MBWADUKE: DUH! SIMBA HII YA DEBORAH BALAA/ MWAMBA NI MTAMBO HALISI WA KUPIKA MABAO/ OKEJEPHA...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 лип 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like....

КОМЕНТАРІ • 59

  • @shukurumgaya5950
    @shukurumgaya5950 8 днів тому +8

    Nakuelewa kaka like wekundu

  • @hassanhatibu5412
    @hassanhatibu5412 8 днів тому +2

    Mungu ibariiki Simba yetu tuko pamoja

  • @shabanimzalla7108
    @shabanimzalla7108 8 днів тому +2

    Simba sc nguvu Moja 🇹🇿❤❤

  • @user-yg9xn1cx5q
    @user-yg9xn1cx5q 8 днів тому +1

    Mungu bariki Simba yetu

  • @AmiryHamza-gs8pp
    @AmiryHamza-gs8pp 8 днів тому +3

    Aisee wapinzani wajipange simba nguvu moja❤

  • @PauloPareso
    @PauloPareso 8 днів тому +2

    Kaka hongara sana uko vizuri ❤❤

  • @ernestmalyosi9187
    @ernestmalyosi9187 8 днів тому +2

    Simba nguvu moja

  • @sangaelly8548
    @sangaelly8548 2 дні тому

    Kwakweli mwakani huu tumesajili sanaaa shida moja kunaupande wapili kuna kazee kamoja hatari sanaaa

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 7 днів тому +1

    Bora utusifia baba mwaduke tungesema ss tungekoma

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  6 днів тому

      Facts speaks volume...ila kinachosubiriwa zaidi ni uwanjani na siyo alikotoka. Wapo wachezaji hufanya vizuri eneo moja na kuchemsha eneo lingine. Muhimu ni kuyfanyia kazi changamoto zake.

  • @Cutenaah
    @Cutenaah 8 днів тому

    Daima mbele nyuma mwikooo💚💚💚💚💛💛💛💛💛

  • @mbutolwekasagule439
    @mbutolwekasagule439 8 днів тому +1

    This is Simba brother 😮😮

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 7 днів тому +1

    Vyura ndio kazi yao kuroga wenzao mungu anawaona

  • @user-wn9bp5cl1j
    @user-wn9bp5cl1j 8 днів тому +1

    Simba inahatari

  • @AthanasEvaristMahega
    @AthanasEvaristMahega 8 днів тому

    ❤❤❤ nguvu moja

  • @user-ep3it9qe4j
    @user-ep3it9qe4j 8 днів тому +6

    Simba nguvu moja ❤

  • @kassimchammah7549
    @kassimchammah7549 7 днів тому

    Kaka mm nasema tu unajua upewe maua yako bro

  • @flova7022
    @flova7022 8 днів тому

    Kuna mganga amelipwa 100usd huku south Africa ili awaloge Simba s c new players. Wasiperfome

  • @JacobGeorge-eg2ww
    @JacobGeorge-eg2ww 8 днів тому +1

    Tukutane Benjamin mkapa maneno yametosha

  • @MwajabuZahoro
    @MwajabuZahoro 8 днів тому

    Chama umeiona mbaya yule anaua

  • @PentaseAmylase
    @PentaseAmylase 7 днів тому

    THIS IS SIMBA BROTHERS & SISTERS. ❤

  • @user-ys4zk3hx4f
    @user-ys4zk3hx4f 8 днів тому

    Mbna kama pogba

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 7 днів тому

    Cmba wasajili xana tatizo pini jaman daaah

  • @ibrahimkibona6701
    @ibrahimkibona6701 7 днів тому

    Fanya na uchambuzi wa kocha mpya simba

  • @molove-h9t
    @molove-h9t 7 днів тому

    💯💯💯

  • @drallan6879
    @drallan6879 8 днів тому

    Hi mze WA DATA

  • @Cutenaah
    @Cutenaah 8 днів тому

    💚💚💚💛💛💛

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila 8 днів тому

    Hawa watu mwaduke usimalize uhondo Watsons wapinzani

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 8 днів тому

    Kule🐸🐸🐸🐸🐸 yupo Loyce 😅😅😅😅

  • @Jafaryamily
    @Jafaryamily 8 днів тому

    Waache waendelee na usajili ya wachama sisi kimya kimya

  • @ChandeMuinde-zs6rj
    @ChandeMuinde-zs6rj 7 днів тому

    Makofi yawafikie wana simba.

  • @jacobtandila2019
    @jacobtandila2019 8 днів тому +1

    Namfananisha na pogba

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 8 днів тому +1

      😂😂😂 kwa kufananisha tuuu mpo vzr ila ngoja tusubiriii mvua inyesheeee ....... Tutapajua lawama zipelekwe wapiiii😂😂😂

    • @africanbeez3644
      @africanbeez3644 8 днів тому

      @@mwanangusana gongowaz mkifungwa mara ooh ngao sio kombe 😅😅

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 8 днів тому +1

      @@africanbeez3644 kaka mkitufunga this time kwenye ngao .. nakutumia elfu 10..... Pale dube kushoto chama kulia Paccome inside 10 Aziz ki .... Baleke Baleke anampokea naniliii 😂😂😂

  • @FahmiHamiss
    @FahmiHamiss 8 днів тому

    Msimu ujao kaka 2taua tuzuliwe namapema na tff

  • @anthonychibilili9758
    @anthonychibilili9758 8 днів тому +1

    Hebu ngoja mvua inyeshe tuone panapovuja

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 8 днів тому +2

      😂😂😂 mvua ikinyesha tutaona wapii panavuja ? Na wapi waelekeze lawama zao
      1.kwa kocha
      2.wachezaji
      3.uongozi
      4. Mdhamini au mfadhili
      5. Au aondoke nazo Mangungu 😅😅😅😅

    • @anthonychibilili9758
      @anthonychibilili9758 8 днів тому

      @@mwanangusana kabisa maana..

  • @Jastus100
    @Jastus100 7 днів тому

    ILA HAKUNA MCHEZAJI YOYOTE UMEWAHI KUMPONDA WOTE HUWA UNASIFIA

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  6 днів тому

      Huwa unamsikiliza vizuri mpaka mwisho Mzee wa Data? Mbona kila mchezaji huongelea mazuri yake kwa mujibu wa facts zilizopo na kisha huelezea changamoto zake kwa facts pia? Hebu tukumbushe ni mchezaji gani kamuelezea mazuri yake tyu mwanzo mwisho bila kuelezea changamoto zake...uklifanya hivyo utakuwa um,etuisaidia maana tutamuomba Mzee wa Data arudie uchambuzi wa mchezaji huyo. Ila kumbuka: Humu Mbwaduke Stats maoni hutolewa kwa kuzingatia facts zilizopo na siyo maneno matupu bila ushahidi...

  • @Cutenaah
    @Cutenaah 8 днів тому

    Debora ni jina lakike😂😂😂😂💚💚💛💛

    • @stephenmakula9971
      @stephenmakula9971 8 днів тому

      Anatamkwa "Debra"

    • @Cutenaah
      @Cutenaah 8 днів тому

      @@stephenmakula9971 staki ni Debora usinilazimishe

    • @enroutetz
      @enroutetz 8 днів тому

      ​@@Cutenaahna Joyce lomalisa alikua wa kike?

    • @Cutenaah
      @Cutenaah 7 днів тому

      @@enroutetz yule tumemfukuza hatutaki majina yakike

  • @richardmagasa4900
    @richardmagasa4900 8 днів тому

    Kumbe ni dada Debora😂😂😂

    • @poulynegray7899
      @poulynegray7899 8 днів тому +3

      Hakuna shida wenzetu mna dada Joyce

    • @rashidgogo5558
      @rashidgogo5558 8 днів тому

      Chama pia mlikejeli jina lakini leo amechoka memchuku kwahiy. mafisi fc tulien tumtumie mmalizie mizoga

    • @richardmagasa4900
      @richardmagasa4900 8 днів тому

      @@rashidgogo5558 kama mlichukuaga Niyonzima baada ya kutumika sana na Yanga so hyo ni kawaida kabisa hata nyie ni mafisi tu

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 8 днів тому

    Simba nguvu moja

  • @FahmiHamiss
    @FahmiHamiss 8 днів тому

    Msimu ujao kaka 2taua tuzuliwe namapema na tff

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 8 днів тому +1

      😂😂😂 wakati wenu huu kujigamba na kutambaa... Ligi ikianza mtajua wenyewe lawama mzielekeze wapiii kwa moamed, wachezaji , kocha au mtamtupia lawama Murtaza Ali Mangungu 😂😂😂😂😂😂

  • @FahmiHamiss
    @FahmiHamiss 8 днів тому

    Msimu ujao kaka 2taua tuzuliwe namapema na tff

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 8 днів тому +1

      Kaka mtatamba Sana pande izo kabla ligi kuanzaaa .... Ila ligi ikianzaaaaa pande hiz hamuwez kutambaaa 😂😂😂😂

    • @user-xq8pq2ey6t
      @user-xq8pq2ey6t 8 днів тому +2

      ​@@mwanangusana🤫🤫🤫

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 8 днів тому +1

      ​@@mwanangusanaWewe wasema

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 8 днів тому +1

      @@taseleli9181 we unaonaje kaka ....??