Je mtu anayeshitakiwa kwa mauaji ya bila kukusudia ana haki ya kupata dhamana mahakamani? Kuna mtuhumiwa wa mauaji ya bila kukusudia amepewa dhamana kwenye mahakama ya wilaya.
Dhamana ni haki ya mtuhumiwa au mshtakiwa kupewa Dhamana kwa makosa ambayo yana Dhamana. Pia unaweza ukanyimwa Dhamana kwa makosa ambayo yana Dhamana.siyo upashi
Asante sana kiongozi mungu akubariki saaaana🙏🙏🙏
Kabisa kaka mkubwa
Upo xaw wakili
Je mtu anayeshitakiwa kwa mauaji ya bila kukusudia ana haki ya kupata dhamana mahakamani? Kuna mtuhumiwa wa mauaji ya bila kukusudia amepewa dhamana kwenye mahakama ya wilaya.
Mahakama kutoa dhamana ni vile inavyo jisikia au inategemeana na kesi?
Dhamana ni haki ya mtuhumiwa au mshtakiwa kupewa Dhamana kwa makosa ambayo yana Dhamana. Pia unaweza ukanyimwa Dhamana kwa makosa ambayo yana Dhamana.siyo upashi