Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Safi nabarikiwa sana ningependa mnirushie mwenye nyimbo zao za albam ya mambo ya leo
Kaminula kwaya niipendayo sana tangu miaka ya 2002 nakumbuka sana nikiwa sumbawanga kilando Mungu awabariki wapendwa wangu
Amen 👍
kaminula choir muliimba kabisa nyimbo zenu zinatubariki kila mara
Thank you for sharing this powerful songs from back in the days. Mungu akubariki
Nabarikiwa ninaposikia nyimbo zenu naomba mtuwekee kwenye Yu tube nyimbo zinazoitwa "Stefano" na "Hata ilipofika saa"
MUNGU wa Mbinguni awabariki sana, nimegundua hii hazina inayonikumbusha in 80's, THANKS a lot and GOD Almighty bless you all
Nyimbo za kuubiri injili.
Watu wa Mungu karibu sana Burundi msisahau kwenu na Mungu awabariki sana tunawapenda
Ni nyimbo Amazon zinanibariki sana.Nilizipenda tangu meego.Mungu awabariki.
Asnt nazipenda mno
Walisharudi toka 2009
Tangu mwaka WA(1988) Hadi Leo nimekuwa nikiwasikiliza wamevuta ROHO yaaangusa Yesu Kristo Ambaye Mmemutumikia Awabariki
Mungu WA mbinguni Awape baraka waimbaji Hawa WA kwaya kaminula
Excellent song
wimbo wa baraka sana
Acha ushamba NYIMBO zetu unatumika
Ikiwezekana naomba albam nzima ya mambo ya leo
Naomba nyimbo za Kaminula 2 kwenye tubidy., unaoitwa MAMBO YA LEO na DHAMBI NI HATARI. Nashukuru sana na MUNGU AKUTUNZE
wewe angalia kama wameweka huko tubidy
Kaminura choirTunawapenda
Amen Ubarikiwe
When gospel songs were gospel songs
Nyimbo za zamani zjna upako
Album nzim tunaiomba mkuu
Mwenye albam nzima ya kwaya hii ya kaminula naomba anitumie whatsap 0764280836 nitashukuru sana
Safi nabarikiwa sana ningependa mnirushie mwenye nyimbo zao za albam ya mambo ya leo
Kaminula kwaya niipendayo sana tangu miaka ya 2002 nakumbuka sana nikiwa sumbawanga kilando Mungu awabariki wapendwa wangu
Amen 👍
kaminula choir muliimba kabisa nyimbo zenu zinatubariki kila mara
Thank you for sharing this powerful songs from back in the days. Mungu akubariki
Nabarikiwa ninaposikia nyimbo zenu naomba mtuwekee kwenye Yu tube nyimbo zinazoitwa "Stefano" na "Hata ilipofika saa"
MUNGU wa Mbinguni awabariki sana, nimegundua hii hazina inayonikumbusha in 80's, THANKS a lot and GOD Almighty bless you all
Nyimbo za kuubiri injili.
Watu wa Mungu karibu sana Burundi msisahau kwenu na Mungu awabariki sana tunawapenda
Ni nyimbo Amazon zinanibariki sana.Nilizipenda tangu meego.Mungu awabariki.
Asnt nazipenda mno
Walisharudi toka 2009
Tangu mwaka WA(1988) Hadi Leo nimekuwa nikiwasikiliza wamevuta ROHO yaaangusa Yesu Kristo Ambaye
Mmemutumikia Awabariki
Mungu WA mbinguni Awape baraka waimbaji Hawa WA kwaya kaminula
Excellent song
wimbo wa baraka sana
Acha ushamba NYIMBO zetu unatumika
Ikiwezekana naomba albam nzima ya mambo ya leo
Naomba nyimbo za Kaminula 2 kwenye tubidy., unaoitwa MAMBO YA LEO na DHAMBI NI HATARI. Nashukuru sana na MUNGU AKUTUNZE
wewe angalia kama wameweka huko tubidy
Kaminura choir
Tunawapenda
Amen Ubarikiwe
When gospel songs were gospel songs
Nyimbo za zamani zjna upako
Album nzim tunaiomba mkuu
Mwenye albam nzima ya kwaya hii ya kaminula naomba anitumie whatsap 0764280836 nitashukuru sana