RAIS RUTO "MIMI SILAUMU VIJANA" WALOCHOMA BUNGE TUTAWASHUHULIKIA .

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 88

  • @Alicemsafiri
    @Alicemsafiri 3 місяці тому +1

    Ruto mungu akuongoze na pia awaongoze vijana waache Vita na mungu akusaidie nchi yako iwe na amani

  • @EwardWilbroad
    @EwardWilbroad 3 місяці тому

    I appreciate you President Ruto. Congratulate for inviting all Kenyans to sit together for the good future of Kenya. May my God strengthen you and keep you alive.

  • @capitalshymes
    @capitalshymes 3 місяці тому +1

    true let us respect our kenya
    let us respect our president
    And let us repect our seif
    plz kenya ni yetu na itabaki kuwa yetu
    tushikaneni mikono tuijenge pamoja
    God bless kenya

  • @Honlameckmokaya
    @Honlameckmokaya 3 місяці тому +5

    Ruto must apologize before Kenyans for calling us criminals 😅

  • @adenyussuf5344
    @adenyussuf5344 3 місяці тому +2

    A wise man senses his threat. I believe you are wise mr. president

  • @CasleyamadiAbdallah
    @CasleyamadiAbdallah 3 місяці тому +2

    Unaongea vizuri Raisi Ruto

  • @elshadaiuniforms1196
    @elshadaiuniforms1196 3 місяці тому +2

    You pastors you are BRIBED

  • @saimonlaizer2732
    @saimonlaizer2732 3 місяці тому +2

    Wakenya jamani acheni maandamano kwani Rais wenu anataka amani Sasa Kama hamtaki amani mtasababisha nchi yenu kuwa masikini kupita mnavyo waza.

  • @DaudiNasari-o9r
    @DaudiNasari-o9r 3 місяці тому

    Rais bro Mungu akusaindie to

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 3 місяці тому +1

    Mbn umekua mpole sanaa ruto fanya kazi

  • @fredyambrose7562
    @fredyambrose7562 3 місяці тому +4

    Mr president you are going to cause cheos in your country, if you looking to deal with one to another things Wil be worse

  • @abubkrxyz-bh3252
    @abubkrxyz-bh3252 3 місяці тому +2

    Address the issues and solve them achana na hao vijana

  • @HilderMkamburi
    @HilderMkamburi 3 місяці тому +2

    Wew ruto mwamerika nirafiki Yako, endelea kutotoa kafara Rutu must go,kwenda

  • @worldelectro2787
    @worldelectro2787 3 місяці тому +1

    He is wise as leader

  • @ConsalvaMumbara
    @ConsalvaMumbara 3 місяці тому +1

    MUNGU ingilia kati ,mungu ibariki kenya.

  • @naomikrause1762
    @naomikrause1762 3 місяці тому

    NDIO RUTO WASHULIKIE👏👏👏👏👏👏

  • @hamisidogo6302
    @hamisidogo6302 3 місяці тому +3

    Hao wabunge wote walipiga yes hatutaki kuwaona tena bungeni

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 3 місяці тому

    Ruto is very wise real wise!

  • @fgfvgggf6993
    @fgfvgggf6993 2 місяці тому

    Kwakua bunge imechomwa ndio wataka kuongea na wakenya kama isingechomwa bunge usingesema wataka kuketi na wakenya kwenda na huko

  • @SabihaRajab
    @SabihaRajab 3 місяці тому +3

    Huyu baba hakubahatika

  • @SaidIssa-tq3yv
    @SaidIssa-tq3yv 3 місяці тому +3

    Waombe Israel wakusaidie silaha uwamalize vijana wa Kenya.❤

  • @JumaAllyhussein
    @JumaAllyhussein 3 місяці тому +2

    Mbona alivyokuwa anaomba kura alisema utakuwa pamoja na masikini leo wamekuwa wabaya tena

  • @teresakarugu9932
    @teresakarugu9932 3 місяці тому +2

    Kuwashughulikia😢

  • @MohammedRuto
    @MohammedRuto 3 місяці тому +3

    Leo utatenga ngapi

  • @elshadaiuniforms1196
    @elshadaiuniforms1196 3 місяці тому +2

    You PASTORS YOU are defiling the church...REMOVE POLITICS IN CHURCH.

  • @MohamedNoormohamed-lc4rg
    @MohamedNoormohamed-lc4rg 3 місяці тому

    Umetenge ngapi hio bunge😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @davidc.o.gitanga3403
    @davidc.o.gitanga3403 3 місяці тому

    Hiyo waja office and all this will come to a halt.

  • @DudddyWhyCant
    @DudddyWhyCant 3 місяці тому +1

    Kenya mkiweka ukabila mjue amani ndo inatoweka mazima

  • @davidc.o.gitanga3403
    @davidc.o.gitanga3403 3 місяці тому

    All these will end if you leave office.

  • @noahpaulo3845
    @noahpaulo3845 3 місяці тому

    ruto ume bip peoples power kuwa mpole waombe wananchi samahani la sivyo yatakuta ikuru hayo majamaa

  • @ShubilaKingi
    @ShubilaKingi 3 місяці тому

    Kuchoma bunge ukute napokisi wengine awamtaki

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 3 місяці тому

    Kiler Ruto, mtajiju w Kenya

  • @FestoMunishi
    @FestoMunishi 3 місяці тому

    Iko hvi ni kwa nini watu wafikie kufanyaa uaribifu hivo manake kuna tatizo wewe rais inatakiwa kuchambua hayo kwa umakini zaidi ishi sio kupeleka jeshi kupiga raia hapna unakoseaa ndo ule msemo kuku ni wa kwako mwenywe manatii ya niniiiii

  • @EmmanueliKarisa
    @EmmanueliKarisa 2 місяці тому

    Tumepanga,tutafanya.tumeamua.tulikaa tukaelewana . mpaka lini?

  • @GeorgeJoram-im1ss
    @GeorgeJoram-im1ss 3 місяці тому

    Umeshindwa kazi

  • @rosemarykirubi3167
    @rosemarykirubi3167 3 місяці тому +3

    Wale vijana waliuliwa na police, onaona je Mr Ruto???

  • @JokhaJoko
    @JokhaJoko 3 місяці тому

    Rutonakupenda sana

  • @MwazoaMwazoa
    @MwazoaMwazoa 3 місяці тому

    Usalama na Amani ni Bora kuliko madai malalamiko maandamano na fujo.Mbaya zaidi yakiwa yana mkono wawana siasa au vibaraka wa nje

  • @TalibMsham
    @TalibMsham 3 місяці тому +2

    Na ww mungu atakushughulikiaa

  • @AbdallaHamad-g3k
    @AbdallaHamad-g3k 3 місяці тому +1

    Zakayo bado anakiburi ilikuwa acalm down but bado anakiburi

  • @JokhaJoko
    @JokhaJoko 3 місяці тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @SalemBafaqer
    @SalemBafaqer 3 місяці тому +2

    Eti breakfast nahastler wamelala njaaa

  • @JaneWalter-m7l
    @JaneWalter-m7l 3 місяці тому

    Biblia inasema heshimu lila mamlaka iliyopo duniani mama hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu amwasie mwenye mamlaka anapingana na Mungu, mtapata hukumu kali Duniani na Mbinguni maana mnapingana na Mungu

  • @HilderMkamburi
    @HilderMkamburi 3 місяці тому

    Ruto mast go

  • @naomikrause1762
    @naomikrause1762 3 місяці тому

    SASA VIJANA MUTASHUULIKIWA

  • @fgfvgggf6993
    @fgfvgggf6993 2 місяці тому

    Umemwaga damu zisizo na hatia nenda kwenu

  • @JuliasWekesa-o8n
    @JuliasWekesa-o8n 3 місяці тому +1

    so unaelelea wapi

  • @Priscillar-e1i
    @Priscillar-e1i 3 місяці тому

    Toka ww mwenyewe kwa ofisi uwatafute kama ulivyo zunguka ukitafuta kura zao,, eeeh Mungu sikia kilio cha wananchi na uyaone machozi ya wanao kufiwa na watoto wao ju ya huyu mtukufu mabavu

  • @HilderMkamburi
    @HilderMkamburi 3 місяці тому

    Umeshatutumbukiza kwa Freemason ondoka, tunataka kuingia kwa debe

  • @higahassib6614
    @higahassib6614 3 місяці тому +1

    Vijana wamechoka kudanganywa na hawakutaki

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 3 місяці тому +1

    Hhaahaa which plan ???

    • @higahassib6614
      @higahassib6614 3 місяці тому

      Yuko na mpango kila mkutano the same word

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 3 місяці тому

    Lol 😄 huyu sikawauwa tayari na wamezikwa huyu vipi .mbona mmeuwa hao unasema vijana wenu

  • @amirjuma9395
    @amirjuma9395 3 місяці тому +3

    Wakenya komaa huyu hawezi kuwadharau kiasi hicho

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 3 місяці тому

    shinda nini😂😂😂😂😂

  • @emanuelkidali9733
    @emanuelkidali9733 3 місяці тому

    Nyie viongozi wa kiafrika dawa yenu ni maandamano viongiz wa kiafrika hamjui waajiri wenu ni wananchi masiki

  • @JosephNdungu-fe8rr
    @JosephNdungu-fe8rr 3 місяці тому

    We have a PLAN for them .Tuko na MPANGO.Mbure kabisa.Resign

  • @AminaShabani-uq9ok
    @AminaShabani-uq9ok 3 місяці тому

    Naenda huko umekuwa watu hata aibu huna

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112 3 місяці тому

    Wakala wa NATO wakala wa shetani kabisa

  • @OmarAme-hd3fd
    @OmarAme-hd3fd 3 місяці тому +2

    Bora tuu ukaembali watu wamekuchoka

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 3 місяці тому

    Hawana adabu hata kama mnataka kusaidiwa vp sasa mtapataje msaada wakat mmeharibu bunge achen.ujinga fikilin kabla ya kutenda

  • @allyhussein4625
    @allyhussein4625 3 місяці тому

    Acha nchi mlegwa ulikuwa sio wewe dam ya yakenya ulio wapoteza ndio hiyo achaia

  • @masachihorticultureunitcol711
    @masachihorticultureunitcol711 3 місяці тому +1

    Mpaka wanachoma Bunge polisi na jeshi lilikuepo wapi. Ni uzembe WA vyombo vya usalama wa kenya

  • @awadhsalim2680
    @awadhsalim2680 3 місяці тому +1

    Hana ata shep ya kuwa rais. Kazi yake ni ile ile ya kufuga kuku. Na akili yake ilishafanana na kuku.

  • @carolineotinga-p5e
    @carolineotinga-p5e 3 місяці тому +1

    Ruto ni umbwaaa mda wa kuongea uliisha enda sogoi you must go

    • @WillisAli
      @WillisAli 3 місяці тому

      Akishuka plan ni gani?

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb 3 місяці тому

    Ulipo chukua uongozi ulikuwa ushakubaliana kufanya kazi iweje tena baada ya miaka miwili unataka kuaa chini kuongelea vitu za miaka mbili uliopita?

  • @danielgadiye7983
    @danielgadiye7983 3 місяці тому

    Vijana wa kenya mumekosea bunge pamoja na mamlaka mliyoipa kazi mgesubiri muda ufike mfanya mnavyotaka so kuchoma bunge na uharibifu mwingine mwingi so akili

  • @allyhussein4625
    @allyhussein4625 3 місяці тому

    Unaleta vulungu upya hiyo achana nayo

  • @ClementJacob-sd8lf
    @ClementJacob-sd8lf 3 місяці тому

    Mpaka tikufundishe wumechemuka

  • @digitalinvestment8647
    @digitalinvestment8647 3 місяці тому +1

    Wacha uongo

  • @edwardndege7850
    @edwardndege7850 3 місяці тому

    Kupigana na ufisadi Harambee zipiwe marufu

  • @ClementJacob-sd8lf
    @ClementJacob-sd8lf 3 місяці тому

    They is no religious or God in you if you was thinking about people in Kenya you couldn't go to begg in America daily wunawawunga mukono

  • @MeMe-xi6tx
    @MeMe-xi6tx 3 місяці тому +1

    We enda tu

  • @alimau7939
    @alimau7939 3 місяці тому +1

    Zakayo ushuke tu

  • @idrissamustafabukenya6110
    @idrissamustafabukenya6110 3 місяці тому

    Utawashughilikiya kivipi? Utawawuwa one by one? Ruto ulisema you stand with Israel wakiwuwa wa Palestinians. Even you killing machine. Ruto tukupenda kumbe nawewe nimuwuwaji wa roho mbaya alafu unajifanya pastor

  • @carolineotinga-p5e
    @carolineotinga-p5e 3 місяці тому +1

    Nachukia sauti yako shindwe shetaniiiii wewe umbwa gasia

  • @CasleyamadiAbdallah
    @CasleyamadiAbdallah 3 місяці тому +1

    Unaongea vizuri Raisi Ruto