MNYIKA AFUNGUKA KIPIGO CHA POLISI/"NILIPIGA KELELE YA KUNIUWA"/"NILIPIGWA RUNGU KWENYE GOTI"
Вставка
- Опубліковано 10 вер 2024
- Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika akielezea kilichomkuta jijini Mbeya dhidi ya jeshi la Polisi, wakati viongozi hao walipofika jijini humo kwa ajili ya kongamano la siku ya vijana Duniani lililopangwa kufanyika tarehe 12 Agosti 2024. kabla ya jeshi la Polisi kuzuia.
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
poleeh sana mkuu
Mnadharau Jeshi letu
Sf sana mnazinguwa
Polen xna makamanda! Malipo n hapa hapa
Wanaofurahia wenzao wakipigwa poleni sababu maumivu anayajua aliyeumia
Au kina kabudi maana wenye siasa za kizamani vizee
UKIKAIDI LAZMA UPIGWE
Fara yatakuja kuwakuta 2 kama sio leo kesho
Swali langu kati ya nnyie mnao jiita chadema na hao ccm wanao jiita chama Twawala sijui tawala ni nani MAJAMBAZI Mbaka HAPO
Upigwe buti za police leo uonge hivyo ukiwa mzima wa apya
Wewe sio kiogozi Umeapishwa nanani?
Huyu anasema kapigwa sana lakini naona hana jeraha la aino yyte kipigo gani ulichopigwa mbona huna jeraha la aina yyte hebu tuoneshe japo kijeraha kidogo tu sehemu uliyo pigwa hebu wacha usanii uwo kuongopea watu mitandaoni sasa umeumia wapi mbona upo sawa tu wacha usanii uwo
Wanna siasa wa Tanzania wengi ni kama wasanii hivi kweli uchazee kichapo haswa na polisi kama unavyosema kweli uwe kama hivyo kweli huna hata alama yyte kama umechezea kichapo kweli mbona uko poa tu huna manundu na umesema umechezea kichapo unaongea kama hivi kweli wacheni usanii huo
Tutii shria bila shuruti haya yasingetokea
wapenda sifa ya kupambana na police
MNAPOMTUKANA RAIS MNAFIKIRI MNAJIONA MABINGWA
Kama ni jinai, si washtakiwe! mbona wamehukumiwa na polisi!!
Kama ni jinai, si washtakiwe! mbona wamehukumiwa na polisi!!
Kama ni jinai, si washtakiwe! mbona wamehukumiwa na polisi!!
Hizo ndio siasa za kitanzania ni za kisanii tu
Adhabu kubwa sana iwarudie na wao. Na wao waoje machingu kama binadamu.
Mwisho wa ubaya ni aibu malipo wanayaacha kwa vizazi vyao kalma italipa tu kama siyo kwako kwa mtoto wako au mjukuu au vitukuu
Acha wawachape
maelezo na picha vinatofautiana
Huyu jamaa ni muongo sana
Hujapigwa bro
wewe achauongo kipigo cha polisi unakijua au unatania
Wamekupigaa ulikua unakwepa Sana hukamatiki
Huko nipo mlipo mchakachua msigwa saaf polis
Uongo tu
Bongo imejaa comedians yaani umepigwa sana na wala huna kijeraha na unarapu tu hapo
Mzee unaviju vidono, karibu Kigoma, unaweza kupigwa na kuchomwa moto, kesho ukaamka mpya, bila hata uvimbe. Dawa kutoka Kongo kisu, panga jiwe moto, haviingii. Mzee muulize ntu wa Kigoma atajwa bua.
NDIO MTAJUA HAMJUI MTAKOMA
Waonge nyie hamja pigwa wala nini umepigwa hivyo hata kovu huna msenge wewe
Hata sura inapendezaiyo kweli uchazee kichapo haswa wacha usanii uwo
Unyanyasaji
UTII BILA SHURUTI UNAPOTAKIWA KITUONI TIII AMRI HATA CUF WALIPIGWA NAKUPELEKWA UKONGA LIPUMBA AKAVUNJWA MKONO
Unaona sifa msenge tu wewe
Acheni kukalilishwa mambo ya ukoloni mkistaafu mnatia aibu