KWANINI TOYOTA PREMIO NI GARI LENYE GHARAMA TANZANIA?
Вставка
- Опубліковано 4 вер 2024
- Endelea kutufwatilia RocTv kwa Habari mbalimbali na matukio, ya kuburudisha na kukuza uzoefu wako ndani ya Roctv! 📺 Jiunge nasi sasa kwa video zenye kuvutia! 🤩 pia unaweza kuungana nasi kupitia kurasa setu za mitandao ya kijamii #live #roctv #subscribenow
Facebook: / roctvtz
Instagram: / roctvtz
Twitter: / roctvtz
#live #roctv #subscribenow
At long last...Tanzania tunaanza kupata watu/vijana wana-review magari kitaalam sio wale makanjanja wa: 'Ya mdada'/'Unyama sana'/'Full Kiyoyozi'/'Haijarudiwa rangi'. Hajui chochote kuhusu trim kazi kubwabwaja tu. Well done buddy!
Asante kwa ufafanuzi mzuri
Pia Dr. Mechanics Tunaomba review ya VW Golf na VW Polo.
Tunaomba review ya RVR
Hatimae Leo nimefikiwa,, this is my favorite car,,,,aiseeeeee Leo umenigusa sana brother @Dr_mechanics🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Asante sana 🙏 Dr.
Type review ya Toyota Kruger
Sasa Dr imekuwaje unaendesha yenye staring ina option wakati umefanya review yenye haina starng optn
KAKA NAMBA ZAKO ZA SIMU
D4 engine mbovu sana uliza vizuri wenye nazo
Engine ya premio yako au zote?
TATIZO NI MAFUNDI WALA SIO ENGINE
Tatizo service
Nakukubali kaka unaeleza vizuri
Tunaomba Review Ya Toyota Runx na Allex Pia Na Ya subaru Impreza
Mazda cx3 review
Naam nakuelewa sana.
Nataka premio X nzuri. Budget 8 million
CVT sio gear box ni takataka, bora yenye engine ya 1ZZ cc1780 ina Automatic gearbox
Binafsi CVT gear box Sina uelewa nayo vizur kaka,,embu nipe somo kidg🙏
Fuata maelekezo bro
Weka vilainishi elekezi kwaajili ya cvt
Nimetumia rav 4 nimetumia outlander zaid ya miaka sita bila shida
@@abouharith 🔥🔥
Gar nyng za kisasa znakuja na cvt
Atakuwa anawekaga vilainishi ambavyo siyo recommended huyo, technology haibadiliki tu bila kufanyiwa utafiti ndo maana gari nyingi mpya zina cvt transmission, means inafanya vizuri @abouharith
Kaka ile review ya crown mbona haujaipost you tube
Review ya rav 4
Review premio (f)1490
5W-30
1Hz 4D hapana
Dr Mechanics, punguza wanga
sauti ilipotea hapo kwenye mwishoni
hiyo gari bei gan bg
Sasa Mbona Kwenye Video Unaendesha Premio Ya 2008??? Acha Zakooo!
Chuma langu