SOKA KIJIWENI | Mashabiki Simba na Yanga wacharuana, kisa nani bora zaidi msimu huu (Part 2)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 28

  • @abdallayunnus3475
    @abdallayunnus3475 6 місяців тому

    Huyu wa yanga yupo fresh

  • @khuzaimaswed8162
    @khuzaimaswed8162 6 місяців тому +3

    Ayoub hakuitwa kwenye kikosi cha Morocco world cup 2022, hakuwa miongoni mwa wachezaji 26 walioshiriki!! Tupunguze uongo

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 6 місяців тому

    Kisugu mwaka 1965 haikuwa Simba bali ilikuwa ni Sundaland Club ilikuwa mtaa Congo na Mchikichi nyumba kona ujuwe hivyo

  • @davidndaha9607
    @davidndaha9607 6 місяців тому +1

    Hivi simba anamakombe mangapi uliza kisug?. Aliyapataje na team gani!.

  • @msurimtenukila6745
    @msurimtenukila6745 6 місяців тому +1

    Kisugu woyoooo😂😂😂

  • @lazaroaloyce6649
    @lazaroaloyce6649 6 місяців тому +1

    Kisugu the best for me wengine washamba tu

  • @user-ku7dl1vo5y
    @user-ku7dl1vo5y 6 місяців тому

    Kwani raisi watu samiya bora kagombeya na nani

  • @ramadhanrobin-st6hh
    @ramadhanrobin-st6hh 6 місяців тому +1

    Kisugu acha uwongo kile kikosi cha morocco Qatar magoli kipa waliitwa watatu Munir,Bono na ahmed reda uyo ayubu unaemsema katoka wapi acheni kudangany watu ckuiz mitandao ipo😂😂😂

  • @alitante4279
    @alitante4279 6 місяців тому

    Iyo miziki mungezima ili tusikie uzr

  • @abdallahdullah8642
    @abdallahdullah8642 6 місяців тому

    Huyu kisugu anashindana kwa historia ya nchi au timu c kwa uwezo wa mtu.

  • @rogermabirwa
    @rogermabirwa 6 місяців тому +1

    Kisugu nimeani hanapenda vurugu kweli ni mshezi hajuwi mpera kweli

  • @makoreremakorere4212
    @makoreremakorere4212 6 місяців тому

    Kisugu ni mastar nawatakoma

  • @user-gb8rj4nk7p
    @user-gb8rj4nk7p 6 місяців тому

    Tim yenye jina kubwa Afrika katika ya Simba nå yanga ni ipi???

  • @abrahmanifarouckissa5662
    @abrahmanifarouckissa5662 6 місяців тому

    Kisugu kichwa tenge hamna kituuuu ovyooooo

  • @user-ii3gm5xi3l
    @user-ii3gm5xi3l 6 місяців тому

    Kisugu kajambe uko huna swaga

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 6 місяців тому +4

    Madunduka tangu tuwale Tano akili hazija Kaa sw

  • @user-me1rk4rs2p
    @user-me1rk4rs2p 6 місяців тому

    Huyo anaweza kubeba dhambi ya aina yoyote ile kasema bora afe baba yake kuliko mo ndio mna kitu humo

  • @rebekaadorphine8296
    @rebekaadorphine8296 6 місяців тому

    Mimi uyu kisugu ajuwi kuongea kabisa nivurugu tu

  • @rebekaadorphine8296
    @rebekaadorphine8296 6 місяців тому

    Kisugu mtu mnzima hovyo

  • @user-ze7zq9eq3k
    @user-ze7zq9eq3k 6 місяців тому

    Aende jangwani akaone makombe ajue yamefika au hayajafika..huyo ni tenge tenge tu na kipara chake

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 6 місяців тому

      Sio makombe ya ligi kuu Bara au muungano kwa sababu mengi hawakupatikana baada ya 1965! Msijisifie upumbavu! Binafsi siwezi poteza muda na watu wa yanga! Wanatamani kuwa kama SImba.. ! wanaiga juhudi za Simba kimataifa, lakini bado wanataka Simba idharauliwe wakati hawana cha kuonyesha hadi hii leo!? Ndio maana Simba iko nafasi ya 7 Africa na yanga wapo hukoo! STUPID PEOPLE!

    • @user-ze7zq9eq3k
      @user-ze7zq9eq3k 6 місяців тому

      @@josephgomalo41 muigwe kwa lipi??hamuna chakusema nyinyi ila mutasema tu...na nyinyi ndo ma stupid...huyo tenge tenge mwenyewe ni chawa wa viongozi..ila anajuwa ukweli sembuse wewe?yanga ndo mume wa simba(makolo) mutasema tu