Sio makombe ya ligi kuu Bara au muungano kwa sababu mengi hawakupatikana baada ya 1965! Msijisifie upumbavu! Binafsi siwezi poteza muda na watu wa yanga! Wanatamani kuwa kama SImba.. ! wanaiga juhudi za Simba kimataifa, lakini bado wanataka Simba idharauliwe wakati hawana cha kuonyesha hadi hii leo!? Ndio maana Simba iko nafasi ya 7 Africa na yanga wapo hukoo! STUPID PEOPLE!
@@josephgomalo41 muigwe kwa lipi??hamuna chakusema nyinyi ila mutasema tu...na nyinyi ndo ma stupid...huyo tenge tenge mwenyewe ni chawa wa viongozi..ila anajuwa ukweli sembuse wewe?yanga ndo mume wa simba(makolo) mutasema tu
Huyu wa yanga yupo fresh
Ayoub hakuitwa kwenye kikosi cha Morocco world cup 2022, hakuwa miongoni mwa wachezaji 26 walioshiriki!! Tupunguze uongo
Kisugu mwaka 1965 haikuwa Simba bali ilikuwa ni Sundaland Club ilikuwa mtaa Congo na Mchikichi nyumba kona ujuwe hivyo
Hivi simba anamakombe mangapi uliza kisug?. Aliyapataje na team gani!.
Kisugu woyoooo😂😂😂
o9)❤
Kisugu the best for me wengine washamba tu
Kwani raisi watu samiya bora kagombeya na nani
Kisugu acha uwongo kile kikosi cha morocco Qatar magoli kipa waliitwa watatu Munir,Bono na ahmed reda uyo ayubu unaemsema katoka wapi acheni kudangany watu ckuiz mitandao ipo😂😂😂
Iyo miziki mungezima ili tusikie uzr
Huyu kisugu anashindana kwa historia ya nchi au timu c kwa uwezo wa mtu.
Kisugu nimeani hanapenda vurugu kweli ni mshezi hajuwi mpera kweli
Uwo mpra
Kisugu ni mastar nawatakoma
Tim yenye jina kubwa Afrika katika ya Simba nå yanga ni ipi???
Kisugu kichwa tenge hamna kituuuu ovyooooo
Kisugu kajambe uko huna swaga
Madunduka tangu tuwale Tano akili hazija Kaa sw
Huyo anaweza kubeba dhambi ya aina yoyote ile kasema bora afe baba yake kuliko mo ndio mna kitu humo
Mimi uyu kisugu ajuwi kuongea kabisa nivurugu tu
Kisugu mtu mnzima hovyo
Aende jangwani akaone makombe ajue yamefika au hayajafika..huyo ni tenge tenge tu na kipara chake
Sio makombe ya ligi kuu Bara au muungano kwa sababu mengi hawakupatikana baada ya 1965! Msijisifie upumbavu! Binafsi siwezi poteza muda na watu wa yanga! Wanatamani kuwa kama SImba.. ! wanaiga juhudi za Simba kimataifa, lakini bado wanataka Simba idharauliwe wakati hawana cha kuonyesha hadi hii leo!? Ndio maana Simba iko nafasi ya 7 Africa na yanga wapo hukoo! STUPID PEOPLE!
@@josephgomalo41 muigwe kwa lipi??hamuna chakusema nyinyi ila mutasema tu...na nyinyi ndo ma stupid...huyo tenge tenge mwenyewe ni chawa wa viongozi..ila anajuwa ukweli sembuse wewe?yanga ndo mume wa simba(makolo) mutasema tu