"Wapenda mpira simba na yanga mnashabikia msichokijua,mkijua mtaacha":Mch.Amiel Katekela
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Asante Mtumishi wa Mungu kwa kunipa ufunguo Barikiwa sana
🫶 mungu akupe nguvu uzidi kuyafungua yario sirini ❤❤
Ameeen! Ubarikiwe sana mtumishi! Wasaidie hawa viongozi wetu wanatupeleka pabaya
Nimekuelewa sana mtumishi wa mungu
Mwinjilisti Amiel, ahsante kwa mafundisho.
Amen ubarikiwe sana mutumishi hakika nimejifunza mengi
Good job. Wanakuelewa ni wale tu walio wateule. Be blessed
Asante YESU kwa mafundisho haya barikiwa Mutumishi na utufungue macho ya kiroho.
Mungu akubariki na akupe neema zaidi ili uzidi kutufunulia siri za ufalme wa giza ili tuwe imara kwa imani yetu kwa Mungu na mwanawe Yesu kristo
Hapo umetusaidia Mimi nilikataa kuwa shabiki hata wa vipindi za television God bless you n promover Tv
Asanteeeee mtumishi kwa kujifungua hakika mbingu haiko mbali na mimi
Mimi ni Sina timu nashabikia wanao mpenda yesu
Mimi ni Sina timu nashabikia wanao mpenda yesu
amina pasta nabalikiwa sana namafundisho yako mungu azidi kukutumia
Asante sana kwa ufunuo huo. Mimi binafsi sijawahi kupenda wala kushabikia mpira katika maisha yangu
Safi Sana mtumishi nakuelew vyema
Amen Amen Mtumishi wa Mungu
❤ aminaaaaaaa
Nampenda Katekela🙌🏾
Barikiwa sana mtumish wabwana
promover tv mungu awabariki xana kwa kaz kubwa mnayofanya
Jamani Yesu tusaidie haya mambo ni mazito Sana, msaidie mtumishi wako uliyemtuma Ili tupone, Mungu wangu nimeogopa sana
Yesu hajamtuma huyo alivyo andoka alisema kashamaliza kazi hao wamejituma wenyewe
Wewe nimfuasi wake tengeneza mipango
@@mathayokaaya4093 yesu mda wake ishaisha na hajatumwa kwetu kabisa amatumwa kwa wana Israel na ushahidi upo
From burundi mungu akubariki
Amina Sana Baba yangu
Mtumishi Barikiwa sana,Je kusherekea birthday Kuna uhusiano wowote na kuzimu?
Niliiskia kidogo kwa mwakasege afu akakatisha nikahisi Hapo hapo kuwa Kuna kitu hatukijui kuhusu birthday party nikaelewa hii haifai
Asante Mungu baba kwa kutumia kinywa cha mtumishi wako
Kweli kabisa Mtumishi wa Mungu
Ameen mtumishi wa MUNGU🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana ni leo tu nimetoka kuhubiri habari za Naboth na Mfalme Ahabu Naboth alikataa kubadilishiwa urithi wake wa shamba la mizabibu
Sema baba mtumishi Amiel tuko pamoja.
Blind mind Kila kitu kitakuwa hivyo,am real against on such weak preachings mm nafurahia mpira iliw Kuna ujinga ndani yake anayefanya atajijua nisawa hata biashara tunanunua Kwa wachawi na kuuzia pia Kila mtu,tusichanganye watu
Asante mchungaji ujumbe mzuri ila ukumbuke hata ibada kuja siku ya jumapili ilikua hiki ulichohubiri tumfuate mungu jua rumi ikabakia hapo ambayo sio siku ya ibada
Mungu hafungwi na siku ,biblia inasema Siku zote ni sawa ,we unafikiri jumamosi ndo imebeba utakatifu tu pekee Basi ingekuwa ivo mtu akienda kuzini siku hiyo anakufa
Amen amen,najifunza mengi sana kutoka Kwa huyu mtumishi wa mungu 🙏🙏🙏🙏
Ubalikiwe sana Mtumishi hayo unayo yaonge ni kweli kabisa
Nachoshukuru MUNGU wangu nilizaliwa sjui mpira hata kuucheza kila nilipokua nkjarb kuucheza nkiwa MDOGO nashndwa😏😏😏😏🤔Sasa ikija kwenye kuuangalia ndo snaga time kabsaaaaaa Kwanza siwez kabsa kwasababu sjui kitu na Sina hata hoby kabsa😜😜😜😜😜😜😜😜😜 Asante Sana YESUKRISTO mwana wa MUNGU
MUNGU Akubariki Sana Mtumishi binafsi nimepona
Yesu ndio njia kweli na uzima. Mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi. Have mercy on me.
Daaàa!! Jaman tumtafute mungu Kwa bidii wapendw
Amen. Uku kanisani kwetu sikuizi wameanza kuimba na kucheza taarabu na kuvalia vijora na kucheza kisingeli juu madhabahuni askof kaganga ndie mchungaji wangu kiongozi wa makanisa ya t.a.g Zanziba kanisa letu linaitwa ZICC
Ondoka hilo kanisa la tarabu
Shetani mjanja sana ametuingizia singeli na Taarabu kanisani
Mimi sitaki kuona vitu vya namna hiyo kanisani kwetu
Kwa Kweli hapa Zanzibar Kwa Kaganga kariakoo ,nyimbo za taarabu na Mavazi ya mashekhe wanavaa wanakwaya wanaimba, Baba Kaganga kemea pepo.
AMEN AMEN BWANA ATUOKOE NA YADUNIA
AMEEN
Mungu atusaidie
🤝 safiii Sana mch sema
Mungu atuufungue macho ya rohon maana hata walio wateule wengi ni mashabiki wa timu hz
Sana tena hadi wachungaji tunabishana nao mpira aisee Mungu atusamehe sana
Hata watumishi wa mungu ni wa shabiki,jamani mungu aturehem
Mch nimekuelew Mungu akubariki,
Ameni mtumishi anayebisha abishe ila ukweli ndio huo tuponye mt
Haoo mia walikufa lini alafu sijaelewa hapo siku ya mechi kumbe walisha cheza kabla yake au
Mahubiri manyonge Sana hayo,msiangalie Mimi nafurahia mno na nimeokoka mbinguni naenda kimuingiacho mtu hakimtii unajisi Bali kimtokacho
Upo sahihi sana mambo yaliyo mengi yanayofurahisha macho ya mwanadamu ni mpango wa yule mwovu. Tumwombe YESU kristo atusaidie kizijua siri za mbinguni.
Hasara yako Yesu kiumbe kaumbwa km ulivyo umbwa Wewe Si Mungu
@@ahmedzahor2975 Mambo usiyo yajua huwezi kuyaelezea.Muelezee sana Mtume Muhamad sio Yesu.Huwezi muelezea.
@@ahmedzahor2975 Hasara yako Allah Siyo MWENYEZI MUNGU na Muhamad Hakutumwa na MWENYEZI MUNGU.
@@saimonijonas1471 umemjibu vizuri sana huyo
@@paulmushi2428 Paul usibishane na mpumbavu
Ameeeeeeen
Injili ya namna hii Leo ni nadra sana kusikia lakini Alie jaa roho huweza kusema iliyo kweli
Bwana asifiwe mchungaji ubarikiwe Sanaa uko visuri sana mungj akusaidie
Amen
Kweli Dunia imeisha Mungu nirehemu makosa yangu yote nimepe mwisho mwema
Nikwl
Pole sana....
100%
Hatareeee Sana, kuna siku niliona mchungaji anafupisha ibada Ili kuwahi uwanja wa Taifa
Huyo hakujua kusudi lake
Wameshavulugwa aisee mm naonaga wanahubir kidogo alafu anaingizia na mpira yani huwa sipendag basi tu
@@elishakayagwa9371 Wapo wengi na niasilimia kubwa ya wachungaji wetu hawezi kuhubiri akamaliza bila kuingizia Simba na yanga
@@consolatamedard6593 Hayo yanaitwa magugu ndani ya shamba la ngano
Na waumini Wana shangilia kabisa, mchungaji akawa anasema sisi kanisa letu kuangalia mpira sio dhambi. Hatupangiwi Maisha, nikasema okay
Kwa kweli we go wamekufa kwa sababu ya mpira
Ulimwengu wa SAsa mpira ndie mungu wa dunia hii watu wametekwa huko ni rahisi mtu kupata uvivu wa kwenda kanisani, kwenye mpira hata kama anaumwa upata nguvu ya kwenda mpirani
Ni rahisi mtu kushindwa kula timu Yake imefungwa, ila hawezi kufunga sababu ya Mungu
Hakika uliyosema ni kweli kabisa na umetufungua macho na ufahamu
Haufi ww lazima IELEWEKE KUWA YESU NI MSHINDI
Sina timu kuanzia Leo...Eee MUNGU tusaidiye na family yangu na watu wote.
tatizo sio timu au mpira, tatizo ni kwamba mpira unatumika kwa manufaa ya nguvu za giza.
Halleluya
Kwa kweli Mungu ni mwema sana je wapo vijana waliookokaa wanasikia haya wapate kupona.
Makanisa ya kweli hayana waumini kabisa watu wachache kweli
Icho kiarabu ndiyo Lugha ya kishetani au??
Ndiyo mtumishi
Sio mpira tu,yaani Dunia imeiva kuzimu au ni mteremko wa kuzimu kwa sasa..
Hawa wahubiri hawa wanaohubiri ndoto, Mbinguni mtafika Lakini mkiwa mmechakaa sana. Maana yeye Mwenyewe shabiki no moja wa mpira. Tena anaonekana wa wekundu wa msimbazi. Poleni sana akina Amen kwa Kila kitu bila kuchunguza.
Zichunguzeni hizo Roho.
Tunakuelewa baba ni sahihi
Ukweli mtupu
Nashukuru rafiki yangu haya yote nayafahamu!! 1Yohana2:15. Inasema msiipende dunia wala mambo yaliyomo katika dunia, mtu akiipenda dunia, kumpenda Baba hakumo ndani mwake. Hivi kumbe vitu vya dunia karibu zote ni dhambi!!
Hiki kipengele cha dance za kwaya hua tunajifanya hatukiskii wala kuona. Dance za kuzimu
@@joshuamakota6714 yan siku hizi na viduku juu
@@dadaz4653 kabisa, waimbaji wengi sàa hii ukiiangalia nyimbo zao kucheza ni Kwa kusifu shetani, ni Mungu tu atusaidie
@@joyyjoyy5474 yaan kwakwel Mungu atusaidie wokovu wa sasa iv na wazamani nitofaut kabisa wanaona kila kitu kawaida tuu
Sanasanasa 😪
Jamani mpiga kinanda amwache mtumishi, neno lituingie
Asiyekuelewa ni mlokole na mfia dini ila wanamcha Mungu tunajua unachokiongea
Amen nakumbali kambisa
Lakini si lahisi kwakizazi Cha Sasa kuamini unayo yaongea mtumishi bwana awafungue watu wake
Mtumishi muombee mume wangu Yani yuko tayali asile asinywe Ila aende mpilani
Kiongozi HP umemalia kila kitu sema mtumishi
Sina uhakika sana na ukweli unaosema maana Imani na mambo ya Dunia hayana uhusiano na kupenda mpira Haina maana kuabudu mpira.
Ni sahihi muda wa ibada umechukuliwa na mpira
Mpira ni agano la kunasa wengi kwenda jehanamu kwa mtu mwenye mpango wa kwenda mbinguni tuachane kabisa na hili Bali tukahubiri injili watu wamjue Mungu
Ye ""! And you agree with his nusinga, he says that they had trouble with the devil,He is the sorcerer, he is a freemason and they met Rusifer,,,
Nanyi mnamsikiliza MTU kama uyo anayeongea upumbavu mbele yenu 😂😂😂😂😂😂 poleni sana ndugu yangu wakristo wamefeli wapi kila siku nyinyi ndio mnatoa manabii nyinyi ndio mnatoa mitume And you agree with such people when you mislead so much you look stupid every day,
Msikubali kuburuzwa na matapeli kila siku mnatoa sadaka zenu mnampa pesa zenu bila sababu yoyote ile kwa maneno yake,
😂😂😂😂😂😂😂Don't be stupid
And someone makes you ignorant with his devilry and you applaud him very politely, my Christian brother, I think the devil has ruled over you and you lack the strength to fight him now he is in your souls,
Mungu atusamehe tumeshabikia na kutetemekea timu hadi kulia machozi
Sio kulia tuu hadi kufa nakuana 😥😥😥
Mmmmmh yaan kwa kweli..sas tufanye lipi
😂😂😂😂😂😂😂😂mungu atusaidie na vizazi vyetu
Mcheza piano anatatiza ujumbe!
Umekosa cha kuubiri? Ubiri neno la mungu ,wanakufa kwa presha yao,hubiri neno
Uko sahih Mtumishi
Watu wanalia kwasababu ya mpira lakini wanashindwa kumulilia ya Mungu
Watu wanashindwa kula kwasababu ya mpira lakini wanashindwa kumufungia Mungu.
Mungu atusaidie atufunguwe akili
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
9:39
Unasema vema mtumishi 6:33
Ni kwel mtumishi wa MUNGU
Maisha ni ya kuishi. Sio ya kutishwatishwa.
Ameeeeen
Kamati ya ufundi ni mambo ya uchawi
Kila naposikia habari hizi namkumbuka mch: Cikopole pale mlowa barabarani Dodoma 2008 alisema haya "hatukumuelewa"
Wapenda mpira hawatakuelewa watakutukana
Ndomana mm sipend kushabikia mpira au chochote
Sema mtumishi unakuta mchungaji naye mashabiki washirika itakuwaje sasa,.
Hakuna kitu kama hicho. IPO siku tutaambiwa kuishi duniani ni dhambi. Nyie manabii wa uwongo mnatupotosha. Wachezaji wa Mpira wana vipaji vya kucheza mpira na mashabiki wanapata burudani. Jitahidi kutafsiri vitabu vitakatifu kwa umakini.
Usiseme hakuna kitu jiulize duniani ulikuja na nini utaondoka na nini? Je nini kusudi la aliyekuleta duniani? Je ni kushabikia soka!?
Mtumishi samahani nilikuwa ninaomba namba ya katekela Kuna maombi nilitaka nimshirikishe
+255756275511
Iyo namba wala haipokelewagi kabisa
Thanks bro.kemea kabisa.we cannot win for Christ with football.
Through spirit and truth we win souls for Christ.
Exercise is ok but profiteth litlle if you want exercise,run etc do it appropriately not exposing you body parts in the name exercise.
lets be decent and orderly.
Hivi waziri Nape upo likizo hii ni hatari kwa kizazi chetu
Kweliii kanbisaa
Hasa ka sauti cha kinanda?
Mom
Hii ni sauti ya Mungu juu ya kupinga juudi za shetani kutumia michezo kulipoteza kundi la watu wa Mungu
Naaplishert ujumbe huo mt wamungu
Acha uwongo we babu tafuta hela namna nyingine 😂😂😂😂
Mi sijaelewa kwa kweli
Mimi nilikuwa addicted na mpira baada ya kugundua kuwa ni dhambi niliamua kuachana na mpira kabisa. Haikuwa rahisi lakini hivi sasa niko huru sijawahi fuatilia mambo ya mpira wala roho yangu haibabaiki na mambo ya michezo.
Aisee nami nijitoe kwakweli maana mmmh
Apo kwenye kafara eti Mechi yanga akishinda watu 100 wanakufa au Simba akishinda watu 100 wanakufa hapo ndo unatudanganya... Mpira ni afya. Michzo ni afya.. michezo ni ajira, michezo inawapa watoto wa wenzako kipato na wengine wanakuja kuleta sadaka kanisani..
@@thadeylyimo9772 ndugu akina Adam Nuhu Daudi na wengine walikuwa wanacheza mpira wapi? Mbona miaka waliyoishi hata nusu yake hatuwafikii? Unazungumuzia pesa je unajua chanzo cha matumizi ya fedha na mwisho wa matumizi ya fedha duniani? Kizazi cha bongo freva kina fikra finyu sana kuhusu mambo ya Mungu kinatazama mambo kwa macho ya nyama.
@@rubefabi8366 Ni sawa na kusema kizazi Cha Adam nuhu daudi hawakuwa na magari basi tuishi Kama wao ... Apo umezungumzia Nyakati tatu tofauti ktk biblia.. "Tambua Nyakati uliyopo" zingatia ni Nyakati gani uliyopo...
@@thadeylyimo9772mfano unaoutoa ni tofauti mambo ya usafiri na mambo ya mpira ni wapi na wapi? Ungesema kusafiri na ungo hapo ungeleta maana.
AMEN AMEN
Mzee wa Kanisa akitamani kuwa Mchungaji ni tatizo?….
Yaani hapo kwenye Moira SEMA tupone.Maana huo Ni ugonjwa.