Naomba mukusanye hayo makala yote mnayotusimulia Kisha muchape kitabu japo chenye kurasa 500 au 400 itapendeza zaidi kwa kukiuza kwa bei 15000 au 20000
Misisi ni mfano wa kuzimu, kila aina ya ubaya uchawi umalaya wezi uchafu magonjwa ujambazi wa hali ya juu utaperi na wasiwasi mwingi wa vita kila kukicha vyote vipo hapo, ukiweza kukaa misisi basi hata kuzimu unaishi
❤❤❤❤❤unajua kuchambua kweli mungu abariki kazi yako🌹🌹🌹🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
From USA big love my brother 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸❤
Sky unachelewa sana 😢kuleta makara 2024 tujitahidi basi angalau hata kila week. Tuna miss Sana
Kazi mzuri sns, I see you somewhere in the future
Bona history nikama vile tu kwetu congo surd kivu .na nort kivu .kwetu DRCONGO 🇨🇩🇨🇩
Ukweli kama congo
Naomba mukusanye hayo makala yote mnayotusimulia Kisha muchape kitabu japo chenye kurasa 500 au 400 itapendeza zaidi kwa kukiuza kwa bei 15000 au 20000
Safi sana kwa historia nzuli thx 🙏 SKY big up sana 💪💪💪 from 🇧🇪
Unanifundisha mengi sana Bundala .
Ilove all of you ❤🎉sky you are a talented....give like guys
Juu ya mawingu kunakuwaje kuzimu jamani,, si mbinguni huko😢
Asante kaka nilimiss sana hii 360 .
Sns napenda ucambuzi wenu ❤
Aise sky hii background sound iko vzr sanaaaaaaaaa, yani inasisimua inakupa hamasa ya kutaka kusikiliza zaidi daaah sky we noma sana.
Nipe like zangu nikalie ugali nina njaa😂😂😂😂
😅😂😂
Kazi nzuri Sana sky endelea kupambana 💪💪
Sky ❤❤❤
Aiseee sky🫡
Dhahabu ndio maisha yenyew, do or die
🇧🇮 nc Kwa kucambua vizur
Mji unamazingira magumu ila kwa sababu ni watu walio barikiwa maarifa wanaishi bila kutegemea misaada
Jamani iyi sehemu
Wenye pumu hatutoboi huko😊
Kuwa misha hawo nimungu mwenyew
🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Kaka kazi nzuri sanaa hata mimi nimependa sanaa 🎉🎉🎉tunajifunza kupitia CHANNEL yako mkuu
Brother sky historia ni Nzuri ila ata nasisi apa kongo🇨🇩 misisi akuna utofauti wa aya maisha ya larykonada nasisi pia
Pande gani izo kaka tupeane conection from tz
Misisi ni mfano wa kuzimu, kila aina ya ubaya uchawi umalaya wezi uchafu magonjwa ujambazi wa hali ya juu utaperi na wasiwasi mwingi wa vita kila kukicha vyote vipo hapo, ukiweza kukaa misisi basi hata kuzimu unaishi
Nilikuwa sijui Kumbe Congo kuna sehemu panaitwa misisi hata lusaka zambi kunasehemu pataitwa misisi
@isaackmboma72 misisi ya congo hiyo balaa wenyewe wanapaita mlango wa kuzimu ushetani mwingi upo pale
Hapana congo kuna masisi siyo misisi
🎉
Uko vizur I sky
🎉🎉🎉
Pesa
Mmh huko haku fai kabis😢
✌️👊👍.
Wenye mshipa wa heniya atutoboi
Kama ardhi yao ina madini ya kutosha kwanini waibiane wakati ardhi imejaa madini??? Acha kutudanganya aisee😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮
Hizi pesa zitatuuwa
Unatangaza vuzuri mtu yeyote anaelewa
Kabis
Mambo ni mot jaman ni nchi ya wapi
Wapambanaji tutaenda hapo😂😂😂
Sasa makala hii inahusiana vip na neno kuzimu ya ibirisi????mbn haihusian ?ebu muage mnaandika title zinazoendana na stor
Piga simu uwaombe uwe unawaandikia wewe hizo title zinaonekana zinaendana na stor. Akili za kuku kweli wewe
utafitaji ni kokote bora kula jasho lako kuliko kuiba