Mkoshi!!! Watangazaji na uyo rofa. Mmetafuta kitu cha chakudangashiya mboso mmekosa. Wivu. Kila mtu akisonga mbele nyinyi mnapatwa na wivu. Kila mtu yuko na bienye mungu amemuaidi
Naitwa Picco kikongwe ni mwana music wa bongo flavor, niliimba kikongwe, swagga na nyinginezo, hizo chini Ni platfom ambazo music wangu unapatikana za zamani andika Picco kikongwe Album utapata ngoma zote za kitambo, na ukitaka mpalya andika Picco ameshushwa utapata music mzuri mkali wa kijanja na wa kisasa, sapoti music wa nyumbani msapoti mtanzania mwenzio 1. Boomplay 2. Audiomack 3. Spotify 4. Apple Music 5. Shazam 6. Deezer 7. UA-cam Music 8. Notjustic 9. Soundcloud 10.Tidal 11. Amazon 12. Facebook Etc
Mbosso take this,this is really your brother and never crusfie him for nothing kama mwenyewe binafs hajakukosea usimlenge labda kwa makosano ya wazazi wenu apana sio poa bro tomorrow is always dark..
@@abiboseleman1649 unakurupuka na kusapoti anachokatazwa MUISLAM. Mwenzako ametimiza tulivoamrishwa WAISLAM, kukatazana MABAYA na kulinganiana katika KUMCHA ALLAH ( swt). Unachukuwa mzigo wa Madhambi BUREEEEE. Kama ulivo shauriwa... KASOME.
Kumbe baba mmoja mama tofauti hapo kusema ukweli kukusadia inahitaji moyo Sana Tena usikute hapo huyo baba yenu alimuacha mama yake na mboso anateseka na wanae ndio akaanza mahusiano na mama yako Hivyo nawewe haso kijana Kama yeye alivyo haso mtegemea Cha ndugue hufa masikini
nashangaa kabisa mbosso halaumiki haswaa amlaumu mama ake alotembea na baba wa mbosso machizi wote wanaomtupia lawama mbosso angekua mbosso hana umaarufu angemtafuta wamuache ndugu wa baba 1 kupendana kumsaidia ndugu ni mulozaliwa mama 1 tuu
Kwa mtazamo wangu ni wazazi hawakuleta watoto pamoja kujuana so so makosa yo mbosso by the time huyu mdogo wake akuae mtu mzima tayari mbosso alikua ashaenda kuhangaika mjini but asikufe moyo watapatana tu
Kwani uyu mbosso haendagi kwao jamanii.....atakama pia yeye alipitia hard life bt sio poa vile anafanya he has to be with his family bwana ......kama vipi mbosso anafail
dogo ana haki ya kumtafuta kka yake maana ndugu ni kubebana so anaamin akimpata kka anaweza kumwezesha kwa chochote akajikwamua kimaisha hii ndo big up kwa wachaga maana akiwin mmoja atawawezesha na ndugu zake so dogo akipata nafas ya kuonana na mbosso naamini mbosso atafrah sana the way dogo anavyosema mbosso yuko pekeake so atakuwa hapy sana kuonana na ndugu yake wa dam
@@zuleikhakhamis3303 kwan kumtafta kka ni vibaya kama unaonyesha chuki kwa ndugu wasiokuhusu itakuwaje mmeo akiwa na mtto wa nje si patachimbika isitoshe dini yako inaluhusu so kusema kwamba kwan mbosso katembea na mama wa dogo ni kujizalilisha wewe na jamii yako acha roho mbaya
Dogo sasa unamtafuta mtu umempata kakufungia vioo ww kaendelee kuosha tu magari mungu atabless tu kazi yako achana na misuko iyo pesa ya kusikia inatosha kununua homo ili utimize ndoto zako napia acha kitonga Maana apo unamtafuta mbosso ili upate kitonga tu
Jaman msaidie wmpate kakaake ivi mbosso aoni mdogo wake anavyo pata shida ebu ajitokeze jaman🙄🙄
Dogo pambana wewe ni mwanaume
Achana nao hao wanao kukataa wewe jiamini Mungu atakusaidia,hata ukimpata mboso hatakusaidia chochote,
😭😭😭very painful hawa wasanii basi hawaendi popote the story hurt me 😭😭😭
Mambo ya family yafika hadi huku. Sio kila kitu kinasimuliwa jamani
Ana fanana naye
Never give up pambana usikate Tamaa dogo muombe mungu napia mbosso mdogo wng najua mtakutana tyu atakusaidia
Pole sanaa dogo, mmefanana Sanaa. Pambana wewe utatonoa kinnomaaa usihofu
Mkoshi!!! Watangazaji na uyo rofa. Mmetafuta kitu cha chakudangashiya mboso mmekosa. Wivu. Kila mtu akisonga mbele nyinyi mnapatwa na wivu. Kila mtu yuko na bienye mungu amemuaidi
Hiyo ni ngumu wazazi wakiwa ni tofauti hasa kwa familia nyingi hili hufanyika.
Maskini 😭😭😭😭😭 hivi huyu mbosso haoni hizi interview jamani
Naitwa Picco kikongwe ni mwana music wa bongo flavor, niliimba kikongwe, swagga na nyinginezo, hizo chini Ni platfom ambazo music wangu unapatikana za zamani andika Picco kikongwe Album utapata ngoma zote za kitambo, na ukitaka mpalya andika Picco ameshushwa utapata music mzuri mkali wa kijanja na wa kisasa, sapoti music wa nyumbani msapoti mtanzania mwenzio
1. Boomplay
2. Audiomack
3. Spotify
4. Apple Music
5. Shazam
6. Deezer
7. UA-cam Music
8. Notjustic
9. Soundcloud
10.Tidal
11. Amazon
12. Facebook
Etc
T
Mungu apendi
siwez kumtafuta mtu hana mcgango wala msaada na mimi pamba ongeza juhuni ya kazi zako nzuri utafanikiwa
Pambana pekeyako mungu ata kuseidia,ata mbosso kuna siku yeye mwenyewe hata kutafuta tu hukitoboa❤
Mbosso take this,this is really your brother and never crusfie him for nothing kama mwenyewe binafs hajakukosea usimlenge labda kwa makosano ya wazazi wenu apana sio poa bro tomorrow is always dark..
Cha msingi mdogo wangu unachotakiwa uanze kumtafuta baba yako ili muyamalize na baba yako ili akuunganishe na kaka yako
Point
kabisa
Minamshauri amtafute baba yake kwanza baba ndio atakae wakutanisha watoto wake atamuita tu mboso aonane na nduguye
Sasa si amtafute babake jamani mbosso anausika nanini...elewana kwanza na mzee
Muulizeni vizuri. Subiri ukaribishwe.
Tatizo vijana wengi wanapenda dezo. Fanya kazi ya halali....acha kusuka nywele wewe ni muislamu
Mangapi unayoyafanya weee ambayo hayako sawa na uislam na jee hebu jiulize wewe mwisho kufanya ibada lini??????
@@abiboseleman1649 rudi uisome dini kwanza. Acha kiherehere. Kwa hiyo watu wasikataze madhambi????
@@abiboseleman1649 unakurupuka na kusapoti anachokatazwa MUISLAM. Mwenzako ametimiza tulivoamrishwa WAISLAM, kukatazana MABAYA na kulinganiana katika KUMCHA ALLAH ( swt). Unachukuwa mzigo wa Madhambi BUREEEEE. Kama ulivo shauriwa... KASOME.
Wewe ulipokua na umri
Huo ulikua he?
SIKU ZOTE SHETANI HAKOSI WAFUASI WA KUMPINGA MWENYE MAONYO YA MWEMYEZIMUNGU,SAID ACHANA NA HAO MATAIRA WANAOKUJIBU KIFARA MAPAKA SHUME KABISA.
salàm alekum mashallaah munafanana sàna bila kuliza
Wamefanana saana MashaAllah adi sauti utathani mapacha❤️😇
Kumbe baba mmoja mama tofauti hapo kusema ukweli kukusadia inahitaji moyo Sana
Tena usikute hapo huyo baba yenu alimuacha mama yake na mboso anateseka na wanae ndio akaanza mahusiano na mama yako
Hivyo nawewe haso kijana Kama yeye alivyo haso mtegemea Cha ndugue hufa masikini
kabisa ndugu upande wa baba hawana nguvu kama mulozaliwa tumbo 1 mama hapa msaada kwa mbosso ata simlaumu mbosso atulie tuu dogo
Daah! Kumbe mama tofauti! Kukusaidia inataka moyo Xana
Suzy nikiwa Kenya too mach ❤️❤️
Good work
Mbosso kwa jinsi mnavyo fanan na huyu dogo hakika ni ndugu kabisa
Pole Kaka ndugu apate nawe upate undugu waleo nimtihani uwenaco ukimtegemea mwanadamu utabaki njiapanda
Sauti ya mboso kabisa sura pia
Pesa zisizo za halali huezi wasaidia ndugu na dada wa damu lazima pia wajiunge na uharamu huo ndo waendane.
Sio kwamba sio za halali nikwamba huyo nikijana afanye kazi
Kabisaaaa nakubali
Kama nakuelewa hivi
True
True bro
Sahii mbosso tajiri hata hakumbuki family 😲😱inauma sana 😢mbosso mchukuwe broo please 🙏#kenya
Md adif kuna tatizo ndani ya familia hiyo ya mboso kuchangia baba mama tofauti japo wanafanana sura
Shida sio mboso shida inakuja kwa mzazi kutowafahamisha watoto kujuana toka wakiwa wadogo
Sauti ya mboso kabisaaaáa
Umenenepa mzee baba J, kwel hkun mwembamba 😂
Ooh my God mbosso unamlenga ur brother, 😭so painful Sana. Ukipata ur brother akikutafuta take interest on it u never know tomorrow
Uc chargi wa2 wakati hujui kinachoendelea sio.
Let this brother not give up
Kwa kweli inaskitisha kijana kama mm 2 bado mdog sana ila asichoke mungu yupo pamja na yeye
Dogo ana sauti Kali sana akihimba
Akikukataa we kuja Kenya tupige mjengo bro😅😅😅
Pambana mdogo wangu siku hizi damu si nzito tena kama zamani
jamani sikilizeni burudani mengine waachieni mambo ya kifamilia hayo acheni UMBEYA
😆😆
Hujaupata umbosso umeanza na ww kusuka yebo loooh 😀 kazi ipo
kwani kasema katelekezwa c kasema mwenyewe hawajakaa pamoja mda mrefu toka utotoni sasa mngekuwa nyie mngemfahamu
Iyo yote m2 akiwa xehemu flan me cwez kujipendekeza kabsa kabxa
Cheupe babao sinimoja jamn
duh jamn hatakam mama tofauti sio kwaukatili huu jamn
Muda wote alikua wap?
kabisa 19yrs alikua wapi
Dah jamani sauti kabisa ni ya Mbosso Khan
Nyie mnaemtukana mboso akil zenu fupi sana huyu dogo anatakiwa amtafute baba mzazi na sio mboso maana mboso sie aliezaa na mama wahuyu kijana
exactly bro big point
nashangaa kabisa mbosso halaumiki haswaa amlaumu mama ake alotembea na baba wa mbosso machizi wote wanaomtupia lawama mbosso angekua mbosso hana umaarufu angemtafuta wamuache ndugu wa baba 1 kupendana kumsaidia ndugu ni mulozaliwa mama 1 tuu
Ata wew chizi unae sapont boss utakuja kujua tu badae
Kabisa wanafanana sana, asiofu kakake mboso ni mtu mzuri sana, te bwana mboso
Kweli kafanana na mboso
Kwa mtazamo wangu ni wazazi hawakuleta watoto pamoja kujuana so so makosa yo mbosso by the time huyu mdogo wake akuae mtu mzima tayari mbosso alikua ashaenda kuhangaika mjini but asikufe moyo watapatana tu
Hata sauti ni moja wanafanana sana
Ndege mzuri hutua penye mti mzuri
Kwani uyu mbosso haendagi kwao jamanii.....atakama pia yeye alipitia hard life bt sio poa vile anafanya he has to be with his family bwana ......kama vipi mbosso anafail
Inasikitisha lakinn uskonde bwana mdogo ipo siku mungu atakufanyia wepesi
Unamtafuta MBOSSO akufanyie nini kama babako mwenyewe hakushughulikii
Ww muache amtafute kaka yke ww ayakuhusu kaka tafuta mboso utampata
ndo apo nashangaa
@@hamisimohamedhamisi3241 kwani mbosso ndo baba alolala na mama ake aende uko hujielewi na ww wamtafute baba ake uko
dogo ana haki ya kumtafuta kka yake maana ndugu ni kubebana so anaamin akimpata kka anaweza kumwezesha kwa chochote akajikwamua kimaisha hii ndo big up kwa wachaga maana akiwin mmoja atawawezesha na ndugu zake so dogo akipata nafas ya kuonana na mbosso naamini mbosso atafrah sana the way dogo anavyosema mbosso yuko pekeake so atakuwa hapy sana kuonana na ndugu yake wa dam
@@zuleikhakhamis3303 kwan kumtafta kka ni vibaya kama unaonyesha chuki kwa ndugu wasiokuhusu itakuwaje mmeo akiwa na mtto wa nje si patachimbika isitoshe dini yako inaluhusu so kusema kwamba kwan mbosso katembea na mama wa dogo ni kujizalilisha wewe na jamii yako acha roho mbaya
Kafanana nae kweli 😍
Mhhh jaman awenahuruma huyo mbosso
Mwambie aende kwa producer mocco genius atapata number ya mbosso
Kama kwel mboso kwel kamsahau ndugu bas mung atampotezea leng ata kumchukuabt kuish nae ad dog anapata tabu hv
Wachafu wote kweli wachafu kabisa. Ukishazama wachafuni kilakitu hakiendi unakata idi ndugu wa dam
Daa kweli bwana ukiingia uchafuni lazima na wwe uchafuke tu maana huyu mboso ni ndugu yke kabisa yaani
Punguzeni mdomo mimi tangu n'a zaliwa wanasema n'a fanana n'a Davido je nijiite ndugu yake nendeni taratibu
Dogo sasa unamtafuta mtu umempata kakufungia vioo ww kaendelee kuosha tu magari mungu atabless tu kazi yako achana na misuko iyo pesa ya kusikia inatosha kununua homo ili utimize ndoto zako napia acha kitonga Maana apo unamtafuta mbosso ili upate kitonga tu
Pole dana
Ila wababa nyie ndio mnayaleta haya yote pole pambana achana na wanao kukwepa mola atakupa mafanikio InshaAllah
Background music is annoying!!
Wanaume mungu atawachoma moto
Kwani mbosso Hataka kusema Ajuwi kama ana mdogo wanke
Maskini Pole sanaa wasani hadi ndugu muna watelekeza mhhh kwani mboso hajui kma ako n ndugu
katelekezwa na baba ake mbona hamsemi wkt baba ake yuko hai na hataki kumtafuta ujinga huu
Dogo nakushauri umtafute budako muongee mwanzo then uyo ndo atakusaidia kumpata mboso
di hadi huyo mboso awe anamjua babaake na aweko naye ktk maisha?
Umesuka unataka kusaidiwa fanyeni Kaz acheni uhanisi mnataka dezo dezo
Ndug yke huyu 😜😜😜
Munafanana had sauti congratulations
Mboso usifanye hivyo ndugu yako huyu mnafanana naye jamani pesa usikupe jeuri please .
Nenda wasafi onana na dida utafanikiwa iwenda yeye akakusaidia
Mboso please tafuta brother ako
Kwanini mbosso anafanya hivo kwandugu yake?
Kaza buti bro
duu kwer wamefanana sana mbosso
N ngumu dana hyo historian mandugu
Dogo nakujua Kuna siku nilikutania kuwa kuosha Prado na ist Bei sawa ukacheka Sana
Habari za gwajima
Oh kafanana na kakae hadi sauti mashallah
Mbosso I want to tell you this what goes around comes around don't do this to you younger brother
I looking video from Pemba
Mboso Mimi nishabikiyako Sana,lkn kwahili acha usenge, msaidie nduguyako,pesa zinamwisho
Basi kama nikweli mungu a tamlipa kwa kukataliwa yeye mboso siye msani WA kwanza
Mnachafua bro wangu mbosso
Nipeni namba za huyo dogo
Inauma sana jamani mboso anavyomfanyia uyu dogo sio poa. never
Mm naitwa Mohamed natokea nchi Oman anapenda sana kipindi chako
Mambo
Jmn kwanza ckilizeni kwanza ndo muanze kumtuhum mboso cio mnakurupuka tuu kumlaumu mbosso
Waaaaah.....😳😳😳😳😳
Jamani wanafanana mpaka sauti
Ndo kasuka mirasta ovyooo au nae anataka kutoka kimzk🤣
Uyo jama ni mbosso tu,
na sasa ni video nyingi sasa,
kwa nini mbosso ajali kuja kuangalia pacha mgodo wake,
sasa uyo jama ajikaze sana ....🙏🙏🙏
Mungu wangu huyu ni Mbosso mtupu
Wewe mtangazaji wacha uchonganishi ugomvi wa wazazi unawahusu Nini watoto
Kenya
Mtafute mungu
Tupo south Africa 🇿🇦
Kiki nyingi si rahisi kumfikia mboso je kama unaenda kumzuru ungeenda taratibu tuonyeshe kithibitisho basi kama ni braza ako