Dah hayo ndo maisha Yana mwanzo na mwisho ila Ally ulipambana na umetimiza wajibu wako kwa %100 .Kesho yako itakua Bora zaidi insha'Allah.natumai daima utakua mwanafamily WA jeshi la kijani 🫲
Hongera Sana Ally Kamwe Kwa kazi nzuri. Umekuwa mtu wa maana sana Kwa club na naamini bado upo ndani ya Yanga Kwa sababu Kuna mambo mengi makubwa yanakuja na yanakuhitaji.
Watu wataongea Mengi but Ally Kamwe anakwenda kwenye majukumu mengine ndani ya club na bado atakuwa idara ya habari. Wiki hii najua kutakuwa na BIG ANNOUNCEMENT. Go YANGA🔥🔥🔥🔥
Najua Kuna jukumu lingine kwako. Watu hawajui tunakwenda kuzindua Yanga TV soon. Hii ni miingoni mwa ndoto Yako na naamini hili ndilo unalokwenda kulifanya ndani ya Yanga. Hii code wanaoelewa ni wachache sana. Shine Ally Kamwe and live long
Njoo Simba au Azam ,achana na mzungu uyo ,uyo anaitwa lopolopo, watashindwana tu na yanga kisa mdog wake,kamwe nakupenda mwanang,na wanakupenda mno, achana na yanga
Ameondoka Ali Kamwe muungwana ambaye hakuwahi kuutweza utu wa watu,kaondokea Buza ambapo mara nyingi wamekuwa wakidhalilishwa na kutolewa mifano mibaya na Manara kila anapotaka kuzungumza Hali Duni ya watu au kumkosoa mtu kisa anakaa Masaki. Watamleta hayawani asiyekuwa kuwa vibe la soka lipo uswahilini na ndipo kwenye mashabiki wa kweli huko
Ally Kamwe ni zaidi ya wote,,Huyu mwingine hayupo kwenye msemaji bali asira na mipasho km ya mziki wa taarab nadhani Yanga radha imeondoka ktk sekta hiyo
Huyu jamaa code zake ngumu, kwahiyo Raster man ni Bugati au kibu, Huyu asiachwe kwani ana kismati cha ushindi subiri utufikishe final club bingwa jamani Daima mbele
Ally kutongangania cheo ni hekima sana. Kafanya kazi nzuri tumeona. Kuna jambo nimeliona sijuhi kama niko sahihi. Timu na uongozi wakiwa South Africa, maharaja kalipa faini 10m. TFF ikamfungulia. Nilidhani ange subiri rais wa yanga atangazie umma kwamba manara kafunguliwa.inaonekana Manara ananguvu sana kuliko Rais au helewi mamlaka na taratibu za uongozi . Kamwe alipaswa kumkabidhi ofisi kabla hajaanza kuongea. He seems to be a bull in china's shop. Azibitiwe Mapema.Naona yanga inakwenda ki science zaidi .we need brains
Mm napenda sana ally kamwe anabusara japo nipo simba
Ally Kwamwe uko vizuri Sana busara nyingi❤
Mimi ni mnyama lakini kamwe alikua Ana fanya kazi yake vizuri young Africa than manara
Ali we ni mtu mmoja busara mungu akuzidishie
Dah hayo ndo maisha Yana mwanzo na mwisho ila Ally ulipambana na umetimiza wajibu wako kwa %100 .Kesho yako itakua Bora zaidi insha'Allah.natumai daima utakua mwanafamily WA jeshi la kijani 🫲
Ally kamwe please you deserve to be Afisa habari wa Yanga don't go
asanteee ally kamwe wanasimba tunahitaji urudi azam tv mambo kumi yanakusubili
Ally kanwe nampenda sn jaman.
Hongera Sana Ally Kamwe Kwa kazi nzuri. Umekuwa mtu wa maana sana Kwa club na naamini bado upo ndani ya Yanga Kwa sababu Kuna mambo mengi makubwa yanakuja na yanakuhitaji.
Jamani wanayanga tusimkubali manara amekuja yanga kutuvuruga, wamwache ally kamwe wetu
Watu wataongea Mengi but Ally Kamwe anakwenda kwenye majukumu mengine ndani ya club na bado atakuwa idara ya habari. Wiki hii najua kutakuwa na BIG ANNOUNCEMENT. Go YANGA🔥🔥🔥🔥
Yanga TV on the Way
Najua Kuna jukumu lingine kwako. Watu hawajui tunakwenda kuzindua Yanga TV soon. Hii ni miingoni mwa ndoto Yako na naamini hili ndilo unalokwenda kulifanya ndani ya Yanga. Hii code wanaoelewa ni wachache sana. Shine Ally Kamwe and live long
Njoo Simba au Azam ,achana na mzungu uyo ,uyo anaitwa lopolopo, watashindwana tu na yanga kisa mdog wake,kamwe nakupenda mwanang,na wanakupenda mno, achana na yanga
Asante sana Ally
Mimi yanga ila.simpendi Manara hana busara bora angebaki tu Ally
Sijapenda
Mi simba ila ally nampenda sana
Hongera sana kaka Kwa kwaulipotutoa na tulipo hongera sana ❤❤❤❤❤❤❤❤
Anaenda Kaiser Chief😢
Sio kweli kabisa kamwe ally yupo Yanga 💚💚
Una busara sana hekima manara hawezi kufana na na we wewe mwiko
Daah nimeumia sana 😢😢😢😢
jamani ali wangu 😭😭😭😭
siwaamini alyy kamwe siyo wa kutoka yanga kirahisi hivo
Nimeumia sana jamani ata sijui kwanini
Njoo simba kakaa plz njoo simbaa
Nimeliaaaaaaa Ally Kamwe ushawishi wako, kujivunia kwako yanga ilikuwa motisha hadi kwa wachezaji. Leo unaondka yanga😢😢😢😢😢
Mimi ni Simba dam dam ila nimeumia
Jamani nimeumia sana
Ahmed Ally fanya kitu jamaa asiondoke mm ni simba dam ila jamaa yupo sw
Njoo kwenye kizazii cha gen z wenzako unyaman
Wiki hii hutaisikia Simba Bali ni Yanga tu
Du nimeimia sana kwanini Ally
Hpnaaaaaaaaa
Cha matusi kaja..manara
Haka kajamaa kanafiki kanafulahi kinafiki
😭😭😭😭 ntakumiss xana kaka
Manara kivurudga
Ameondoka Ali Kamwe muungwana ambaye hakuwahi kuutweza utu wa watu,kaondokea Buza ambapo mara nyingi wamekuwa wakidhalilishwa na kutolewa mifano mibaya na Manara kila anapotaka kuzungumza Hali Duni ya watu au kumkosoa mtu kisa anakaa Masaki.
Watamleta hayawani asiyekuwa kuwa vibe la soka lipo uswahilini na ndipo kwenye mashabiki wa kweli huko
Manara atoke fala yule
Dah ali kwanini
Ally Kamwe ni zaidi ya wote,,Huyu mwingine hayupo kwenye msemaji bali asira na mipasho km ya mziki wa taarab nadhani Yanga radha imeondoka ktk sekta hiyo
Ally Baki tu bana
Mimi naona hawa utopolo wanafanya kiki
😭😭
Sio kila ukipotezacho ni hasara
Atumtaki haki manara,
Ally unaondokaje hafla hivi bado tunakuhitaji hatujatosheka na wewe
Moyo wangu unavuja dam nimeumia sana
Kwa nini Allly bado tunakupenda
Huy jamaaa anaitumika yanga kwa moyo mi km akiondoka itaniuma
Manara hatukutati hata TFF hawakutaki pia
Ali kamwe acha bax Bado tunakupenda
Huyu jamaa code zake ngumu, kwahiyo Raster man ni Bugati au kibu, Huyu asiachwe kwani ana kismati cha ushindi subiri utufikishe final club bingwa jamani Daima mbele
Hawa wfny kz hawana timu
Kaogpa kesi magoma
What happened really I don't understand how?
Bora dogo Ally Kamwe ungeendelea kubaki kuliko huyo manara n Simba huyo
Ali usitoke yanga tunakuhitaji jamani hatakama sio usemaji.
Sio anatafuta Kiki
Azam chukuweni mwamba huyu
Mpeni Kaz ya kufagia pale jangwan
Manara si mtu sahihi kwasasa,Huyu kijana alionesha ubunifu mkubwa na sio wa mitusi mitusi na mbwembwe kama yule jamaa
No😢
kiboko wako Buggati yupo Subiri aje akutume
Machizi nyieeee
Hivi nikweli anaondoka.nanikwanini aondoke
Bado naamin nafasi Yako ipo
Hata mie naamin hivyo jaman
Pamela anakusubili ulipewa km zawad
No
Ww nenda tuu pimbi ww mna pishana lkn Ahmed ally ni yule yule
@@SaleheKijazy we k tu
Atumtaki manara
Anaondokaje semaji letu
Aende hana lolote
Nini shida
Acha uongo wewe acha weee
Si unyamaze wewe mwandishi
Hii propaganda tu
huyu mwandishi ni muongo anataka content tu za mtandaon
Manara is back
Manara anaongea pumba sana aisee tena keshakuwa mzee aachie vijana kazi
Ally kutongangania cheo ni hekima sana.
Kafanya kazi nzuri tumeona.
Kuna jambo nimeliona sijuhi kama niko sahihi.
Timu na uongozi wakiwa South Africa, maharaja kalipa faini 10m. TFF ikamfungulia.
Nilidhani ange subiri rais wa yanga atangazie umma kwamba manara kafunguliwa.inaonekana Manara ananguvu sana kuliko Rais au helewi mamlaka na taratibu za uongozi .
Kamwe alipaswa kumkabidhi ofisi kabla hajaanza kuongea.
He seems to be a bull in china's shop.
Azibitiwe Mapema.Naona yanga inakwenda ki science zaidi .we need brains