile2219 2 роки тому +3

    Umerizika bado huja rizika nyoooo .unaona aibu. Hivi leo ndo umekuwa na akili . Ulitaka kulingana na ZARI . subutu huwezi

    • @zenahyusuf46
      @zenahyusuf46 2 роки тому +6

      Unatukana mtu ambae hakujui🤣🤣🤣 mtu ambae amekushinda zaidi ya elfu na mia,,huna aibu wewe😂

    • @modrinmaufi9142
      @modrinmaufi9142 2 роки тому +2

      Wewe unalingana nani kiuchumi umekaa kutukana walio kuzidi mchawi mkubwa wewe

    • @deborahnyamondo9990
      @deborahnyamondo9990 2 роки тому +1

      Sasa aje na miaka zao hazitoshani wewe huoni zari ni Rika ya mama yake

    • @elizabethwanyonyi5477
      @elizabethwanyonyi5477 2 роки тому

      Y bitter words towards her? Take a chill pill and leave this lady alone.. Go to hell

  • @zehrahaji1566
    @zehrahaji1566 2 роки тому +1

    Vigwegwe wameshajibiwa

  • @princess-uf5ux
    @princess-uf5ux 2 роки тому +1

    Sauti vip 😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏